Yaani umenifurahisha sana,esha buheti na kina wema sepetu mwenzawao ni mwijaku ndio kazi zao zinafanana lakini kwenye wanaume na shuhuli za kiume mwijaku nasema pole
Hatuna haja ya Wachezaji wa Kigeni , hiyo ni dharau kwa Wachezaji wa Kitanzania. Wachezajj wengi wazuri wameachwa Benchi la Ufundi haliko vizuri Pia tuweke Siasa Pembeni kwenye Michezo
Kwani mlijua mtashinda mechi wakati kwenye ligi kuu wachezaji wote ni wa nje tu? Hatuwezi kushinda hata siku moja kwa maana wachezaji wetu wa ndani tunao wengi wazuri ila hawapati kuonekana kwenye mechi za ligi kuu! Sisi tumekaa kuabudu wachezaji wa nje tu huku tukiwasifia na kuponda wetu
Hebu niambie nani mchezaji wa ndani ukiachia Feisal anaweza kusumbua Aziz ki? Au pacome, acha kujihurumia kwahiyo tufukuze wageni wote tubaki na akina kibu Denis hizo timu zitaweza hata kufuzu kweli makundi? Fikiria vizuri
@@masumbukomaganga438 kwani hapo mwanza wakati hakuna wachezaji wenu wa nje mbn mpira tulikuwa tukiuona na mzuri tu hadi simba kufika fainali ya caf 1993? Acha ujinga na ulimbukeni ww wachezaji wetu wa ndani na wazuri mno ila hawapewi nafasi wakaonekana tu!
Nyie munaichukulia poa ethiopia mambo yanaenda kubadilika papaa Ethiopia ashachukua ubingwa wa Africa nyie mshafikia hatua hiyo acheni ushabiki mandazi huo
Yaani umenifurahisha sana,esha buheti na kina wema sepetu mwenzawao ni mwijaku ndio kazi zao zinafanana lakini kwenye wanaume na shuhuli za kiume mwijaku nasema pole
No comment the guy talked what my thoughts are I really like him 🎉
Angali timu Kama Burundi wenyewe Wana timu nzuri, ligi namba sita timu ya taifaa mbovu Ani tunaaibika mm naona tutengeneze timu ya taifa kwa 27
God yangu brother umetisha san brother
Ametisha kitu gani anaongea nonses
Badala yakupumua mngejamba kabsaaa
Huyu mtoto fumau kaanza lini kujichubua??
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wa tanzaniya mutu chunge Sisi wa kongomani tuta wa funza Nini mchezo
Christiano Ronaldo ana miaka 40kacheza Euro Mwaka huu
Acheni kukariri
Jiraniiiiiiii pole sana
Huyo sio kocha WA kumpa Tim ya tarifa sure Mani labda awe kocha WA mbeya kwanza kwa mfumo huo atafungwa tuu
Hatuna haja ya Wachezaji wa Kigeni , hiyo ni dharau kwa Wachezaji wa Kitanzania.
Wachezajj wengi wazuri wameachwa
Benchi la Ufundi haliko vizuri
Pia tuweke Siasa Pembeni kwenye Michezo
Yanga walisikia raha walupochaguliwa wengi taifa star,hao ndio wale wazee wa madawa na ushirikina
Wazawa hakuna kitu
Hao wanaolalamika ni wehu tu
Umeongea vizuuri mwanzo mwisho mwisho unaongea upumbavu
Kwani mlijua mtashinda mechi wakati kwenye ligi kuu wachezaji wote ni wa nje tu? Hatuwezi kushinda hata siku moja kwa maana wachezaji wetu wa ndani tunao wengi wazuri ila hawapati kuonekana kwenye mechi za ligi kuu! Sisi tumekaa kuabudu wachezaji wa nje tu huku tukiwasifia na kuponda wetu
Hebu niambie nani mchezaji wa ndani ukiachia Feisal anaweza kusumbua Aziz ki? Au pacome, acha kujihurumia kwahiyo tufukuze wageni wote tubaki na akina kibu Denis hizo timu zitaweza hata kufuzu kweli makundi? Fikiria vizuri
@@masumbukomaganga438 kwani hapo mwanza wakati hakuna wachezaji wenu wa nje mbn mpira tulikuwa tukiuona na mzuri tu hadi simba kufika fainali ya caf 1993? Acha ujinga na ulimbukeni ww wachezaji wetu wa ndani na wazuri mno ila hawapewi nafasi wakaonekana tu!
@@masumbukomaganga438 hujui mpira ww ila ww shabiki tu wa ubishi lkn mpira hujui
Siku nyingine msiende hakuna timu niujinga to
Mtu mwenye akirizake timamu awezikwenda uwanjani kuangaria Taifa stars akuna team pale mpaka selekari iwekeze na ikasomexe makocha wazawa
Étiez shilole 😂
Nyie munaichukulia poa ethiopia mambo yanaenda kubadilika papaa Ethiopia ashachukua ubingwa wa Africa nyie mshafikia hatua hiyo acheni ushabiki mandazi huo