Aliyenusurika Kifo MV Bukoba, Asimulia Mazito kuhusu Ajali Hiyo | Clouds 360 wazungumza naye.Tazama

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kupitia Clouds 360 imefanya mazungumzo na Bwana Nyaisa GodFrey ambaye ni CEO wa Brella ambaye alinusurika katika Ajali ya MV Bukoba.

Комментарии • 57

  • @mishaelmisana7674
    @mishaelmisana7674 4 года назад +6

    Nmekumbuka mbali saana 20/9/2018 saa 1:48 alhamis nliponusulika kwenye ajar ya MV nyerere ndani ya ziwa Victoria kutoka bugorola kwenye kisiwa cha Ukara,kwa kwel sitosahau,mm pia ni manusura nko ukerewe mkoa wa mwanza

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina2802 4 года назад +2

    Amefanya vizuri sana kuandika kitabu coz what he saw is in the book

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 года назад +1

    Atleast walimkumbuka Muumba wao siku zao za Mwisho. Poleni sana kisa kinasikitisha ila kinatupa matumaini kwamba watu wamejikabidhi kwa Mungu

  • @gloryshayo6874
    @gloryshayo6874 4 года назад +5

    Jamani watangazaji muwe mnamuacha mtu ajieleze msimkatishe

  • @richardfrank2730
    @richardfrank2730 4 года назад +6

    Kwa kumtumia kiangozi hapo ambaye alinusurika na ajali ya MV Bukoba ingetengenezwa a move nzuri ambayo itasisimua na pia itabaki kama historical kwa vizazi vijavyo

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 года назад +1

      Ameandika vitabu kuhusu hiyo ajali

  • @mkwayamasanja7078
    @mkwayamasanja7078 4 дня назад +1

    MU NGU Ni MWEMA

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 4 месяца назад

    Hahahaahaa Baby Kabai Alijitahidi sana kuishi na Mheshimiwa Hassan Ngoma. Jama anaongea ukiwa unaongea. Huyu jamaa anachekesha

  • @hastomatumla5017
    @hastomatumla5017 2 года назад +2

    Hii ajali ya Mv Bukoba ni uzembe wa wahusika full stop

  • @giztony2009
    @giztony2009 2 года назад

    He is such a good story teller!

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe986 2 года назад

    Acheni maneno mengi sifa na utukufu zimrudie mungu

  • @patrickmipawa1552
    @patrickmipawa1552 4 года назад +2

    Clouds 360 kipindi ni kizuri, ningeshauri itafutwe pia taasisi ya Serikali inayosimamia usafiri wa majini itupe maboresho yaliyofikiwa mpaka sasa ya usimamizi wa usafiri huo wa majini na takwimu za ajali.

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 4 года назад +1

    Watangazaj mbonaa kiherehere sana siklizen story

  • @milleniyahmohamedy8787
    @milleniyahmohamedy8787 4 года назад +1

    Watangazaji mnaalibu story

  • @fenrickmsigwa7437
    @fenrickmsigwa7437 4 года назад +1

    Very interesting

  • @adamfundikira1029
    @adamfundikira1029 3 года назад

    Kifo uwa kinamwita mtu raiti kama mtu angekuwa anaijua siku asingepanda Ila kwakuwa kifo ni fumbo ndo hivyo Mungu atuzidishie uhai mpaka nimetetemeka sana lakini namuamini Bwana Yesu

  • @khatibuhabibu2465
    @khatibuhabibu2465 4 года назад

    Daah, inahuzunisha sana

  • @isaacgwams8080
    @isaacgwams8080 4 года назад

    Big up sana kaka we ni shujaa

  • @daudminzi-pb3je
    @daudminzi-pb3je 4 месяца назад

    Hamjui hata kuhoji hamkupagilia mswali

  • @abdelehmanmwenda7811
    @abdelehmanmwenda7811 4 года назад +12

    Wanaharibu story hawa watangazajiwanashindwa kumuacha MTU ajieleze

  • @lungusii
    @lungusii 4 года назад

    Kweli dada Ulaya na Uingrreza

  • @manfredkibona3126
    @manfredkibona3126 4 месяца назад

    Maji hayafai depth ta mita 25 inaua watu wengu hivo

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 4 года назад +1

    Stori ya kusisimua sana

  • @milleniyahmohamedy8787
    @milleniyahmohamedy8787 4 года назад +2

    Hasan mnauliza vitu gani huwezi ona mtu ndani ya maji, sio swiming pool apo

  • @jamesmliba2514
    @jamesmliba2514 4 года назад +2

    Kipindi kizuri but watangazaji sio professionals

  • @kendrickerick8027
    @kendrickerick8027 3 года назад

    Where to get this book Jaman.. i want this

  • @colethamichaelkishinda903
    @colethamichaelkishinda903 2 года назад

    Nmecheka Kama mazur,et bukuta kaona inaele

  • @vicentmaganga3687
    @vicentmaganga3687 4 года назад

    Nyaisa nakushauri tengeneza movie ya hiyo story nzima ya tukio uliyoiandika.

  • @neyngumungu2403
    @neyngumungu2403 4 года назад +1

    Baada ya hapo mlipona wagapi

  • @gappymtambalike4430
    @gappymtambalike4430 2 года назад

    Angekufa tuanaroho mbaya huyu baba mshenzi sana hapo anajieleze a hapo

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Год назад

    Jamani kafute jina lako pale nyamagana

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 4 года назад

    Nimeenjoy huku mwesho, aandike kwel visaa vyao wanaume

  • @ashafelix8332
    @ashafelix8332 4 года назад +3

    Alivyoona jina lake kama miongoni mwa marehemu alijisikiaje?

  • @samehemwinuka4087
    @samehemwinuka4087 4 года назад +3

    watangazaji mnaongea cn

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 3 года назад

    sauti ndogo sana

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 4 года назад

    Dah, hii stori mpk nasisimuka mwili ,

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 2 года назад

    Siku nyingine km hamuwezi kumuhoji mtu msituletee mmekuwa wambea km nyie ndio mlio kuwa mv bukoba pumbavuu

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 2 года назад

    MNAJUWA NYIE MNAKERA ALIOZAMA MWINGINE MNAMSEMEA NDIO NINI?

  • @hopefor2088
    @hopefor2088 3 года назад +1

    Huyu mtngzaji wakiume anauliza maswali hayan maana sijui wamemuokotea wapii

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 2 года назад

    Huyu mtangazaji msumbufu saana

    • @Tanganyika-w5p
      @Tanganyika-w5p 4 месяца назад

      Hahaahahaha huyo anaitwa Mheshimiwa Hassan Ngoma

  • @lazaroletion
    @lazaroletion 4 года назад

    Kuondoa mkosi kwa kufanya kafara ama kimila ni imani, nakumbuka 2015 nilipitia msukosuko nikafungwa pingu, baaadhi wakaniambia katambikie/kamuone mtaalamu wa mambo ya jadi. Nashukuru Mungu toka kipindi sijapitia misukosuko ya polisi wala sijaenda kutambiaka wala nini.

  • @malundoboniface1691
    @malundoboniface1691 4 года назад

    Duu