4. Mjadala Tangamano Ahmadiyya na Sunni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 апр 2015

Комментарии • 90

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 4 месяца назад +2

    ماشاءاللہ
    Mwenyezi Mungu akuridhie na akupe afya njema #upendokwawote

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 3 месяца назад +1

    Nomeipenda sana Hoja zako Sheikh Bakri sahib
    #upendokwawote

  • @MahambaMustafa
    @MahambaMustafa 3 месяца назад +1

    Maashaa Allah,umejibu kwaufasahamno shekh sahib, Allah akusaidie

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 3 месяца назад +1

    MashaAllah , Sheikh Bakri katika ujana wake
    #upendokwawote

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +1

    Wanataka na wao wahindi wawe na mtume wao

  • @seifuhassan6889
    @seifuhassan6889 4 года назад +1

    Uyo mtume baada ya Bwana Mtume MUHAMMAD SAW ametajwa ktk aya gani kwenye Quran au hadithi ipi

  • @rehemaswalehe6423
    @rehemaswalehe6423 4 года назад +2

    mwamini kua mungu ni mmoja na muhammad amani ya mungu juu yake ni mtume wake.tena ni " khatamul-anbiya'"(muhuri wa manabii)na ni bora kuliko wote..wala hapana nabii baada yake,ila yule aliovalishwa shuka la muhammad anani ya mungu juu yake kwa njia ya mfano.kwan mtumishi c mbali na bwana wake wala tawai si mbali na shina lake.kwaiyo mwenye kujitoa kwelikweli kumfuata bwana wake anapata kwa mungu jina la nabii.na yeye havunji U-KHATAMUN NUBUWWAT.kama vile unapojitazama kwenye kioo,hamwez kua wa2 bali ni prke yako.na ikionekana kwako wa2 hapana tofauti baina yao ila tofaut ya kivuli na asili.HIVI NDIVYO ALLAH ALIVYOTAKA KWA MASIHI ALIYEAHIDIWA..allah umfunulia amtakae kwakati autakae.tuitafakari qur'an tupate mwisho mwema inshaallah.

  • @mohammedtamimiddi3548
    @mohammedtamimiddi3548 Год назад +1

    Shekhe kazi ya mahubir inahitaji msaada wa mungu na ubongo mwepesi sana lasivyo mtu anakuzunguka anakwendazake....lkn ulimshika mana hata akisema wengi ni mmoja...haya mmojamwenyewe ni nani wakati muhammad alishakuepo!
    Very interesting

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 года назад +1

    Inalilah wainaillah rajighuun wallah huu nimcba inatakiwa tusome quruan sana natafsir yake navitab vingine wallah ushia ni bidaat

    • @maysammahbub5804
      @maysammahbub5804 6 месяцев назад

      Jamani hawa makadiani sio mashia tena waametoka kutoka usunni ndio wakaleta dini yao

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 2 года назад

    Allah akuangamize we kadiani

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 4 года назад

    HATA DALILI MOJA WAPO YA QIYYAMA NI KUKOMA KWA UTUME AU KUFIKA KWA MTUME((SWALA LLAHU ALEYHI WASALAM))sasa wew ahmadiyya vipi UNAKUA KM KAHAMZA IYSA KABUKOBA

  • @jamalilitamba4043
    @jamalilitamba4043 6 лет назад +2

    khelef Omar mbona hujibu swali
    hilo yesu yu hai or amekufa???

  • @hombelozabroni9226
    @hombelozabroni9226 3 года назад

    Allah akufahamishe na kama utaedelewa wewe hamadiya kupoteza watu allah akuzalilishee

  • @libandafarajizo3764
    @libandafarajizo3764 5 лет назад

    mh watu hawana uelewa hat kdogo ubongo wao baridiiiiii mnasubir yesu mtakesha miaka birion elfu kumi kamweee hafiki amekufa muhammad mbora wa mitume araf abaki yesu hana ujanja huo mwiko wake

  • @twalibhassan6699
    @twalibhassan6699 5 лет назад +4

    hakuna mtume baada ya mtume s.a.w
    mtasubiri sana mpaka kiama

    • @mohammedtamimiddi3548
      @mohammedtamimiddi3548 Год назад +1

      Kwahio na Issa ndio hatarudi hadi kiama?
      Au kuna mtume anaevuliwa utume mara baada yakupewa utume?
      Au kama utumewake niule wa zamani tu, kwanini waislam mnamsubir wakati alikua ni mtume wa waisraeli tu sawa na Qur an 61:7 na biblia Matayo 15:24....
      Kwahio ukiona muislam unachakaza ndevu kumsubir Issa wakati alikua ni wa wana wa israeli tambua atarudi kabla ya kiyama na kuna utume mpya atakujanao ingekua sivyo wewe usingekua na haja ya kumtazamia.

    • @user-lh9oy8hw8f
      @user-lh9oy8hw8f 4 месяца назад

      Kweli kabisa

  • @bakarimgeni5424
    @bakarimgeni5424 5 лет назад +1

    mi nasema ukitaka kumjua kadian kuwa kafir au muisla.
    SOMENI KITABU kinaitwa MAKUBALIAN KATI YA NYERERE NA KADIANI
    .....kadian ni upotovu mkubwa.....no comment

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 4 года назад +1

    na kama utume bado unaendelea mbona nyie hamjiiti mitume? je huo utume ni wa makadiani tu?

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 года назад +1

    Huyu jamaa anakichwa kigumu cjawahi ona

  • @m.othman866
    @m.othman866 4 года назад

    Makadiani ni makafiri bila shaka.

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi9441 5 лет назад

    ss baada ya kupigania makafiri waingie katika uislam nyinyi mwapigania wenyewe kwa wenyewe hata mwafurahisha

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 года назад +1

    Naona kipindi hicho ni baisekeli ndo usafiri mkubwa

  • @osmannassir1515
    @osmannassir1515 3 года назад

    Ndugu zrtu Ahmadiya wana shida ya lugha na history ya Quran.

  • @osmannassir1515
    @osmannassir1515 3 года назад

    Kila ayah ina sababu ya kushuka, tukijua sababu ya kushuka iyo ayah ndio tutajua tafsir ya sawa.

  • @mpolesmart638
    @mpolesmart638 5 лет назад +1

    Nyie mnataikiwa muu wawe kwa sherea ya qur aan, mungu alivyo tuambia sababu we Ni kafiri hakuna mtume mwingine muhamad ndo wamwisho

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 лет назад +1

    Uyu.ahmdiya.mwenziwe.ni.hamza.kadhaabuu

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 4 года назад

    hapo wote hawana Elimu wanachoshindana kwa Kusema na ufasaha wa kuzungumza.Muwe mnataja reference.

    • @hutisaleh2320
      @hutisaleh2320 4 года назад

      Samahan ndug yng we ni mvuta bangi au??

    • @hutisaleh2320
      @hutisaleh2320 4 года назад

      Hv ww una ilimi gn wa kuxem Shekh Shekh abdul qadir hana ilim??unayo ww hyo ilim au??

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 4 года назад

      @@hutisaleh2320 Sijui mana unauliza swali la kipuuz.

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 4 года назад

      @@hutisaleh2320 Mim nina Elimu ya Quraan na Sunna(hadithi) kwa ufaham wa salafu swaalehe

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 3 года назад

      @@user-qe8xp6ii1u wahabi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @hashimprofessor5664
    @hashimprofessor5664 3 года назад

    H

  • @sadambakari9756
    @sadambakari9756 4 года назад

    Ww cjui unavuta bangi asee

  • @mussasaid4072
    @mussasaid4072 Год назад

    acha ufisad

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 лет назад +2

    Msishindane na watu kama hawa, washaangamia

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 лет назад

    Astaghfirullah wewe hujui kiarab, na tafsiri, unatafsiri unavyotaka wewe mwenyewe

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 7 лет назад +5

    Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.

    • @mgudeeone8636
      @mgudeeone8636 6 лет назад

      Khelef Omar Nabii Issa as ameshakufa hajitena au??

    • @jamilsaidi9848
      @jamilsaidi9848 6 лет назад

      Khelef Omar thibitisha unacho ongea, kusema sio kazi ,kazi ni kuthibitisha.

    • @youtubeisyours6417
      @youtubeisyours6417 5 лет назад

      we embu acheni ubish nyie kukataa kama mtume muhaamad ni mtume Wa mwisho ni ukafirr

    • @youtubeisyours6417
      @youtubeisyours6417 5 лет назад +1

      mnAtakiwa mjue kwmba nabii isaa atarud Kwa sababu gani na pia nabii issa mkumbuke kwamba yy alikua tayar anaumati wake tayaree alikuja kisha akaondoka na kurud kwake haimaaniash kwamba yeye ndo atakuwa Wa mwisho ila atakuja kukanusha kuusu wakristo kumuita yeye mungu au mwna Wa mungu na kupambana na masih dajar hivyo tu lakin Muhammad saw ndo Wa mwisho

    • @simbillamachiyya
      @simbillamachiyya Год назад

      مضارع المتثني كيف ذالك

  • @mussasaid4072
    @mussasaid4072 Год назад

    wewe sio shkhe acha ufisadi

  • @alishariff8657
    @alishariff8657 5 лет назад +3

    Kadiani alikufa ndani ya choo Vipi mtume atakufa ndani ya uchafu.

    • @zukhairsaid2194
      @zukhairsaid2194 4 года назад +1

      kwani kuna aya inayosema MTU akifia chooni anakwenda Motoni? au baba yako alikuwa anafanya kazi kwenye choo cha saydina ahmad

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 3 года назад

    Mh...niaa ni shida

  • @twalibhassan6699
    @twalibhassan6699 5 лет назад

    shekh uchwra huyu

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 5 лет назад

    So which is which

  • @abushams2451
    @abushams2451 2 года назад

    Ww una maneno ya kikafiri chunga ww

  • @rapafata1108
    @rapafata1108 6 лет назад

    Shida ni lugha. Huu ni ushahidi kuwa mambo ya kiarabu na mtume wao watanzania hamuwezi. Ona sasa mnabishania lugha

    • @jamilsaidi9848
      @jamilsaidi9848 6 лет назад +1

      Rapa Fata we unadhani hata uyo yesu alikua akiongea kiswahili? Hiyo bibili ni kitabu kilicho tafsiliwa.

    • @jamilsaidi9848
      @jamilsaidi9848 6 лет назад +1

      Rapa Fata we umesoma wapi ulikoambiwa muhammadi s.w.a ni wamwisho.

    • @barackmugatsia4714
      @barackmugatsia4714 5 лет назад +1

      Mbona waislami wamsubiri issa ili aporomoke kutoka mawinguni ilhali mtume saw ni Wa mwisho

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf 6 месяцев назад

    Mbona unakata

  • @ashamahamudu1608
    @ashamahamudu1608 5 лет назад +4

    ahmadiyya ndiyo njia pekee ya kuingia Peponi.amadiyya idumu milele

    • @fahadjuma5150
      @fahadjuma5150 5 лет назад

      Duh
      Kwa ushahidi gani?
      Dada @Asha Mahamudu

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 5 лет назад

      Asha Mahamudu tupe dalili katika quraan na Sunna sahihi tafadhal ili kuthibitisha hoja yako

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 5 лет назад

      Ameen

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 5 лет назад

      Ahmadiyya Zindabaad

    • @abuhassan9552
      @abuhassan9552 4 года назад

      Ahmadiya ndio njia ya kwenda motoni kwa yule atakae kwenda motoni

  • @zukhairsaid2194
    @zukhairsaid2194 4 года назад +1

    huyu sheikh wa sunni amechemka hana hata aya ya Qur'an

  • @drudeshub3188
    @drudeshub3188 4 года назад +1

    AHMADIYA NI MAKAFIRI KULIKO MAKAFIRI

  • @drudeshub3188
    @drudeshub3188 4 года назад

    ahmadiya ni makafiri

  • @BakriAbedi
    @BakriAbedi  9 лет назад +2

    • @bakarimgeni5424
      @bakarimgeni5424 5 лет назад

      rudi kwa Allah acha upotovu tamaa ya pesa ili kupoteza haki ya kweli utajuta mbele ya Allah

  • @rajabumzuwanda7505
    @rajabumzuwanda7505 5 лет назад +1

    Kadiani kafiri haeliwi lugha wala nnasi

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 7 лет назад +2

    Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.

    • @mgudeeone8636
      @mgudeeone8636 6 лет назад +1

      Khelef Omar Kwahiyo Nabii Issa as hatokuja tena??

    • @almamri9245
      @almamri9245 5 лет назад +1

      Huyo anafaham vizur sana anakasoma vizur kiarab anajuwa lkn ajipumbaza tu kwajili ameshanunuliwa na kadian

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 5 лет назад +1

      Nabii issa hatukuja tena mbn mnakimbia ilo swali

    • @adasonnondo1263
      @adasonnondo1263 5 лет назад +1

      @@AbouBurhan kwan nabii ISSA alikuwa hayupo kuja kwake haimaanishi sio mtume wa mwisho

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 5 лет назад +1

      Nabii Issa ndio atakua wa mwisho
      kwa mafano ata mm nikija kwako halaf nikaondoka akaja mtu mwengine halaf akaondoka halaf nikarudi mm tena nikaondoka tena na hakuja mtu mwengine nan atakua wa mwisho @adason nondo