KUJIGONGA GONGA KWA NURDIN KISHKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 50

  • @NahimanaMoussa-jq4tl
    @NahimanaMoussa-jq4tl Месяц назад

    Kiukweli Sheikh Nurdin Kishki kakosea,,, ila kwakweli Hujatumia hekima ya hali ya juu kweny kumkosoa,, Lau kama ungemsogelea ukamkosoa akakataa ndio ungetumia njia kama hii,, Allah atustiri sote na atuongoze

  • @RamaMshangama-nc5wi
    @RamaMshangama-nc5wi 2 месяца назад

    Mashekhe zetu tunawapenda sana,ila tafadhalini kama kuna mmoja wenu anakosea ni bora kuwekana shura kuliko hii njia mnayotumia kwa sasa imekuwa hakuna tofauti sasa kati ya mashekhe na watu wengine,allah awaongoze

  • @idrisshogobe6424
    @idrisshogobe6424 2 года назад +6

    😂😂😂😂 Maskini kishki

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u 2 года назад +2

    Duh hawa mahizby bwana wanajigonga sanaa... na hili wanalo watu wote wabaatil.

  • @YazidSalum
    @YazidSalum 4 месяца назад

    Barakallahu fika nakupenda kwa ajili ya Allah
    Allah akuhifadhi
    Akhy abdallah humeidi

  • @hubamaringo
    @hubamaringo 2 месяца назад

    Allah atuongoe kwakweli Kuna mashekh kazi Yao kukosoa wenzie tu kila siku

  • @AsmaaIssa-wz6by
    @AsmaaIssa-wz6by 4 месяца назад +1

    Cku zote mtu akisema hakki lzm wapingaji watakuwepo. pasua kaka yangu Allah yupo pamoja na ww ndio kishki haeleweki

  • @idrissamsilagi9978
    @idrissamsilagi9978 2 месяца назад

    Mtume kasema hata kama mtu kafanya khatwa kweli lakini kumfikishia hasharani ni kumdhalilisha

  • @salummbarouk4216
    @salummbarouk4216 2 месяца назад

    Mtume Muhammad s.w.a alikuwa dhehebu gani

  • @Badrumchekwa
    @Badrumchekwa Месяц назад

    Sasa ww shekhe hapo umepata nn kwa kuitoa hyo acha hzo kuzodoana vitu visivyo vya msing

  • @idrissamsilagi9978
    @idrissamsilagi9978 2 месяца назад

    Kishk hata Mimi simkubali na wewe huko ndiyo ufikishaji kwanini usifuate inbox

  • @alfajahussein9074
    @alfajahussein9074 2 года назад

    Du, mashekh nishida

  • @salmaahmadnguhwe3285
    @salmaahmadnguhwe3285 5 месяцев назад +2

    MASHEKH.. TUMIA MUDA MWINGI KUJIKAGUA WEWE MWENYEWE SIO KUKOSOA WENZAKO TUUU!! KWANI SIKU YA HISABU UTAULIZWA MAMBO YAKO WEWE SIYO FULANI ALINYA NINI. MNATUDUMAZA... HATUMJUI MUNGU WETU IPASAVYO

  • @immtm4930
    @immtm4930 2 года назад

    Mbona waisilamu tuko hivi hatuwekani kitako kujadili mambo yetu kwa pamoja

    • @mussakatoro8079
      @mussakatoro8079 2 года назад

      Mbona unabana pua, we sheikh shogaaaa. Au ndo mamb ya Tangaaa

  • @MsarakaPinja-sv6vg
    @MsarakaPinja-sv6vg 4 месяца назад

    Duh

  • @user-lx2wg4je3t
    @user-lx2wg4je3t 4 месяца назад

    Madhehebu kwani kipindi cha mtume kulikuwa na madhehebu kulikuwa na uislamu tena walikuwa na umoja

  • @HamisiR
    @HamisiR 3 месяца назад

    Yani we unakosoaga wenzako na hatujawahi kukuona

  • @hadijamohamed623
    @hadijamohamed623 3 месяца назад

    Fanya yako bwana weeee kwani mtume Muhammad S.A.W alikuwa shehebu gani bwana weee

  • @fatmaally7241
    @fatmaally7241 4 месяца назад

    Yani hapa shekh umetaka kushusha tu heshma ya sheikh kishiki .mngekua mnatumia muda kuelimisha jamii na co kushushiana heshima .yani hili ulilo lisema ni jambo ambalo halina maana sasa ndonini!!!

  • @maalimhemedsalumu
    @maalimhemedsalumu 2 месяца назад

    Chuki na hasad ndio zilizo kutawala

  • @user-yb3gg2gt7o
    @user-yb3gg2gt7o 3 месяца назад

    ukiwa na elim ya Allah fanya kazi ya Allah usipende kuchunguza watu ulisoma kupeleleza watu washekhe vipi

  • @user-wj8xg4fr9t
    @user-wj8xg4fr9t 4 месяца назад

    Mtume alikuwa madhehebu gani?

    • @OmariKaya
      @OmariKaya 4 месяца назад

      Hata mimi nahitaji kujua mtume alikua dhehebu gani

  • @MadinaChikumbi
    @MadinaChikumbi 5 месяцев назад

    Kweli kama kishki utamfutilia Kwa makin utagundua hayuko sawa anajigonga gonga

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 5 месяцев назад

    Hiki kikundi kama jamat, tabligh tuu kwani amsomi maneno ya utheimin kuhusu usalafi wa kweli jamaa wamekuja na usalafi mpya arafu waita watu mahizbi kumbe kwa fatwa za utheimin wao ndo hizzbi

    • @user-jb6lp1zi9q
      @user-jb6lp1zi9q 5 месяцев назад

      Arafu ndo nin we ,unasem uthamin km mdg wk hun adabu

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 2 года назад +1

    Dhehebu la mafuta ni wahabiya.

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 2 месяца назад

    We auna KAZI nyingine ya kufanya mjinga wewe ata auna akili kiski sio mwenzako

  • @msambyaonlinetv3934
    @msambyaonlinetv3934 4 месяца назад +1

    Utopolo. Tu Umekosa kazi Ukaona utafute Views

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 11 месяцев назад

    Huna jipya humeid kazi kuraddi tu

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 5 месяцев назад

      Kama wewe unadhehebu bc dhehebu ni alokuwa nalo mtume s.a.w

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 5 месяцев назад

      Masalafy tushawajua hawatusumbui mayahudi tu hawa

  • @Mapyatv
    @Mapyatv 5 месяцев назад

    Uislam hakuna madhehebu katikadini swadakta shekhe kishik

    • @IssaSimbilla-hw9ev
      @IssaSimbilla-hw9ev 5 месяцев назад

      Loooh pole 😂😂nakishk wako

    • @Mapyatv
      @Mapyatv 5 месяцев назад +1

      @@IssaSimbilla-hw9ev ww nipehadithi au aya mtumeanasema tuwenamadhehebu tusidanganyane

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 4 месяца назад +1

      Sasa mbona huyo shekhe wako kishki hana msimamo
      Mara yeye Salafy mara hana dhehebu. Dalili ya unafiq

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 4 месяца назад

      ​@@Mapyatvmtume alifuata quran. Matendo yake ni sunnah kwetu. Salafy (ansaar) hufuata Quran na sunnah.
      Sasa waulize hao wengine wanamfuata nani

  • @salumngakonda2182
    @salumngakonda2182 4 месяца назад +1

    Madhehema ni vyama vya sheitani.

  • @user-ou6ku6kd8b
    @user-ou6ku6kd8b 2 года назад

    Na si umfuate na ukamwambie mbona wamkashifu kwa RUclips hiyo daawa yako sio ya swa

  • @mirajiramadhani8128
    @mirajiramadhani8128 3 месяца назад

    Kishki yuko sahihi mana yuko na elimu kuliko wewe salafi usotaka kusoma

  • @binnassorabdallah37
    @binnassorabdallah37 5 месяцев назад

    Maalimu,wewe unatafuta umaarufu tu kupitia mgongo wa mtu lkn hutoupata kwa njia hyo fanya daawa tumikia Qur an Allah atakunyanyua lkn kwa njia hyo utakua chini daima Sheikh Othman maalim ni msomi anaejua nin anasema nin anatenda nasi tunampenda sana kwa ajili ya Allah na tunamuombea kher siku zote. Kapewa na Allah nawe muombe atakupa sio kujibana migongoni kwa walio pewa .

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 2 года назад +1

    Nyinyi ni wapuuzi sana, na mna mambo ya kike, usalafi gani huo kukata vipande mawaidha ya msheikh? Hii si khiyana? Na huko si kufwatilia Aibu za Waisalam!!
    Alafu huyu dilele wenu mbona hakuwahi kumtukana mohamed mafuta kwa kusema kwake MANENO YA SHEIKH RABII NI KAMA WAHYI???

    • @aliyabasi2058
      @aliyabasi2058 5 месяцев назад

      Hujaelewa maskin

    • @banihashim5347
      @banihashim5347 5 месяцев назад

      @@aliyabasi2058 wewe tajiri umeelewaje?

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад

      Hawa jamaaa mahizbi salaf huwa Wanalindana akikosea mwenzao hawamraddi