Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
How to Use a Pressure Cooker in the Right Way//Jinsi ya Kutumia Pressure Cooker kwa Usahihi...
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 25 июн 2024
- @EzekielTv49
Комментарии • 31
Следующие
Автовоспроизведение
You Won't BELIEVE What You Can Do with FROZEN MEATBALLS!! 4 Easy Recipes!Mandy in the Making
Просмотров 7 тыс.
VON ELECTRIC PRESSURE COOKER REVIEW | HOW TO BOIL BEANS & MEAT | COOK WITH MEDevota Regina
Просмотров 59 тыс.
2 eggs, 2 tomatoes! Quick breakfast in 5 minutes! This recipe is simple and delicious!Delicious Dishes
Просмотров 48
I Watched FORTNITE ABSOLUTE DOOM in 0.25x Speed and Here's What I FoundPlayStationGrenade
Просмотров 112 тыс.
Gnabry banger on Kane's return! | Tottenham Hotspur -vs.FC Bayern 2-3 | HighlightsFC Bayern München
Просмотров 3,2 млн
HIGHLIGHTS: Luis Diaz double & a Jota screamer! Liverpool 4-1 Sevilla | Pre-Season 2024Liverpool FC
Просмотров 1,9 млн
I Got a Pet Dinosaur (kinda)TerraGreen
Просмотров 2,9 млн
Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki@EzekielTv49
Просмотров 3,1 тыс.
PART 3: Learn How to Ride a Motorcycle // Boxer 150 //Jifunze Kuendesha Pikipiki //TVS Motorcycle@EzekielTv49
Просмотров 1,3 тыс.
Kwaya Mt. Monica Kigango cha Itipingi- Wimbo--Kaza MwendoTinuka Mlowe
Просмотров 327
JINSI YA KUTUMIA PRESSURE COOKER KWA MARA YA KWANZA, UNBOXINGDADE'S
Просмотров 17 тыс.
YANG VIRAL-VIRAL MEMANG CEPAT LARIS!! IDE JUALAN DARI JAGUNG | JAGUNG GORENG JUAL Rp.1000anKELUARGA HAMZAH
Просмотров 54 тыс.
This cake hack broke the internetKristin's Friends Cooking
Просмотров 33 тыс.
HOW TO USE AN ELECTRIC PRESSURE COOKER//HOW TO USE A PRESSURE COOKER SAFELY.KITHINJIMARIAM
Просмотров 12 тыс.
How to Assemble a Wall Mounted Fan/ Wall Fan Installation/Wall Mounted Fan Installation...@EzekielTv49
Просмотров 465
Comment utiliser le cuiseur à riz RICARDORicardo Cuisine
Просмотров 310 тыс.
«Кадыров боится позора»: что известно о захвате бойцов «Ахмат» в плен ВСУТелеканал Дождь
Просмотров 949 тыс.
ДОБАВИЛ В STANDOFF 2 ОЗВУЧКУ ИЗ РАЗНЫХ ИГРВеля
Просмотров 93 тыс.
Плач дорослих та дітей біля труни полеглого українського воїна #warСуспільне Полтава
Просмотров 143 тыс.
Russians are suffering significant losses in the Kursk regionThe Gaze
Просмотров 989 тыс.
Неделя боев в Курской области: что известно о числе войск, пленных и продвижении ВСУ. Руслан ЛевиевТелеканал Дождь
Просмотров 737 тыс.
Киселев. Генералы и Лукашенко предали Путина, за Россию воевать некому, Путину конецДмитрий Гордон
Просмотров 1,2 млн
Сервисный центр в РовенькахОфициальный канал КВН
Просмотров 29 тыс.
ТАЙНЫ И ЗАГАДКИ ИНТЕРНЕТА 2TheBrianMaps
Просмотров 1,9 млн
Wewe kweli ni mwalimu
Hongera we ndio nimekuelewa zaid 👏👏
Asante sana,,, support yako kusubscribe na kushare please
❤
Shukrani boss
Asante pia,, support yako kusubscribe na kushare tafadhali
elekeza jinsi ya kuunga nyama
Samahn pia ni wap unaweza kuoka miakate au nyama ya kuchoma??
bora mmeweka hizo video nimenunua yangu but hta sijaitumia
Hii video yangu ni bora katika video zote zilizoelekeza kwa lugha ya kiswahili,,naamini utaelewa vizuri sana ukiitazama yote,,,
Support yako kusubscribe na kushare 🙏
Ninayo kama hii, mwanzo ilikuwa vizuri lkn saa hii nimekuwa nikiweka chakula nikibonyeza kwa mfano beans inaanza ku warm ila inapofikia kuesabu dk inagoma nakuandika 04, imeharibika nasijui fundi, please naomba msaada
Inawezekana imeharibika,,ila mafundi wa kutengeneza hizi ni wale mafundi TV na radio so unaweza wacheki hao
Nmenunua kama hiyo ila nkipika maharage au nyama kwenye muda inabak 35 haitok ata nikiset muda
Kama mashine yako haina shida inatakiwa ifuate process zote yaani ianze na warm,, ije pressure up,,ije keep pressure (hapa ndipo dakika huanza kuhesabiwa) kisha finish (ambapo dakika zinakuwa zimeisha na kuandika bb) ,,, kama ni mpya na ni nzima basi usiwe na haraka,,ukishaset dakika angalia process kama nilivyoelekeza kwa haya maandishi na video (Kwenye keep pressure ndo dakika huanza kujihesabu mpaka zinaisha).....pia nashauri uangalie video mwanzo mpaka mwisho ili uilewe process zote vizuri
Support yako kusubscribe na kushare
Mim sielew mbona nikiwasha linakata alihesabu kwann naomba unisaidie
Nahisi hujatazama video mpaka mwisho Dada angu Glory,,katika video za jinsi ya kutumia pressure cooker kwa lugha ya kiswahili nadhani video yangu imeelekeza kila kitu tena kwa usahihi mkubwa...so tazama video yote utaelewa..ila kwa kifupi dakika hazianzi kuhesabu tu baada ya kuwasha sababu kuna process ya kutengeneza mvuke (pressure) baada ya hiyo process ya mvuke kutengezwa ndipo dakika zitaanza kuhesabu....
Usisahau kusubscribe na kushare
Jitahidi utazame video yote dakika 23 tu sababu sijaacha kitu kwenye hayo maelezo...
Asante kwa kutazama
Je ukitaka ku pre heat unafanya je? 2.tunaweza kupikia keki?
Msaada tafadhali
Please subscribe and share...
Kuhusu cake sijajua,,ila I promise nitaandaa video itayoonyesha jinsi ya ku preheat na jinsi ambavyo unaweza fanya vitu tofauti tofauti ikiwemo kuunga nyama,etc
Mbona mimi inatoa mvuke pembeni nasio kwenye tundu na mfuniko upo locked
@@EzekielTv49 shukran kwa majibu🙏🏾
@@noelymedia6864
Subscribe na kushauriana please
Hiyo ni leakage ya kawaida hata mimi ishawahi kunitokea,,cha kufanya hakikisha umefunga mfuniko vizuri sababu kuna muda ile rubber ya kuzuia mvuke inaweza shindwa kufit vizuri kwenye sehemu yake,,,lakini hiyo sio issue kubwa best
Sory utumbo unapikia wap kwenye bone au soup??? Tafadhar
Bone nadhani inafaa hasa kwa kitu kama makongoro kwa sababu yanakuwaga na nyama ngumu,,, Kwenye soup ni nyama ya kawaida so kwa utumbo napendekeza Kwenye soup,,lakini kuna stew pia ambayo unamaanisha mchuzi,,so cha muhimu ni kuzingatia unachokipika kadiria kinahitaji muda gani kuiva na ndo maana unaweza ongeza au kupunguza dakika....
Unaweza pikia nyama hata kwenye bean utachozingatia ni dakika zako tu uweke ngapi
@@EzekielTv49 kwahy utumbo unachemshia wap maan ndo nimenunua lin sik 2 sijui nilirudishe mbon litanishinda
@@SubyHurama usirudishe banaa utalielewa tu taratibu,,, sijajua yako imeandikwaje ila kama hiyo yangu chemshia kwenye soup,,na sababu utumbo unakuwaga mgumu kuliko nyama utaongezea dakika kama ambavyo nimeonyesha namna ya kuongeza dakika kwenye video yangu
@@EzekielTv49 ipo hvy km yako tu sem yang nyeus tu na campun hy hy tu,, nahc hat bata ni gumu nimshemshie ht hp si vitaivaa?
@@SubyHurama yeah na ukiwa na wasiwasi ongeza dakika za kupika yaani kama machine imesetiwa dakika 30 unaweza ongeza 10 ziwe 40
Samahn pia ni wap unaweza kuoka miakate au nyama ya kuchoma??
Hii sijajua bado Dada angu labda nikiistudy nitapost video
@@EzekielTv49
Naomba nisaidie kwann ya kwangu upande wa muda inaa 35 ata nipike nyama