Kisinda, Sarpong wanogesha Siku ya Mwananchi, Yanga ikiipiga 2-0 Aigle Noir; Tazama Highlights

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2020
  • YANGA 2-0 AIGLE NOIR: Usajili mpya umelipa: Wachezaji wawili Tuisila Kisinda na Michael Sarpong wameifungia Yanga magoli mawili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Aigle Noir ya Burundi.
    Ni mchezo wa kirafiki ukiwa na lengo la kutambulisha wachezaji katika kilele cha wiki ya mwananchi, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mkapa, Dar es Salaam. Tazama Highlights.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • СпортСпорт

Комментарии • 384

  • @habilinhohezron3099
    @habilinhohezron3099 3 года назад +53

    Kama wew shabiki wa yanga gonga like twende saw

  • @kruverthmasanula9914
    @kruverthmasanula9914 3 года назад +24

    Wa kwanza ku comment like zangu jamani..... Ila yanga tunatisha yan leo full house ✌😂

    • @emanuelkiluwa4360
      @emanuelkiluwa4360 3 года назад

      Yanga ni nzr kipindi hiki watatukoma. Azam tv asanteni sn kwa kutuonyesha burudani.

  • @tumsifusanga3232
    @tumsifusanga3232 3 года назад +8

    Yangaaa mpira tunajua 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад +13

    Mpo vizuri YANGA AFRICAN. Upinzani PEMBENI. Mmedhihirisha kua nyinyi Ni wananchi wa kweli🙏🙏🙏🙏🙏 tunawasubiria ktk ligi

  • @deusmbalazi3552
    @deusmbalazi3552 3 года назад +9

    Nawapongeza sana yanga kwa ushindi naona mwaka huu ushindani utakuwepo yanga Safar hii watatusumbua sana tusipo kaa vizuri wanaweza tufunga timu yao nzuri mno ngoja tusubir ligi kuanza

  • @adrianodiasdossantos8050
    @adrianodiasdossantos8050 3 года назад +5

    Força Carlinhos, da o teu melhor mostra todo teu potencial para este público que te acolheu de braços abertos, justifica o teu contrato o resto é acrescentado por Deus. Desejo os 3S na tua carreira. "SUCESSO, SUCESSO e sucesso" 👊 estamos juntos

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 3 года назад +15

    Kwa Yanga hii tukiacha ushabiki Timu ni nzuri hatarii😂😁😁😁😁💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥👊👊

  • @yazidmachele5822
    @yazidmachele5822 3 года назад +6

    Heshima imelejea I love you yanga

    • @debbymwaka4048
      @debbymwaka4048 3 года назад

      Nafatilia yanga kutoka DRCONGO 🇨🇩🇨🇩 tuisila kisinda tres bien denko nanga

  • @jacques_polite
    @jacques_polite 3 года назад +5

    Jamani naipenda yanga kutoka Australia

  • @gracesikalion9486
    @gracesikalion9486 3 года назад +7

    hawakosi wenye roho mbaya hatamsemeje yanga iko juuuuuu naipenda sana timu yangu love sana

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 2 года назад +3

    TK master karibu yanga tena

  • @Sergio-om8tu
    @Sergio-om8tu 3 года назад +5

    Menino bonito, força Carlinhos 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 3 года назад +7

    Shabiki wa simba damu hapa lkn Yanga Leo mmecheza vizur tatizo speed tu mchezo

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania4991 3 года назад +3

    Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi💛💚💛💚💛💛

    • @paulshaban8933
      @paulshaban8933 3 года назад

      Yanga ndio mabingwa wa kimataifa lobbying work is not young🤢💚💯👨‍🏫💚💛🤑💚🤑🤮

  • @RwandaAtlas
    @RwandaAtlas 3 года назад +8

    Sarpong former striker of Rayon Sport (Rwanda),he was a nice striker

  • @djswahilimovie3826
    @djswahilimovie3826 3 года назад +8

    yanga hii tamu sana mpk rahaaaaaa

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard7331 3 года назад +8

    Imagine these are fans of one team incredible

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 3 года назад +7

    Mwaka huuuu wapinzani wata jipanga sanaaaa 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺 waliyo toka wata tamani kurudi to from Australia iyo

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 3 года назад +5

    Golikipa wa Eagle Noir Anajuwa sana!!
    Me from Burundi!! Penda Eagle noir

  • @andrewhongo1707
    @andrewhongo1707 3 года назад +4

    Duuh! Jezi mpya ni Kali kweli za mwaka huu yanga ni yamoto😂😂

  • @moseyusuph9712
    @moseyusuph9712 3 года назад +6

    T k master noma sana

  • @youngstarmuhenga1721
    @youngstarmuhenga1721 3 года назад +4

    Yangaaaa freeeee🔥🔥🔥

  • @dannykatahunga5452
    @dannykatahunga5452 3 года назад +3

    Tk master nakukubali sana

  • @samweljackson4563
    @samweljackson4563 3 года назад +3

    Makamba Burundi🇧🇮🇧🇮

  • @hidayashabani1088
    @hidayashabani1088 3 года назад +7

    Piga kelele kwa ynga ake weuweeeeeee

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 3 года назад +3

    Niwapongeze Waliopiga Picha, Na Walioinguza Sauti. Salute Kwenu, Kwani Waliopiga Picha Siku Ya Watani Hawakuipatia Kama Ninyi.

  • @olivermartin3747
    @olivermartin3747 3 года назад +2

    Naipenda sana yanga

  • @stevekayumbo2138
    @stevekayumbo2138 3 года назад +8

    Yanga ndio timu yenye washabiki wengi tumeweza kuijaza taifa tofauti Simba chura

  • @sniper93999
    @sniper93999 3 года назад +3

    Yaaan yanga km hiii ipo wapiiii😭😭😭😭

  • @geofreymheni2831
    @geofreymheni2831 3 года назад +4

    safi saaan yanga

  • @annamarry2033
    @annamarry2033 3 года назад +6

    Huyu feisal ni hatari

  • @gittugulindwa2469
    @gittugulindwa2469 3 года назад +5

    Tk master

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +5

    Uyu feysal_toto izi pasi zake atakuja kuwavunja viuno wezake😇

  • @nasplumbingservices2926
    @nasplumbingservices2926 3 года назад +6

    Yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @hildembilinyi7346
    @hildembilinyi7346 3 года назад +8

    Mtachonga sana safari hii tunakula sahani moja na hicho kikosi hakijakaa muda mrefu tusubiri wa kumi kutakuwaje maana wapo akina Morrison wa bongo Fei toto.

  • @stepsstudio187
    @stepsstudio187 3 года назад +4

    Aliyetengeneza hii clip ni fundi sana , anataka kutuaminisha kuwa Aigle Noir hawakugusa mpira. Nchi hii bhana!

  • @emanuelymalley8602
    @emanuelymalley8602 3 года назад +2

    This is yangaa brother 💚💚💚💚

  • @stivenkisinda3219
    @stivenkisinda3219 3 года назад +8

    Kisinda kaonyesha maajabu yake

  • @leemabibaphotography8053
    @leemabibaphotography8053 3 года назад +4

    Hii ndo yanga tunayo itaji

  • @kruverthmasanula9914
    @kruverthmasanula9914 3 года назад +8

    Full house dadeq 😂

  • @nancyjohn6723
    @nancyjohn6723 3 года назад +4

    Jamni hii yang ilienda wp

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 3 года назад +6

    Yanga wanatisha kama Ukoma!!!!!!!!!

  • @louis-rolandkoffi3580
    @louis-rolandkoffi3580 3 года назад +1

    L'aventure continue!

  • @antidiustibaijuka1584
    @antidiustibaijuka1584 3 года назад +3

    Tk master pambana wanayanga tupate raha

  • @umildiamathew454
    @umildiamathew454 2 года назад +2

    good team

  • @nguzotv
    @nguzotv 3 года назад +9

    Yanga nakupenda Mungu nisaidie

  • @omiomi8093
    @omiomi8093 2 года назад +3

    We have new young African now Michael sapoung is MAYELE.

  • @salomejonson1713
    @salomejonson1713 3 года назад +7

    simba acheni roho mbaya mtu akijitaid msifien tu Mimi simba lakin watan wamejitaidi bwana

    • @alexjohn1189
      @alexjohn1189 3 года назад

      Upo vzr wew hakika unajua soka

  • @McKim6263
    @McKim6263 3 года назад +1

    Hatari sana

  • @lubuvahussein5556
    @lubuvahussein5556 3 года назад +4

    Tk Masta

  • @huseinmashimo858
    @huseinmashimo858 3 года назад +4

    Yes wananchi

    • @arifissa269
      @arifissa269 3 года назад

      Wananchii ndio ss tunajambo letu kesho

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 3 года назад +5

    Yanga wamepoteza nafasi nyingi sana,,,hizo goli 2 bdo sijaona Kama zimetosha kuna tumishinda,,,,,,,,, Ila hongera Tanzania hongera yanga

  • @martinpaulo7799
    @martinpaulo7799 3 года назад +3

    Mbaraka mpenja unajua nakuamini sana

  • @imaninjovu2624
    @imaninjovu2624 3 года назад +6

    Nasikia kuna mtu ameshinda jina la T.K MASTER

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 3 года назад +6

    Kweli kikosi kiko vizuri

  • @silvestakadushi5750
    @silvestakadushi5750 3 года назад +2

    Nimependa

  • @ramahmwislamu8456
    @ramahmwislamu8456 3 года назад +1

    Nice

  • @frankjacob8929
    @frankjacob8929 3 года назад +2

    Jamani jersey za Yanga sc Mungu anawaona madizaina😂😂😂😂

  • @evameryemmanuel4020
    @evameryemmanuel4020 3 года назад +5

    yanga oye jikazeni mashabeki

  • @shabaniiddykisamakishabani4730
    @shabaniiddykisamakishabani4730 3 года назад +2

    Hataaariiiiu

  • @tumsifusanga3232
    @tumsifusanga3232 3 года назад +3

    TK master wape salam

  • @gunguliluzuba1316
    @gunguliluzuba1316 3 года назад +7

    yanga wamecheza katika hali ya ubora sana

  • @johanesdeocles6337
    @johanesdeocles6337 3 года назад +6

    Kwa yanga hii mtanyooka tu

  • @Ndayaki
    @Ndayaki 3 года назад +5

    🛑Red card has saved Yanga

  • @nancyjohn6723
    @nancyjohn6723 2 года назад +4

    Yan hii yanga sjui ilenda wp jamni

    • @bumbucha6441
      @bumbucha6441 2 года назад

      Tungeendelea na hii hatungechukua ubingwa forever

  • @erineusmassawe6121
    @erineusmassawe6121 3 года назад +2

    Ila azam bn mnaonesha mbali sana mpira weken kamera karibu

  • @tabyhamisi7797
    @tabyhamisi7797 3 года назад +5

    Hahahahaha Raha sanaaaaa narudiA rudia hi Mara kumi

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 3 года назад +4

    Nimemuona Kariia Manara na Kamati ya ligi wakunya kwa woga huku wana lamba hovyo kwahofu ya kikosi kipya cha Yanga ijay

  • @jumashaibu8084
    @jumashaibu8084 3 года назад +1

    Sawa

  • @kelvinbeautus1335
    @kelvinbeautus1335 3 года назад +3

    Wanga wemejua kikomesha full pat

  • @mariagodwin7669
    @mariagodwin7669 3 года назад +1

    Hii ndio yanga tunayoijua bhuana

  • @hamadyhamisy8272
    @hamadyhamisy8272 3 года назад +5

    🙋🙋

  • @arnoldkamala5287
    @arnoldkamala5287 3 года назад +2

    Wanacheza, lakini Simba is far more better team.
    Yanga will match-up. Uk.

  • @juniorchilongola2191
    @juniorchilongola2191 3 года назад +2

    TK master

  • @barakaobadia555
    @barakaobadia555 3 года назад +4

    Na mm nipo nipo nmewahi kdg

  • @boniphacerevocatus8721
    @boniphacerevocatus8721 3 года назад +3

    Hiviii vichwa xhv wanopga duniani wamefika wawili Christian Ronaldo..na SALPONG

  • @alphonceathanas9045
    @alphonceathanas9045 День назад

    Nimemkumbuka kisinda

  • @solemba595
    @solemba595 3 года назад +4

    Yanga wanakikosi Cha ushindani, huu ndio mpira wa asili wa Yanga speed kwa malengo mwanzo mwisho, kwa speed hii hata Mnyama anakaa,
    Hii speed ya back to back wazee wote watakaa tu Hamna namna.

  • @anastaziamorce3389
    @anastaziamorce3389 3 года назад +3

    Hiii yanga yamotooo

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 3 года назад +1

    Fei toto 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 3 года назад +6

    Dah hata mechi kama hii pia munabebwa.
    Hamna timu hapo bado mtakula kichapo cha mnyama

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 3 года назад

    Tk master yaan mpenja unasumbuwa watu

  • @venancemwarabu7168
    @venancemwarabu7168 3 года назад +3

    Mimi nina uhakika mwezi wa 10 ndo tutajua ni nani ana kikosi kibovu.... ni swala la muda tu

  • @pascalmsuyajr.7980
    @pascalmsuyajr.7980 3 года назад +2

    Hahahahhahah nice game vijana wameperfom usajili umetiki mikia fc mtaisoma yajayo yanafurahisha

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 3 года назад +2

    Hi yanga ilikua pa1 itakua bora sana ila saiv kocha aclewe cfa anatakiwa aunganishe Tim .

  • @petermeshack9124
    @petermeshack9124 3 года назад +2

    simba na yanga bana

  • @tatuchande1615
    @tatuchande1615 Год назад +3

    nimekuja kumuangalia kisindaa 🤣🤣🤣 angerud na ntibazonkizaa ingekuwa poa san

  • @hassanihassani8773
    @hassanihassani8773 3 года назад +3

    Tulia we mikia fc wanakuja hao

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 3 года назад +4

    Daima mbele, Nyuma mwiko

  • @nasrasuleiman2552
    @nasrasuleiman2552 3 года назад +4

    Weeeeeeeeuuuuwee

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania4991 3 года назад +1

    Yanga oyeeeee

  • @ramasarum6635
    @ramasarum6635 3 года назад +2

    Naitàkia yanga mchezo ujao ishinde

  • @kelvnjay1055
    @kelvnjay1055 3 года назад +3

    Young imenonga

  • @jodsonmbezi838
    @jodsonmbezi838 3 года назад +2

    Full 🏠

  • @patrickjuvenary5815
    @patrickjuvenary5815 3 года назад +2

    Kikosi Cha pili Cha hawa wananchi hakikuwa na positive impact pamoja na upande wa pili kuwa pungufu...mfyuuu

  • @toseyabdullahabukar3605
    @toseyabdullahabukar3605 3 года назад +2

    Yanga

  • @salumumisango9454
    @salumumisango9454 3 года назад +3

    nikwel yang tulifanya vzr xan

  • @mariamumlangwa9848
    @mariamumlangwa9848 3 года назад +2

    Kwel kabs yang yet

  • @johnkilaryo3943
    @johnkilaryo3943 3 года назад +2

    Sema kisindinyooooo

  • @ramahassan2338
    @ramahassan2338 3 года назад +1

    Vipi marafiki