Yanga SC 1-0 Mbeya City | Highlights - VPL 13/09/2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Lamine Moro ameifungia Yanga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City, mechi ikipigwa Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara VPL
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 367

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад +6

    Mtangazaji upo vizuri unajua kupamba mpira kwakweli

  • @johnbupimali5019
    @johnbupimali5019 2 года назад +14

    Kama umekuja hapa 2022 kuelekea Mechi ya Yanga tar 5 weka like

  • @badrushikeli9899
    @badrushikeli9899 4 года назад +7

    Hii Yanga Ni Zaidi Ya Burudani... HB Wa Kireno...Corner Ya Carlos Carlinho.... Baraka Mpenja 🔥🔥🔥

  • @subiransasi8029
    @subiransasi8029 4 года назад +5

    Wachezaji wote waliosajiliwa msimu huu wapo vizuri sana

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 4 года назад +7

    Give credit to Mbeya city Playing good football, But Calinho was like Thunder long passes finally lighting Gooooool

    • @daudabdallah7843
      @daudabdallah7843 4 года назад

      Kwa Yanga hii, nyie wa mikia mtalala Na viatu kila wiki,

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 4 года назад

      @@daudabdallah7843 waambie hao ndondocha fc

  • @grnifamgeni1309
    @grnifamgeni1309 4 года назад +3

    Mungu ibariki yanga African

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 4 года назад +5

    Naipenda yanga ataliiiii wana yanga wenzangu mpooooooo

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 года назад +6

    Mbeya City nimekoneni hard luck.
    Yanga mmestahili ushindi.
    Jitahidini katika umaliziaji.

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 года назад +8

    Yanga Jezi kali saaanaa

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 4 года назад +1

      Balaa yani unaombea mikopo bank ukapewa

  • @eliudimastertz3635
    @eliudimastertz3635 4 года назад +5

    Yanga inacheza mpira mzuri sana

  • @Josepedro7546-g5s
    @Josepedro7546-g5s 4 года назад +4

    I Love tanzanian footbal

  • @chrissmaswapps5379
    @chrissmaswapps5379 4 года назад +3

    Imenikosha timu yangu nashukuruuuu kxana daima mbele

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +5

    Roho zinawauma kinoma mikiaaa🦁 tareh 18 October.tutajua nani mume😃😃🇹🇿🇹🇿.

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 4 года назад +1

    Asante camera inanionyesha nikiwachangisha bakuli fc pesa yao nikiwa na ungo wangu
    Vivaa Mbeya City vivaa

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад +9

    Jezi yanga ipo vizuri kabisa

  • @AntonioSilva-vp3wt
    @AntonioSilva-vp3wt 4 года назад +9

    Vamos carlinhos💪🏾

  • @asumanishabani7539
    @asumanishabani7539 4 года назад +7

    Jmn! Yang raha

  • @diamondplatnumz1951
    @diamondplatnumz1951 4 года назад +3

    Dah fantastic header

  • @teclamahenge4425
    @teclamahenge4425 4 года назад +3

    Hongera Sana mbya city kwa kuonyesha kiwango Bora

  • @yakobotimotheo4549
    @yakobotimotheo4549 4 года назад +3

    Hii.ndo yanga mabigwa wa kihistoria na bado moto mtauona safi sana yanga

  • @hadsonsangala3083
    @hadsonsangala3083 4 года назад +3

    Lamine👏👏👏👏👏👏

  • @nasirkilapo6041
    @nasirkilapo6041 Год назад +2

    2023 daah hii mechi ilikua tamu kama dabi yanga na simba

  • @raston4gkalonda821
    @raston4gkalonda821 4 года назад +3

    Low image quality.
    Rekebisheni hali hii aise wapo kama wamemwagiwa unga

  • @salimyahaya7380
    @salimyahaya7380 4 года назад +2

    Daah niliinjoy xana @Lamine heshima kwako Brother🤘🤘💪👍

  • @Chezeni
    @Chezeni 4 года назад +3

    Beautiful game.....saaafiii

  • @tyatawelubrighton1962
    @tyatawelubrighton1962 4 года назад +3

    Super

  • @madirujaysmith4288
    @madirujaysmith4288 4 года назад +4

    My team yangaa

  • @witnessrichard4814
    @witnessrichard4814 4 года назад +2

    Fantastic i love it

  • @agnesignas4398
    @agnesignas4398 4 года назад +4

    Gooooo

  • @Diegobarack
    @Diegobarack Год назад

    Raha Sana

  • @ramadhansembuche3457
    @ramadhansembuche3457 4 года назад +6

    Yani mikia wataumia sana yan sasa kwanz jezi tu zinawaumiza sana

  • @franciscolaurentlourenco9701
    @franciscolaurentlourenco9701 4 года назад +3

    The best Carlinho

  • @mahangafrankoi335
    @mahangafrankoi335 4 года назад +2

    Big up baraka mpenja ww living ligend unanipa raha buludaniiiii hasa unapo tangaza football ususan ukimtaja nionzima Carlos decamo ferndez sestenho carlinho da nice

  • @tomemalamba7627
    @tomemalamba7627 4 года назад +2

    espero sempre o teu melhor irmão

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe9823 4 года назад +4

    Hii samba ya YANGA si ya nchi hii

  • @mnyiraboy6088
    @mnyiraboy6088 4 года назад +4

    Bila shaka kazkazi ndani ya uzi mpya

  • @boscojulius1278
    @boscojulius1278 4 года назад +3

    Hii ndio tafsiri ya captain uipambanie team ndie Lamine

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 года назад +2

    Yaani calinhos mungu anamuona ila mpenjaa umenifanya kuwa na furaha leo

  • @wambulawoship429
    @wambulawoship429 4 года назад +2

    Safi sana

  • @dignasianga754
    @dignasianga754 4 года назад +5

    Raha kama zote,wachezaji tupeni raha mashabiki hadi tuwapunguzie majirani zetu .Yanga mbele kwa mbeleee

  • @bichuroramadhan1559
    @bichuroramadhan1559 4 года назад +10

    yani kwahuyu mzungu wetu acha kabisa

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi1800 4 года назад +6

    Yanga ya msimu huu itakuwa moto timu ina wiki mbili karibia tatu za kuwa pamoja lakn wanacheza vizuri japo bado kuna mapungufu, naamin wakikaa pamoja mda mrefu itakuwa moja kati ya timu tishio

  • @evamariadaudi5038
    @evamariadaudi5038 4 года назад +5

    Dah, Mbeya city Leo mmeucheza mpaka saiv siamini Kama mmefungwa gori moja na kmc hamkueleweka kabisa .

  • @seifkhan6846
    @seifkhan6846 4 года назад +1

    Azam mpo good

  • @rashidkalabi8212
    @rashidkalabi8212 4 года назад +2

    Kocha wa mbeya city Ni mwalimu mzuri..

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 4 года назад +2

    Yanga raha sana

  • @jacobjacob8100
    @jacobjacob8100 4 года назад +4

    This is yanga

  • @kambonaelias3540
    @kambonaelias3540 4 года назад +5

    Duh me mshabiki wa simba damu damu lakin kwa gori hilo nmelikubali

  • @emmanuelkhisa8453
    @emmanuelkhisa8453 2 года назад

    Pitia frm 254💥💥

  • @joelsalvatory789
    @joelsalvatory789 4 года назад +1

    Carlinho Yuko vizuri sana,binge la mchezaji

  • @safiauwimana2355
    @safiauwimana2355 4 года назад +3

    💪💪💪💪❣❣❣

  • @jagdishfranklism4417
    @jagdishfranklism4417 4 года назад +1

    Disk on the top

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 4 года назад

    Vivaa Mbeya City vivaa
    Utumwa wa kaliakoo bakuli fc na mikia fc kwangu mwiko 🙌🙌

  • @kidotom2580
    @kidotom2580 4 года назад +3

    ongera mmejitahid yanga so mbaya

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 4 года назад +4

    Ongera Yanga twende mbelee

  • @imanimanleonard3389
    @imanimanleonard3389 4 года назад +2

    leo mungu ni mwema

  • @agnesignas4398
    @agnesignas4398 4 года назад +3

    Yanga rahaaaaaaaaaaaa

  • @zenamchomvu2299
    @zenamchomvu2299 3 года назад +1

    Nzuri

  • @abdallahsige2326
    @abdallahsige2326 4 года назад +3

    Hiyo ndio yanga

  • @juniorchilongola2191
    @juniorchilongola2191 4 года назад +4

    Kocha siku nyingine asimpange moro anampira wa zaman sana wa kubutuabutua tu.

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal8062 4 года назад +2

    Dahh kwa mbindee

  • @atanasimhina7969
    @atanasimhina7969 4 года назад +3

    Yanga baba laooo

  • @islabocco478
    @islabocco478 4 года назад +2

    💚💛💚💛

  • @joycealphonce8339
    @joycealphonce8339 4 года назад +1

    Yanga baba lao 💪💪

  • @khalifaalmugheiry9232
    @khalifaalmugheiry9232 4 года назад +1

    Leo yanga haikucheza mpira mzuri kama match iliyopita wakadro ila kutoka ushindi bora sasa ligi moto.

  • @bryanorua6514
    @bryanorua6514 4 года назад +1

    Yanga tunawika sana

  • @onesmokigomba8182
    @onesmokigomba8182 4 года назад +2

    Yanga cyo mbaya mambo yatakaa sawa

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад +5

    Kwakweli rahaaa

  • @jumapiliabdullah1363
    @jumapiliabdullah1363 4 года назад +1

    Hatar

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 4 года назад

    Wananchiii💚💚💚💚

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 4 года назад +4

    Makipa wengine wapumbavu sanaaa.
    Ligi ndo kwanza inaanza, Eti unapoteza muda.. 😂😂😂

  • @youngboy8968
    @youngboy8968 4 года назад +3

    Sana tm yawananchi

  • @ramadhansembuche3457
    @ramadhansembuche3457 4 года назад

    Raha sana

  • @masanjajohn8855
    @masanjajohn8855 4 года назад +5

    Vpl ngumu msimu huu

  • @dahsylivadrc9712
    @dahsylivadrc9712 3 года назад

    Noma

  • @faustinejohn9033
    @faustinejohn9033 4 года назад +1

    Jaman wapenzi wa yanga timu iko pw Sana jaman tatizo mipagilio yawachezaji haijawa mizuli sana jaman mifumo ilikebishwe sana jaman by elikana Edward Ndalahwa mupenda yanga aman sana jaman toka kitumba magu

  • @kijubakidiza5181
    @kijubakidiza5181 4 года назад +4

    Mm yanga dam ila kama viungo wetu wasipojua kuwa mtu yeyote akifunga ndo yanga imefunga tutateseka sana yani watu niwachoyo wa kupasiana sijui wanafeli wapi

  • @esaundalu3298
    @esaundalu3298 4 года назад +6

    Ukweli jezi ya yanga inamvuto

  • @jofreythedirector2960
    @jofreythedirector2960 4 года назад +4

    Eti shabiki wa Simba yupo katikati ya wananchi aaaaaah hatari yaani sasa imefikia hatua Simba yupo na wanachi wanapiga stori

  • @mwambajrking7575
    @mwambajrking7575 4 года назад +6

    Muite ČÄRLÒS stènìo guìmârâés dò čarmò fèrnañdes CÀLÌNHÒS a.k.a master pass, fundi wa mpira, KDB wa kiangola, hater's tulien dawa iwaingie vibek vizee vijiandae kulambishwa nyasi tu...😂😂
    #DarYoungAfricans
    #DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛💪

  • @fulgensponera4017
    @fulgensponera4017 4 года назад +3

    Carlinhos ndo yeye

  • @mahangafrankoi335
    @mahangafrankoi335 4 года назад +1

    Asante yanga wazung wamooo

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 4 года назад +1

    Yanga ya mwaka huu sijui

  • @benadetamasanja2720
    @benadetamasanja2720 4 года назад +1

    Acha ituue tu💪

  • @4dmatetw143
    @4dmatetw143 4 года назад +3

    Ndo ngoma hailali tena kimeisha waka tiary

  • @olivakyando2707
    @olivakyando2707 4 года назад +4

    Mbey.cty. hhongereni mmepambana.bahati haikuwa yenu

  • @onesmoaudaxjr4889
    @onesmoaudaxjr4889 4 года назад +3

    Hii ni balaa na nusu dak 13:38
    Bichwa la kuombea mkopo benki

  • @ezekielimarro1340
    @ezekielimarro1340 4 года назад +2

    Yanga modenen taarabu Leo mmebahatika

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 4 года назад

    Hatari

  • @joelsaitoti7137
    @joelsaitoti7137 2 года назад

    Yang'sby azam

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo2356 4 года назад +4

    Yanga ya mwaka huu unatamani waceze kila baada ya siku mbili tuendelee pata raha dadadek

  • @lewismcharo8086
    @lewismcharo8086 4 года назад +3

    6.04🤣🤣🤣Kunikaba huko kwiyo

  • @emanuelakaro1423
    @emanuelakaro1423 4 года назад +3

    Ila kataa au kubali yanga wanajua kutafuta wachezaji wazur jmn

  • @unclevirustv9772
    @unclevirustv9772 4 года назад +5

    ■Sisi tulijiamulia tutumie jezi za msimu ulopita mkalazimisha tulete jezi mpya zikafunika zote
    ■saiv tumejiwekea Carinho bench ninyi ndo mnateseka eti hawezi ligi ya bongo inabidi tiwadhibitishie kuwa anajua
    Kwahyo msiwaingilie Yanga kwenye mipango Yao mtaumia
    Nawaombeni sana Mikia😁

  • @abibubakari4862
    @abibubakari4862 4 года назад +2

    Hamna timu yanga mbovu sana baada ya 4_1 sasa hv 5_0 inawasubilia

  • @samwelsimon9278
    @samwelsimon9278 4 года назад +2

    Kocha anashindwa kutumia hawa wachezaji wetu yanga usajili nimzuri sana ila benchi LA ufundi nimauzauzatu hakuna watu wenye umakini wa kusoma aina za wachezaji wana angalia sura zawa chezajitu wanapanga

  • @anordkyand5651
    @anordkyand5651 4 года назад +1

    Daaa ynga nipe lahaa

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 4 года назад +1

    Yanga with Calinho sarpong mukoko kasinda, etc Cmon now yaani akuna mazuri basi....Kocha go and start your Life

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 4 года назад +3

    Yanga mbele kurudi nyuma mwiko

  • @hajimrisho4012
    @hajimrisho4012 4 года назад +2

    yaani hawa mbeya city bwana kmc kawatia 4 hawajalia yanga kawatia kimoko wanalia