Kila siku maoni yangu nayatoaga...Ninaungana na wale Wah. Wabunge walioishauri Serikali iufanyie utafiti na kuufanyia mabadiliko makubwa muundo Jeshi letu pendwa la Police hii yote itaisha.
Jeshi la polis kazi yake ni kulinda raia na mali zake lakin tangu mh rais maguful afariki imekuwa tofauti,jeshi limekuwa ni lakuwakandamiza na kuwadhuru raia,WE WILL MISS YOU JPM
Muende nae wapi mpeni sim yake wana nchi watz wamesha choka na vitendo vyenu tuna kuomba MH Siro fanya kila linalo weze kana polis wako wa Arusha ufanye mabadiliko
Yesu aliwaambia askari wote kwamba wasiwasingizie watu kesi , wasiwadhurumu mali zao na walidhike na mishaara yao , kwa hiyo hawa hawaridhiki na mishahara yao !!!
mbwa hizo zikiwaga zimevaa sare zao za chekechea huwa zinajiona kama miungu watu hela havina kwanza njaa njaa tu ilitakiwa asachiwe hapo hapo sema wenzie wameamua kumlinda
Halafu siro amekaa kimya tu kila siku matamko ya ugaidi... Anasahau kuna chuki kama hizi zinazopandwa na baadhi ya askari wake wahuni nini hiki sasa... Mimi binafsi pia SIWAPENDI ASKARI🙌 hata nikute anakata roho hapo tena naweza nikammalizia kabisa waonevu sana. Kuna mmoja mkuu wa KITUO Dar es salaam...(KASILA) 😡
Ivi huu mkoa wa Arusha mbona kila kukicha matukio hayaishi? Umeingilia na nn au watu wake wameingiliwa na mdudu gani kwenye vichwa vyao? Yaani ni shdaaaaa toka JPM aondoke duniani sijui wnavuta bangi!!!
Tunachopaswa kufaham ni kwamba kwenye tukio linalohusisha Askari police au jeshi huwa hakuna ruhusa ya kuchukua video Wala picha pasipo idhini yao kwa ninachoamin huyo dada alikua anachukua video na hata asipopewa hiyo sim ni lazma tu wangemuita wenyewe. Smart phone's zitatuponza tufate Sheria
@@dominicjulius3108 kwanza inabidi tujue Nini maana ya Uhuru wa habari Yan Kama huyu aliechukua hili tukio angekataliwa kuchukua basi hiyo ndo maana ya kunyimwa Uhuru Ila kikawaida hata Kama upo nyumbani kwako huwezi ingia chumbani kwa mwenzio bila hodi
Basi umesha jijibu nchi yet ni huru raia wake ni huru Kama Kuna zuhio Launavyo taka ww ujue hiyo nchi sio huru inaficha maovu yake kwakuminya habari Kama ivi tumeona namna ukandamizaji kwasababu nchi yet ni huru
@@dominicjulius3108 sivyo kwa ninavyotaka Mimi Yani issue ni kwamba bado haujajua ni Uhuru wa namna gani unaozungumziwa mfano mzuri vile kipindi mwili wa JPM unaingizwa kaburini uliona? Yani si kwamba hamna Uhuru lakini pia tunaongozwa na Jambo linaitwa nidhamu
Ukweli wa Raia sio uongo wa Askari,Askari ni wezi wengi wao huwaibia Raia ingelikuw ametokea raia kuchukua hyo Simu ungeona nn kinatokea ila kwkuw siku zote mwenye nguvu nch hii ndio mwenye,Angalia Zuma amekwenda Jela miez kumi 15 no dought sheria sheria sheria TZ ni stupid lows contry
Jasiri haachi asili ,ingawa huyo kijana askari amepewa dhamana ya kulinda raia na mali zao lkn hajaacha asili yake ya ugomvi,uporaji na wizi, mwizi na mporaji anakabidhiwa kuwalinda raia na mali zao,acha rais JPM apumzike
MNATEGEMEA NINI KAMA WANAOFELI FORM 4 WANAPELEKWA KUWA POLISI sisemi kwamba ukifeli unakuwa violent lakini atleast GOVERNMENT IACHE KUPUUZIA QUALIFICATIONS ZA MTU KUWA POLISI
Kila siku maoni yangu nayatoaga...Ninaungana na wale Wah. Wabunge walioishauri Serikali iufanyie utafiti na kuufanyia mabadiliko makubwa muundo Jeshi letu pendwa la Police hii yote itaisha.
Kwel ndg police ni wez kishenz mpk ajar za barabarani uchukua vitu vya marehem
Acha woga sema jeshi ovu Jeshi pendwa wakisimamia sheria na haki..
Fact
Jmn
Kweli hizi siyo zama za...
Am from Kenya wakati magufuli alikuwa Raisi vitu kama hiyo haikuwa hivo
Ni kweli. Kukemea kumeisha sasa hivi. Kubembelezana tu.
True
Tutaona mengi sana 😭😭😭
Asee umeongea point sana
Yalikuwepo sanaaaa na yataendelea kuwepo
Katika watu ninaowapenda wachuga.. Hawana nidhamu ya woga.. Salute
Asnte sana atujui kuremba sisi
@@anethmakupa1218 😘😘
Kweli chuga NI mwisho
@@saidisalabi7693 🙏🙏
Kweli Arusha 🙏🙏🙏
Arusha oyeeeeeeeeeee msimamo Kama huo ni nzuri Askari wengi ni vibaka huwa wanapenda kusema twende nae huyo . Pia Askari afat Sheria
Kabisaa
Tukubali ama tukatae Tanzania IPO Arusha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama umesikia neno HATUOGOPI SIRAHA JOMBA gonga like chap
Hahaha ar moja
Ipo siku wananchi tutafanya maamuzi ya pamoja
Polisi ni waizi kuliko waizi wa mtaani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄
We dada nimekupenda bure. Safi sana
Piga hao wez
Mtu Kasema hatugopi risas jomba🔥
Hata mim nimesikia aiseee
😂😂😂😂 noma sana
Chuga huyo
Nimesikia hata mimi nimesikia😂😂😂😂
😀😀😀 inafurahisha kwa kwel
Loh!maaskari wezi mnatia aibu!!
Kabisa🤔
Mishahara haiwatoshi hawa ndio maana wanatamani vitu vidogo
@@cbdangel3923 Waache kazi. Hamna aliowalazimisha kwenda huko.
Daah aise hii inahuzunisha lkn nimependa msimamo wa hao wananchi wenzangu
Kazi iyendereeeeeeee woyoooooooo
hawa wananchi wa hivi wazuri sana hawa.............pongezi kwao
R. I. P. Magufuli. Hawa mbwa wamerudi tena kubaka wananchi.
😄😄😄😁😁😁🤣
Aisee dingii umetia aibu sana
Hakuna askari siku hizi, tuna wahuni tu na vibaka.
Askari wote wameondoka na anko Magu
Kweli na waonevu wanyanganyi
Kua wew bas askari🤣🤣🤣
Haswaaaa
Tena wengi ni matapeli
Home boy salute iyo chugaaan harifuu
Nalia magufuli ,angekua angetutetea sisi wanyonge😥😢😤
Mko wangapi wanyonge
😭😭😭😭
IGP wachukulie hatua hawa polisi wanaharibu Image nzima ya polisi niaibu kubwa sana
Aibu kwa jeshi la polisi
@@mercynyaki808 kilasiku rais anamwambia rpc lakini hana masikio
@@mercynyaki808 ipo siku watajua hawajui
Dah hatari sana hii kitu
R I p Jpm😭😭😭😭😭😭
Eti hatuogopi Risasi Jomba 💪
Kumamae zao ata wtekaj nd haohao serikal ya saiv sijui hatma yake . Tutamkumbuka mzee baba, R.I.P
Jeshi la polis kazi yake ni kulinda raia na mali zake lakin tangu mh rais maguful afariki imekuwa tofauti,jeshi limekuwa ni lakuwakandamiza na kuwadhuru raia,WE WILL MISS YOU JPM
R I P Magufuri
Yeye alikuwa mkali na waliogopa kufukuzwa kazi sasa ndio kama kumekucha Mungu ampumzishe kwa amani
Nenda kamsalimie kaburini, acha kuabudu wafu
@@derickmac6400 hahahahahahahaaaaaa
@@derickmac6400 Unateseka ukiwa wapi? Magufuli ni jembe wewe kama ulikuwa ijui
Tutamkumbuka daima
Da! Hapa namkumbuka magu lait angekuepo cm ni moja tu
Nikweli rafiki na tutakuwa tunamkumbuka hivi kwani mama hajaona hii ? Ila tusubiri asipoona yeye wafanyakazi wake wataona na tutapata majibu tusubiri
Raisi wa awamu ya sita tunaomba uingilie kati unyanyasaji huu wamempigia nini huyu mschana na kumnyanganya simu yake.Hawastahili kuwa kazini hawa
Kabisa yaani cm wamuibie, kisha wanataka kumsomba wakamuweke ndani wamfungulie mashtaka ya uongo. RIP JPM
Kwan tuna raisi toka afe mwendendazake
Rais gan zaid ya mwendazake
😂😂😂Polisi gani ananyoa kiduku...Arusha fo my life
Mungu anawaona Aya maisha tu tucjisahau pindi tunapo kua katika ajila ipo cku utalud mtaan utaishi VP zuluma c kitu chema mungu anawaona
Tuweke mikakati tuu, nchi hii inahitaji ukombozi, hatuwezi kumusumbua mungu kila siku,
Hii ndio Arachuga yetu hatuhanyagi bamsi hatuogopi charisaa wala gwanda jooo Arusha tunaishi kivyetu vyetu wele watu waArusha gonga like tujuaaane
Chuga 1
Arusha oyeeeeeeee
Dah!! Njagu jizi
ARUSHA OYEEE
Anayelinda mali za raia leo amekuwa mwiz wakuiba Mali za raia nakukumbuka mjomba magufuri haya Mambo yalikoma jamaan 😭😭😭😭
Watu wa arusha noma
Tunakoelekea sio kuzuri kwa mazingira haya serikali isipojutasmini
Askari kuweni makini na kazi zenu. Kwanini mnachukuwa vya wa2 hatahuyo binti hammuonei huruma simuyake mmechukuwa. Ndomaana hamza aliwauwa
"hatuogopi risasi jombaa.." viongozi wawe makini Kuna cku itagharimu sanaaa😭
Huwa inafka mahali watu wanachoka
Mungu nisamehe Sana Ila mim nawachukia Sana polisi
Mbwa ww endelea kuwachukia afu upatwe na shda uje kituon
@@deogratiuspaul3663 POLIC NDIO KILA KITU BILA WAO UTULIVU USINGEKUWEPO
Hahahaha!Arusha mmenishinda tabia duuh
Dada nakuaminia huanyag kinyago cha MTU akupenda wew
Mambo ya hovyo sana hao police wanachafua sifa ya vyombo vya ulinzi na usalama.
Magufuli na kuita tena Magufuli na kuita tena Magufuli😂😂😂😂😂😂😂 Dah nimeshindwa kumalizia
Jamaa anasikika akisema hapo "atuogopi risasi jombaa".
Haha anaogopa mbona aliziba camera
Atuogopi risasi jomba😅
Askali njaa sana Hawa.
Remembered magufuri
Muende nae wapi mpeni sim yake wana nchi watz wamesha choka na vitendo vyenu tuna kuomba MH Siro fanya kila linalo weze kana polis wako wa Arusha ufanye mabadiliko
Aisee askari anipige na mimi nakurudishia na patachimbika, huna mamlaka ya kunipiga aiseew nimeumia sana
CCM mbele Kwa Mbele Tumeipenda wenyewe...........................Ni Njaa tu hata wao Wamaisha yanawanyoosha! Mazee
Hapa ndipo tulipofikia acha kazi iendelee mama mama mama
Tamaa sijui mtaacha lini siwapendi sskari bora wanajeshi mnaficha mpaka sm
Yesu aliwaambia askari wote kwamba wasiwasingizie watu kesi , wasiwadhurumu mali zao na walidhike na mishaara yao , kwa hiyo hawa hawaridhiki na mishahara yao !!!
Askari anatakiwa alinde usalama wa watu na mali zao .
Safi Sana chuga hapa dar waoga wengi
Hatari
Mungu atusaidie watanzani
mbwa hizo zikiwaga zimevaa sare zao za chekechea huwa zinajiona kama miungu watu hela havina kwanza njaa njaa tu ilitakiwa asachiwe hapo hapo sema wenzie wameamua kumlinda
mmmhh!!
Asikali wengi wasikuizi hizi ni wahuni sana hizi wajikuta wakiwa kwenye difenda washa maliza maisha yote
Chuga nguvu moja 🔥🔥❣
Hii nguvu chimbuko lake ni Arusha lakini itakuja kuenea kila mahali Tanzania na kuzaa jambo kubwa sana zikiwemo kukataa kuonewa na polisi
Hawo ndiyo wale wachache askari mwizi unaiba tekno pop 2
😂
Inaumiza sana
Wachugaa awaogopagii kitu
Alafu wana umoja, Mimi wananikosha Sana..
Duuu😢
Daaah Askari wezi Ndio maana Hamza akawaua walimuibia
Mama samia Tunaomba USIKAE KIMYA..WANAONYANYASIKA HAPO NA KUDHALILIKA NI WANAWAKE WENZIO.
@taifa kwanza Leo na kesho
Arusha bana
Safi sana chuga
Polisi hao wananulikana. Wawekezaji ndani na walloped simu huyu dada. Rydisheni simu. Wawajibishwe. Haihitaji uchunguzi. Kasema ni wawili waliokuwepo hapa.
Huku police wamekua wakali kuliko jwtz😂😂😂😂😂
Sasa police wa Tanzania wameisha kuwa kama wanajeshi wa Congo kweri? ra Siyo vizuri kbsa kama police Watanzania turikuwa tunaheshimu kbsa🇷🇼
Amilali bukanu song shikombe
Nilishaapanga mtoto wangu acje fanya kazi hii hata nife leo ndo nisha sema cwapendi mbwa hawa
Halafu siro amekaa kimya tu kila siku matamko ya ugaidi... Anasahau kuna chuki kama hizi zinazopandwa na baadhi ya askari wake wahuni nini hiki sasa... Mimi binafsi pia SIWAPENDI ASKARI🙌 hata nikute anakata roho hapo tena naweza nikammalizia kabisa waonevu sana. Kuna mmoja mkuu wa KITUO Dar es salaam...(KASILA) 😡
Chuga nawakubali aseee akuna kuogopa izo mbwa na bunduki zao
Hatugopi risasi jombaa 😂😂 Police wengine bhana wanatia aibu unachukuaje simu aisee
Toa simu
Ivi huu mkoa wa Arusha mbona kila kukicha matukio hayaishi? Umeingilia na nn au watu wake wameingiliwa na mdudu gani kwenye vichwa vyao? Yaani ni shdaaaaa toka JPM aondoke duniani sijui wnavuta bangi!!!
Aisee!!!
Tunachopaswa kufaham ni kwamba kwenye tukio linalohusisha Askari police au jeshi huwa hakuna ruhusa ya kuchukua video Wala picha pasipo idhini yao kwa ninachoamin huyo dada alikua anachukua video na hata asipopewa hiyo sim ni lazma tu wangemuita wenyewe. Smart phone's zitatuponza tufate Sheria
Sheria namba ngap hiyo Ina mahana Amna huuru wa habari
@@dominicjulius3108 kwanza inabidi tujue Nini maana ya Uhuru wa habari Yan Kama huyu aliechukua hili tukio angekataliwa kuchukua basi hiyo ndo maana ya kunyimwa Uhuru Ila kikawaida hata Kama upo nyumbani kwako huwezi ingia chumbani kwa mwenzio bila hodi
Basi umesha jijibu nchi yet ni huru raia wake ni huru Kama Kuna zuhio Launavyo taka ww ujue hiyo nchi sio huru inaficha maovu yake kwakuminya habari Kama ivi tumeona namna ukandamizaji kwasababu nchi yet ni huru
@@dominicjulius3108 sivyo kwa ninavyotaka Mimi Yani issue ni kwamba bado haujajua ni Uhuru wa namna gani unaozungumziwa mfano mzuri vile kipindi mwili wa JPM unaingizwa kaburini uliona? Yani si kwamba hamna Uhuru lakini pia tunaongozwa na Jambo linaitwa nidhamu
Tunaongozwa na Sheria Sasa ni Shelia gan inakataza askali akiwa kazin asichukuliwe picha Kama anasimamia sheria
Ni vibaka waliopewa kazi
Kwa kweli mungu atusahidie jamaan
Inasikitisha sana
Yan baba mangufur tu nakukumbuka sana Tanzania tunakwisha ee mungu tusaindie
Njaa kali
Mh rais sijui hy huwa anaona au anayasikia maana si Mara Moja wala mbili waongezee mishahara Hawa
Mmmmm Aibu eee
Ukweli wa Raia sio uongo wa Askari,Askari ni wezi wengi wao huwaibia Raia ingelikuw ametokea raia kuchukua hyo Simu ungeona nn kinatokea ila kwkuw siku zote mwenye nguvu nch hii ndio mwenye,Angalia Zuma amekwenda Jela miez kumi 15 no dought sheria sheria sheria TZ ni stupid lows contry
Mmmmm napit jamani
Hatari unusu
Jasiri haachi asili ,ingawa huyo kijana askari amepewa dhamana ya kulinda raia na mali zao lkn hajaacha asili yake ya ugomvi,uporaji na wizi, mwizi na mporaji anakabidhiwa kuwalinda raia na mali zao,acha rais JPM apumzike
Yaani mkaamua kuiba na simu daah mnajiendekeza sana
Walahi chuga nimepamisi "hatuogopi risasi jomba"
Hahaha
Daaaaa
Hii sio sawa kabisa hao askari wachukuliwe hatua za kinidhamu
Afukuzwe kazi kazi askali uyo mwizi
Aibu tupu njaa kali kuliko kuibia raia pigana uitoe ccm ule mshahara mzuri uache kuiba simu.
Kulikoni tena huko
R.I.P magufuli dah tutakukmbka
We ulikuwa una record tukio ndo mana umechukuliwa cm
MNATEGEMEA NINI KAMA WANAOFELI FORM 4 WANAPELEKWA KUWA POLISI sisemi kwamba ukifeli unakuwa violent lakini atleast GOVERNMENT IACHE KUPUUZIA QUALIFICATIONS ZA MTU KUWA POLISI
Watu wa arusha wana umoja
😊
Hivi tabia Ya unyanganyi polisi wataacha lini???
Vip alipewa cm au
Daaa hii aibu Sana kwajeshi lapolisi