Ya kwangu nikishaset dakika, haiivishi ndani ya hizo dakika, pia dakika hazipungui zinaganda hapo hapo alafu mvuke hapo juu hautoki hata ukizima ili utoe mvuke hapo juu hautoki shida itakua nini?
Pressure cooker haina dakika ... ina pressure na sio dakika .. mfano ikiandika p:15 , au p:35 means ndani yake pressure inatakiwa kua 35 au 15 .. inaamaa pressure ikijaa ndani mpaka uo ujazo wa 15, 35 au 40 .. ndo inaanza kushuka tena chini
Inauzwa sh ngap
Jamani mimi nimepoteza hicho kifuniko kidogo cha kutolea mvuke naweza kukipata wapi? Mdada jamani
Jamani Bei ningapi
Being Gabi na iwapo nipo tanganitaipata vipi
Kama Maharage hayajaiva unafanyaje??
yangu hicho kitobo cha pressure kuna chuma kimetoka nafanyaje apo
Bei gani?
Naomba unisaidie ya kwangu ukiwasha inaandika E 4 Alfu ukitaka kuseti kwenye kupika inagoma shida inakuwa wapi
umejaribu ku reset?
Kuna madhara kutumia cable au mpaka socket enyewe
hapana, hakuna madhara yoyote
Ninapo iwasha kupika muda ukiisha haifunguki
Haiwezi kufunguka kama kama hujatoa preasha iliopo ndani
Unaiuzaje? Naweza ipataje?
izi hadi kuagiza
6litre ni sawa na kg ngap
kilo 3 hadi 4 za nchele
Kama Maharage hayajaiva unafanyaje?? 3:28
unarudia tena japo kwa mara ya pili usiache imalize dakika mara harage litatepeta sana ikifika utakadiria kama dakika 20 ivi kisha una cancel
Yangu inatoa mvuke tu hata nikifunga hicho kimfuniko haikubali
ibane vizuri kuna sehemu inauwazi
Ya kwangu nikishaset dakika, haiivishi ndani ya hizo dakika, pia dakika hazipungui zinaganda hapo hapo alafu mvuke hapo juu hautoki hata ukizima ili utoe mvuke hapo juu hautoki shida itakua nini?
ili tatizo mtafute fundi aliopo karbu yako anaweza kusaidia
Pressure cooker haina dakika ... ina pressure na sio dakika .. mfano ikiandika p:15 , au p:35 means ndani yake pressure inatakiwa kua 35 au 15 .. inaamaa pressure ikijaa ndani mpaka uo ujazo wa 15, 35 au 40 .. ndo inaanza kushuka tena chini
Na mvuke hautakiwi kutoka kipindi linapika ... pressure ikishuka chini bb ndo unatoa mvuke
Huyu mtu anatupa hadith maana anasema dakika 40 harage Haliwezi kuiva best,umetupiga hapo. Tueleze ukweli.
Pole sana ndugu ulimwengu wa sasa upo mbio sana usikubali kubaki nyumba, kila unacho kiona hapo ni 100% kweli na hakuna editing
ni kwel mpenz
😂Mtu hujui kitu tulia ujifunze unabishana haya kachochee na mkaa masaa saba
Hy mbn ni dakk 30 jamn😂
Yagu inatoa mvuke semzote adikwenye mfuniko
uwe unaibana vizuri au angalia kama ina itilafu kuanzia kwenye mfuniko na sehemu zote
Shingap hii
izi zinatofautiana bei unaweza kupata kwa tsh 180,000 na kuendelea
Ukitaka kuongeza dakika ikiwa kitu hakija iva wafanyaje
unanza upya tena
Mbn yangu ukiset kwenye maharage inaleta 3 ss apo naona 40
laba inatumia mifumo tofauti
Naomba unielekeze jinsi ya kupikia maharage hio pressure cooker
angalia video hadi mwisho utaona jinsi inavyo pika maharage.
Yangu dakika azipungui na mvuke unatoka
shindilia kwa chini icho kitufe cha kutolea hewa
Asante yangu pia ilikuwa inatoa mvuke nikashindilia ikaacha
Hpo.kwwnye kuwasha cjaelewa
ukiweka tu kwenye umeme inawaka
yangu hicho kitobo cha pressure kuna chuma kimetoka nafanyaje apo
mtafute fundi wapo mafundi wa presure cooker