JINSI YA KUTUMIA PRESSURE COOKER KWA MARA YA KWANZA, UNBOXING

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2024
  • Jifunze jinsi ya kutumia pressure cooker, kwa namna raisi sana
    pia somo ili unaweza kulipata kwenye channel yetu ya raba one
  • ХоббиХобби

Комментарии • 47

  • @VeeCute-ql4sk
    @VeeCute-ql4sk 2 месяца назад

    Inauzwa sh ngap

  • @AgnesMariki
    @AgnesMariki Месяц назад +1

    Jamani mimi nimepoteza hicho kifuniko kidogo cha kutolea mvuke naweza kukipata wapi? Mdada jamani

  • @meereggfd5574
    @meereggfd5574 16 дней назад

    Jamani Bei ningapi

  • @user-bj2xs3tc7h
    @user-bj2xs3tc7h 2 месяца назад +1

    Being Gabi na iwapo nipo tanganitaipata vipi

  • @HabibaKippa
    @HabibaKippa Месяц назад

    Kama Maharage hayajaiva unafanyaje??

  • @hillderrodgers5278
    @hillderrodgers5278 3 месяца назад

    yangu hicho kitobo cha pressure kuna chuma kimetoka nafanyaje apo

  • @MWANAHAWABAKARI-h4z
    @MWANAHAWABAKARI-h4z 21 день назад

    Bei gani?

  • @user-tk5sr6wt7i
    @user-tk5sr6wt7i 4 месяца назад

    Naomba unisaidie ya kwangu ukiwasha inaandika E 4 Alfu ukitaka kuseti kwenye kupika inagoma shida inakuwa wapi

    • @dades2024
      @dades2024  4 месяца назад

      umejaribu ku reset?

  • @JwempoWaterInstitute
    @JwempoWaterInstitute 3 месяца назад

    Kuna madhara kutumia cable au mpaka socket enyewe

    • @dades2024
      @dades2024  3 месяца назад

      hapana, hakuna madhara yoyote

  • @user-ur2ep7ep9b
    @user-ur2ep7ep9b 3 месяца назад

    Ninapo iwasha kupika muda ukiisha haifunguki

    • @dades2024
      @dades2024  3 месяца назад

      Haiwezi kufunguka kama kama hujatoa preasha iliopo ndani

  • @tumainirwela6488
    @tumainirwela6488 3 месяца назад

    Unaiuzaje? Naweza ipataje?

    • @dades2024
      @dades2024  3 месяца назад

      izi hadi kuagiza

  • @user-it1hv9vh8q
    @user-it1hv9vh8q Месяц назад

    6litre ni sawa na kg ngap

    • @dades2024
      @dades2024  Месяц назад

      kilo 3 hadi 4 za nchele

  • @HabibaKippa
    @HabibaKippa Месяц назад

    Kama Maharage hayajaiva unafanyaje?? 3:28

    • @dades2024
      @dades2024  Месяц назад

      unarudia tena japo kwa mara ya pili usiache imalize dakika mara harage litatepeta sana ikifika utakadiria kama dakika 20 ivi kisha una cancel

  • @AishaMohamed-wh9bs
    @AishaMohamed-wh9bs 2 месяца назад

    Yangu inatoa mvuke tu hata nikifunga hicho kimfuniko haikubali

    • @dades2024
      @dades2024  2 месяца назад

      ibane vizuri kuna sehemu inauwazi

  • @lightnessdaniel2820
    @lightnessdaniel2820 3 месяца назад +1

    Ya kwangu nikishaset dakika, haiivishi ndani ya hizo dakika, pia dakika hazipungui zinaganda hapo hapo alafu mvuke hapo juu hautoki hata ukizima ili utoe mvuke hapo juu hautoki shida itakua nini?

    • @dades2024
      @dades2024  3 месяца назад

      ili tatizo mtafute fundi aliopo karbu yako anaweza kusaidia

    • @swahililyrics4635
      @swahililyrics4635 Месяц назад

      Pressure cooker haina dakika ... ina pressure na sio dakika .. mfano ikiandika p:15 , au p:35 means ndani yake pressure inatakiwa kua 35 au 15 .. inaamaa pressure ikijaa ndani mpaka uo ujazo wa 15, 35 au 40 .. ndo inaanza kushuka tena chini

    • @swahililyrics4635
      @swahililyrics4635 Месяц назад

      Na mvuke hautakiwi kutoka kipindi linapika ... pressure ikishuka chini bb ndo unatoa mvuke

  • @dinacharokiwa4849
    @dinacharokiwa4849 3 месяца назад +1

    Huyu mtu anatupa hadith maana anasema dakika 40 harage Haliwezi kuiva best,umetupiga hapo. Tueleze ukweli.

    • @dades2024
      @dades2024  3 месяца назад +1

      Pole sana ndugu ulimwengu wa sasa upo mbio sana usikubali kubaki nyumba, kila unacho kiona hapo ni 100% kweli na hakuna editing

    • @jessicamichael6288
      @jessicamichael6288 3 месяца назад

      ni kwel mpenz

    • @julianamuga389
      @julianamuga389 Месяц назад

      😂Mtu hujui kitu tulia ujifunze unabishana haya kachochee na mkaa masaa saba

    • @user-tr3zb4ct1g
      @user-tr3zb4ct1g Месяц назад

      Hy mbn ni dakk 30 jamn😂

  • @RosePolika
    @RosePolika 19 дней назад

    Yagu inatoa mvuke semzote adikwenye mfuniko

    • @dades2024
      @dades2024  18 дней назад

      uwe unaibana vizuri au angalia kama ina itilafu kuanzia kwenye mfuniko na sehemu zote

  • @user-tr3zb4ct1g
    @user-tr3zb4ct1g Месяц назад

    Shingap hii

    • @dades2024
      @dades2024  Месяц назад

      izi zinatofautiana bei unaweza kupata kwa tsh 180,000 na kuendelea

  • @aishaomar4179
    @aishaomar4179 22 дня назад

    Ukitaka kuongeza dakika ikiwa kitu hakija iva wafanyaje

  • @KaziloLulabhi
    @KaziloLulabhi 14 дней назад

    Mbn yangu ukiset kwenye maharage inaleta 3 ss apo naona 40

    • @dades2024
      @dades2024  10 дней назад

      laba inatumia mifumo tofauti

  • @user-sh5me6si5n
    @user-sh5me6si5n 4 месяца назад

    Naomba unielekeze jinsi ya kupikia maharage hio pressure cooker

    • @dades2024
      @dades2024  4 месяца назад

      angalia video hadi mwisho utaona jinsi inavyo pika maharage.

  • @moriastore
    @moriastore 2 месяца назад

    Yangu dakika azipungui na mvuke unatoka

    • @dades2024
      @dades2024  2 месяца назад +1

      shindilia kwa chini icho kitufe cha kutolea hewa

    • @kudrankumbi5875
      @kudrankumbi5875 Месяц назад

      Asante yangu pia ilikuwa inatoa mvuke nikashindilia ikaacha

  • @user-gu8mr6ko8m
    @user-gu8mr6ko8m 4 месяца назад +2

    Hpo.kwwnye kuwasha cjaelewa

    • @dades2024
      @dades2024  4 месяца назад

      ukiweka tu kwenye umeme inawaka

  • @hillderrodgers5278
    @hillderrodgers5278 3 месяца назад

    yangu hicho kitobo cha pressure kuna chuma kimetoka nafanyaje apo

    • @dades2024
      @dades2024  3 месяца назад

      mtafute fundi wapo mafundi wa presure cooker