Aliyenusurika Kifo MV Bukoba, Asimulia Mazito kuhusu Ajali Hiyo | Clouds 360 wazungumza naye.Tazama
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kupitia Clouds 360 imefanya mazungumzo na Bwana Nyaisa GodFrey ambaye ni CEO wa Brella ambaye alinusurika katika Ajali ya MV Bukoba.
Nmekumbuka mbali saana 20/9/2018 saa 1:48 alhamis nliponusulika kwenye ajar ya MV nyerere ndani ya ziwa Victoria kutoka bugorola kwenye kisiwa cha Ukara,kwa kwel sitosahau,mm pia ni manusura nko ukerewe mkoa wa mwanza
Pole kakaaa
Pole na hongera
Daaa aisee pole sana..
Mungu amekupa nafasi nyingine
Amefanya vizuri sana kuandika kitabu coz what he saw is in the book
Atleast walimkumbuka Muumba wao siku zao za Mwisho. Poleni sana kisa kinasikitisha ila kinatupa matumaini kwamba watu wamejikabidhi kwa Mungu
Jamani watangazaji muwe mnamuacha mtu ajieleze msimkatishe
Kwa kumtumia kiangozi hapo ambaye alinusurika na ajali ya MV Bukoba ingetengenezwa a move nzuri ambayo itasisimua na pia itabaki kama historical kwa vizazi vijavyo
Ameandika vitabu kuhusu hiyo ajali
MU NGU Ni MWEMA
Hahahaahaa Baby Kabai Alijitahidi sana kuishi na Mheshimiwa Hassan Ngoma. Jama anaongea ukiwa unaongea. Huyu jamaa anachekesha
Hii ajali ya Mv Bukoba ni uzembe wa wahusika full stop
He is such a good story teller!
Acheni maneno mengi sifa na utukufu zimrudie mungu
Clouds 360 kipindi ni kizuri, ningeshauri itafutwe pia taasisi ya Serikali inayosimamia usafiri wa majini itupe maboresho yaliyofikiwa mpaka sasa ya usimamizi wa usafiri huo wa majini na takwimu za ajali.
Watangazaj mbonaa kiherehere sana siklizen story
Watangazaji mnaalibu story
Very interesting
Kifo uwa kinamwita mtu raiti kama mtu angekuwa anaijua siku asingepanda Ila kwakuwa kifo ni fumbo ndo hivyo Mungu atuzidishie uhai mpaka nimetetemeka sana lakini namuamini Bwana Yesu
Sema Laiti sio Raiti
Daah, inahuzunisha sana
Big up sana kaka we ni shujaa
Hamjui hata kuhoji hamkupagilia mswali
Wanaharibu story hawa watangazajiwanashindwa kumuacha MTU ajieleze
Hapo ndo panakera....wanakuwa wajuaji sana hawa
Yani wana kera kweli
Kweli dada Ulaya na Uingrreza
Maji hayafai depth ta mita 25 inaua watu wengu hivo
Stori ya kusisimua sana
Hasan mnauliza vitu gani huwezi ona mtu ndani ya maji, sio swiming pool apo
Kipindi kizuri but watangazaji sio professionals
Where to get this book Jaman.. i want this
Nmecheka Kama mazur,et bukuta kaona inaele
Nyaisa nakushauri tengeneza movie ya hiyo story nzima ya tukio uliyoiandika.
Baada ya hapo mlipona wagapi
Angekufa tuanaroho mbaya huyu baba mshenzi sana hapo anajieleze a hapo
Amekufanya nini shogaangu
Why unasema ana roho mbaya?
Unamjuwa?
Manyoko
Umepigwa tukuo na mhanga😅
Jamani kafute jina lako pale nyamagana
Nimeenjoy huku mwesho, aandike kwel visaa vyao wanaume
Alivyoona jina lake kama miongoni mwa marehemu alijisikiaje?
Yani,atakuwa alilia sana
watangazaji mnaongea cn
sauti ndogo sana
Dah, hii stori mpk nasisimuka mwili ,
Naomba nikuone unavyosisimuka
Siku nyingine km hamuwezi kumuhoji mtu msituletee mmekuwa wambea km nyie ndio mlio kuwa mv bukoba pumbavuu
MNAJUWA NYIE MNAKERA ALIOZAMA MWINGINE MNAMSEMEA NDIO NINI?
Huyu mtngzaji wakiume anauliza maswali hayan maana sijui wamemuokotea wapii
Huyu mtangazaji msumbufu saana
Hahaahahaha huyo anaitwa Mheshimiwa Hassan Ngoma
Kuondoa mkosi kwa kufanya kafara ama kimila ni imani, nakumbuka 2015 nilipitia msukosuko nikafungwa pingu, baaadhi wakaniambia katambikie/kamuone mtaalamu wa mambo ya jadi. Nashukuru Mungu toka kipindi sijapitia misukosuko ya polisi wala sijaenda kutambiaka wala nini.
Mungu kweli NI mkubwa sana
Duu