Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Ahmadiyyah hawanaga hoja zenye mashiko hata kidogo kiulweli wamepotezwa na wanao wafuata Allaah awabadilishe amiin
MashAllah
Huna lolote
Waache kupotoa umma mahamadia wakasome tena
Ahmadiyya wanasoma aya za Qur'an tukufu kikamilifu na kuzifafanuwa vizuri. Hongera sana Sheikh Bakri. Sheikh huyo mwingine hana aya za kueleza imani yake ila kajikita kufafanua lugha ya kiarabu tu
إِنَّا أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ (
MashaAllah
Hamadia wanakufuru
Allahu akbaru sheikh bakri Allah akupe afya njema
Amin
nareee takbir
Shida kuu ni kwamba hawo masufi wajiingiza katika malumbano bila ya kuiva kurudi shubha,aa
Ndio maana wema waliotangulia walikaa kujadiliana na watu wa bidaa'aa sasa hapo ni makundi mawili ya bidaa yanajadiliana..
Mola akuhifadhi al habib abdulqadir na habib khuzeimah,Na mola amuongoze huyo qadiani atokea ukafirini
ww huujui ukwer uckarie ushabiki
Muhammad mustafa
ilikua mwaka gani
Wakasome tena hao mtume muhammad s a w ni mtume na ni nabii wa mwisho
waisilam kwanini tunapenda kulumbana kwani s kilamtu abudu naimani yake mambo yamana hayafatw
Shehe Bakri mbona hawa Sunni kila unapokuw n mijadala nao wanakuambia maneno mabaya why au unawazid hoja.
kila mtu na kabur lake, ukifata kundi zima japo ukweli umeutambua, mungu anawaona.kher kujichomoa na kujiunga na ahmadia.
😅Pp😅
ahmadiyya idumu milele
hujajua dini wala huna ilmu ya dini ama hujaifahamu...ALLAH Awaongoze
Ahmadiyya zindabad
ZINDABAD
huyo shekh haeleweki inabd atowe yy ushahid
shekh wa kisun atoe ushahd wakutosha mbna anajiumauma 2 kapoteza mda 2
Makadiani ni makafiri
Si makafiri ni waislamu
Mahamadiya hoja zao za kijinga tu
Ahmadiyyah hawanaga hoja zenye mashiko hata kidogo kiulweli wamepotezwa na wanao wafuata Allaah awabadilishe amiin
MashAllah
Huna lolote
Waache kupotoa umma mahamadia wakasome tena
Ahmadiyya wanasoma aya za Qur'an tukufu kikamilifu na kuzifafanuwa vizuri. Hongera sana Sheikh Bakri. Sheikh huyo mwingine hana aya za kueleza imani yake ila kajikita kufafanua lugha ya kiarabu tu
إِنَّا أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ (
MashaAllah
Hamadia wanakufuru
Allahu akbaru sheikh bakri Allah akupe afya njema
Amin
nareee takbir
Shida kuu ni kwamba hawo masufi wajiingiza katika malumbano bila ya kuiva kurudi shubha,aa
Ndio maana wema waliotangulia walikaa kujadiliana na watu wa bidaa'aa sasa hapo ni makundi mawili ya bidaa yanajadiliana..
Mola akuhifadhi al habib abdulqadir na habib khuzeimah,Na mola amuongoze huyo qadiani atokea ukafirini
ww huujui ukwer uckarie ushabiki
Muhammad mustafa
ilikua mwaka gani
Wakasome tena hao mtume muhammad s a w ni mtume na ni nabii wa mwisho
waisilam kwanini tunapenda kulumbana kwani s kilamtu abudu naimani yake mambo yamana hayafatw
Shehe Bakri mbona hawa Sunni kila unapokuw n mijadala nao wanakuambia maneno mabaya why au unawazid hoja.
kila mtu na kabur lake, ukifata kundi zima japo ukweli umeutambua, mungu anawaona.kher kujichomoa na kujiunga na ahmadia.
😅Pp😅
ahmadiyya idumu milele
hujajua dini wala huna ilmu ya dini ama hujaifahamu...ALLAH Awaongoze
Ahmadiyya zindabad
ZINDABAD
huyo shekh haeleweki inabd atowe yy ushahid
shekh wa kisun atoe ushahd wakutosha mbna anajiumauma 2 kapoteza mda 2
Makadiani ni makafiri
Si makafiri ni waislamu
Mahamadiya hoja zao za kijinga tu