Yanga SC 3-2 Mwadui FC | Highlights | VPL 20/06/2021

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • YANGA vs MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
    Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 99

  • @mwanahamisseif5506
    @mwanahamisseif5506 3 года назад +11

    Daaah ili gemu sichoki kuliangaliaa wallah wananchiii tulisha kata tamaa jamani Mungu ni mwemaaaaa🙏🙏🙏💛💛💛💚💚💚💚

    • @zuchuwcb8655
      @zuchuwcb8655 3 года назад +2

      Yaan ata mm😂😂

    • @paulshaban8933
      @paulshaban8933 3 года назад +1

      He is also the chief of Hassan's 🤢💚💯👨‍🏫💟💯🗨🚵‍♂️ this is Future wash

  • @elliky2wo2wo95
    @elliky2wo2wo95 3 года назад +11

    Wakwanz naomben like wananchii💛💚

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 3 года назад +5

    Moja kati ya mechi ambayo wana Yanga hatuta kuja kuisahau ni hii💚💚💚

  • @shaninaftary1693
    @shaninaftary1693 2 года назад +7

    Hii mechi haichoshi kuirudia kutazama..I love u Yanga❤

    • @officialmtangakingkassimu5291
      @officialmtangakingkassimu5291 2 года назад +1

      Katika mechi za msimu ulio pita ninazo rudiaga ni hii

    • @edibilychaula.3753
      @edibilychaula.3753 2 года назад

      Yani hii match nairudia kila wakati kuangalia na hainichoshi dah haita kuja kusahaulika hii match

  • @dianajeremiah5662
    @dianajeremiah5662 2 года назад +2

    Sitaka ni isahau hii mechi 🙌🙌🙌

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 2 года назад +6

    Wangapi wanaangalia hii

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 3 года назад +6

    Daàaaa Hadi saivi sauti yangu haijarudiiiii goli la 3 lakausha sautiii aiseeee 😂😂😂😂😂😂😂💪💪💪💪💪💛💛💛daima mbele nyuma mwiko

    • @sakinachamshama1398
      @sakinachamshama1398 3 года назад +1

      hunishindi mimi yani nilifurahi mno ila sijui kwanini sikuwa na hofu kabisa

  • @deogratiuskalolo256
    @deogratiuskalolo256 3 года назад +5

    Daah wanaume waliiga sana kazi nilijua hii game tunafungwa kumbe kuna watu walikua na magori nilifurahi sana

  • @aud548
    @aud548 10 месяцев назад +1

    Sema tumetoka mbali sana asee🙌🙌🙌😂😂😂

  • @ashurakanyaru7366
    @ashurakanyaru7366 3 года назад +11

    HII MECHI ITABAKI KUWA HISTORIA VIZAZ NA VIZAZ

    • @shafiikhamis2336
      @shafiikhamis2336 3 года назад +2

      Sana...ilikua n game ya aina yake kwa kweli

    • @theodorycharles4959
      @theodorycharles4959 3 года назад

      kwakupakatwa2 hamjambo ila mngefungwa nyie hilo goli ungesikia Tff wanatuhujumu ila sababu mlipakatwa mkatulia2 ila kwani mnachelewa

    • @sakinachamshama1398
      @sakinachamshama1398 3 года назад

      @@shafiikhamis2336 mnoooo mikia wanaumia hatari

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 10 месяцев назад +2

    Timu kubwa ilionyesha ukubwa😂

  • @edinaboss1835
    @edinaboss1835 2 года назад +2

    Mtaa wa pili domo zegeee💪

  • @designeridrisa6079
    @designeridrisa6079 3 года назад +3

    Wa kwanza leo

  • @Murtini2023
    @Murtini2023 3 года назад +2

    What an incredible ending.

  • @iddyjuma7166
    @iddyjuma7166 3 года назад +9

    Afu watu wa simba wanasema eti gol la 3 alikuwa kazidi hahahaaaa yanga nihatari watu wanaumia

  • @samweliolengaya9942
    @samweliolengaya9942 3 года назад +5

    Hakika yanga sasa inakuwa timu haiii natamani sana hawa wangekuwa simba jamani

  • @filipengog3362
    @filipengog3362 2 года назад +1

    Nakubali

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi1800 3 года назад +4

    😀😀😀😀😀mpenja alibaki anasema tu waziiiir waziiiir waziiir cha kusema kilikosekana

  • @addelineantony3622
    @addelineantony3622 2 года назад +2

    Match tamu hatari

  • @sakinachamshama1398
    @sakinachamshama1398 3 года назад +7

    sichoki kuangalia haya magoli,

  • @peterkamara5911
    @peterkamara5911 3 года назад +5

    Lilikuwa swala la muda tu..katika match mashabik wa yanga watakumbk bs ndo hii

  • @johnnyoloni5888
    @johnnyoloni5888 3 года назад +1

    Yanga baba lao

  • @sakinachamshama1398
    @sakinachamshama1398 3 года назад +5

    bakari nondo anastahili kitambaa cha ukaptaini anapambana sana

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi1800 3 года назад +4

    Yanga wanaimarika kila kukicha, ilikuwa ni nadra sana kuona timu inatengeneza nafasi nying kama hizi siku za karibuni huyu nabbi ni bonge la kocha tumpe muda azidi kutengeneza kikosi pia tupate striker za maana

  • @joshuamwambene6041
    @joshuamwambene6041 2 года назад +3

    Mmmmh tulibanwa na hivi vitoto lakini mkubwa nli mkubwa tu.

  • @hatari9591
    @hatari9591 9 месяцев назад +1

    Ilikuw ni off side

  • @yacenharuna380
    @yacenharuna380 3 года назад +6

    Yanga SC jana mlnifanya usku nikojoe ktandani kabsa 😀😀😀😀, goli la Waziri Jr nlliota nikiwa na kbinti cha KITANGA kitandani 😀😀😀😀😀😀, Dadeq jana nliamin mpira n dak 90 kwel ndo ujue umeshinda au la🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 3 года назад +3

    Hii mechi sichoki kuitazama

  • @adamamin8148
    @adamamin8148 3 года назад +3

    Mpira ulikuwa mzuri sana mwadui wamecheza sana lkn yaanga walifit kila sehem saidi ntibazolkiza akiacha ubinafs yanga itakuwa inapata magoli mengi sana ntibazokiza aache ubinasi najua kila mchezaji anataman kuwa na magoli mengi ushaur wangu panapo nafasi funga ukiona auna nafasi ya kufunga toa pasi kwa mwngine afunge kuinusuru tim yanga ni tm kubwa pia ongera kocha

    • @athumanimbaya9509
      @athumanimbaya9509 3 года назад

      Ni kweli kabisa, unachoongea, maana, hata Kaseke, na Tk master, wangekuwa, wabinafsi, hii mechi, tulikuwa, tumelala, yombo.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      Tatizo la saido ni ilo jina god father ni laana hiyo

    • @mathiasulaiti5665
      @mathiasulaiti5665 3 года назад

      kwa ujumla hali ya ubinafsi inaanza kupotea tumpe muda. coz mwanzoni wachezaji wote walikua na umimi. hii timu ni nzuri na ina matumaini sana . wakiondoa ubinafsi mamo yatakua mazuri siku za usoni

    • @mwanahamisseif5506
      @mwanahamisseif5506 3 года назад

      @@mathiasulaiti5665 Sanaaaa umenenaaaaa

  • @albertlukoo7386
    @albertlukoo7386 3 года назад +2

    Washangiliaji wa simba ni waimba taraabu

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 3 года назад +2

    😅 somaiyoooooooooooooo

  • @pascalpaul3596
    @pascalpaul3596 2 года назад +1

    Ukweli mbaya ila mechata ulikuwa unaihujumu yanga

  • @msabato.6947
    @msabato.6947 3 года назад +5

    Raisi wa tff ombilangu sheria ya dakika za nyongeza ifutwe

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 3 года назад +2

      Nautapat tabu San 👌👌👌👌dume km jike bhn hovyoo

    • @yacenharuna380
      @yacenharuna380 3 года назад +2

      😀😀😀😀 na Mkia FC kwa game ya Tz prison maana nae alsawazisha goli dak ya 95, TFF irudiwe hyoooooo

    • @charitymkombozi1800
      @charitymkombozi1800 3 года назад

      😀😀😀😀😀

    • @mathiasulaiti5665
      @mathiasulaiti5665 3 года назад

      kwani ww umetokea waapi mtaa huu??

    • @lisasilisasi2653
      @lisasilisasi2653 3 года назад

      Haifutwi sawa

  • @allymandunda3095
    @allymandunda3095 3 года назад +3

    Yanga damu

  • @dartnatuscharles8268
    @dartnatuscharles8268 3 года назад

    mechi zinazo chezwa leo talee 6-9-2021

  • @zaunafelix3522
    @zaunafelix3522 3 года назад +3

    Yani unajikuta choz linadondoka

  • @user-pb5gd7uy8o
    @user-pb5gd7uy8o 9 месяцев назад

    Hata simba warifungwa ya ofsadi

  • @dayanalema2351
    @dayanalema2351 2 года назад +3

    Hii mechi sito sahau

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад +1

    Kwakweli hii game ichunguzwe vizr kwa nini ata kabla refa hajapuliza kipyenga cha mwisho mwadui walale chini na kulia?

  • @jisenalukeleshajisenalukel8689

    Duh

  • @samweliolengaya9942
    @samweliolengaya9942 3 года назад +2

    Mhmhmhm mpenja nawe unaweka chumvi dah

  • @lameckrambert7444
    @lameckrambert7444 2 года назад

    Mbao fc

  • @momadeissa752
    @momadeissa752 2 года назад +1

    L

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 года назад +3

    Goli la offside hili la mwisho we angalia mfungaji alikuwa wapi? Mmefichiwa aibu tu.

    • @yacenharuna380
      @yacenharuna380 3 года назад +1

      Tatzo Education kwako

    • @lokole22tv
      @lokole22tv 3 года назад +1

      Sio offside angalia usawa wa beki anaemfukuza Tuisila kisinda na usawa alipo Waziri Junior, achana na hao mabeki wawili wa kati wa mwadui.

    • @yosiamakago6224
      @yosiamakago6224 3 года назад +1

      Nyoook

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 3 года назад +1

      kwani mfungaji alikuwa wapi wakati yacuba anapiga pass mbele ya kisinda.. mpira ulipita mbele.. Kisinda na waziri waitoka nyuma ya mabeki wakawapita wakati mpira uko mbele.. hakuna offside apo bro... LADBA KAMA HUNA IDEA YOYOTE KUHUSIANA NA SHERIA YA OFFSIDE NDIPO UNAWEZA SEMA NI OFFSIDE... kisinda anapiga pass kwa waziri angalia kama waziri yuko mbele ya mpira au nyuma ya mpira..

    • @youngsnipertz9415
      @youngsnipertz9415 3 года назад

      Tatizo hukucheza hata mpira

  • @fid-focwayesu2759
    @fid-focwayesu2759 3 года назад

    Kiufupi ya jua mpira sema ndiyo hivyo tuu..yanga jaman dah

  • @silviasebastian2094
    @silviasebastian2094 2 года назад

    😅😅😅

  • @mato4g818
    @mato4g818 3 года назад +1

    Tizzo

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 3 года назад

    Mwadui hawana mapumbu

  • @alfredmashala4062
    @alfredmashala4062 3 года назад

    0

  • @davidbahati8327
    @davidbahati8327 3 года назад +1

    Yanga kwel mmeishiwa yaan mlishangilia kuwafunga mwandui Kama vile ndo fainal mnachukua kombe, makelele mitaa yote, yaan wewe ni wa kushangilia kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja tokea mwez wa 4

    • @kwamefidel736
      @kwamefidel736 3 года назад +1

      Kama unalijua hilo mbona mwadui walikuwa wanalia na kunyong'onyea Kama ndo mechi iliyowashusha daraja waliahidiwa mrungula hao

    • @laipazergy7938
      @laipazergy7938 3 года назад +1

      Kama huelewi kaa kimya mbwa wewe, unaona kawaida kufunga magoli mawili ndani ya dakika nne za nyongeza

    • @charitymkombozi1800
      @charitymkombozi1800 3 года назад

      Acha ujinga

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      Nyie mlikuwa mnashangilia nini kumfunga namungo na ruvu?

    • @sakinachamshama1398
      @sakinachamshama1398 3 года назад

      @@kwamefidel736 asante umemjibu vizuri sana

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 3 года назад

    Goli la mwisho offside lakini sijajua kwanini timu kubwa zinasaidiwa na marefa na mtangazaji anajifanya haoni

    • @mathiasulaiti5665
      @mathiasulaiti5665 3 года назад +3

      angalia vizuri weka slow motion. msipende kuwa na macho ya matege.

    • @machinefannatic99
      @machinefannatic99 3 года назад

      @@mathiasulaiti5665 wewe ndio una macho ya kishoga embu tumiaga akili sio kila kitu ushabiki, ndio maana afrika hauendelei. Clear offside alafu bado unaleta siasa.

    • @sephaniaayubu1877
      @sephaniaayubu1877 2 года назад

      Yan Apo nisawa naboko awe onside amvuke beki ok chama nae awe alivuka naboko mda uwo wakipasiana nikosa? Ko mpira hauitaj macho tu nauerewa piah