MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2023
  • MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 258

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 месяцев назад +2

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 месяцев назад +16

    Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.

  • @89_Media
    @89_Media 10 месяцев назад +4

    Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 11 месяцев назад +8

    Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 10 месяцев назад +2

    Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢

  • @nicksonthomas5429
    @nicksonthomas5429 6 месяцев назад +1

    Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike

  • @Jicho03
    @Jicho03 25 дней назад

    Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 28 дней назад

    Dah! Mungu awasaidie sana

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 11 месяцев назад +7

    Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu

  • @Wamimedia
    @Wamimedia 6 месяцев назад

    Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu

  • @Maconcepty
    @Maconcepty 11 месяцев назад +5

    Arusha wamenishinda tabia😃

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 11 месяцев назад

    Poleni sana ndg zangu pole sana

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 11 месяцев назад +13

    🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 11 месяцев назад +1

    tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga

  • @zaujatnoah-ro6uj
    @zaujatnoah-ro6uj 9 месяцев назад

    Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania

  • @JumaKilowoko-ie1kz
    @JumaKilowoko-ie1kz 9 месяцев назад

    mungu amlaze mahala pemapema ameena

  • @ggfffhii4706
    @ggfffhii4706 11 месяцев назад +4

    Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅

  • @talents7934
    @talents7934 7 месяцев назад

    Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 11 месяцев назад

    Jaman vijana wetu Mungu wasaidie

  • @jejophotofilmtz8057
    @jejophotofilmtz8057 11 месяцев назад +16

    Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 Месяц назад

    Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 10 месяцев назад

    Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or 10 месяцев назад

    Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 11 месяцев назад +4

    Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere
    It's another Nation in Tanzania
    Og machalii

  • @AlphaNdossi-on4os
    @AlphaNdossi-on4os 10 месяцев назад

    Noma Sana😀😀

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 11 месяцев назад +1

    Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms 11 месяцев назад +12

    Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭

    • @zakhiamsuya4922
      @zakhiamsuya4922 11 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣 ni masikitiko

    • @yasmeenaal4191
      @yasmeenaal4191 11 месяцев назад

      😢😢😢 wanamuezi.marehem

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 11 месяцев назад +1

      Arusha lnahitaji nguvu ya ziada ya serikali na Jamie itoe ushirikiano ni wadogo ukiwaangalia

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 11 месяцев назад

      washadanja tayari na wao

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 11 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy 11 месяцев назад +1

    Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa

    • @Paplick9
      @Paplick9 10 месяцев назад

      Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea

  • @saidiabdul1635
    @saidiabdul1635 11 месяцев назад +14

    Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 11 месяцев назад

      Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)

    • @saidiabdul1635
      @saidiabdul1635 11 месяцев назад

      @@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu

    • @abuutamliikhaothmaan7244
      @abuutamliikhaothmaan7244 11 месяцев назад +1

      Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki

    • @Estherbongo
      @Estherbongo 10 месяцев назад

      Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu

    • @samsont.albini5998
      @samsont.albini5998 10 месяцев назад

      Mawazo yako ya kiwaki

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 11 месяцев назад +1

    Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze

    • @omyhaby1912
      @omyhaby1912 2 месяца назад

      Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 11 месяцев назад +2

    Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 11 месяцев назад +1

    Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏

  • @user-zy2vg6kl1s
    @user-zy2vg6kl1s 9 месяцев назад

    Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi

  • @aminaathuman8146
    @aminaathuman8146 8 месяцев назад

    Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 11 месяцев назад +3

    Huyu rais mpole sana

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 11 месяцев назад +2

    Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?

  • @samwelsamson4135
    @samwelsamson4135 10 месяцев назад

    Polen Sana Wana chuga

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 10 месяцев назад

    Kizazi kwisha hapo

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 11 месяцев назад

    Wako karibu na milaaa

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs Месяц назад

    inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho

  • @impokisanga9636
    @impokisanga9636 10 месяцев назад +1

    Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao

  • @kelvinkasanga1235
    @kelvinkasanga1235 11 месяцев назад +1

    Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 11 месяцев назад +2

    Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana

    • @zawadijuma9681
      @zawadijuma9681 6 месяцев назад

      😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa

  • @omyhaby1912
    @omyhaby1912 2 месяца назад

    Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....

  • @sistimasawe5936
    @sistimasawe5936 10 месяцев назад

    Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa

  • @leinaamos
    @leinaamos 10 месяцев назад

    Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana

  • @StevenLoita-rl9cx
    @StevenLoita-rl9cx 6 месяцев назад

    Mungu awe msaada.?

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 11 месяцев назад

    Duuu wadudu ndani ya arusha

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 11 месяцев назад

    Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 10 месяцев назад

    Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa

  • @dannyboytz6198
    @dannyboytz6198 6 месяцев назад

    Ongeza saut mtangazaji

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m 7 месяцев назад

    Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 10 месяцев назад

    Jamaaa kala kofi

  • @user-kh5pu1os4k
    @user-kh5pu1os4k 7 месяцев назад

    Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 6 месяцев назад

    Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima

  • @elividakasari1356
    @elividakasari1356 10 месяцев назад

    Mungu atunusuru na vizazi vyetu

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 10 месяцев назад

      Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa

  • @IranezezaSamuel
    @IranezezaSamuel 2 месяца назад

    Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 9 месяцев назад

    Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika

  • @user-yo8rk6qn3p
    @user-yo8rk6qn3p 11 месяцев назад

    hiyo kiswahili sasa ndio utapenda......

  • @user-oj7vj6bi5l
    @user-oj7vj6bi5l 10 месяцев назад

    Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????

  • @BrunoFaustini-ii5hn
    @BrunoFaustini-ii5hn 9 месяцев назад

    Dadeki Hadi raha hiy vurugu

  • @user-wc1vm3qo4s
    @user-wc1vm3qo4s 9 месяцев назад

    apumzike kwa amani mameni ken

  • @user-en2xn2dd5x
    @user-en2xn2dd5x 11 месяцев назад

    Mmhh Arusha nae

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 10 месяцев назад

    Mtakufa muishe kbsa

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 11 месяцев назад

    Duuuuu😊😊😊😊😊😊

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 11 месяцев назад

    Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah

  • @clemenceernestshooga
    @clemenceernestshooga 6 месяцев назад

    Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 10 месяцев назад

    BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 11 месяцев назад

    Kisimiri plantation

  • @ElishaErnest-xd9qt
    @ElishaErnest-xd9qt 10 месяцев назад

    N vile nafeel iyo pain aloh😢

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 10 месяцев назад

    Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?

  • @shilladickson3852
    @shilladickson3852 11 месяцев назад +2

    Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 26 дней назад

    Serikali ina walea tu

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 11 месяцев назад +6

    ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide2625 10 месяцев назад

    Duh!

  • @user-nv2xr4np2b
    @user-nv2xr4np2b 9 месяцев назад

    Republic of Arusha

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 10 месяцев назад

    Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 11 месяцев назад +1

    Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?

  • @StevenLoita-rl9cx
    @StevenLoita-rl9cx 6 месяцев назад

    Arusha unakujia na Passport na Visa ni Taifa lingine hili.

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 10 месяцев назад

    Hahahahaha Tangu lini machalii wafunge barabara ,wkt cyo Yao

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 10 месяцев назад +3

    Najivunia kuwa mtu wa Arusha

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 11 месяцев назад

    bajaji arusha mbona wapo kimya

  • @AnoriasKope
    @AnoriasKope 5 месяцев назад

    hee Arusha imebadirika

  • @ezekielmollel-rv1ge
    @ezekielmollel-rv1ge 10 месяцев назад +2

    Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.

    • @elliyawilliam2521
      @elliyawilliam2521 10 месяцев назад

      Iko sawa maana kiukweli hawa wame zingua sana

  • @SwalehMgomba
    @SwalehMgomba 11 месяцев назад

    Sasa naanza kumuelewa lema

  • @merryshayo9750
    @merryshayo9750 11 месяцев назад

    jamani kamani😅😅😅😅😅

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 9 месяцев назад

    Hawa wenyewe tu nivichaa hamna watu hapo

  • @yuzzomoro5306
    @yuzzomoro5306 11 месяцев назад +1

    Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma

  • @barakachibwana3708
    @barakachibwana3708 10 месяцев назад

    Selikali hawa vijana inawachukuliaje hiki kizazi sio salama sana; hili kama ni gang

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 10 месяцев назад +4

    Yote na yote wamiliki wa magari waelekezwe hii kitu aiseh... Kwakweli hata mm pia iliwahi nitokea nikataka kufa kama alivokufa huyu kijana. Nilikua naendesha pikipiki nawahi sokoni, kuna Mahali nikawa nimepita kulikua na gari imepaki mbele... Yaani ile nakaribia tu akawa amefungua mlango wa upande wa barabarani, kilichotokea nilifunga breki kwa haraka nikaruka ule mlango pikipiki ndo ikawa imegonga mlango... Kwakweli niliumia sana... Hadi leo sijawahi sahau na huwa nakua Makini sana nikiwa naendesha boda nikiona gari imepaki... Madereva waelekezwe sana hii kitu. Najua tupo wengi tulokutana hii changamoto

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 10 месяцев назад

      Pole Sana Aiseee

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 10 месяцев назад

      Ndo ujifunze uneona gari limesimama wewe unakuja na pikipiki spidi. Ila nakupa pole my brother.

    • @user-zy2vg6kl1s
      @user-zy2vg6kl1s 9 месяцев назад

      Boda wengi huwa hawatumii alama na Sheria za barabarani,wanafanya kama vile wapo peke yao barabarani

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 Месяц назад

    Hapo kwa Rc makonda watapona kichaaa😂😂

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 11 месяцев назад

    Cha Arusha kimepamba moto! Hatari hawa vijana

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 9 месяцев назад

    Hao jamaa wa kiarusha serikali wasipozibiti huo uhuni. Ipo siku watakuja kufanya kitu kibayasana. Wahuni hao kunaishara mbaya sana iliyojificha ktk uhuni wa machalii wa Arusha.

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 11 месяцев назад

    Namwona Escobar kala baret kwa mbaalii

  • @mcback4384
    @mcback4384 11 месяцев назад +4

    Hata drug cartels za Mexico na Colombia zilianza hivi hivi serikali inalea ujinga, hawa wahuni wadhibitiwe mapema akiwemo mdogo wangu nae kalowea humo

  • @hallin9561
    @hallin9561 10 месяцев назад

    Tabia ya madereva wa magari kufungua milango ya magari yao bila tahadhari inahatarisha sana, wiki moja iliyopita nilinusurika aisee, nipo kwenye pikpik sina ili wala lile mbele kuna gari limepaki mara mlango ukafunguliwa ghafla, ile movie niliicheza vyema kwa msaada wa Mungu nililaza pikpk wala sikuumia mim wala pikpik.
    ila yule dereva wa gari nilimpiga hatosahau

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus255 11 месяцев назад

    HOME BOYS... Baada ya miaka mi5 sijui nawaona wapi wazee

  • @lytwilliam7050
    @lytwilliam7050 11 месяцев назад

    eh! kweli republic of Arusha.ila vijana wa
    Ar mna nini lakini!?

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 11 месяцев назад +1

    Moja nambili hajaacha hata mtoto aisee😂😂

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 10 месяцев назад

    Hawa sasa unajichanganya mgeni et unachukua boda umebeba kabeg fulan kakali asee utakua umeingia chakike