ARUSHA NOMA! BINTI AMVUTA POLISI MGUU, NUSURA AMCHANIE NGUO AKIDAI SIMU YAKE..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 707

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 3 года назад +57

    Kila siku maoni yangu nayatoaga...Ninaungana na wale Wah. Wabunge walioishauri Serikali iufanyie utafiti na kuufanyia mabadiliko makubwa muundo Jeshi letu pendwa la Police hii yote itaisha.

  • @Carorinecalo
    @Carorinecalo 3 года назад +37

    Am from Kenya wakati magufuli alikuwa Raisi vitu kama hiyo haikuwa hivo

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 года назад +110

    Katika watu ninaowapenda wachuga.. Hawana nidhamu ya woga.. Salute

  • @sayikisandu1968
    @sayikisandu1968 3 года назад +51

    Arusha oyeeeeeeeeeee msimamo Kama huo ni nzuri Askari wengi ni vibaka huwa wanapenda kusema twende nae huyo . Pia Askari afat Sheria

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад +2

    Tukubali ama tukatae Tanzania IPO Arusha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @piusthobias880
    @piusthobias880 3 года назад +14

    Kama umesikia neno HATUOGOPI SIRAHA JOMBA gonga like chap

  • @AdamIsmail-o1v
    @AdamIsmail-o1v Год назад +2

    Ipo siku wananchi tutafanya maamuzi ya pamoja

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 года назад +32

    Polisi ni waizi kuliko waizi wa mtaani

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 3 года назад +9

    We dada nimekupenda bure. Safi sana

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 3 года назад +68

    Mtu Kasema hatugopi risas jomba🔥

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 3 года назад +26

    Loh!maaskari wezi mnatia aibu!!

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 3 года назад +1

      Kabisa🤔

    • @cbdangel3923
      @cbdangel3923 3 года назад +1

      Mishahara haiwatoshi hawa ndio maana wanatamani vitu vidogo

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 3 года назад

      @@cbdangel3923 Waache kazi. Hamna aliowalazimisha kwenda huko.

  • @selemanisalimu7398
    @selemanisalimu7398 3 года назад +17

    Daah aise hii inahuzunisha lkn nimependa msimamo wa hao wananchi wenzangu

  • @mbeguboratanzanialtd6409
    @mbeguboratanzanialtd6409 3 года назад +2

    hawa wananchi wa hivi wazuri sana hawa.............pongezi kwao

  • @carolinamuchi5980
    @carolinamuchi5980 3 года назад +10

    R. I. P. Magufuli. Hawa mbwa wamerudi tena kubaka wananchi.

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 3 года назад +10

    Aisee dingii umetia aibu sana

  • @venustomsombe9708
    @venustomsombe9708 3 года назад +61

    Hakuna askari siku hizi, tuna wahuni tu na vibaka.

  • @godfreysamson3069
    @godfreysamson3069 3 года назад +4

    Home boy salute iyo chugaaan harifuu

  • @evansomondi4992
    @evansomondi4992 3 года назад +7

    Nalia magufuli ,angekua angetutetea sisi wanyonge😥😢😤

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 3 года назад +16

    IGP wachukulie hatua hawa polisi wanaharibu Image nzima ya polisi niaibu kubwa sana

  • @furahinimbise7969
    @furahinimbise7969 3 года назад +11

    R I p Jpm😭😭😭😭😭😭

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 3 года назад +21

    Eti hatuogopi Risasi Jomba 💪

  • @agapeignas5216
    @agapeignas5216 3 года назад +5

    Kumamae zao ata wtekaj nd haohao serikal ya saiv sijui hatma yake . Tutamkumbuka mzee baba, R.I.P

  • @De_Busso_Gang
    @De_Busso_Gang 3 года назад +3

    Jeshi la polis kazi yake ni kulinda raia na mali zake lakin tangu mh rais maguful afariki imekuwa tofauti,jeshi limekuwa ni lakuwakandamiza na kuwadhuru raia,WE WILL MISS YOU JPM

  • @revocatuskatto7293
    @revocatuskatto7293 3 года назад +39

    R I P Magufuri

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 года назад +6

      Yeye alikuwa mkali na waliogopa kufukuzwa kazi sasa ndio kama kumekucha Mungu ampumzishe kwa amani

    • @derickmac6400
      @derickmac6400 3 года назад +7

      Nenda kamsalimie kaburini, acha kuabudu wafu

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 3 года назад +1

      @@derickmac6400 hahahahahahahaaaaaa

    • @janethpallangyo2633
      @janethpallangyo2633 3 года назад +8

      @@derickmac6400 Unateseka ukiwa wapi? Magufuli ni jembe wewe kama ulikuwa ijui

    • @bernadethayoel5855
      @bernadethayoel5855 3 года назад +6

      Tutamkumbuka daima

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 3 года назад +8

    Da! Hapa namkumbuka magu lait angekuepo cm ni moja tu

    • @teddylaida3523
      @teddylaida3523 3 года назад

      Nikweli rafiki na tutakuwa tunamkumbuka hivi kwani mama hajaona hii ? Ila tusubiri asipoona yeye wafanyakazi wake wataona na tutapata majibu tusubiri

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 года назад +13

    Raisi wa awamu ya sita tunaomba uingilie kati unyanyasaji huu wamempigia nini huyu mschana na kumnyanganya simu yake.Hawastahili kuwa kazini hawa

    • @mordally
      @mordally 3 года назад +1

      Kabisa yaani cm wamuibie, kisha wanataka kumsomba wakamuweke ndani wamfungulie mashtaka ya uongo. RIP JPM

    • @alenialex6941
      @alenialex6941 3 года назад +1

      Kwan tuna raisi toka afe mwendendazake

    • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
      @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi Год назад

      Rais gan zaid ya mwendazake

  • @AlissonJB_77
    @AlissonJB_77 3 года назад +3

    😂😂😂Polisi gani ananyoa kiduku...Arusha fo my life

  • @barakakingwaso8761
    @barakakingwaso8761 3 года назад +9

    Mungu anawaona Aya maisha tu tucjisahau pindi tunapo kua katika ajila ipo cku utalud mtaan utaishi VP zuluma c kitu chema mungu anawaona

    • @chidjosh6056
      @chidjosh6056 3 года назад

      Tuweke mikakati tuu, nchi hii inahitaji ukombozi, hatuwezi kumusumbua mungu kila siku,

  • @asiamkwama4389
    @asiamkwama4389 3 года назад +26

    Hii ndio Arachuga yetu hatuhanyagi bamsi hatuogopi charisaa wala gwanda jooo Arusha tunaishi kivyetu vyetu wele watu waArusha gonga like tujuaaane

  • @mbwanajuma2143
    @mbwanajuma2143 3 года назад +1

    Dah!! Njagu jizi

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 3 года назад +2

    ARUSHA OYEEE

  • @robertmalima3111
    @robertmalima3111 3 года назад +4

    Anayelinda mali za raia leo amekuwa mwiz wakuiba Mali za raia nakukumbuka mjomba magufuri haya Mambo yalikoma jamaan 😭😭😭😭

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 3 года назад +1

    Watu wa arusha noma

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 2 дня назад

    Tunakoelekea sio kuzuri kwa mazingira haya serikali isipojutasmini

  • @chugamantv8602
    @chugamantv8602 3 года назад +2

    Askari kuweni makini na kazi zenu. Kwanini mnachukuwa vya wa2 hatahuyo binti hammuonei huruma simuyake mmechukuwa. Ndomaana hamza aliwauwa

  • @williamgeorge150
    @williamgeorge150 3 года назад +5

    "hatuogopi risasi jombaa.." viongozi wawe makini Kuna cku itagharimu sanaaa😭

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 3 года назад +3

    Mungu nisamehe Sana Ila mim nawachukia Sana polisi

    • @deogratiuspaul3663
      @deogratiuspaul3663 3 года назад +1

      Mbwa ww endelea kuwachukia afu upatwe na shda uje kituon

    • @zenaabdallah3797
      @zenaabdallah3797 3 года назад

      @@deogratiuspaul3663 POLIC NDIO KILA KITU BILA WAO UTULIVU USINGEKUWEPO

  • @hassannahoda2112
    @hassannahoda2112 Год назад +3

    Hahahaha!Arusha mmenishinda tabia duuh

  • @RobertAlfred-x4j
    @RobertAlfred-x4j Год назад

    Dada nakuaminia huanyag kinyago cha MTU akupenda wew

  • @lokindasamwel5305
    @lokindasamwel5305 3 года назад +5

    Mambo ya hovyo sana hao police wanachafua sifa ya vyombo vya ulinzi na usalama.

  • @amaniray8468
    @amaniray8468 10 месяцев назад

    Magufuli na kuita tena Magufuli na kuita tena Magufuli😂😂😂😂😂😂😂 Dah nimeshindwa kumalizia

  • @lazarosilayo6918
    @lazarosilayo6918 3 года назад +5

    Jamaa anasikika akisema hapo "atuogopi risasi jombaa".

  • @ea1365
    @ea1365 3 года назад +5

    Askali njaa sana Hawa.

  • @selemanshaban7496
    @selemanshaban7496 3 года назад +17

    Remembered magufuri

    • @aminaibrahim4148
      @aminaibrahim4148 3 года назад

      Muende nae wapi mpeni sim yake wana nchi watz wamesha choka na vitendo vyenu tuna kuomba MH Siro fanya kila linalo weze kana polis wako wa Arusha ufanye mabadiliko

  • @reymahassan9358
    @reymahassan9358 7 дней назад

    Aisee askari anipige na mimi nakurudishia na patachimbika, huna mamlaka ya kunipiga aiseew nimeumia sana

  • @dietrickedward2294
    @dietrickedward2294 10 месяцев назад

    CCM mbele Kwa Mbele Tumeipenda wenyewe...........................Ni Njaa tu hata wao Wamaisha yanawanyoosha! Mazee

  • @josephmachabe5089
    @josephmachabe5089 3 года назад

    Hapa ndipo tulipofikia acha kazi iendelee mama mama mama

  • @dazzfex4280
    @dazzfex4280 3 года назад

    Tamaa sijui mtaacha lini siwapendi sskari bora wanajeshi mnaficha mpaka sm

  • @cbdangel3923
    @cbdangel3923 3 года назад

    Yesu aliwaambia askari wote kwamba wasiwasingizie watu kesi , wasiwadhurumu mali zao na walidhike na mishaara yao , kwa hiyo hawa hawaridhiki na mishahara yao !!!

    • @cbdangel3923
      @cbdangel3923 3 года назад

      Askari anatakiwa alinde usalama wa watu na mali zao .

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад

    Safi Sana chuga hapa dar waoga wengi

  • @lujekomtawa328
    @lujekomtawa328 2 года назад

    Hatari

  • @mberatv7815
    @mberatv7815 2 года назад

    Mungu atusaidie watanzani

  • @daughters1226
    @daughters1226 3 года назад +2

    mbwa hizo zikiwaga zimevaa sare zao za chekechea huwa zinajiona kama miungu watu hela havina kwanza njaa njaa tu ilitakiwa asachiwe hapo hapo sema wenzie wameamua kumlinda

  • @reginaldmsofe2437
    @reginaldmsofe2437 3 года назад

    mmmhh!!

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 3 года назад +1

    Asikali wengi wasikuizi hizi ni wahuni sana hizi wajikuta wakiwa kwenye difenda washa maliza maisha yote

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +3

    Chuga nguvu moja 🔥🔥❣

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 3 года назад

      Hii nguvu chimbuko lake ni Arusha lakini itakuja kuenea kila mahali Tanzania na kuzaa jambo kubwa sana zikiwemo kukataa kuonewa na polisi

  • @babyjohnson1244
    @babyjohnson1244 3 года назад +6

    Hawo ndiyo wale wachache askari mwizi unaiba tekno pop 2

  • @keizerkaundila8805
    @keizerkaundila8805 3 года назад

    Inaumiza sana

  • @dianamwanua9564
    @dianamwanua9564 3 года назад +9

    Wachugaa awaogopagii kitu

    • @ramlamburi9743
      @ramlamburi9743 3 года назад +4

      Alafu wana umoja, Mimi wananikosha Sana..

  • @EliaMbise-el7hl
    @EliaMbise-el7hl Год назад

    Duuu😢

  • @rukaiyaahmadsuleiman3951
    @rukaiyaahmadsuleiman3951 3 года назад

    Daaah Askari wezi Ndio maana Hamza akawaua walimuibia

  • @V24hrs
    @V24hrs 3 года назад +1

    Mama samia Tunaomba USIKAE KIMYA..WANAONYANYASIKA HAPO NA KUDHALILIKA NI WANAWAKE WENZIO.
    @taifa kwanza Leo na kesho

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 3 года назад

    Arusha bana

  • @jorudukani9319
    @jorudukani9319 3 года назад

    Safi sana chuga

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 5 месяцев назад

    Polisi hao wananulikana. Wawekezaji ndani na walloped simu huyu dada. Rydisheni simu. Wawajibishwe. Haihitaji uchunguzi. Kasema ni wawili waliokuwepo hapa.

  • @amaniray8468
    @amaniray8468 10 месяцев назад

    Huku police wamekua wakali kuliko jwtz😂😂😂😂😂

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi7353 2 года назад

    Sasa police wa Tanzania wameisha kuwa kama wanajeshi wa Congo kweri? ra Siyo vizuri kbsa kama police Watanzania turikuwa tunaheshimu kbsa🇷🇼

  • @MapigoPyee
    @MapigoPyee 4 месяца назад

    Amilali bukanu song shikombe

  • @ladykimnan902
    @ladykimnan902 3 года назад +1

    Nilishaapanga mtoto wangu acje fanya kazi hii hata nife leo ndo nisha sema cwapendi mbwa hawa

  • @richardkisanga8603
    @richardkisanga8603 3 года назад

    Halafu siro amekaa kimya tu kila siku matamko ya ugaidi... Anasahau kuna chuki kama hizi zinazopandwa na baadhi ya askari wake wahuni nini hiki sasa... Mimi binafsi pia SIWAPENDI ASKARI🙌 hata nikute anakata roho hapo tena naweza nikammalizia kabisa waonevu sana. Kuna mmoja mkuu wa KITUO Dar es salaam...(KASILA) 😡

  • @shedytalent71
    @shedytalent71 3 года назад +15

    Chuga nawakubali aseee akuna kuogopa izo mbwa na bunduki zao

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Год назад

    Hatugopi risasi jombaa 😂😂 Police wengine bhana wanatia aibu unachukuaje simu aisee

  • @lessingondainendaine7001
    @lessingondainendaine7001 3 года назад

    Toa simu

  • @marymwacha995
    @marymwacha995 3 года назад

    Ivi huu mkoa wa Arusha mbona kila kukicha matukio hayaishi? Umeingilia na nn au watu wake wameingiliwa na mdudu gani kwenye vichwa vyao? Yaani ni shdaaaaa toka JPM aondoke duniani sijui wnavuta bangi!!!

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 3 года назад

    Aisee!!!

  • @yvonnemhadu3698
    @yvonnemhadu3698 3 года назад +2

    Tunachopaswa kufaham ni kwamba kwenye tukio linalohusisha Askari police au jeshi huwa hakuna ruhusa ya kuchukua video Wala picha pasipo idhini yao kwa ninachoamin huyo dada alikua anachukua video na hata asipopewa hiyo sim ni lazma tu wangemuita wenyewe. Smart phone's zitatuponza tufate Sheria

    • @dominicjulius3108
      @dominicjulius3108 3 года назад

      Sheria namba ngap hiyo Ina mahana Amna huuru wa habari

    • @yvonnemhadu3698
      @yvonnemhadu3698 3 года назад

      @@dominicjulius3108 kwanza inabidi tujue Nini maana ya Uhuru wa habari Yan Kama huyu aliechukua hili tukio angekataliwa kuchukua basi hiyo ndo maana ya kunyimwa Uhuru Ila kikawaida hata Kama upo nyumbani kwako huwezi ingia chumbani kwa mwenzio bila hodi

    • @dominicjulius3108
      @dominicjulius3108 3 года назад

      Basi umesha jijibu nchi yet ni huru raia wake ni huru Kama Kuna zuhio Launavyo taka ww ujue hiyo nchi sio huru inaficha maovu yake kwakuminya habari Kama ivi tumeona namna ukandamizaji kwasababu nchi yet ni huru

    • @yvonnemhadu3698
      @yvonnemhadu3698 3 года назад

      @@dominicjulius3108 sivyo kwa ninavyotaka Mimi Yani issue ni kwamba bado haujajua ni Uhuru wa namna gani unaozungumziwa mfano mzuri vile kipindi mwili wa JPM unaingizwa kaburini uliona? Yani si kwamba hamna Uhuru lakini pia tunaongozwa na Jambo linaitwa nidhamu

    • @dominicjulius3108
      @dominicjulius3108 3 года назад

      Tunaongozwa na Sheria Sasa ni Shelia gan inakataza askali akiwa kazin asichukuliwe picha Kama anasimamia sheria

  • @elmiaxmed6870
    @elmiaxmed6870 3 года назад +4

    Ni vibaka waliopewa kazi

  • @fledymavikamavika6580
    @fledymavikamavika6580 3 года назад

    Kwa kweli mungu atusahidie jamaan

  • @mordally
    @mordally 3 года назад +10

    Inasikitisha sana

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 года назад

      Yan baba mangufur tu nakukumbuka sana Tanzania tunakwisha ee mungu tusaindie

    • @zaitunihafidh7687
      @zaitunihafidh7687 3 года назад

      Njaa kali

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Месяц назад

    Mh rais sijui hy huwa anaona au anayasikia maana si Mara Moja wala mbili waongezee mishahara Hawa

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 2 года назад

    Mmmmm Aibu eee

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 года назад +21

    Ukweli wa Raia sio uongo wa Askari,Askari ni wezi wengi wao huwaibia Raia ingelikuw ametokea raia kuchukua hyo Simu ungeona nn kinatokea ila kwkuw siku zote mwenye nguvu nch hii ndio mwenye,Angalia Zuma amekwenda Jela miez kumi 15 no dought sheria sheria sheria TZ ni stupid lows contry

  • @official_nillan9621
    @official_nillan9621 3 года назад

    Mmmmm napit jamani

  • @kurwpaul1134
    @kurwpaul1134 3 года назад +1

    Hatari unusu

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 Год назад

    Jasiri haachi asili ,ingawa huyo kijana askari amepewa dhamana ya kulinda raia na mali zao lkn hajaacha asili yake ya ugomvi,uporaji na wizi, mwizi na mporaji anakabidhiwa kuwalinda raia na mali zao,acha rais JPM apumzike

  • @floranceluqman2951
    @floranceluqman2951 Год назад

    Yaani mkaamua kuiba na simu daah mnajiendekeza sana

  • @Sein169
    @Sein169 3 года назад +2

    Walahi chuga nimepamisi "hatuogopi risasi jomba"

  • @najmaomary665
    @najmaomary665 3 года назад

    Daaaaa

  • @victusshayo2048
    @victusshayo2048 3 года назад

    Hii sio sawa kabisa hao askari wachukuliwe hatua za kinidhamu

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 3 года назад

    Afukuzwe kazi kazi askali uyo mwizi

  • @salumahmeid9709
    @salumahmeid9709 3 года назад +3

    Aibu tupu njaa kali kuliko kuibia raia pigana uitoe ccm ule mshahara mzuri uache kuiba simu.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад

    Kulikoni tena huko

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 года назад +7

    R.I.P magufuli dah tutakukmbka

  • @jacksonbahati7983
    @jacksonbahati7983 3 года назад

    We ulikuwa una record tukio ndo mana umechukuliwa cm

  • @activestudios.
    @activestudios. 3 года назад

    MNATEGEMEA NINI KAMA WANAOFELI FORM 4 WANAPELEKWA KUWA POLISI sisemi kwamba ukifeli unakuwa violent lakini atleast GOVERNMENT IACHE KUPUUZIA QUALIFICATIONS ZA MTU KUWA POLISI

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад

    Watu wa arusha wana umoja

  • @ApiteHaji
    @ApiteHaji 11 месяцев назад

    😊

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад

    Hivi tabia Ya unyanganyi polisi wataacha lini???

  • @anjelamassawe8997
    @anjelamassawe8997 2 года назад

    Vip alipewa cm au

  • @mweisigepoul6803
    @mweisigepoul6803 2 года назад

    Daaa hii aibu Sana kwajeshi lapolisi