Pole kwa Kuacha Shule Masalafii wako walio kutia kasumba.... Ila hicho ulichokisema ni kweli niliwahi kulisikia.... watu wakiambiwa hivo na sio ww tu wapo wengi walio athirika kama ww
Majadida Itikadi yao hufai kumkashif Kiogozi haswa wa Saudi Arabia ama inchi nyengine za waislamu, kwa wao jambo la kumkashif viogozi ni karibu na kukufuru. Hii Itikadi imeletwa kuwahifadhi viogozi kutokana naku penduliwa na kukashifiwa hata hao viogozi wakufuru pia hufai kuwakashif. Na hupenda saana kuwaita watu wasiekubali na itikadi hio kwamba ni ma khawarij. Hi ni kwa ufupi.
Dalili mbna zipo...ndio mukambiwa njooni musomeshwe Wala c aibu..ata nabii Musa pia mbali na unabii wake aliskiza na akaweka mbali unabii na kulingania dini akaenda kumwona huyo mtu Alie na ilmu kumliko yeye
masuni wa kisalafi hawajui wanachofanya ,kazi kugombana wote hawana elimu
Bachu Allah amuhifadhi amekua ni sababu ya kutoka kizani tulio wengi
Masalafi wenyewe kwa wenyewe wanalana sasa. Inna lillahi wainna ilayhi rajiun
Umri bado unakuruhusu njoo shule mwalimu wangu mkuu nimeshaongeanae atakupokea
Pole kwa Kuacha Shule Masalafii wako walio kutia kasumba....
Ila hicho ulichokisema ni kweli niliwahi kulisikia.... watu wakiambiwa hivo na sio ww tu wapo wengi walio athirika kama ww
Mwambieni akaekwa kutulia Hana ajuwalo rabda kelele t mm sijapenda kweli mwenye elimu hapigi kelele kwenye mawadha
Mawahabi wamekuja kuharibu na kubomoa uislamu
Huyu kijana muhammad bachu anatafuta pesa sijui amepata ngapi sasa
Mm nampnda Sheikh Muhammad na sisi ndio tulomwita na kupitia yeye tulitamani kusoma dini zaidi
Eny waislamu mnako enda wap mbn mnaharibu din kwa ujuaji mwingi hamjuh kama ibilis anawatafut?
Ivi kugombana ndo suluhu na kuwaeka watu wazi kuhu haki
Nanyinyi mmeshatafuta tayari ? Hebu msikilizeni kwa makini mtapata faida acheni ushabiki wa vijiweni
😁😁😁
Masalafi ni fitna
@@abuuabuu4831mmmh na wewe uko wapi
Bach ni mkwel
Endeleeen kugombana tyu waislam.
Dini mashinani yarudi nyuma.
Watu waritqrishwaaa nyie ki kelele tyu
Hujawahi kuwa salaf na mpaka Sasa hivi sio salaf ndio maana ghurafi said kwa kuuzeesha uso
Muhabi anamkataa Mhabi Mwenzie!!
Anaendelea kulipwa. Ndio maana anakuwa jeiri bila elimu.
Alikuwa anatafuta subscribers na viewers kwa youtube
Mawahabi na majadida tofautiyao nini?
Wote ni Mawahhabi. Boss na muasisi wa dini hiyo Muhammad bin Abdil-Wahhabi.
Majadida Itikadi yao hufai kumkashif Kiogozi haswa wa Saudi Arabia ama inchi nyengine za waislamu, kwa wao jambo la kumkashif viogozi ni karibu na kukufuru. Hii Itikadi imeletwa kuwahifadhi viogozi kutokana naku penduliwa na kukashifiwa hata hao viogozi wakufuru pia hufai kuwakashif. Na hupenda saana kuwaita watu wasiekubali na itikadi hio kwamba ni ma khawarij. Hi ni kwa ufupi.
@@allymahaba3425mmmh shekh haya tuambie tuelewe vizuri,unaonekana mjuzi sana
Mche Allah we mjinga haujui
Mm nawambia masalaf hawafai ni wabaguz na nyinyi si masala ss hiv hakuna salafi
Wewe mjibu kwanza zile nukta 19
Nukta gn ,kwanza bachu aende kujifunza kiarabu na balagha . Sio kufanya fujo tu. Shenz yeye
😂😂😂😂😂 angejibu swali moja dogo kisha akaendelea na munaqash kama kweli anahoja zake 19😅😅😅😅
Dalili mbna zipo...ndio mukambiwa njooni musomeshwe Wala c aibu..ata nabii Musa pia mbali na unabii wake aliskiza na akaweka mbali unabii na kulingania dini akaenda kumwona huyo mtu Alie na ilmu kumliko yeye