Kisinda, Sarpong wanogesha Siku ya Mwananchi, Yanga ikiipiga 2-0 Aigle Noir; Tazama Highlights
HTML-код
- Опубликовано: 29 авг 2020
- YANGA 2-0 AIGLE NOIR: Usajili mpya umelipa: Wachezaji wawili Tuisila Kisinda na Michael Sarpong wameifungia Yanga magoli mawili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Aigle Noir ya Burundi.
Ni mchezo wa kirafiki ukiwa na lengo la kutambulisha wachezaji katika kilele cha wiki ya mwananchi, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mkapa, Dar es Salaam. Tazama Highlights.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz Спорт
Kama wew shabiki wa yanga gonga like twende saw
7lllllll
7lll7
7l77
7l7l7l7l7l7l7l7l
7lllll7lllllllllll77ll77lllll7lllll7lllll7l
Wa kwanza ku comment like zangu jamani..... Ila yanga tunatisha yan leo full house ✌😂
Yanga ni nzr kipindi hiki watatukoma. Azam tv asanteni sn kwa kutuonyesha burudani.
Yangaaa mpira tunajua 🙏🙏🙏🙏🙏
Mpo vizuri YANGA AFRICAN. Upinzani PEMBENI. Mmedhihirisha kua nyinyi Ni wananchi wa kweli🙏🙏🙏🙏🙏 tunawasubiria ktk ligi
Hii yanga haipo tena tuna kwama wapi cc
Nawapongeza sana yanga kwa ushindi naona mwaka huu ushindani utakuwepo yanga Safar hii watatusumbua sana tusipo kaa vizuri wanaweza tufunga timu yao nzuri mno ngoja tusubir ligi kuanza
Força Carlinhos, da o teu melhor mostra todo teu potencial para este público que te acolheu de braços abertos, justifica o teu contrato o resto é acrescentado por Deus. Desejo os 3S na tua carreira. "SUCESSO, SUCESSO e sucesso" 👊 estamos juntos
Kwa Yanga hii tukiacha ushabiki Timu ni nzuri hatarii😂😁😁😁😁💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥👊👊
Heshima imelejea I love you yanga
Nafatilia yanga kutoka DRCONGO 🇨🇩🇨🇩 tuisila kisinda tres bien denko nanga
Jamani naipenda yanga kutoka Australia
hawakosi wenye roho mbaya hatamsemeje yanga iko juuuuuu naipenda sana timu yangu love sana
X4 set f ftgetTV ex Jew all
On Md CT
FYI
Ft
TK master karibu yanga tena
Menino bonito, força Carlinhos 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴 🇦🇴
Shabiki wa simba damu hapa lkn Yanga Leo mmecheza vizur tatizo speed tu mchezo
Asante kwa kuliona hiloo
Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi💛💚💛💚💛💛
Yanga ndio mabingwa wa kimataifa lobbying work is not young🤢💚💯👨🏫💚💛🤑💚🤑🤮
Sarpong former striker of Rayon Sport (Rwanda),he was a nice striker
Even now he is a good nice stricker.
yanga hii tamu sana mpk rahaaaaaa
Wape salam
Imagine these are fans of one team incredible
So wonderful
about 60000 people the stadium capacity
Mwaka huuuu wapinzani wata jipanga sanaaaa 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺 waliyo toka wata tamani kurudi to from Australia iyo
Golikipa wa Eagle Noir Anajuwa sana!!
Me from Burundi!! Penda Eagle noir
Man of the match, he deserve it.
sema huyo kipa ni mtanzania sio mburundi
Asante kutulelea MTU wetu yupo vzr
@@grandtzentertainment6251 yes he was the man of the match!
Mtanzania huyo kijana
Duuh! Jezi mpya ni Kali kweli za mwaka huu yanga ni yamoto😂😂
Xanaa
T k master noma sana
T k masta hatali kama umeme
Yangaaaa freeeee🔥🔥🔥
San man
Tk master nakukubali sana
Makamba Burundi🇧🇮🇧🇮
Piga kelele kwa ynga ake weuweeeeeee
Niwapongeze Waliopiga Picha, Na Walioinguza Sauti. Salute Kwenu, Kwani Waliopiga Picha Siku Ya Watani Hawakuipatia Kama Ninyi.
Naipenda sana yanga
Yanga ndio timu yenye washabiki wengi tumeweza kuijaza taifa tofauti Simba chura
Yaaan yanga km hiii ipo wapiiii😭😭😭😭
safi saaan yanga
San
Huyu feisal ni hatari
Tk master
Uyu feysal_toto izi pasi zake atakuja kuwavunja viuno wezake😇
Kwel kabisa
Fundi Sana DOGO HUYU
@@dadasim2749 Alikuwa mchezaji bora ligi iliyoisha,.
Yanga daima mbele nyuma mwiko
Mtachonga sana safari hii tunakula sahani moja na hicho kikosi hakijakaa muda mrefu tusubiri wa kumi kutakuwaje maana wapo akina Morrison wa bongo Fei toto.
Aliyetengeneza hii clip ni fundi sana , anataka kutuaminisha kuwa Aigle Noir hawakugusa mpira. Nchi hii bhana!
Mavii wee
This is yangaa brother 💚💚💚💚
Lamar in at
Kisinda kaonyesha maajabu yake
Hii ndo yanga tunayo itaji
Full house dadeq 😂
Jamni hii yang ilienda wp
Yanga wanatisha kama Ukoma!!!!!!!!!
L'aventure continue!
Tk master pambana wanayanga tupate raha
good team
Yanga nakupenda Mungu nisaidie
Haaq
We have new young African now Michael sapoung is MAYELE.
simba acheni roho mbaya mtu akijitaid msifien tu Mimi simba lakin watan wamejitaidi bwana
Upo vzr wew hakika unajua soka
Hatari sana
Tk Masta
Yes wananchi
Wananchii ndio ss tunajambo letu kesho
Yanga wamepoteza nafasi nyingi sana,,,hizo goli 2 bdo sijaona Kama zimetosha kuna tumishinda,,,,,,,,, Ila hongera Tanzania hongera yanga
Mbaraka mpenja unajua nakuamini sana
Nasikia kuna mtu ameshinda jina la T.K MASTER
Kweli kikosi kiko vizuri
Nimependa
Nice
Jamani jersey za Yanga sc Mungu anawaona madizaina😂😂😂😂
yanga oye jikazeni mashabeki
Hataaariiiiu
TK master wape salam
yanga wamecheza katika hali ya ubora sana
Kwa yanga hii mtanyooka tu
🛑Red card has saved Yanga
You is led our gent
Yan hii yanga sjui ilenda wp jamni
Tungeendelea na hii hatungechukua ubingwa forever
Ila azam bn mnaonesha mbali sana mpira weken kamera karibu
Hahahahaha Raha sanaaaaa narudiA rudia hi Mara kumi
Nimemuona Kariia Manara na Kamati ya ligi wakunya kwa woga huku wana lamba hovyo kwahofu ya kikosi kipya cha Yanga ijay
Sawa
Wanga wemejua kikomesha full pat
Hii ndio yanga tunayoijua bhuana
🙋🙋
Wanacheza, lakini Simba is far more better team.
Yanga will match-up. Uk.
Ngapi
TK master
Na mm nipo nipo nmewahi kdg
Hiviii vichwa xhv wanopga duniani wamefika wawili Christian Ronaldo..na SALPONG
Nimemkumbuka kisinda
Yanga wanakikosi Cha ushindani, huu ndio mpira wa asili wa Yanga speed kwa malengo mwanzo mwisho, kwa speed hii hata Mnyama anakaa,
Hii speed ya back to back wazee wote watakaa tu Hamna namna.
Hiii yanga yamotooo
Fei toto 🔥🔥🔥🔥🔥
Dah hata mechi kama hii pia munabebwa.
Hamna timu hapo bado mtakula kichapo cha mnyama
Mechi ya kirafiki mbeleko
Tk master yaan mpenja unasumbuwa watu
Mimi nina uhakika mwezi wa 10 ndo tutajua ni nani ana kikosi kibovu.... ni swala la muda tu
Hahahahhahah nice game vijana wameperfom usajili umetiki mikia fc mtaisoma yajayo yanafurahisha
Hi yanga ilikua pa1 itakua bora sana ila saiv kocha aclewe cfa anatakiwa aunganishe Tim .
simba na yanga bana
nimekuja kumuangalia kisindaa 🤣🤣🤣 angerud na ntibazonkizaa ingekuwa poa san
Tulia we mikia fc wanakuja hao
Daima mbele, Nyuma mwiko
Weeeeeeeeuuuuwee
Yanga oyeeeee
Oyeeeee
Naitàkia yanga mchezo ujao ishinde
Young imenonga
Full 🏠
Kikosi Cha pili Cha hawa wananchi hakikuwa na positive impact pamoja na upande wa pili kuwa pungufu...mfyuuu
Yanga
nikwel yang tulifanya vzr xan
Kwel kabs yang yet
Sema kisindinyooooo
Vipi marafiki