3. Mjadala Tangamano Tanga TZ Ahmadiyya vs Sunni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 32

  • @MTAVASSYTv
    @MTAVASSYTv 5 лет назад +2

    Ahmadiyyah hawanaga hoja zenye mashiko hata kidogo kiulweli wamepotezwa na wanao wafuata Allaah awabadilishe amiin

  • @aerojani
    @aerojani 6 лет назад +3

    MashAllah

  • @salehyassin9245
    @salehyassin9245 2 года назад +1

    Ahmadiyya wanasoma aya za Qur'an tukufu kikamilifu na kuzifafanuwa vizuri. Hongera sana Sheikh Bakri. Sheikh huyo mwingine hana aya za kueleza imani yake ila kajikita kufafanua lugha ya kiarabu tu

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 7 дней назад

      إِنَّا أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ (

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 5 лет назад +2

    MashaAllah

  • @matikhomwita
    @matikhomwita 7 месяцев назад

    Allahu akbaru sheikh bakri Allah akupe afya njema

  • @muftybawesy
    @muftybawesy 4 года назад +1

    nareee takbir

  • @Muislamu
    @Muislamu Месяц назад

    Shida kuu ni kwamba hawo masufi wajiingiza katika malumbano bila ya kuiva kurudi shubha,aa

  • @Muislamu
    @Muislamu Месяц назад

    Ndio maana wema waliotangulia walikaa kujadiliana na watu wa bidaa'aa sasa hapo ni makundi mawili ya bidaa yanajadiliana..

  • @BakriAbedi
    @BakriAbedi  9 лет назад +3

  • @Twariqabaalwy
    @Twariqabaalwy 5 лет назад +1

    Mola akuhifadhi al habib abdulqadir na habib khuzeimah,Na mola amuongoze huyo qadiani atokea ukafirini

  • @muftybawesy
    @muftybawesy 4 года назад

    Muhammad mustafa

  • @HARIFHODARI
    @HARIFHODARI 2 года назад

    ilikua mwaka gani

  • @hassanhaji1332
    @hassanhaji1332 3 года назад

    Wakasome tena hao mtume muhammad s a w ni mtume na ni nabii wa mwisho

  • @hajisuleiman9573
    @hajisuleiman9573 3 года назад

    waisilam kwanini tunapenda kulumbana kwani s kilamtu abudu naimani yake mambo yamana hayafatw

  • @ismailihaji3212
    @ismailihaji3212 4 года назад +1

    Shehe Bakri mbona hawa Sunni kila unapokuw n mijadala nao wanakuambia maneno mabaya why au unawazid hoja.

  • @rehemaswalehe6423
    @rehemaswalehe6423 5 лет назад

    kila mtu na kabur lake, ukifata kundi zima japo ukweli umeutambua, mungu anawaona.kher kujichomoa na kujiunga na ahmadia.

  • @RajabSleiman
    @RajabSleiman 5 месяцев назад

    😅Pp😅

  • @ashamahamudu1608
    @ashamahamudu1608 5 лет назад +2

    ahmadiyya idumu milele

    • @AHMEDHASSAN-pq9tg
      @AHMEDHASSAN-pq9tg 5 лет назад +1

      hujajua dini wala huna ilmu ya dini ama hujaifahamu...ALLAH Awaongoze

  • @jamalilitamba7084
    @jamalilitamba7084 4 года назад

    Ahmadiyya zindabad

  • @libandafarajizo3764
    @libandafarajizo3764 5 лет назад

    huyo shekh haeleweki inabd atowe yy ushahid

    • @libandafarajizo3764
      @libandafarajizo3764 5 лет назад

      shekh wa kisun atoe ushahd wakutosha mbna anajiumauma 2 kapoteza mda 2

  • @aminaawadh7236
    @aminaawadh7236 4 года назад

    Makadiani ni makafiri

  • @mbossowcb1915
    @mbossowcb1915 4 года назад

    Mahamadiya hoja zao za kijinga tu