Yanga 3-0 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 20/12/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mabingwa watetezi… Yanga SC leo wamtoa kichapo kingine kwa Coastal Union, wakiwapiga 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, ukiwa ni mchezo wa marudiano, ligi kuu ya NBC Tanzania Bara.
    Fiston Mayele amefunga mawili dakika ya 29 na 47 huku Feisal Salum akiongeza la tatu dakika ya 66.
    Tazama highlightys...

Комментарии • 178

  • @tumaramadhani3381
    @tumaramadhani3381 Год назад +9

    Sis ndio yanga like zang kwa wana nyanga

  • @israelmuhewa5463
    @israelmuhewa5463 Год назад +1

    This is young africans of Nasredine nabi the technique coach we proud of you

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Год назад +8

    YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO💛💚💛💚💛

  • @aishaahmed9102
    @aishaahmed9102 Год назад +4

    Sisi ndio yangaaaa 💛💚💛💚💛💚👌🏻

  • @odaxstephano2510
    @odaxstephano2510 Год назад +4

    kuna bunduki zingine zinakwepwa siyo kushik aziz ki bhana unanifurahisha sana ❤️❤️❤️🤜 yan ni binduki wazeeeee

  • @nancyomary5075
    @nancyomary5075 Год назад +3

    Hakika. Yanga 💛💚 nainjoi saana yanga 💛💚

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil Год назад +6

    muwakumbushe kwamba tumeanza tena unbeaten zingine

  • @scholarhaule9956
    @scholarhaule9956 Год назад +8

    Safi sana Aucho umektaa uonevu juu ya kibwana ukaenda kulipiza😂😂😂😂🙌

  • @emanuelijabu
    @emanuelijabu Год назад +4

    Wananchiii🔰💚💚💚💛💛

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 Год назад +5

    Pira popcorn💚💛

  • @lowasakitwiyan7758
    @lowasakitwiyan7758 Год назад +4

    Congratulations bro lomalisa

  • @yangacongosupporter6051
    @yangacongosupporter6051 Год назад +3

    Yanga tamu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Год назад +2

    Azizi uko vizuri unachezesha time vizuri wote mkopoa

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +21

    Duuuh huyu coach wa coasto kashacanganyikiwa 🤣🤣🤣 eti omar Omar,pasi yako iwe na maneno😂😂😂

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Год назад +8

    Jaman naomba like zenu km kuna mtu ambaye achoki kuangalia hii mechi

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +6

    Daaah aucho amejua kunikosha kwa hilo tukio😋😋😚😉🤣🤣

  • @mariamsuku7021
    @mariamsuku7021 Год назад +4

    Asante sana wachezaji wetu

  • @ip_header
    @ip_header Год назад +2

    Best team Win

  • @nestorymapunda3988
    @nestorymapunda3988 Год назад +1

    Yanga yang jmn💚💚

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Год назад +13

    Lomalisa na 🔥🔥🔥tulimchukulia poa mwanzon kweli usimdharau usiemjua

    • @bonifacesinkala6745
      @bonifacesinkala6745 Год назад

      Hawa wachezaji wanaotoka nje ya Tanzania,mpka wapate kuzowea mazingira ,aina ya chakula,viwanja ,Hali ya hewa ,ndio uwanza kuzowea ,wengine wanachukua muda mfupi wengine muda mrefu kidogo

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Год назад +4

    Tutahesabu Hadi unbeten 120 💚💛💚💛💛💚 wapinzani had muone wivuuu

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Год назад +1

    Dar Young African 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛💛💛

  • @abdallahomar5868
    @abdallahomar5868 Год назад +3

    Mayele mayele mayelee aaaaa ndo uyo uyoo

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Год назад +3

    Aucho mmbabe sanaaaa aiseee

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Год назад +4

    Wakatuumiziaa nkane wetu😢

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Год назад +2

    Pira la kibingwaaaaa

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Год назад +2

    Yanga munanipa laha sana

  • @meddymachozy1161
    @meddymachozy1161 Год назад +1

    💛💚

  • @jannathasnani3548
    @jannathasnani3548 Год назад +3

    Thalatha bin sufury😂😂💚💛💚💛💚💛

  • @mkapa6166
    @mkapa6166 Год назад +1

    Aziz ki ni player lkn kwa chama atasubiri sanaaaa

  • @lievinntaganda1715
    @lievinntaganda1715 Год назад +5

    Watching a football match is good but think Jesus Christ the son of the living God is the way, the truth and the life the day of repentance is today stay blessed

  • @benedictmhina8880
    @benedictmhina8880 Год назад +4

    Kwa mtu mwenye akili timamu hata beza shughuli anayo ifanya Aziz ki

  • @dianabanga2625
    @dianabanga2625 Год назад

    azizi ki ni nomaaa

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Год назад +2

    Wametajwa wanamuziki watatu tu humo ndan, hakika ndo top 3 Tanzania kwa wanamuzik wa kiume

  • @yasintamichael8582
    @yasintamichael8582 Год назад +4

    😂😂😂😂 aucho umejua kunifurahisha

  • @jacoboyusuph1378
    @jacoboyusuph1378 Год назад +2

    Nani ameona lomalisa akitoa pasi/cross kwa mguu wa kulia

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Год назад +2

    Pita la kibingwaaaaa...

  • @emmanuelkhisa8453
    @emmanuelkhisa8453 Год назад

    Pitia frm 254💥💥

  • @bysergabriel1934
    @bysergabriel1934 Год назад

    Miye wa kwanza ____yanga hoyeeeee

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Год назад +1

    Coastal union naooooo...

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад +4

    Mlichofungiwa mnakijuwa? Ni hizo jezi zimejaa Usimba simba!

  • @annamashauri7421
    @annamashauri7421 Год назад +3

    Leo mmejua kunifurahisha mayele na fei Toto Ila nataka na makambo awe anapangwa

    • @mwambajr7679
      @mwambajr7679 Год назад

      Makambo aliumia na bado anaumwa ndomana hawekwi hata sub...

    • @choggysly3541
      @choggysly3541 Год назад

      Makambo mgonjwa ila msimu huu utakuwa wa mwisho kwake nadhani

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 Год назад

      @@choggysly3541 nafikiri ivyo pia

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 Год назад +10

    Hawa Azam wanapendaga sana kuonyesha matukio tata ya timu nyingine mengine ambayo hayatakiwi hata kurudiwa especially yanayoihusu Yanga ila ya kwao na makolo hawarudiagi hata uwaue...endeleeni tu na ujinga wenu jumapili tunaipiga tisa timu yenu af tuone kama mtakata kata highlight...

    • @aminasubira6591
      @aminasubira6591 Год назад +2

      Hahahhaha Tisa 10 Ndugu Yangu Nimecheka kwa saut

    • @selemanmussa3459
      @selemanmussa3459 Год назад

      Wafuatilie tu utagundua huo ujinga wao, ndo ishu za conflict of interest zinaanziaga hapa....unarusha matangazo then unamiliki timu na ni shabiki wa makolo lazima uwe na maujinga kibao...

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Год назад +5

    Nimeona azizi k.Amemaindi baada ya fei kuchukua Mali mbele yake na kufunga Lakini kwa upande wake asingeweza kufunga hapo.toto kapiga nayo.Safi shirikianeniiii..msichukianeee nyote mnajenga Banda moja

    • @greaterjustin2231
      @greaterjustin2231 Год назад

      Si ndo hapo lengo nikitafta magoal haina umhimu kumind labda kwakua wanacheza namba moja unazan angekua amefunga mayele angemind kweli? kwa upande wake pale pengine isingekua goal japo alifanya kazi kubwa

    • @choggysly3541
      @choggysly3541 Год назад

      Kamind kweli

    • @elizabethmagesa2818
      @elizabethmagesa2818 Год назад

      Mbona kama vile kampa pasi

    • @halemahalema7489
      @halemahalema7489 Год назад +2

      hamna azizi sio mchoyo wa pasi hiyo pasi alimpa.

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 Год назад +1

      @@halemahalema7489 lomalisa mchoyo wa pasi? 😳😳😳

  • @mwambajr7679
    @mwambajr7679 Год назад +4

    Tushamla huyo mwali wa tanga, lambwa lambwa mjiandae kuliwa hahahaaa....

  • @dianajeremiah1547
    @dianajeremiah1547 Год назад +1

    😉😉😉🤩🤩

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 Год назад

    💚💛💚💛

  • @abdunnurahmedsilim7456
    @abdunnurahmedsilim7456 Год назад +1

    Nyie Azam tv mbona hamjaonyesha takwimu za mchezo?

  • @user-dv2qk5nd1k
    @user-dv2qk5nd1k 4 месяца назад

    Nyieee mayele alikuwa mtuu Sanaa @mayelefiston

  • @arnoldjonathan3944
    @arnoldjonathan3944 Год назад +2

    timu zingine hazifai hata kuwa ligi daraja la tatu

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 Год назад +2

    Unyama

  • @ramadhanvyombo5145
    @ramadhanvyombo5145 Год назад +2

    Uyu lomalisa

  • @ecostats51
    @ecostats51 Год назад +5

    Young African Sports Club inapiga pira aina ya Peresu-peresu. Yaani hili pira ni zaidi ya ndoige.

  • @barakajonas4086
    @barakajonas4086 Год назад

    💚💛💚💛💚💛💚💚💛

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +5

    Nyie hizi raha nani aje tuzichangie jamani

  • @Maunene-cage200
    @Maunene-cage200 Год назад

    🔥🔥

  • @hajially4527
    @hajially4527 Год назад +6

    Halafu nyie kolo msimfananishe mayele vidudu vyengine

  • @paulromanusy3882
    @paulromanusy3882 Год назад +2

    Mashabiki wa ihefu tu like hapa twende sawa!

    • @ecostats51
      @ecostats51 Год назад

      Hadi sasa huna like hata moja bora ufute au edit hiyo comment. Sasa fans wa Ihefu waje kutazama matukio ya Bingwa na Coastal union ili iweje sasa. Akili mtu wangu!

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 Год назад

    💛💛💚💛🤜

  • @jacksonkipara8589
    @jacksonkipara8589 Год назад +3

    Nakwambia mayele anaendeleza alipoishia mwaka Jana.

  • @milcahchacha8645
    @milcahchacha8645 Год назад +5

    Mimi mda wote naangaliaaa mechi za yangaa tu,karibuni turudie tena

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Год назад +3

    Nimeiangalia hii sijaipenda mtu anakuja kukupongeza unamtoa mkono kwa nguvu nini maana yake

    • @tumaramadhani3381
      @tumaramadhani3381 Год назад

      Kweli feytoto anawatoa mikono wenziwe kila siku wakimpongeza

    • @robertmboya7842
      @robertmboya7842 Год назад

      hilo ni pozi la kushangilia kama ulikua hujui

  • @hajially4527
    @hajially4527 Год назад +3

    Wanaume tupo juu tumelalia demu lakini sijataja jina matusi sitaki

  • @fredsonleonard9963
    @fredsonleonard9963 Год назад

    💚💚💚💚👍👍

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 Год назад +2

    Yaani hawa Coastal walikuwa wafe bao 10. Sio kwa kosa kosa hizo wanazokosa Yanga.

  • @hajially4527
    @hajially4527 Год назад +3

    Huyo fei ukipenda utamuita feidinyo

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Год назад +1

    Yani uyo jamaa anaziba mdomo alafu anaongea kwa Kubwata 😂

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 Год назад

    Kuna namna inabidi Coastal union wamtafute mbadala wa Sopu ili timu irudi katika hali yake
    #Hongera Yanga yangu.

    • @neemajamesjames629
      @neemajamesjames629 Год назад

      Hilo boll lililopigwa hapo na wachezaji wa yanga ni hatar kwakweli nimeipenda

  • @israelmuhewa5463
    @israelmuhewa5463 Год назад

    Mayeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee big up brother your so dangerous

  • @martharayson1979
    @martharayson1979 Год назад +3

    Nimependa alichokifanya aucho

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Год назад

      Sanaa yeye ndio alianza madhambi kwa yanga aucho kaenda kumkomesha🤣🤣

    • @vitenge_by_taby2045
      @vitenge_by_taby2045 Год назад

      Yaani nimependa sana….huyo jamaa kafanya madhambi kwa shomari makusudi,Aucho kamlipia

  • @maikokapelo5508
    @maikokapelo5508 Год назад

    Yanga.tamuuu

  • @abdunnurahmedsilim7456
    @abdunnurahmedsilim7456 Год назад

    Yaani hawa walikuwa wanakufa zaidi ya goli 6

  • @khalidmaalim2439
    @khalidmaalim2439 Год назад +1

    Kila mechi fainali Sasa mpk tunachukuwa ndoo

  • @annamashauri7421
    @annamashauri7421 Год назад +1

    Makambo

  • @annamashauri7421
    @annamashauri7421 Год назад +1

    Jaman mbna huwa hapangwi

  • @yonakiseriani5053
    @yonakiseriani5053 Год назад

    Hakuna wa kuzuia yanga

  • @rozaliastanslausraphael7884
    @rozaliastanslausraphael7884 Год назад

    Jamani yanga tusiwadharau kamwe wachezaji wetu

  • @bongonews6542
    @bongonews6542 Год назад +1

    Yanga kama wanafanya mazoez chek mechi za simba ni kama fainal inaumiza sana mpira wetu umehariniwa sana na viongoz wapo kmya

  • @erickmisilakuba6426
    @erickmisilakuba6426 Год назад

    Mayele msaniii

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Год назад +3

    Fili wa simba f a ana magoli mangapi na nbc ana magoli mangapi?nauliza

  • @keloseko8415
    @keloseko8415 Год назад +1

    Mpenja shida eti inanukia kama pilau

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Год назад +2

    😂🤣🤣🤣Ukiona jezi nyeusi basi ujue msiba unakuja

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 Год назад

    Mayele atakuja kuua watu.Jamaa anajua sana huyu,aziz ki,ni moto,faisal kama kawaida yake,mwaka huu,mwaka huu mayele atakuwa anachukua tuzo anavotaka,wapinzani wako hoi.Tunamtaka azam tumlipie kolo maana walibamizwa hao,

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Год назад +2

    Nilikua naisubiri hii ndo nilale🔥🔥🤣🤣

  • @MudathiriMahr-df2wg
    @MudathiriMahr-df2wg Год назад +1

    Coast union 🤣🤣🤣

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Год назад

    1:30 Hii ni penalty. VAR ije bongo tu. 5:03 mtu wa mwisho unatoa njano???

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Год назад

    Jezi ziliwaponza

  • @witnesslove6062
    @witnesslove6062 Год назад

    Unavyompa huo mpira mh

  • @rahmomar1772
    @rahmomar1772 Год назад +1

    Wamenyimwa penati

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад +1

    Mchezaji hajuwi kuomba penalty angekuwa Morrison lazima refa otowe penalty

  • @aliiymanjomba
    @aliiymanjomba Год назад +2

    tumeanza kuhesabu anbten

  • @londomathayo2681
    @londomathayo2681 Год назад +1

    F

  • @maduhulusangija3715
    @maduhulusangija3715 Год назад

    saf

  • @farajaroger3696
    @farajaroger3696 Год назад +1

    Kwanini mayele ashangiliagi goli zawenzake ?

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 Год назад

      Ni mbinafs ila yy wenzake wanamfuata kwa furaha akifunga

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Год назад +1

      @@mahmoodalghefeili5370 Muulizaji na mwenye kujibu wote ndio wale wale makolokoloni...fuatilieni mechi zengine acheni upekupeku, uchimvi na umbeya au mmeshazoea kusutwa?!

  • @ommyjuniorjumbe3328
    @ommyjuniorjumbe3328 Год назад +1

    TUAMBIENI NYIE TFF.....KOCHA MWINYI ZAHERA ALIVAA PENSI UWANJANI MKAMPIGA FINE ...JE HUYU JOSEPH LAZARO ALIVOVAA NI SAWA KABISA NA HAINA TATIZO...AU NI KWA VILE NI YANYA TU..HII INADHIHIRISHA UONEVU WENU..

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 Год назад

      Hahaha! Bro unakumbukumbu Sana asee 👏👏

    • @ommyjuniorjumbe3328
      @ommyjuniorjumbe3328 Год назад +1

      ZAHERA AKIWA YANGA ALIPIGWA FAINI ETI KWA KUVAA PENSI UWANJANI.....TFF HII HII LEO HUYU JOSEPH LAZARO KAVAA PENSI SHERIA HII HAIHUSU NI KWA AJILI YA YANGA TU...NYIE TFF MJITATHMINI SANA...MNAONESHA DHAHIRI HAMJUI MNALOFANYA MMEKAA TU KUONEA BAADHI YA TIMU HASA YANGA...

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 Год назад

      @@ommyjuniorjumbe3328 tutawaumiza kwa kuwafunga Makolo tu

  • @abelmwakimbinga
    @abelmwakimbinga Год назад +1

    Mechi za YANGA kwanini hamuonyeshi asilimia za umiliki wa mpila

  • @robertmboya7842
    @robertmboya7842 Год назад +1

    Nani anaganda kama sanamu

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +3

    Dada Joyce Alicheza faulu sema Bahasha inafuta makosa

    • @hajially4527
      @hajially4527 Год назад +1

      Sema una makengeza tu

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 Год назад

      Mtaongea bahasha mpaka lini makolo nyie

    • @kitetekitete9568
      @kitetekitete9568 Год назад

      najua inawauma ngada

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Год назад

      @@alicenice1711 Mpaka siku mkishinda kihalali Bahasha FC

    • @mariamnestory5218
      @mariamnestory5218 Год назад

      Akishinda kolo goli 5 halali ila akishinda yanga ni bahasha kwani mna shida gan nyie makolo

  • @maestro_keysdcloopsbrand8372
    @maestro_keysdcloopsbrand8372 Год назад

    Aliongea shit huyu falaa

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Год назад +2

    💚💛💚💛💚💛💚💚💛💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💚💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚