URUSI KUTUMIA SILAHA ZA NUCLEAR ? KANUNI ZINALETA WASIWASI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates l #ukrainerussiaconflict
  • СпортСпорт

Комментарии • 9

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 10 дней назад

    Kazi iendelee Bw. Putin

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 10 дней назад

    Urusi tumbo Moto,kila siku,anaonyesha wasiwasi wa kushindwa vita ukreini.ndiyo maana kila mara anatishia kutumia neukilia.anasahau kuwa jeshi la NATO linamiliki nuekilia.na nchi zote za ulaya magharibi wanazo nuekilia za kutosha.

    • @YohanaMasebo
      @YohanaMasebo 10 дней назад +1

      Mkundu wa shangazi yako tumbo joto mama yako😂😂

  • @LuganoAmwamsojo
    @LuganoAmwamsojo 9 дней назад

    😂😂😂😂walete kati waseme

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 10 дней назад

    Kwa io wanalinganisha ukolini na vita hii? 😱

  • @shabanmuhoro3342
    @shabanmuhoro3342 10 дней назад

    Sio mabadiliko 😂😂😂 Bali wanavunja makubaliano ya nyukilia hawataki Teena hapa ni kuzichapa tuu mwanamume abaki mshindi 😂😂

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 10 дней назад

    Usiwe shabiki usiyefahamu vizuri hii dunia ya magharibi.mimi huwa nawaambiaga nchi za magharibi wamekuwa na mkakati wa miaka mingi wa kuhakikisha kuwa ukomunisti unakufa.na ili lengo letu litimie,lazima kuibomoa kwanza urusi kiuchumi,na kisera.kwa maana ndiyo taifa la kikomunisti lenye nguvu kijeshi.mjue Hilo halina ubishi.na magharibi hawataacha huo mkakati wao mpaka lengo letu litimie.

  • @user-qh4sm5fh3w
    @user-qh4sm5fh3w 10 дней назад

    Kwani akitumia na yeye atabakiaje? yaan na yeye ataachwaje? Au ataiangamiza dunia yote na kubaki yeye tu!!!?