Radd Kwa Muhammad Bachu No 02

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 31

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 4 месяца назад +2

    masuni wa kisalafi hawajui wanachofanya ,kazi kugombana wote hawana elimu

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 11 месяцев назад +2

    Bachu Allah amuhifadhi amekua ni sababu ya kutoka kizani tulio wengi

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 4 месяца назад +1

    Masalafi wenyewe kwa wenyewe wanalana sasa. Inna lillahi wainna ilayhi rajiun

  • @TwoBrother-tc2cu
    @TwoBrother-tc2cu 4 месяца назад +1

    Umri bado unakuruhusu njoo shule mwalimu wangu mkuu nimeshaongeanae atakupokea

  • @abdukhan4718
    @abdukhan4718 Год назад +1

    Pole kwa Kuacha Shule Masalafii wako walio kutia kasumba....
    Ila hicho ulichokisema ni kweli niliwahi kulisikia.... watu wakiambiwa hivo na sio ww tu wapo wengi walio athirika kama ww

  • @user-zf7ft8eg1x
    @user-zf7ft8eg1x 11 месяцев назад +1

    Mwambieni akaekwa kutulia Hana ajuwalo rabda kelele t mm sijapenda kweli mwenye elimu hapigi kelele kwenye mawadha

  • @mustafahlokol7338
    @mustafahlokol7338 3 месяца назад

    Mawahabi wamekuja kuharibu na kubomoa uislamu

  • @ameerzulfiquar2111
    @ameerzulfiquar2111 2 года назад +3

    Huyu kijana muhammad bachu anatafuta pesa sijui amepata ngapi sasa

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 4 месяца назад

    Mm nampnda Sheikh Muhammad na sisi ndio tulomwita na kupitia yeye tulitamani kusoma dini zaidi

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 11 месяцев назад +1

    Eny waislamu mnako enda wap mbn mnaharibu din kwa ujuaji mwingi hamjuh kama ibilis anawatafut?

  • @ExcitedDandelion-kb3ug
    @ExcitedDandelion-kb3ug 4 месяца назад

    Ivi kugombana ndo suluhu na kuwaeka watu wazi kuhu haki

  • @saidymoto3889
    @saidymoto3889 2 года назад +2

    Nanyinyi mmeshatafuta tayari ? Hebu msikilizeni kwa makini mtapata faida acheni ushabiki wa vijiweni

  • @jasminedamian6032
    @jasminedamian6032 10 месяцев назад

    Bach ni mkwel

  • @omaryfiqh2906
    @omaryfiqh2906 4 месяца назад

    Endeleeen kugombana tyu waislam.
    Dini mashinani yarudi nyuma.
    Watu waritqrishwaaa nyie ki kelele tyu

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 3 месяца назад +1

    Hujawahi kuwa salaf na mpaka Sasa hivi sio salaf ndio maana ghurafi said kwa kuuzeesha uso

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Год назад

    Anaendelea kulipwa. Ndio maana anakuwa jeiri bila elimu.

  • @kugotwa004
    @kugotwa004 11 месяцев назад +1

    Alikuwa anatafuta subscribers na viewers kwa youtube

  • @hamisikanyama984
    @hamisikanyama984 Год назад

    Mawahabi na majadida tofautiyao nini?

    • @allymahaba3425
      @allymahaba3425 Год назад

      Wote ni Mawahhabi. Boss na muasisi wa dini hiyo Muhammad bin Abdil-Wahhabi.

    • @biggytough2586
      @biggytough2586 11 месяцев назад

      Majadida Itikadi yao hufai kumkashif Kiogozi haswa wa Saudi Arabia ama inchi nyengine za waislamu, kwa wao jambo la kumkashif viogozi ni karibu na kukufuru. Hii Itikadi imeletwa kuwahifadhi viogozi kutokana naku penduliwa na kukashifiwa hata hao viogozi wakufuru pia hufai kuwakashif. Na hupenda saana kuwaita watu wasiekubali na itikadi hio kwamba ni ma khawarij. Hi ni kwa ufupi.

    • @muhamadberhe
      @muhamadberhe 10 месяцев назад

      ​@@allymahaba3425mmmh shekh haya tuambie tuelewe vizuri,unaonekana mjuzi sana

    • @AtiqQassim-od9jr
      @AtiqQassim-od9jr 5 месяцев назад

      Mche Allah we mjinga haujui

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 4 месяца назад

    Mm nawambia masalaf hawafai ni wabaguz na nyinyi si masala ss hiv hakuna salafi

  • @isarichard
    @isarichard Год назад

    Wewe mjibu kwanza zile nukta 19

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 11 месяцев назад

      Nukta gn ,kwanza bachu aende kujifunza kiarabu na balagha . Sio kufanya fujo tu. Shenz yeye

    • @user-fy4op1sw2f
      @user-fy4op1sw2f 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 angejibu swali moja dogo kisha akaendelea na munaqash kama kweli anahoja zake 19😅😅😅😅

    • @khalidmohammed4261
      @khalidmohammed4261 11 месяцев назад

      Dalili mbna zipo...ndio mukambiwa njooni musomeshwe Wala c aibu..ata nabii Musa pia mbali na unabii wake aliskiza na akaweka mbali unabii na kulingania dini akaenda kumwona huyo mtu Alie na ilmu kumliko yeye