Ezekiel
Ezekiel
  • Видео 50
  • Просмотров 31 437

Видео

Kipimo cha HIV/ Kipimo cha UKIMWI/ Jinsi ya Kutumia Kipimo cha HIV /UKIMWI
Просмотров 50День назад
Kipimo cha HIV/ Kipimo cha UKIMWI/ Jinsi ya Kutumia Kipimo cha HIV /UKIMWI
PART 5: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
Просмотров 12014 дней назад
PART 5: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
PART 3: Jinsi ya Kutumia Pressure Cooker kwa Usahihi/ How to Use a Pressure Cooker in the Right Way.
Просмотров 19521 день назад
PART 3: Jinsi ya Kutumia Pressure Cooker kwa Usahihi/ How to Use a Pressure Cooker in the Right Way.
Zaidi ya Subscribers 500 kwa Miezi 6// 500+ Subscribers // 1000+ Watch Hours
Просмотров 1021 день назад
Zaidi ya Subscribers 500 kwa Miezi 6// 500 Subscribers // 1000 Watch Hours
Usafi wa Ghetto kwa Vijana/Masela 😅
Просмотров 53Месяц назад
@EzekielTv49
Jinsi ya Kupiga Hesabu za Gypsum Board/How to Calculate Gypsum Board Quantity
Просмотров 762 месяца назад
@EzekielTv49
HOW MANY ZEROS IN 1 TRILLION?//TRILIONI MOJA INA SIFURI NGAPI??
Просмотров 192 месяца назад
@EzekielTv49
PART 2: Kumtumikia MUNGU na Mali/ Ngamia Kupita Tundu la Sindano /The Meaning of Mammon
Просмотров 322 месяца назад
PART 2: Kumtumikia MUNGU na Mali/ Ngamia Kupita Tundu la Sindano /The Meaning of Mammon
PART 4: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
Просмотров 1,9 тыс.2 месяца назад
PART 4: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
Kumtumikia MUNGU na Mali/ Ngamia Kupita Tundu la Sindano /The Meaning of Mammon
Просмотров 352 месяца назад
Kumtumikia MUNGU na Mali/ Ngamia Kupita Tundu la Sindano /The Meaning of Mammon
SABABU ZA KUTOFANIKIWA KATIKA MAISHA/ WAYS TO SUCCESS IN LIFE/ FANYA HIVI ILI UFANIKIWE
Просмотров 262 месяца назад
SABABU ZA KUTOFANIKIWA KATIKA MAISHA/ WAYS TO SUCCESS IN LIFE/ FANYA HIVI ILI UFANIKIWE
Jinsi ya Kupiga Hesabu za Tiles (Malumalu)//Ujenzi wa Malumalu (Tiles)// How to Estimate Floor Tiles
Просмотров 1,6 тыс.2 месяца назад
Jinsi ya Kupiga Hesabu za Tiles (Malumalu)//Ujenzi wa Malumalu (Tiles)// How to Estimate Floor Tiles
The Area of Circle//How to Find the Area of Circle...
Просмотров 242 месяца назад
The Area of Circle//How to Find the Area of Circle...
How to Solve Simultaneous Equations/Simultaneous Equations/Simultaneous Equations by Substitution...
Просмотров 392 месяца назад
How to Solve Simultaneous Equations/Simultaneous Equations/Simultaneous Equations by Substitution...
How to Assemble a Wall Mounted Fan/ Wall Fan Installation/Wall Mounted Fan Installation...
Просмотров 5083 месяца назад
How to Assemble a Wall Mounted Fan/ Wall Fan Installation/Wall Mounted Fan Installation...
PART 3: Learn How to Ride a Motorcycle // Boxer 150 //Jifunze Kuendesha Pikipiki //TVS Motorcycle
Просмотров 4,2 тыс.3 месяца назад
PART 3: Learn How to Ride a Motorcycle // Boxer 150 //Jifunze Kuendesha Pikipiki //TVS Motorcycle
Learn How to Ride a Motorcycle//Boxer 150
Просмотров 2523 месяца назад
Learn How to Ride a Motorcycle//Boxer 150
How to Connect Hotspot to TV//Jinsi ya kuunganisha Wi-Fi Hotspot Kwenye Smart TV
Просмотров 493 месяца назад
How to Connect Hotspot to TV//Jinsi ya kuunganisha Wi-Fi Hotspot Kwenye Smart TV
How to Use a Pressure Cooker in the Right Way//Jinsi ya Kutumia Pressure Cooker kwa Usahihi...
Просмотров 3,2 тыс.3 месяца назад
How to Use a Pressure Cooker in the Right Way//Jinsi ya Kutumia Pressure Cooker kwa Usahihi...
How to Make a Baby Stop Crying//Jinsi ya Kufanya Mtoto Aache Kulia
Просмотров 114 месяца назад
How to Make a Baby Stop Crying//Jinsi ya Kufanya Mtoto Aache Kulia
PART 2: Jinsi ya Kutumia Machine ya Kufulia/ How to Use the Washing Machine/Hisense Washing Machine.
Просмотров 3275 месяцев назад
PART 2: Jinsi ya Kutumia Machine ya Kufulia/ How to Use the Washing Machine/Hisense Washing Machine.
Jinsi ya Kutumia Machine ya Kufulia/ How to Use the Washing Machine/Hisense Washing Machine.
Просмотров 3505 месяцев назад
Jinsi ya Kutumia Machine ya Kufulia/ How to Use the Washing Machine/Hisense Washing Machine.
PART 2: Hiding Folders Using CMD/Command Prompt//Ficha Folder kwa Kutumia CMD//Command Prompt
Просмотров 385 месяцев назад
PART 2: Hiding Folders Using CMD/Command Prompt//Ficha Folder kwa Kutumia CMD//Command Prompt
Hiding Folders Using CMD/COMMAND PROMPT//Jinsi ya Kuficha Folder kwa Kutumia CMD
Просмотров 265 месяцев назад
Hiding Folders Using CMD/COMMAND PROMPT//Jinsi ya Kuficha Folder kwa Kutumia CMD
Jinsi Kufanya MBs Zisiishe Haraka Kwenye Simu Yako//How to Save MBs on Your Phone
Просмотров 296 месяцев назад
Jinsi Kufanya MBs Zisiishe Haraka Kwenye Simu Yako//How to Save MBs on Your Phone
PART 2: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
Просмотров 6 тыс.7 месяцев назад
PART 2: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
Просмотров 6 тыс.7 месяцев назад
Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki
How to Switch From Gesture Navigation to 3 Button Navigation on Touch Screen Phones
Просмотров 227 месяцев назад
How to Switch From Gesture Navigation to 3 Button Navigation on Touch Screen Phones

Комментарии

  • @AsiaasiaPaul
    @AsiaasiaPaul День назад

    Dogo umevaa kasweta kakisenge

  • @Kaka_Rambo
    @Kaka_Rambo День назад

    Somo tamu sana

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 День назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @azharrtxj8773
    @azharrtxj8773 2 дня назад

    Mimi ndio nilianza jana thu na bado cja shika

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 дня назад

      Support yako kusubscribe 🙏 Nina video part 1 mpaka part 5 ,,nashauri anzia part 1 na uende kwa mtiririko utaelewa vizuri sana

  • @IneHenry
    @IneHenry 2 дня назад

    Mie mbona dakika hazishuki...shida nini

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 дня назад

      Support yako kusubscribe 🙏 Huwa inafata process hizi,, "warm, pressure up, keep pressure na hapa kwenye keep pressure ndipo dakika huanza kushuka,,, So hauhitaji haraka labda kama hazishuki kabisa hata ukiwa unapika vitu vingine basi hilo ni tatizo lingine

  • @PaulMsumeno
    @PaulMsumeno 3 дня назад

    Dogo marry anaumwa

  • @Jennifer-t6i3b
    @Jennifer-t6i3b 5 дней назад

    Imekaa poa

  • @lengishfranco5285
    @lengishfranco5285 6 дней назад

    How much is this motorcycle?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 6 дней назад

      Please Subscribe 🙏 The price depends on where you are brother,, I'm in Tanzania,,,in some regions the price is up 3 million

  • @lengishfranco5285
    @lengishfranco5285 6 дней назад

    Good teacher

  • @rsoo0099
    @rsoo0099 6 дней назад

    Bro vipi Kuna wakati wa kupika inakua unapiga kelele kama unatoa gesi na wakati mwingine inakua kimya tu... Vp nakosea wapi na sio hatari kweli hii

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 6 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏... Kama umeingalia video mwanzo mwisho kuna tundu nimeelezea lipo juu ya mfuniko huwa linatoa mvuke ili kuregulate mvuke unaohotajika ndani ya pressure cooker na ikishamaliza kuregulate mvuke hautoki tena...na hicho ndicho unachosema kama inatoa gesi,,, hamna hatari yoyote hapo sababu inakuwa inatoa mvuke uliozidi.... Angalizo tu hakikisha unafunga mfuniko vizuri unapotumia pressure cooker

  • @msafirisameji3603
    @msafirisameji3603 9 дней назад

    Maelezo mazuri ila shida hujasema mashine inauzwaje

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 9 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏 Sisemi bei sababu muda wa kununua na duka la mkoa utakaokuwepo me sijui so bei zinaweza badilika kutokana upo wapi na muda gani umepita maana kuna bei kupanda au kushuka

  • @neemathomas2961
    @neemathomas2961 10 дней назад

    We dounafaa kuelekeza nimrelewa San santesan

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 10 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @rsoo0099
    @rsoo0099 11 дней назад

    Thanks bro... Hii mashine nnayo lakini nilikua naigopa kutumia.... Ngoja nifanye majaribio leo

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 11 дней назад

      Asante Sana,, Support yako kusubscribe 🙏 Uwe umehakikisha umeifunga vizuri wakati wa kutumia rafiki

  • @GoodluckSwai-l1h
    @GoodluckSwai-l1h 17 дней назад

    Bei gani hii mashine?

  • @GoodluckSwai-l1h
    @GoodluckSwai-l1h 17 дней назад

    Congrats bro. I need more darasa mana ndo nataka kuanza hii biashara

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 17 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏.. Me nipo nje ya Dar ila mpaka inanifikia nilitumia 600,000..na hiyo yangu ni Hisense

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 17 дней назад

      Bei zinaweza tofautiana kulingana na kampuni husika

  • @SalimuSalimu-qv5qt
    @SalimuSalimu-qv5qt 18 дней назад

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kaka

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 18 дней назад

      Shukrani sana,, support yako kusubscribe 🙏

  • @mudathirkhelef
    @mudathirkhelef 18 дней назад

    Nice content mzee baba

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 18 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏 Asante

  • @LeonardPaulo-l4t
    @LeonardPaulo-l4t 18 дней назад

    Upovizuri kaka nimekuelewa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 18 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @IlhamSilim
    @IlhamSilim 21 день назад

    Asante sana kwa maelekezo mazuri

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 21 день назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @angelitapaulo
    @angelitapaulo 24 дня назад

    Asante kwa kweli umeeleza vizuri nimepata mwanga nina chumba cha 10 ×11

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 24 дня назад

      Support yako kusubscribe 🙏... Hizo ni hesabu za kweli na uhakika

    • @angelitapaulo
      @angelitapaulo 24 дня назад

      @@EzekielTv49 kwa hiyo hapo chumba kimoja niweke maximum box 6 au sita

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 24 дня назад

      Piga hesabu zako kwa kipimo cha meter ili maana ukitumia sentimenter namba utadeal na namba kubwa sana

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 24 дня назад

      @@angelitapaulo 10 *11 umepima kwa meter??

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 24 дня назад

      0629793281 Whatsapp number Kama inakupa shida nicheki humo nitakupigia hesabu

  • @KigaliEliud
    @KigaliEliud 25 дней назад

    Brother umetisha sanaaa.... Asantee kwa ufafanuzi mzuri🙏🙏✍️

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 25 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @TatuBakari-q9p
    @TatuBakari-q9p 29 дней назад

    Nilikuwa sijui namna ya kutoa maji machafu yaende nje, after watching this nimefahamu big up bro 🎉🎉🎉

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 29 дней назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 Месяц назад

    Nzuri

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @CarolineAtieno-wk9xf
    @CarolineAtieno-wk9xf Месяц назад

    Uko neat sana keep it up

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe Caroline 🙏

  • @mikeadolph5896
    @mikeadolph5896 Месяц назад

    Good work. 2.9K views 🔥

  • @Bracha_collections
    @Bracha_collections Месяц назад

    Tuletee na matumizi ya Air fryer

  • @Bracha_collections
    @Bracha_collections Месяц назад

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉 Ezekiel....! Unaelezea vizuri sana👏🏼👏🏼👏🏼

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @labanrabani7901
    @labanrabani7901 Месяц назад

    👏👏

  • @syombuamuumbi6472
    @syombuamuumbi6472 Месяц назад

    From kenya... Nashukuru sana

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Asante sana.. Support yako kusubscribe

  • @JukwaaLaMichezo
    @JukwaaLaMichezo Месяц назад

    Mie kwenye kupunguza mwendo Inazima sana nikaambiwa sababu ni muoga wa kuvuta mafuta je Pikipiki haitajirace kama ntaongeza kuvuta mafuta kama nilivyoambiwa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Subscribe ili utazame na video zingine upate tips zaidi,,, Kuwa makini na anaekuelekeza hata kama yeye tayari amekuzidi Kuendesha,,, Ukiwa unapunguza mwendo basi lazima upunguze na gear,,yani kama upo gear namba 4 unaenda kukata kona kazima urudi gear ndogo,,kuzima zima mara nyingi maana yake unakuwa unatumia gear kubwa wakati unatembea speed ndogo,, tofauti na hapo ni balance ya mafuta tu,,,angalia na video ya clutch control,,utapata kitu pia hapo

    • @JukwaaLaMichezo
      @JukwaaLaMichezo Месяц назад

      @@EzekielTv49 Lkn bro nakuwaga sina speed kubwa inakuwaga 2

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      @@JukwaaLaMichezo Basi,,tazama hiyo video ya clutch control,,hasa pale napoelezea kwenye mchanga,,ile technique ya pale itakusaidia sana,,naamini hivo

  • @JacobDamson
    @JacobDamson Месяц назад

    Exactly br

  • @JacobDamson
    @JacobDamson Месяц назад

    Nime ikubali sana iyo kitu yenye umefanya u make me feel fine

  • @JacobDamson
    @JacobDamson Месяц назад

    Is that so oooooh my gosh thanks now I know through you jah bless you

  • @KUSEKWABONGOPHYSICS10XPHYSICS
    @KUSEKWABONGOPHYSICS10XPHYSICS Месяц назад

    Good job, this is more than a degree from udsm. We expect more from you, don't give up

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Thank you... Support yako kusubscribe 🙏

  • @pritisimon6393
    @pritisimon6393 Месяц назад

    Asante

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @norahmushy7952
    @norahmushy7952 Месяц назад

    Nimeona na nimeelewa vizuri ahsante

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe 🙏

  • @ShabaniPatrick-ni2tl
    @ShabaniPatrick-ni2tl Месяц назад

    Ahsante bro

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe na... Nashukuru sana

  • @jayharryson4913
    @jayharryson4913 Месяц назад

    Uko vzr mwamba Loud an Clear na vipi nikiwa labda niko kwenye Gia 3 hlf ghafla nikasimama either kwenye foleni natakiwa kuondoka na gia hyo hyo au narudisha kwa Neutral

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe na kushare.. Rudi mpaka gear namba 1 sababu ndo gear nzuri kwa ajili ya kuondokea,,,ukiwa kwenye gear kubwa pikipiki itakuwa inazima na hivyo utashindwa kuondoka na kujaza foleni,,,hata kwenye taa za barabara ukisimama rudi mpaka gear namba 1.. Na usipende kuweka neutral ukiwa kwenye foleni au taa Sababu hayo maeneo huwa yanahitaji uwe haraka sana so simama ukiwa kwenye gear namba moja

    • @jayharryson4913
      @jayharryson4913 Месяц назад

      ​​@@EzekielTv49Ok navp kuhusu gear na speed zinahusiana yaan kuna uwezekano hata kama haupo speed kubwa ukamaliza gear au kila gear inatakiwa ubadilishe kutokana na Speed ya Chombo chako Nakwenye ubadilishaji wa gia either kwa kupunguza ua kuongeza unatakiwa ubadilishe kila moja kwa mda fulan au inawezekana kushusha mfululizo yaaan ulikuwa 4 ukashusha mfululizo mpk 1ukiwa kwenye mwendo

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      @@jayharryson4913 unaweza ukamaliza gear zote na ukawa na speed ndogo ambayo at least 40.... Na kuhusu kushusha gear unaweza shusha mfululizo hiyo haina shida,,,imagine unaenda kukatiza kwenye kona upo speed 60 na umezimaliza,,,unazipangua tu chapu mpaka 3 au mbili chapu (kama haihitaji usimame,,kama utasimama rudi mpaka 1) ukimaliza kona unaanza kuzipandisha tena kama kuna uhitaji

    • @jayharryson4913
      @jayharryson4913 Месяц назад

      ​@@EzekielTv49Sorry Mzee nishanunua TVS nimeondoka vzr ila kwenye Corner nikiwa napunguza mwendo inazima je nakosea sababu sishiki Clutch au Sivuti mafuta 😂😂imenitesa leo kinoma

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      @@jayharryson4913 pole sana,,,tatizo nadhani utakuwa unakata kona na gear kubwa,,,so punguza gear (2 au 3)na jifunze kutembelea half clutch kama nilivyoelekeza kwenye hii video

  • @waynejoseph8856
    @waynejoseph8856 Месяц назад

    Good job

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Shukrani sana Support yako kusubscribe na kushare

  • @PresenterMmari
    @PresenterMmari Месяц назад

    Jamanii yanguu ikiniandikia E4 manake ni nini

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Support yako kusubscribe na kushare... Nisikudanganye best hiyo sijui maana yake na sijawahi kutana nayo,, kingine sijui ni pressure cooker ya kampuni gani unatumia... Na upload video inaonyesha kuunga nyama kwenye pressure cooker na ni video ambayo lazima itakuongezea maarifa kwenye pressure cooker

  • @xxl5239
    @xxl5239 Месяц назад

    1000,000,000,000

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 Месяц назад

      Umetisha support yako kusubscribe na kushare

  • @zosiawande
    @zosiawande 2 месяца назад

    Namna unapika nyama, maji unakadiria vipi

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Upishi wa kwenye pressure cooker ni kama wa kwenye majiko ya kawaida tu so makadirio ya chakula unachokipika ni muhimu,,, angalia nyama yako ina ugumu kiasi gani na itahitaji maji kiasi gani,, kwenye pressure cooker issue kubwa sio maji issue ni muda,,kiwango cha maji utayoweka hayatakauka itategemea tu umeset dakika ngapi kuivisha nyama yako,,,, Support yako kusubscribe na kushare

  • @mariammganga6783
    @mariammganga6783 2 месяца назад

    Asante sana nimekulewa vzr

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Asante sana,,, support yako kusubscribe na kushare

  • @Emma300b
    @Emma300b 2 месяца назад

    Bro uko vizuri. Nilifutalia siku moja juu na nikaendesha. Ila sasa naomba namna ya kuwasha indicator ukiwa barabarani . Mimi sipend kuendesha kwa speed sana . Tambarare natumia gia namba 3 . Mlimani namba 1 na 2. Vp iko sawa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Upo sawa kabisa kaka,,,ila kwenye tambarare unaweza ukamaliza gear zote na ukawa kwenye speed ya kawaida tu

  • @Emma300b
    @Emma300b 2 месяца назад

    Kaka vp . Nimekuelewa sana ila naomba utoe maelekezo juu ya kujua mafuta yapo au yameisha

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Ukitaka kujua mafuta kuwa yapo au yameisha utatakiwa kutumia gauge ambayo ipo kweny dashboard ya pikipiki hapo,,huwa ina alama ya mashine ya mafuta kama ya sheli na mshale ambayo unapanda na kushuka kulingana na uwepo wa mafuta...... Pikipiki nyingi huwa gauge hazifanyi kazi so njia nyepesi ni kufungua tank na kuangalia kwa macho au kutikisa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Subscribe na kushare 🙏

  • @HellenMremah
    @HellenMremah 2 месяца назад

    Ukitaka kukaanga vitunguu na nyama bila kufunika na kutumia pressure unabonyeza wapi?

    • @GenZTz
      @GenZTz Месяц назад

      Jamaa kashatupia video anakaanga kama unavyosema,,,iko poa sana jamaa anaeleweka

  • @HellenMremah
    @HellenMremah 2 месяца назад

    Ukitaka kupika bila kufunika mfuniko kwa mfano kukaanga vitungu na viungo vingine bila kutumia pressure una bonyeza wapi?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Naahidi nitaleta video ya hii kitu hivi karibuni,, Subscribe na kushare

  • @JumaMaganga-v1o
    @JumaMaganga-v1o 2 месяца назад

    Umetisha sna broo

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Support yako kusubscribe na kushare kaka

  • @JumaMaganga-v1o
    @JumaMaganga-v1o 2 месяца назад

    Umetisha sna broo

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Support yako kusubscribe na kushare 🙏

  • @JeniferKahabuka
    @JeniferKahabuka 2 месяца назад

    Ya kwangu inaunguza kweli shida ni nn

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Support yako kusubscribe na kushare,,,. Inaunguza ukiwa unapikia nini??

    • @JeniferKahabuka
      @JeniferKahabuka 2 месяца назад

      Chakula chcht hta wali​@@EzekielTv49

    • @JeniferKahabuka
      @JeniferKahabuka 2 месяца назад

      Chakula chcht hta wali

    • @JeniferKahabuka
      @JeniferKahabuka 2 месяца назад

      Tena huwa napunguza dakika mpk 5 lkn nakuta chini umeungua

  • @AshaNyambega
    @AshaNyambega 2 месяца назад

    Makande twaweza pikia?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49 2 месяца назад

      Yeah,,, kwenye sehemu ya maharage hapo.. Support yako kusubscribe na kushare