#TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 24

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 10 дней назад +3

    Yaani umenifurahisha sana,esha buheti na kina wema sepetu mwenzawao ni mwijaku ndio kazi zao zinafanana lakini kwenye wanaume na shuhuli za kiume mwijaku nasema pole

  • @lejorisz
    @lejorisz 10 дней назад +1

    No comment the guy talked what my thoughts are I really like him 🎉

  • @severinostephano3213
    @severinostephano3213 9 дней назад

    Angali timu Kama Burundi wenyewe Wana timu nzuri, ligi namba sita timu ya taifaa mbovu Ani tunaaibika mm naona tutengeneze timu ya taifa kwa 27

  • @HappyBakedBread-js7mc
    @HappyBakedBread-js7mc 10 дней назад

    God yangu brother umetisha san brother

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 10 дней назад

    Badala yakupumua mngejamba kabsaaa

  • @TheresiaMhagama
    @TheresiaMhagama 10 дней назад

    Huyu mtoto fumau kaanza lini kujichubua??

  • @IsraëlLebonCiza
    @IsraëlLebonCiza 9 дней назад

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wa tanzaniya mutu chunge Sisi wa kongomani tuta wa funza Nini mchezo

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 10 дней назад

    Christiano Ronaldo ana miaka 40kacheza Euro Mwaka huu
    Acheni kukariri

  • @josephngari3452
    @josephngari3452 10 дней назад

    Jiraniiiiiiii pole sana

  • @Elly-w3i
    @Elly-w3i 10 дней назад

    Huyo sio kocha WA kumpa Tim ya tarifa sure Mani labda awe kocha WA mbeya kwanza kwa mfumo huo atafungwa tuu

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 10 дней назад +1

    Hatuna haja ya Wachezaji wa Kigeni , hiyo ni dharau kwa Wachezaji wa Kitanzania.
    Wachezajj wengi wazuri wameachwa
    Benchi la Ufundi haliko vizuri
    Pia tuweke Siasa Pembeni kwenye Michezo

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 10 дней назад

    Yanga walisikia raha walupochaguliwa wengi taifa star,hao ndio wale wazee wa madawa na ushirikina

  • @VisentJohn-l4b
    @VisentJohn-l4b 11 дней назад

    Wazawa hakuna kitu

  • @maase2023
    @maase2023 10 дней назад

    Hao wanaolalamika ni wehu tu

  • @mirajisaidi9360
    @mirajisaidi9360 10 дней назад

    Umeongea vizuuri mwanzo mwisho mwisho unaongea upumbavu

  • @maase2023
    @maase2023 10 дней назад

    Kwani mlijua mtashinda mechi wakati kwenye ligi kuu wachezaji wote ni wa nje tu? Hatuwezi kushinda hata siku moja kwa maana wachezaji wetu wa ndani tunao wengi wazuri ila hawapati kuonekana kwenye mechi za ligi kuu! Sisi tumekaa kuabudu wachezaji wa nje tu huku tukiwasifia na kuponda wetu

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 8 дней назад

      Hebu niambie nani mchezaji wa ndani ukiachia Feisal anaweza kusumbua Aziz ki? Au pacome, acha kujihurumia kwahiyo tufukuze wageni wote tubaki na akina kibu Denis hizo timu zitaweza hata kufuzu kweli makundi? Fikiria vizuri

    • @maase2023
      @maase2023 8 дней назад

      @@masumbukomaganga438 kwani hapo mwanza wakati hakuna wachezaji wenu wa nje mbn mpira tulikuwa tukiuona na mzuri tu hadi simba kufika fainali ya caf 1993? Acha ujinga na ulimbukeni ww wachezaji wetu wa ndani na wazuri mno ila hawapewi nafasi wakaonekana tu!

    • @maase2023
      @maase2023 8 дней назад

      @@masumbukomaganga438 hujui mpira ww ila ww shabiki tu wa ubishi lkn mpira hujui

  • @VisentJohn-l4b
    @VisentJohn-l4b 11 дней назад

    Siku nyingine msiende hakuna timu niujinga to

    • @juniormembe688
      @juniormembe688 10 дней назад

      Mtu mwenye akirizake timamu awezikwenda uwanjani kuangaria Taifa stars akuna team pale mpaka selekari iwekeze na ikasomexe makocha wazawa

  • @buchardntare8616
    @buchardntare8616 11 дней назад

    Étiez shilole 😂

  • @user-oc4ol2ii1v
    @user-oc4ol2ii1v 10 дней назад

    Nyie munaichukulia poa ethiopia mambo yanaenda kubadilika papaa Ethiopia ashachukua ubingwa wa Africa nyie mshafikia hatua hiyo acheni ushabiki mandazi huo