Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

How to Use a Pressure Cooker in the Right Way//Jinsi ya Kutumia Pressure Cooker kwa Usahihi...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2024
  • ‪@EzekielTv49‬

Комментарии • 31

  • @WanjiraSytot
    @WanjiraSytot 10 дней назад

    Wewe kweli ni mwalimu

  • @ibeemau2938
    @ibeemau2938 28 дней назад

    Hongera we ndio nimekuelewa zaid 👏👏

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  27 дней назад

      Asante sana,,, support yako kusubscribe na kushare please

  • @KhadijaMansoor-l2q
    @KhadijaMansoor-l2q 10 дней назад

  • @user-gs6vf9bf2v
    @user-gs6vf9bf2v 3 дня назад

    Shukrani boss

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  3 дня назад +1

      Asante pia,, support yako kusubscribe na kushare tafadhali

  • @MariamuShahadi-i7w
    @MariamuShahadi-i7w 15 дней назад

    elekeza jinsi ya kuunga nyama

  • @SubyHurama
    @SubyHurama 14 дней назад

    Samahn pia ni wap unaweza kuoka miakate au nyama ya kuchoma??

  • @neemakimboka2652
    @neemakimboka2652 20 дней назад

    bora mmeweka hizo video nimenunua yangu but hta sijaitumia

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  20 дней назад

      Hii video yangu ni bora katika video zote zilizoelekeza kwa lugha ya kiswahili,,naamini utaelewa vizuri sana ukiitazama yote,,,
      Support yako kusubscribe na kushare 🙏

  • @AnnastaziaPius
    @AnnastaziaPius 8 часов назад

    Ninayo kama hii, mwanzo ilikuwa vizuri lkn saa hii nimekuwa nikiweka chakula nikibonyeza kwa mfano beans inaanza ku warm ila inapofikia kuesabu dk inagoma nakuandika 04, imeharibika nasijui fundi, please naomba msaada

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  8 часов назад

      Inawezekana imeharibika,,ila mafundi wa kutengeneza hizi ni wale mafundi TV na radio so unaweza wacheki hao

  • @anithamorice8607
    @anithamorice8607 2 дня назад

    Nmenunua kama hiyo ila nkipika maharage au nyama kwenye muda inabak 35 haitok ata nikiset muda

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  2 дня назад

      Kama mashine yako haina shida inatakiwa ifuate process zote yaani ianze na warm,, ije pressure up,,ije keep pressure (hapa ndipo dakika huanza kuhesabiwa) kisha finish (ambapo dakika zinakuwa zimeisha na kuandika bb) ,,, kama ni mpya na ni nzima basi usiwe na haraka,,ukishaset dakika angalia process kama nilivyoelekeza kwa haya maandishi na video (Kwenye keep pressure ndo dakika huanza kujihesabu mpaka zinaisha).....pia nashauri uangalie video mwanzo mpaka mwisho ili uilewe process zote vizuri
      Support yako kusubscribe na kushare

  • @GloryNanyaro-d9u
    @GloryNanyaro-d9u 23 дня назад

    Mim sielew mbona nikiwasha linakata alihesabu kwann naomba unisaidie

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  23 дня назад

      Nahisi hujatazama video mpaka mwisho Dada angu Glory,,katika video za jinsi ya kutumia pressure cooker kwa lugha ya kiswahili nadhani video yangu imeelekeza kila kitu tena kwa usahihi mkubwa...so tazama video yote utaelewa..ila kwa kifupi dakika hazianzi kuhesabu tu baada ya kuwasha sababu kuna process ya kutengeneza mvuke (pressure) baada ya hiyo process ya mvuke kutengezwa ndipo dakika zitaanza kuhesabu....
      Usisahau kusubscribe na kushare

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  23 дня назад

      Jitahidi utazame video yote dakika 23 tu sababu sijaacha kitu kwenye hayo maelezo...
      Asante kwa kutazama

  • @wr6174
    @wr6174 18 дней назад

    Je ukitaka ku pre heat unafanya je? 2.tunaweza kupikia keki?
    Msaada tafadhali

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  18 дней назад

      Please subscribe and share...
      Kuhusu cake sijajua,,ila I promise nitaandaa video itayoonyesha jinsi ya ku preheat na jinsi ambavyo unaweza fanya vitu tofauti tofauti ikiwemo kuunga nyama,etc

    • @noelymedia6864
      @noelymedia6864 18 дней назад

      Mbona mimi inatoa mvuke pembeni nasio kwenye tundu na mfuniko upo locked

    • @wr6174
      @wr6174 17 дней назад

      @@EzekielTv49 shukran kwa majibu🙏🏾

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  17 дней назад

      @@noelymedia6864
      Subscribe na kushauriana please
      Hiyo ni leakage ya kawaida hata mimi ishawahi kunitokea,,cha kufanya hakikisha umefunga mfuniko vizuri sababu kuna muda ile rubber ya kuzuia mvuke inaweza shindwa kufit vizuri kwenye sehemu yake,,,lakini hiyo sio issue kubwa best

  • @SubyHurama
    @SubyHurama 14 дней назад

    Sory utumbo unapikia wap kwenye bone au soup??? Tafadhar

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  14 дней назад

      Bone nadhani inafaa hasa kwa kitu kama makongoro kwa sababu yanakuwaga na nyama ngumu,,, Kwenye soup ni nyama ya kawaida so kwa utumbo napendekeza Kwenye soup,,lakini kuna stew pia ambayo unamaanisha mchuzi,,so cha muhimu ni kuzingatia unachokipika kadiria kinahitaji muda gani kuiva na ndo maana unaweza ongeza au kupunguza dakika....
      Unaweza pikia nyama hata kwenye bean utachozingatia ni dakika zako tu uweke ngapi

    • @SubyHurama
      @SubyHurama 14 дней назад

      @@EzekielTv49 kwahy utumbo unachemshia wap maan ndo nimenunua lin sik 2 sijui nilirudishe mbon litanishinda

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  14 дней назад

      @@SubyHurama usirudishe banaa utalielewa tu taratibu,,, sijajua yako imeandikwaje ila kama hiyo yangu chemshia kwenye soup,,na sababu utumbo unakuwaga mgumu kuliko nyama utaongezea dakika kama ambavyo nimeonyesha namna ya kuongeza dakika kwenye video yangu

    • @SubyHurama
      @SubyHurama 14 дней назад

      @@EzekielTv49 ipo hvy km yako tu sem yang nyeus tu na campun hy hy tu,, nahc hat bata ni gumu nimshemshie ht hp si vitaivaa?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  13 дней назад

      @@SubyHurama yeah na ukiwa na wasiwasi ongeza dakika za kupika yaani kama machine imesetiwa dakika 30 unaweza ongeza 10 ziwe 40

  • @SubyHurama
    @SubyHurama 14 дней назад

    Samahn pia ni wap unaweza kuoka miakate au nyama ya kuchoma??

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  14 дней назад +1

      Hii sijajua bado Dada angu labda nikiistudy nitapost video

    • @anithamorice8607
      @anithamorice8607 2 дня назад

      ​@@EzekielTv49
      Naomba nisaidie kwann ya kwangu upande wa muda inaa 35 ata nipike nyama