Yanga SC 1-0 Mbeya City | Highlights - VPL 13/09/2020
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Lamine Moro ameifungia Yanga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City, mechi ikipigwa Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara VPL
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Mtangazaji upo vizuri unajua kupamba mpira kwakweli
Kama umekuja hapa 2022 kuelekea Mechi ya Yanga tar 5 weka like
Hii Yanga Ni Zaidi Ya Burudani... HB Wa Kireno...Corner Ya Carlos Carlinho.... Baraka Mpenja 🔥🔥🔥
Wachezaji wote waliosajiliwa msimu huu wapo vizuri sana
Saana msimu huu hatuna yikpe
Give credit to Mbeya city Playing good football, But Calinho was like Thunder long passes finally lighting Gooooool
Kwa Yanga hii, nyie wa mikia mtalala Na viatu kila wiki,
@@daudabdallah7843 waambie hao ndondocha fc
Mungu ibariki yanga African
Naipenda yanga ataliiiii wana yanga wenzangu mpooooooo
Mbeya City nimekoneni hard luck.
Yanga mmestahili ushindi.
Jitahidini katika umaliziaji.
Yanga Jezi kali saaanaa
Balaa yani unaombea mikopo bank ukapewa
Yanga inacheza mpira mzuri sana
I Love tanzanian footbal
Imenikosha timu yangu nashukuruuuu kxana daima mbele
Roho zinawauma kinoma mikiaaa🦁 tareh 18 October.tutajua nani mume😃😃🇹🇿🇹🇿.
Asante camera inanionyesha nikiwachangisha bakuli fc pesa yao nikiwa na ungo wangu
Vivaa Mbeya City vivaa
Jezi yanga ipo vizuri kabisa
Vamos carlinhos💪🏾
Yanga ipo vizur sanaaaaaa
Jmn! Yang raha
Dah fantastic header
Hongera Sana mbya city kwa kuonyesha kiwango Bora
Hii.ndo yanga mabigwa wa kihistoria na bado moto mtauona safi sana yanga
Lamine👏👏👏👏👏👏
2023 daah hii mechi ilikua tamu kama dabi yanga na simba
Low image quality.
Rekebisheni hali hii aise wapo kama wamemwagiwa unga
Daah niliinjoy xana @Lamine heshima kwako Brother🤘🤘💪👍
Beautiful game.....saaafiii
Super
My team yangaa
Fantastic i love it
Gooooo
Raha Sana
Yani mikia wataumia sana yan sasa kwanz jezi tu zinawaumiza sana
The best Carlinho
Big up baraka mpenja ww living ligend unanipa raha buludaniiiii hasa unapo tangaza football ususan ukimtaja nionzima Carlos decamo ferndez sestenho carlinho da nice
espero sempre o teu melhor irmão
Hii samba ya YANGA si ya nchi hii
Samba??! We hujui mpira hapo una timu kweli?!!
Bila shaka kazkazi ndani ya uzi mpya
Hii ndio tafsiri ya captain uipambanie team ndie Lamine
Yaani calinhos mungu anamuona ila mpenjaa umenifanya kuwa na furaha leo
Safi sana
Raha kama zote,wachezaji tupeni raha mashabiki hadi tuwapunguzie majirani zetu .Yanga mbele kwa mbeleee
yani kwahuyu mzungu wetu acha kabisa
Yanga ya msimu huu itakuwa moto timu ina wiki mbili karibia tatu za kuwa pamoja lakn wanacheza vizuri japo bado kuna mapungufu, naamin wakikaa pamoja mda mrefu itakuwa moja kati ya timu tishio
Dah, Mbeya city Leo mmeucheza mpaka saiv siamini Kama mmefungwa gori moja na kmc hamkueleweka kabisa .
Azam mpo good
Kocha wa mbeya city Ni mwalimu mzuri..
Yanga raha sana
This is yanga
Duh me mshabiki wa simba damu damu lakin kwa gori hilo nmelikubali
Pitia frm 254💥💥
Carlinho Yuko vizuri sana,binge la mchezaji
Neymar yupo dood
💪💪💪💪❣❣❣
Disk on the top
Vivaa Mbeya City vivaa
Utumwa wa kaliakoo bakuli fc na mikia fc kwangu mwiko 🙌🙌
ongera mmejitahid yanga so mbaya
Ongera Yanga twende mbelee
leo mungu ni mwema
Yanga rahaaaaaaaaaaaa
Nzuri
Hiyo ndio yanga
Kocha siku nyingine asimpange moro anampira wa zaman sana wa kubutuabutua tu.
Dahh kwa mbindee
Yanga baba laooo
💚💛💚💛
Yanga baba lao 💪💪
Leo yanga haikucheza mpira mzuri kama match iliyopita wakadro ila kutoka ushindi bora sasa ligi moto.
Yanga tunawika sana
Yanga cyo mbaya mambo yatakaa sawa
Kwakweli rahaaa
Saanaaaaa
Hatar
Wananchiii💚💚💚💚
Makipa wengine wapumbavu sanaaa.
Ligi ndo kwanza inaanza, Eti unapoteza muda.. 😂😂😂
😅😅😅😅
Sana tm yawananchi
Raha sana
Vpl ngumu msimu huu
Mikia polen kwa mateso
Noma
Jaman wapenzi wa yanga timu iko pw Sana jaman tatizo mipagilio yawachezaji haijawa mizuli sana jaman mifumo ilikebishwe sana jaman by elikana Edward Ndalahwa mupenda yanga aman sana jaman toka kitumba magu
Mm yanga dam ila kama viungo wetu wasipojua kuwa mtu yeyote akifunga ndo yanga imefunga tutateseka sana yani watu niwachoyo wa kupasiana sijui wanafeli wapi
Ukweli jezi ya yanga inamvuto
Usiangarie jez angaria matokeo
Eti shabiki wa Simba yupo katikati ya wananchi aaaaaah hatari yaani sasa imefikia hatua Simba yupo na wanachi wanapiga stori
mpira sio vita bro
Muite ČÄRLÒS stènìo guìmârâés dò čarmò fèrnañdes CÀLÌNHÒS a.k.a master pass, fundi wa mpira, KDB wa kiangola, hater's tulien dawa iwaingie vibek vizee vijiandae kulambishwa nyasi tu...😂😂
#DarYoungAfricans
#DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛💪
Carlinhos ndo yeye
Asante yanga wazung wamooo
Yanga ya mwaka huu sijui
Young htr nanusu
Acha ituue tu💪
Ndo ngoma hailali tena kimeisha waka tiary
Mbey.cty. hhongereni mmepambana.bahati haikuwa yenu
Hii ni balaa na nusu dak 13:38
Bichwa la kuombea mkopo benki
Yanga modenen taarabu Leo mmebahatika
Hatari
Yang'sby azam
Yanga ya mwaka huu unatamani waceze kila baada ya siku mbili tuendelee pata raha dadadek
Yaan raha tupu
6.04🤣🤣🤣Kunikaba huko kwiyo
Ila kataa au kubali yanga wanajua kutafuta wachezaji wazur jmn
■Sisi tulijiamulia tutumie jezi za msimu ulopita mkalazimisha tulete jezi mpya zikafunika zote
■saiv tumejiwekea Carinho bench ninyi ndo mnateseka eti hawezi ligi ya bongo inabidi tiwadhibitishie kuwa anajua
Kwahyo msiwaingilie Yanga kwenye mipango Yao mtaumia
Nawaombeni sana Mikia😁
Wambieeee wape salaaaam
..
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
Hamna timu yanga mbovu sana baada ya 4_1 sasa hv 5_0 inawasubilia
Ww n msenge2 mjinga ww
Kocha anashindwa kutumia hawa wachezaji wetu yanga usajili nimzuri sana ila benchi LA ufundi nimauzauzatu hakuna watu wenye umakini wa kusoma aina za wachezaji wana angalia sura zawa chezajitu wanapanga
Daaa ynga nipe lahaa
Yanga with Calinho sarpong mukoko kasinda, etc Cmon now yaani akuna mazuri basi....Kocha go and start your Life
Yanga mbele kurudi nyuma mwiko
yaani hawa mbeya city bwana kmc kawatia 4 hawajalia yanga kawatia kimoko wanalia