MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2023
- MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI
Mmeanza Utapeli nanyinyi sio
Ila halusha bangesana tuwaombee
No
Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.
Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢
Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana
Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢
Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike
Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!
Dah! Mungu awasaidie sana
Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu
Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu
Arusha wamenishinda tabia😃
Poleni sana ndg zangu pole sana
🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni
Kwere sio kwele jomba
tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga
Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania
mungu amlaze mahala pemapema ameena
Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅
Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊
Jaman vijana wetu Mungu wasaidie
Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini
Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa
Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu
Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉
Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere
It's another Nation in Tanzania
Og machalii
Noma Sana😀😀
Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii
Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭
🤣🤣🤣 ni masikitiko
😢😢😢 wanamuezi.marehem
Arusha lnahitaji nguvu ya ziada ya serikali na Jamie itoe ushirikiano ni wadogo ukiwaangalia
washadanja tayari na wao
😂😂😂😂😂😂😂😂
Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa
Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea
Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.
Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)
@@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu
Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki
Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu
Mawazo yako ya kiwaki
Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze
Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....
Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣
Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏
Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi
Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊
Huyu rais mpole sana
Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?
Polen Sana Wana chuga
Kizazi kwisha hapo
Wako karibu na milaaa
inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho
Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao
Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu
Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana
😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa
Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....
Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa
Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana
Mungu awe msaada.?
Duuu wadudu ndani ya arusha
Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi
Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa
Ongeza saut mtangazaji
Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu
Jamaaa kala kofi
Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani
Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima
Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa
Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂
Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika
hiyo kiswahili sasa ndio utapenda......
Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????
Dadeki Hadi raha hiy vurugu
apumzike kwa amani mameni ken
Mmhh Arusha nae
Mtakufa muishe kbsa
Duuuuu😊😊😊😊😊😊
Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah
Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?
BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.
Kisimiri plantation
N vile nafeel iyo pain aloh😢
Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?
Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..
Serikali ina walea tu
ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!
Duh!
Republic of Arusha
Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???
Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?
Arusha unakujia na Passport na Visa ni Taifa lingine hili.
Hahahahaha Tangu lini machalii wafunge barabara ,wkt cyo Yao
Najivunia kuwa mtu wa Arusha
😂poleee
bajaji arusha mbona wapo kimya
hee Arusha imebadirika
Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.
Iko sawa maana kiukweli hawa wame zingua sana
Sasa naanza kumuelewa lema
jamani kamani😅😅😅😅😅
Hawa wenyewe tu nivichaa hamna watu hapo
Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma
Selikali hawa vijana inawachukuliaje hiki kizazi sio salama sana; hili kama ni gang
Yote na yote wamiliki wa magari waelekezwe hii kitu aiseh... Kwakweli hata mm pia iliwahi nitokea nikataka kufa kama alivokufa huyu kijana. Nilikua naendesha pikipiki nawahi sokoni, kuna Mahali nikawa nimepita kulikua na gari imepaki mbele... Yaani ile nakaribia tu akawa amefungua mlango wa upande wa barabarani, kilichotokea nilifunga breki kwa haraka nikaruka ule mlango pikipiki ndo ikawa imegonga mlango... Kwakweli niliumia sana... Hadi leo sijawahi sahau na huwa nakua Makini sana nikiwa naendesha boda nikiona gari imepaki... Madereva waelekezwe sana hii kitu. Najua tupo wengi tulokutana hii changamoto
Pole Sana Aiseee
Ndo ujifunze uneona gari limesimama wewe unakuja na pikipiki spidi. Ila nakupa pole my brother.
Boda wengi huwa hawatumii alama na Sheria za barabarani,wanafanya kama vile wapo peke yao barabarani
Hapo kwa Rc makonda watapona kichaaa😂😂
Cha Arusha kimepamba moto! Hatari hawa vijana
Hao jamaa wa kiarusha serikali wasipozibiti huo uhuni. Ipo siku watakuja kufanya kitu kibayasana. Wahuni hao kunaishara mbaya sana iliyojificha ktk uhuni wa machalii wa Arusha.
Namwona Escobar kala baret kwa mbaalii
Hata drug cartels za Mexico na Colombia zilianza hivi hivi serikali inalea ujinga, hawa wahuni wadhibitiwe mapema akiwemo mdogo wangu nae kalowea humo
😂huna mwingine tuoe???
Vybz Kartel👐
Umafia tupu.😅😅
Tabia ya madereva wa magari kufungua milango ya magari yao bila tahadhari inahatarisha sana, wiki moja iliyopita nilinusurika aisee, nipo kwenye pikpik sina ili wala lile mbele kuna gari limepaki mara mlango ukafunguliwa ghafla, ile movie niliicheza vyema kwa msaada wa Mungu nililaza pikpk wala sikuumia mim wala pikpik.
ila yule dereva wa gari nilimpiga hatosahau
HOME BOYS... Baada ya miaka mi5 sijui nawaona wapi wazee
eh! kweli republic of Arusha.ila vijana wa
Ar mna nini lakini!?
Moja nambili hajaacha hata mtoto aisee😂😂
Hawa sasa unajichanganya mgeni et unachukua boda umebeba kabeg fulan kakali asee utakua umeingia chakike