AZAM 0-3 YANGA | Jikumbushe Yanga walivyoichapa Azam 3-0; Ngao ya Jamii 16/09/2014
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Kuna siku Azam FC walikula 3-0 kutoka kwa Yanga iliyokamilika. Ilikuwa ni ile Yanga ya Wabrazil chini ya Kocha Marcio Maximo, Yanga ya Mrisho Ngasa na Juma Abdul wa moto. .
Ilikuwa ni Yanga ya Mbuyu Twite bingwa wa kurusha mipira, ilikuwa ni Yanga yenye ‘reserve’ wenye uwezo sawa na ‘first eleven’. .
Azam nao hawakuwa wa kawaida, walikuwemo ma-pro kibao akiwemo Kipre Tchetche, Leonel, Kavumbagu, Diara na wengine.
Enzi hizo Gadiel Michael ndiyo alikuwa anaanza kuingizwa kwenye kikosi cha wakubwa, na kwenye mechi hii aliingia kuchukua nafasi ya Erasto Nyoni aliyekuwa akicheza nafasi ya beki wa pembeni. .
Kwenye mechi hii wakati wa mapumziko, Mrisho Ngasa na Abubakar Salum #Sureboy walibadilishana jezi.
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Yanga bingwa 💯💯 2024
Dooooh! Naitamani sana yanga yetu hii irudi kama zamani
Sasa hivi tunakwama wapi?
Tatizo ni usajili mbovu unaofanyw na viongoz
@@hemedimwamoto4359 Tatiza kubwa ni hatuna mfadhili wa maana
Hao wote hawapati no.kwenye Yanga ya Pacome
Ni Mabingwa tokea zamaaaaani😂😂😂💚💛💚💛 🔥
2024 🎉🎉
YANGA hii sio mchezo makolo walipoteana kabsaa,,,,,
Yanga hi😘😘😘😘😘😘😘😘😘,😥😥😥
Wananchi kwenye ubora wetu 👏👏👏
Kumbe dilunga alicheza YANGA baba lao
Yanga& azam
Na captain cannavaro alikuwa 🔥🔥
2024
Naipenda yanga jamn
It was very fantastic game
Kikosi Cha yang
Kama wanatafsir picha za kihindi baraka mpenja number one
Yanga hii ilikuwa hatari sana
Dida was a class by that time..gone are the days 😂😂😂
Daah hii ndo Yanga yetu ilkuwa htr sana
yanga yazaman tukipata raha xana xio ii yaxaxaiv
Sema huyuuu Jaja walimroga daaaaah sio kwa ufundi huuu afu akashindwa kungaa ligi kuuu
Jaja alikuwa bonge la mchezaji
.
Hatareeee
Hii Ndo Ile Yanga Ya Zamani Sio Ya Sasa hivi
Yanga hii iliwahi gongwa 5 bila
Yanga hiyooooooo
@@abrahamkibona7038sio kweli haikuwa hii,hii haikufungwa na Simba
Hii kweli ndio ilikuwa Yanga.
Yanga hii ndo tunaitaka
Mbrazili ni mbrazili 2
Yanga ya manji
Kampa kampa tena
Jina la uyu mtangazaji?
Dah
Azam fc
#Timuyawananchi✊🏆
Huyu mbaziri yupo wap mleteni basi
Hiyo karatee ingemkuta msuva duuh
Jaja alikuwa fundi kweli kweli
Goo
Msuva daima we nihero
Dida arudi Yanga mi bado namwamin sana
Hiviiii kikosi cha hvi itatokea kipatikane tena
Kitapatikana tu
Yanga yetu hiyo ilikuwa balaaa
Yanq
Niza
Tuongeze umakini katika kusajiri hasa ushambuliaji,hii ilkuwa timu tishio
Kweli
Hadi natokwa na machozi yanga yetu ya kipindi hicho daaah
We acha 2 itarudi tu lakin tumuombe mungu
Yanga hii ilkua na balaa
Hiii ndio yanga Sasa sio hii ya Sasa ivi kila siku mawazo tu
Yanga raha sana
Niyonzima alikuwa wa moto
Xan
Yanga mbovu
GERSON SANTOS SANTANA JAJA ni hatari sanaaa
Usajil wa yang
Watangazaji hata hawavutii kwenye kutangaza
Unataka watangaze vip
Daima mbele nyuma mwiko
Kpind hko
Sijui kwanini tulimwacha jaja
Yeye ndo alituacha, alienda mapumziko hakutaka kurudi
Dida mtamuu
Ghhàaaàa
Ujambo azam 🤣
Watapata tapu Sana nayanga yao mbovu
Usajil wa yang
Yanga ya mot
Yassir