MAGOLI YOTE: YANGA SC 3-2 RUVU SHOOTING (TPL - 16/12/2018)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Vijana wa Jangwani, Yanga SC wameendelea kuwa mwiba mkali kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu baada ya leo kuichapa Ruvu Shooting mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam.
    Alikuwa ni Heritier Makambo dakika ya nne kati ya dakika tano zilizoongezwa mwishoni kabisa mwa mchezo, ndiye aliyeipa ushindi Yanga kwa kufunga bao la tatu baada ya timu zote kuwa zimefungana mabao 2-2.
    Yanga walitangulia kupata bao kupitia kwa Amissi Tambwe dakika ya 11, kabla ya Fully Maganga kuisawazishia Ruvu dakika ya 31.
    Kipindi cha pili Yanga wakiwa wanaonekana kushambuliwa zaidi, walipata bao la pili kwa shuti kali nje ya 18 kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 78, lakini Said Dilunga akaisawazishia Ruvu kwa mkwaju wa penati dakika ya 84 baada ya mchezaji wa Yanga kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.

Комментарии • 364

  • @abdianridhiwani8238
    @abdianridhiwani8238 4 года назад +9

    Kam unaangalia 2020 kwa kumis makambo like ap

  • @japhetmasunga6327
    @japhetmasunga6327 5 лет назад +152

    kama unamkubali fei toto gonga like apa twede sawa

    • @frolacharles1121
      @frolacharles1121 5 лет назад +1

      mbele tu nyuma mwiko hii ndo yanga bhana

    • @jumasadick7551
      @jumasadick7551 5 лет назад

      Japhet Masunga yeeeh

    • @benjaminrichard7229
      @benjaminrichard7229 5 лет назад

      Jamani
      Yanga
      Inatisha

    • @gloriadhahabu6819
      @gloriadhahabu6819 5 лет назад

      @@benjaminrichard7229 mwinyi zahera tunakuomba utuvumilie viongozi wanapenda rushwa sisi washabiki tunakupenda sana uwepamoja nayanga nasisi tuko pamoja nawewe popott pale utalindwa

    • @kelvinmweyendezi4064
      @kelvinmweyendezi4064 5 лет назад

      Nakubali yanga

  • @paulgabson2373
    @paulgabson2373 5 лет назад +234

    Kama umeikubali yanga wana jagwani like za kumwaga

    • @ramadhansuleyman7618
      @ramadhansuleyman7618 5 лет назад +1

      nyambafu nyie mpira PESA,malizeni ligi tuwachukue hao wote timu nzima wanakaa benchi kazi yao ni kula pesa tuu za msimbazi za MOOOOO.

    • @feristangobo4708
      @feristangobo4708 5 лет назад +1

      Yanga timu kubwa bn

    • @christophersamson2810
      @christophersamson2810 5 лет назад +2

      Ni kwa Neema tu za Mungu na kwa hekima za coach papa mwinyi Zahera tupo hapa tulipo . 🙏🙏🙏🙏

    • @barakanyangwe8669
      @barakanyangwe8669 5 лет назад +1

      Yanga noma sana

    • @abswalirajabudanda5086
      @abswalirajabudanda5086 5 лет назад +1

      Tuko vizuri ,hawaamini tunachokinya ,jamani yanga itauwa watu ,subirin wenzetu watoe droo viongonxi lazima watimuliwe yanga inaumiza watu mbaya hahaaaaa

  • @shinunamaabad5889
    @shinunamaabad5889 Год назад +1

    Tumetoka mbali sana yanga mungu ni mwema kwetu

  • @mkomboraahmedchome
    @mkomboraahmedchome 5 лет назад +48

    kama umeamini Leo Dante hakuwa kwwny kiwango chake gonga like hapa twende

  • @lichmavoko9696
    @lichmavoko9696 5 лет назад +54

    Yanga inatishaaaa!! Sana huyu anaejiita munyama asiombe kukutana na kisu umekwisha hongera sana yanga tupo pamoja sana Kama unaikubali yanga nyoosha kidole juu

  • @nassororamadhan2515
    @nassororamadhan2515 5 лет назад +49

    Yote kwa yote tuseme ukweli ajibu ndo msaada mkubwa kwa yangaa,,,big up ajibu ,,,feisal, makambo,na tambwe pamoja na timu mzima kwa ujumla mmecheza kwa kujituma na kuhakikisha mnapata ushindi,,,,sasa nasema hivi,YANGA OYEEEEEEEEEE

  • @dahatykinga9485
    @dahatykinga9485 5 лет назад +11

    Mashabiki Wa nkana wanacoment wap

  • @devothamalugumalugu7593
    @devothamalugumalugu7593 5 лет назад +23

    Yanga ni konk fire so konk master 😁😁😘😘

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 5 лет назад +37

    Hivi hii sindio ile yanga ambayo watu walikuwa wanaidhiaki et ohhh yanga manji kafungwa mara ohhh yanga hamna pesa pumbavu zenu hela hatuna lakini matokeo tunapata yanga raha bhana kama nawewe unaipenda yanga acha majungu gonga like yako hapa hawaamin wanachokiona

  • @babadeee6921
    @babadeee6921 5 лет назад +14

    km kwl ww ni yanga dam gonga like apa

  • @nasriramadhani4437
    @nasriramadhani4437 5 лет назад +3

    Kama unamkubali makambo gonga like

  • @krystianpechan7197
    @krystianpechan7197 5 лет назад +3

    Yanga I send my suport from Poland. We are the champion this seson

  • @dorisfaustine8675
    @dorisfaustine8675 5 лет назад +103

    Kuanzia Leo nimehama simba nahamia yanga yani wao wanashinda tu kilasiku duuuu

  • @williamnzije1947
    @williamnzije1947 5 лет назад +16

    That is Dar es salam Young Africans
    Makambovic

  • @ibrahimkhamis1862
    @ibrahimkhamis1862 5 лет назад +18

    Aaa!eee!iiii!ooo!uuu!ngapii ukoooo.Fantastic goal Feisal salum

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 5 лет назад +1

    Hii ndio Yanga bhanaaaa...
    Kazi nzuri wana jangwani

  • @ramadhanimkwama8573
    @ramadhanimkwama8573 4 года назад +1

    Tutaikumbuka hii yanga

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 4 года назад +1

    Yanga walifanya makosa sana kumuacha tabwe

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire9476 5 лет назад +26

    OMG Fey Toto supeeeeeeeeeeeer.

  • @goodluckmlaki5595
    @goodluckmlaki5595 5 лет назад +21

    Namkubali huyu mtangazaji hahahahaha amenifanya niwe nacheki mechi za bongo.anaitwa nani huyu jamaa.

  • @dennisdennis7559
    @dennisdennis7559 3 года назад

    Hawa watoto wa bwire hawa magol ya aina hii yanajirudia tena mwaka huu 2020_2021 3_2 Mech mzunguko wa pili

  • @mwajumashaban9482
    @mwajumashaban9482 5 лет назад +1

    hongera sana yanga

  • @allyhasan911
    @allyhasan911 5 лет назад +11

    Its okay its okay yanga fireee yanga itabaki juu mbingunii

  • @officialsule9603
    @officialsule9603 4 года назад +1

    Yanga BABA LAO

  • @dismaschaz2019
    @dismaschaz2019 5 лет назад +21

    Mmmmh Hawa Yanga waend 2 LALIGA

  • @anatatvonline9647
    @anatatvonline9647 4 года назад +1

    Tutakukumbuka daima makamboo

  • @kabwiliabdallah6289
    @kabwiliabdallah6289 5 лет назад +1

    Hongera yanga, hongera makanbo

  • @husseinmakame8035
    @husseinmakame8035 5 лет назад +6

    Fundi wa kizanzibari huyooooh

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 5 лет назад +4

    Msimu huu kuanzia namba 1 mpk 10 migoli bora yote inatoka YANGA AFRIKA...!

  • @afrosk3753
    @afrosk3753 5 лет назад +4

    Msikikizeni MPENJA KWENYE GOLI LA FEISAL SALUMU yaaan MPENJA bhana raha saaanaaaa.........!!!!

  • @iddially5449
    @iddially5449 5 лет назад +1

    Baraka mpenja sauti ya radi unanikosha sana aaa eee iii ooo uuu fei toto totoooo

  • @cosmasthobias5226
    @cosmasthobias5226 5 лет назад +2

    Yanga 💪💪💪💪

  • @dimariaanger6891
    @dimariaanger6891 5 лет назад +1

    Daah me mtangazaji2 kama Unamkubali gonga #Like japo nimechelewa aaa! eee! iii! ooo! uuu!!

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal6750 5 лет назад +5

    Ruvu Shooting Walitamani Sare..Sema Kitambaa Hakikutosha..😂😂😂..Wanangu Wa Nkana Fc Mupoo

  • @jafethyolam7141
    @jafethyolam7141 5 лет назад

    Yanga leo

  • @ramadhanmohamed7668
    @ramadhanmohamed7668 5 лет назад +35

    Kakolanya ni kwer kakosea lakin tunakuomba kocha wetu. Mpendwa. Zaera. Msamehe na mludishe kundin kakolanya maana uyu kabwili atatugalim uko mbere 2endako

    • @rajachombe6987
      @rajachombe6987 5 лет назад +3

      Nyie mnaomtaka Beno mtasababisha mpasuko ndan ya Timu sio muda

    • @rogatusduma7822
      @rogatusduma7822 5 лет назад +3

      Hiyo game mabeki umakini ulikosekana hata angekuwa beno bdo shda ile ile so labda tuendelee kuangalia mechi zngne makosa ya kabwili na sio hii ,,,,,,ni kweli beno ni muhimu bdo BT si kwa hii match

    • @jumakije4471
      @jumakije4471 5 лет назад +2

      kwahuo beno hawez kukughsrimu huko mbele, unajua alitoka nan hile saa 7 usiku? unajua walimpeleka wapi? kakaa siku ngapi huko, beno hakuwa anadai mshahar balo ni pesa ya hulr mktaba wangapi wanaidai club na hawajagoma? sukuma ndaniiii na wewe pia

    • @chirragisimon4191
      @chirragisimon4191 5 лет назад +2

      kweri

    • @aixhajumaa6362
      @aixhajumaa6362 5 лет назад +2

      Ramadhan Mohamed kwani yeye beno hafungingi

  • @happypatrick7258
    @happypatrick7258 5 лет назад +1

    Yanga laha sana jamani!!! huo ndo mwanzo na bado ndo kwanza ukurasa unafunguliwa!!!!!!

  • @michaelmdalingwa5186
    @michaelmdalingwa5186 5 лет назад

    Wazeee wa jangwan nipen like

  • @robertfabian3030
    @robertfabian3030 5 лет назад +5

    😆😅😂😃eti p.o. yanga mbovu huku tunashinda.ubingwa uleeeeeeeeeeeeeee❤💙

  • @eliaheliah5489
    @eliaheliah5489 5 лет назад +12

    yanga 🔥 🔥 🔥

  • @eliakimmachumu6449
    @eliakimmachumu6449 5 лет назад +10

    huyu kweli totooooo jmn hii yanga mmmmh

  • @fransiscomahinya8935
    @fransiscomahinya8935 3 года назад

    Makambo siwezi kamsahau maana balaaa

  • @SilvaAmbrosioSilvaAmbrosio
    @SilvaAmbrosioSilvaAmbrosio 10 месяцев назад

    Kaká iyo ndio Yanga nipo Mozambique😮

  • @hidayaomary6329
    @hidayaomary6329 5 лет назад +11

    Mamaaaaa nakufaa

  • @saiguraniedward6716
    @saiguraniedward6716 4 года назад +1

    Wangapi bado tunaiangaliaga hii.???

  • @stanleymfikwa8237
    @stanleymfikwa8237 5 лет назад +11

    Mmm! Huyu Makambo!

  • @barakahlago9728
    @barakahlago9728 5 лет назад +1

    makambooooooo!!!!!hahaha this is young African blaza

  • @mansourlikamba6289
    @mansourlikamba6289 4 года назад

    kwa kweli ajibu na makambo walikuwa wanaelewana sana

  • @halimahamid9081
    @halimahamid9081 5 лет назад +1

    Soma kwenye ramani kama unabisha nyoosha mkono jifanye unajikuna kama yanga ni konk 🔥

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 5 лет назад +25

    THIS IS YANGA! No way out what you have to do is to stay come as you cut your Hair. Jifanye kama unajikuna.

  • @bitekileo8030
    @bitekileo8030 5 лет назад +1

    Safiii

  • @kumwaluvent652
    @kumwaluvent652 5 лет назад +21

    Mchezo usiuchezee ww

  • @nassorkhamis610
    @nassorkhamis610 5 лет назад +2

    fei toto ni motoo wakuwotea mbali

  • @emmanuelmashauri8949
    @emmanuelmashauri8949 5 лет назад +10

    #Manara somaaaa huko ngapiiiiii

  • @choggysly3541
    @choggysly3541 Год назад

    2022 September 19 nice

  • @mukakathejoker6504
    @mukakathejoker6504 5 лет назад +1

    Mama nakufa....... Mama wee.... Konk 🔥 🔥 🔥

  • @musasamwel9578
    @musasamwel9578 5 лет назад +3

    vidume wanapita simba pisheni njia wanaume wapite

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 5 лет назад +1

    Bado hamjaweka full highlights?

  • @wolframchikomo8873
    @wolframchikomo8873 5 лет назад

    Asante sana Kocha wetu Mwinyi Zahera. Mungu atakulipa. Wanadamu hatuna cha kukulipa

  • @barakahlago9728
    @barakahlago9728 5 лет назад

    uwiiii goli la feisal atar kwel kwel

  • @fetilicious2732
    @fetilicious2732 5 лет назад

    Hakikisha unajiunga nami & kisha Bonyeza icon ya kengele kwa video zaidi za kushangaza. Weka ushirikiano.

  • @shadrackmakasishadrackmaka8706
    @shadrackmakasishadrackmaka8706 5 лет назад +1

    yanga daima mbele nyuma mwiko goal la Feisal limemfanya masau bwire ametoa bastòra kwa mashabiki wa yanga #yanga inawatia hasira kwa wanayoiombea mabaya ila alichokifanya masau kimpira haipaswi kua hivyo

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 5 лет назад +1

    Timu ya wananchi Dsm young Africans

  • @mpeboysky3930
    @mpeboysky3930 5 лет назад +14

    Hii ndio yanga

    • @geofreyhaule967
      @geofreyhaule967 5 лет назад

      yanga hii nomaaa sanaaaa injinia somaa iyo injinia atakupoza

    • @barakaham5282
      @barakaham5282 5 лет назад

      kakolanya yukowapi

  • @amedeo1532
    @amedeo1532 5 лет назад +1

    Kabwili mbona yuko sawa , magoli anofungwa sio kuwa mbovu .

  • @pauloslegray7438
    @pauloslegray7438 5 лет назад

    watalala Mbele wapinzani yanga ni timu ya wananchi

  • @justinejonas2500
    @justinejonas2500 5 лет назад +1

    Yanga jaman bola tukachezee ulaya maana kiwango hich c cha nch hii

  • @abdulsalum6375
    @abdulsalum6375 5 лет назад +2

    wale ambao walikua wanaiponda yanga nyosha mkia juu

    • @reelin532
      @reelin532 5 лет назад

      Afu wajifnye kam wanajikuma

  • @antonyhelemani9510
    @antonyhelemani9510 4 года назад

    Ntakukumbuka sana makambo

  • @edgarkituli8208
    @edgarkituli8208 3 года назад

    Mliokuja baada ya makambo kusajiliwa tujuane 😂😂😁😁

  • @ugaboy4736
    @ugaboy4736 5 лет назад +1

    Mtangazaji yupo yanga

  • @rayyjankigunga5650
    @rayyjankigunga5650 5 лет назад +1

    jifanyeee unajikunaaaaa

  • @jesebayo5645
    @jesebayo5645 5 лет назад +7

    Baraka mpenjaa duh kuna watu wanaona wivu ulivyotangaza goal ya mtt Feisal

  • @ndamayapemakanda1338
    @ndamayapemakanda1338 5 лет назад +1

    Kwakwel hyo mtangazji mm nakupenda xna kaka mkubwa

  • @graceleonard6150
    @graceleonard6150 5 лет назад +20

    Fei totoooo

  • @erickmyinga3493
    @erickmyinga3493 5 лет назад

    Mwinyi zahers

  • @karimuabdulli9134
    @karimuabdulli9134 4 года назад

    Daah makambo anajua jamani tuseme ukeli

  • @sosomacharles2422
    @sosomacharles2422 5 лет назад +17

    hapa Kakolanya amrudishe vinginevyo huko mbele yanga atapotea maana Kabwik kila mechi anaruhusu goli

    • @adamsamweli9805
      @adamsamweli9805 5 лет назад

      ni kweli kabisa jamani mrudisheni kakolanya jamani msameheni tu

    • @stephanomwakyobe4675
      @stephanomwakyobe4675 5 лет назад

      Sosoma Charles hakuna usimpe lawama kipa shida ni mabeki

    • @aixhajumaa6362
      @aixhajumaa6362 5 лет назад +1

      Sosoma Charles kawaida hiyo hakuna kipa hasie fungwa

    • @stephanomwakyobe4675
      @stephanomwakyobe4675 5 лет назад

      Aixha Jumaa sure

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 5 лет назад +1

      Kwani Leo kafanya kosa gani? Ile penati so yake ,goli LA pili imedeflect ikajaa hata degea kafungwa Leo magoli yote yamegonga mabeki kabla hayajaingia ,kabwili angefanyaje.Kwanza mechi tano kijana amesimamana timu inashinda .Acheni timu ya ushindi iendelee na isibadilike

  • @angelludgery7016
    @angelludgery7016 5 лет назад +10

    La kwnz wakarudsha la pili wakarudsha makambo akasema ss ngoja tuwafung dkka za mwisho tuon kama mtarudsha hahahahaha

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya7460 5 лет назад +5

    yanga ni konkiii 🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 5 лет назад +1

    hili goli la salum unaweza hata ukaombea mkopo benk yoyote

  • @geraldadonias5533
    @geraldadonias5533 5 лет назад

    This is Young..........

  • @bumijamziray4210
    @bumijamziray4210 5 лет назад

    fei nakupenda kwa kujituma

  • @brianadolfbabat1180
    @brianadolfbabat1180 5 лет назад +2

    alisema soma hapo we enginea 😀😀😀😀😀😀

  • @asiahpaul6126
    @asiahpaul6126 5 лет назад +1

    Waaaaaapi mkia fc mjifanye Kama mnajikunaaaaa

  • @marickkarugaba3549
    @marickkarugaba3549 5 лет назад

    sina aja na chakula yanga tumeshinda naisi kushiba ghafra,jamani yanga rahaa mungu

  • @ashahamisi8859
    @ashahamisi8859 5 лет назад +1

    Baada ya goli makambovic wamepotea njia

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 года назад

    Hii squad ya Wananchi ilikuwa moto.

  • @shangoraphael7227
    @shangoraphael7227 5 лет назад +1

    duh kila ck mnashinda moja

  • @godfreysentiwilly1338
    @godfreysentiwilly1338 5 лет назад

    Hatari sana

  • @sabinajames6539
    @sabinajames6539 5 лет назад

    Yanga woyoooo

  • @jumasaidi1848
    @jumasaidi1848 3 года назад

    Kama hujui yanga ndo ijuee

  • @fatherbissadk3527
    @fatherbissadk3527 5 лет назад +1

    Hi yanga lazma mikia fc wakonde sana

  • @edrawnedward5670
    @edrawnedward5670 5 лет назад +1

    mama wee nakufwaa sio kwa makambo ni hatar

  • @mihayongassa2801
    @mihayongassa2801 5 лет назад

    Nan kama makambo xema wow

  • @josej9888
    @josej9888 5 лет назад +3

    Makambo nitishio kwa hali yahewa! Ya dar ES salaam

  • @rajaburajabu8685
    @rajaburajabu8685 5 лет назад +1

    mbele daima nyuma mwiko ndio kauli mbiu ya ss wana jangwani

  • @beckertv75
    @beckertv75 5 лет назад

    Pamojaa

  • @joycetweve4291
    @joycetweve4291 5 лет назад +3

    shikamooo marahaba yanga