PART 2: Learn How to Ride a Motorcycle for Beginners//Jifunze Kuendesha Pikipiki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ‪@EzekielTv49‬

Комментарии • 23

  • @eginoefrem2516
    @eginoefrem2516 Месяц назад

    Kazi nzuri sana hongera kaka

  • @cypriankioko
    @cypriankioko Месяц назад +1

    Congrats.now i can ride surely.it seems to be very easy

  • @AisackEdgar
    @AisackEdgar Месяц назад

    Paul

  • @StevenKallenda
    @StevenKallenda Месяц назад

    we zombie

  • @Emma300b
    @Emma300b 15 дней назад

    Kaka vp . Nimekuelewa sana ila naomba utoe maelekezo juu ya kujua mafuta yapo au yameisha

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  15 дней назад

      Ukitaka kujua mafuta kuwa yapo au yameisha utatakiwa kutumia gauge ambayo ipo kweny dashboard ya pikipiki hapo,,huwa ina alama ya mashine ya mafuta kama ya sheli na mshale ambayo unapanda na kushuka kulingana na uwepo wa mafuta......
      Pikipiki nyingi huwa gauge hazifanyi kazi so njia nyepesi ni kufungua tank na kuangalia kwa macho au kutikisa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  15 дней назад

      Subscribe na kushare 🙏

  • @RichsonLimbo
    @RichsonLimbo Месяц назад

    Aahhh sasa nimeelewa

  • @Giant349
    @Giant349 Месяц назад

    Nimefundishwa boda kama hii bado naona ugumu wa kuifanya itembee nashindwa kubalance moto na klachi kabisa

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  Месяц назад +1

      Usiache kusubscribe na kushare....
      Ok nakupa hii tip nyingine,,iwashe ikiwa neutral,,shika clutch,,ukiwa umeshikilia clutch ingiza gear number 1,,vutia mafuta kidogo na uhakikishe mlio umebalika wakati huo umeshika clutch na haitatembea kwa sababu unakuwa umeshikilia clutch (mafuta kidogo mpaka mlio ubadilike na usiachie hapo utapoona ulio umebadilika na maintain mkono wako hapo),,,baada ya hapo ukiwa umevutia mafuta kidogo anza kuachia clutch taratibu huku ukimaintain mafuta pale ulipoivutia,,,hapo lazima ietembee (na kingine punguza uoga ndugu)

    • @abdoulpainite2501
      @abdoulpainite2501 26 дней назад

      Tip ya mwisho kabisa ni muhimu sana kwetu "PUNGUZA UOGA" Wengi tunaogopa ndio maana inakuwa ngumu kuweza ​@@EzekielTv49

  • @rahubahh
    @rahubahh 4 месяца назад

    Wow good teacher ❤❤

  • @FloraTarimoTarimo
    @FloraTarimoTarimo Месяц назад

    Niamey kaka

  • @user-ly8sz7qv6i
    @user-ly8sz7qv6i Месяц назад

    Je,kupanda mlima utatumia gear number gani?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  Месяц назад

      Itategemea na huo mlima ukoje,,,,kama ni mwinuko kidogo hata gear namba 3 inamaliza,,mwinuko mkali number 2,,mwinuko mkali sana gear namba moja....NB gear number 1 & 2 ndo gear zenye nguvu kubwa kwa sehemu sumbufu kama hiyo milima,,matope na mchanga mwingi,,,,kuanzia gear namba 3 na kuendelea hizo ni gear za high speed

  • @sintvofficial8126
    @sintvofficial8126 2 месяца назад

    Je naweza kupiga break, bila kupunguza gia?

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  2 месяца назад +2

      Lengo la kushika brake ni kupunguza mwendo wa chombo so kwa usahihi zaidi na ili uepuke chombo kuzima inakulazimu upunguze gear pia kwa sababu haiwezekani uwe unahitaji speed ndogo halafu utumie gear kubwa kutembea...so inategemea lengo la kupunguza gear nini lipi,,mfano kwenye kona unaweza ukashika brake na kurudi gear namba 3 au 2 kutegemea na mazingira ya kona ilivyo na kama kona ina foleni kubwa kwamba itakuhitaji usimame basi utalazimika kurudi mpaka gear namba 1...

    • @sintvofficial8126
      @sintvofficial8126 Месяц назад

      @@EzekielTv49 Ahsante sana kwa somo

  • @DR_IBRA
    @DR_IBRA 2 месяца назад

    PLS TVS HLX 125

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  2 месяца назад

      Nitafanya kwa ajili yako..

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 месяца назад

    Somo zuri

    • @EzekielTv49
      @EzekielTv49  4 месяца назад

      Shukrani subscribe kwa mafunzo ya vitu vingine zaidi