MJADALA WA MAULID - (8/9) - ILFORD (LONDON) - 17/02/2009

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 108

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +3

    Huyu kijana aliyevaa kanzu,kofia koti anazungumza Kwa jazba na anazungumza kisiasa kama mfuasi wa cuf.Jitiboe mwenyewe na ujipakue mwenyewe kwa uchache wa elimu Yako.Mshapandikizwa mbegu za kiwahabi

  • @jumafaki1697
    @jumafaki1697 5 лет назад +6

    Huu mjadala ni mzuri sana ukiuckiliza vyema bila kujali wapi upo unapata mwongozo wahaya masuala Sina haja kutangaza wapi nlipo ila mjadala ni mzuri sana

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +2

    Wanzo pinga maulidi hawako sawa kwzsababu MUTUME MUHAMADI S.A.W ana u wonderful wa maajabu si vibaya kumujadili yani MUTUME wonderful kama huyo mwata asifurahiwi awekwe kabatini sasa!!!! Kuliko kwenda katika upuuzi bora mutu ajifurahishe na Mutume MUHAMMADI S.A.W kama hawamupi sifa za Allah sio kumutukuza wanamutukuza kama mutume ili watu wamujuwe.MUHAMADI S.A.W is wonderful kiyo ca jami

  • @Gamba177
    @Gamba177 4 года назад +4

    Hawa wote wakimbizi na wengi karibu wote hapo mmesema wasomali sasa mmejisahau kuongopa na kuapa mahakamani na kujifanya Woriyaa wa Somalia pia haifai??? Ni Bidaa mbaya zaidi hasa huo unafiki na kuapa kwenye mahakama za UK kuwa mulitaka kuchinjwa Somalia yaani uwongo mtupu

  • @alhabibahmedbinalyalhabshy1805
    @alhabibahmedbinalyalhabshy1805 3 года назад +5

    Katafuteni Elimu bdo Maulid yatasomwa mupende musipende

  • @hassanalhussein3982
    @hassanalhussein3982 5 лет назад +7

    Hawa wanaopinga hawana hoja na kiarabu Chao Ni Cha matatizo

  • @zainabhussein9868
    @zainabhussein9868 3 года назад +2

    Mnaosema maulidi bidaa wapi mtume kakataza?

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 года назад

      Haikuwepo wakati wake, akatae vipi ya cawan

    • @ahmedwelimohamed4998
      @ahmedwelimohamed4998 2 года назад

      @@mohagurey2214 kwa sababu haikuwepo ndio likuwe haramu???

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 года назад +1

      @@ahmedwelimohamed4998 Na'am, ibada yeyote ya dini ambayo haikuwepo wakati wa mtume s.a.w ni bid'a na haifai. Dalili ni Hadithi ya mtume
      من عمل عملا ليس عليه أمرنا فهو رد

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Год назад

      @Abdulhamidu Kanula ngombe wewe, simu imekuwa ibaada lini??? Akili ya kondoo

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +2

    Mashaallah mawahabi wameumbuka

  • @abdallahomari8680
    @abdallahomari8680 5 лет назад +2

    Mtume salallahu aleyhi wasalaam amesema mumsimamie mungu,na mungu nae amesema hakika mungu namalaika wake humtakia rehema na amani zumshukie mtume,enyie waislaamu mtakieni mtume neema naamani,kwahiyo ,kwahiyo qurani imeruhusu kumsalia mtume

  • @rashidsaid9409
    @rashidsaid9409 2 года назад

    Elimu muhimu sana sana tena sana aljawab tusomeni waislamu tutangulize elimu kabla ya kutenda .elimu ni kala llahu wakala rrasul wakala sswahaba .kwa ufahamu wa wema waliopita bass.si kwa ufahamu wa akili zetu. Baaraka Allahu fiikum.

  • @isamailbusoro1039
    @isamailbusoro1039 4 года назад +1

    Ila wameshindwa kuthibitisha uhalali wa maulidi.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +1

    Ustadh peni na macho kuwa makini🖊️🖋️

  • @hayratmbupi1791
    @hayratmbupi1791 5 лет назад +6

    Yani ukitaka kujua uchache wa elim ni pale kila fatua wanamtumia ibn taimia, na kuna mambo twayafanya mtume wala hakufanya, Someni jamani someniii

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 5 лет назад

      Kweli kabisa dini yataka kusomwa.

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад

      Hayrat Mbupi wasome kweli

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад +1

      Wazazi wetu wote niwa maulidi eti nyinyi sasa wapinga

    • @alishariffshariff9083
      @alishariffshariff9083 5 лет назад

      Rukia Osman wallahi very true brother but they don't reflect

    • @swalehahmed2170
      @swalehahmed2170 4 года назад

      @@rukiaosman8416 ruclips.net/video/JGF_2wGjqTc/видео.html

  • @selemaniselemani5445
    @selemaniselemani5445 4 года назад +1

    Dah! Kumbe maulid C ibada, Bali ibada ni Kula Ubwabwa ktk maulid.

  • @farajkassim5875
    @farajkassim5875 6 лет назад +1

    Its good thing to Make debate on all issues concerning Islamic matters in a friendly way ,amiably.

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +2

    Mtume SAW asema Kama mwampenda Allah nifateni

  • @husenimareja1907
    @husenimareja1907 5 лет назад +1

    Sina elim lakin mjadala huu na ukosoa kwhy mnajadiliana waislam na din gani?

  • @abdallahomari8680
    @abdallahomari8680 5 лет назад +3

    Sheikh tuambie kurekodiwa kwa video ni ibada? Nioneshe aya katikati quran :

  • @swafniesaid2331
    @swafniesaid2331 2 года назад +1

    Kasomeni huonaje tutawasifu nyinyi mwataka😂🤣😁😀😃😅😄

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 6 лет назад +7

    Hawa watu wa maulid ukiwafatiza kama mayahudi

    • @habibtyhabibtykheir1242
      @habibtyhabibtykheir1242 6 лет назад +1

      VP ww muislamu wamuita waislamu wenzako mayahudi jee nisawa

    • @rashashuaib9838
      @rashashuaib9838 6 лет назад

      @@habibtyhabibtykheir1242 ndio hao wanaoingiza watu motoni wakihisi kuwa funguo zimo mikononi mwao

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад +1

      Nyinyi kazi zenu kutia Motoni wenzenu tuu.....ucjekua we we ndio wa mwnzo kuingia tuu

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 5 лет назад

      Wewe Ni juha elimu huna hata katiti

  • @salimzahor5181
    @salimzahor5181 5 лет назад +7

    maulidi bidaa

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +1

    Iyo yopeke ni maulidi kwasababu maulidi sikufurahitu bali nakutangaza ubora wake na aco kataza .na alico agizwa

  • @salimzahor5181
    @salimzahor5181 5 лет назад +2

    bidaa

    • @wensimpunga3658
      @wensimpunga3658 5 лет назад

      Salim Zahor SIO. BIDAA. YAPO. KTK. SHERIA. WW. DR. KIFAGIO

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Год назад

    ابن تيمية من هو

  • @issaahmady9644
    @issaahmady9644 4 года назад +3

    Hakuna uharamu wa mawlid

  • @abubakarabdulrazak5348
    @abubakarabdulrazak5348 5 лет назад +2

    Mimi binafsi sishiriki maulidi lakini nyinyi Vija

  • @princeganji2779
    @princeganji2779 5 лет назад +4

    Maulid ni bidaaa

  • @assadshaaban8758
    @assadshaaban8758 3 года назад

    Nyie masheikh vp lakini, si nyote waislam nani hapo mwenye elimu zaidi nyote hamjui kitu, Allah ndie ajuae, walinganieni watu kuwa pamoja, msipoteze Muda kwa maulid, hayo ndio yapo

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +1

    Wallah ukiskiza kwa vdeo utajua watu wa maulid warukaruka hajielwi

    • @wensimpunga3658
      @wensimpunga3658 5 лет назад

      Abu Ahmad JWW. UNAJIEREWA. KWER. DR. KIFAGIO

  • @mwinjumambukuzi5251
    @mwinjumambukuzi5251 5 лет назад +1

    Hayo ya ngoma ckubali ila kuhusu kusimamiwa mtume alisimamiwa kwenyekisa hichohicho kuna mmoja wa swahaba alisema ctoacha kumsimamia mtukufu kama Rrasuli na alisimama mbele yake.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 года назад

      Are you sick?? Mtume mwenye akuambia usinisimamie na wewe unazidi kusimamia??? You must be sick

    • @yusrahb4461
      @yusrahb4461 2 года назад +1

      @@mohagurey2214 hahaha mgonjwa huyo

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 года назад

      @@yusrahb4461 Bila shaka

  • @fathimbarak644
    @fathimbarak644 4 года назад

    Huyo ustadh alievaa kanzu nimkali

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 2 года назад

    Acheni kupoteza mda kwa kujadili Maulid,Kuna sehemu kama Kongo,msumbiji n.k watu hawana habari na dini kabisa,Waisilamu kila kukicha wanaritadishwa.nendeni huko mkawalinganie watu waijuwe ipi dini ya haki,mkifanya hivyo nitawaona watu wa maana kuliko kupoteza mda wenu kwa kujadili Maulid.

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Год назад

    masufi yamewakuta😂😂

  • @habibtyhabibtykheir1242
    @habibtyhabibtykheir1242 6 лет назад

    Mtume s.a.w. uhai katika nyoyozetu

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Год назад

    MAWAHABIIIIII MAWAHABUUUUUU MAWAHIBIIIIIIII MAWAHIBUUUUUUUUU MWEWEHEBUUUUUUU

  • @princeganji2779
    @princeganji2779 5 лет назад

    Swadakta shekh

  • @alishariff8657
    @alishariff8657 6 лет назад +5

    Mawahabi ndio balaa kubwa dunian

  • @mustafahkapopwa5239
    @mustafahkapopwa5239 9 месяцев назад

    Ma wahabi wao hawanaga na na fununu zinazo chambua maana na mafuhumu khaswa za ayat na hadith

  • @zakariasuleiman4113
    @zakariasuleiman4113 Год назад

    Sasa shida Iko wapi kama maulidin ni bidaa si watuwache tufanye ila tu tukiingia motoni kwasababu ya bidaa basi mawahabi ndo wataka Kuni zetu za kutuchomea huko motoni ubiishi na wao ndio wanafanya bidaa mbaya Tena katika miezi mitukufu

  • @athumanally4303
    @athumanally4303 4 года назад

    Yani hata ukiwa unapenda kuvuta bange unjual kabisa nimbaya lakini kwakua unaipenda huwezi shindwa itetea,haya kama mtume kama mtume s,a,w, kapigiwa ngoma namwanamke kama mnavodai !nanyie miwanawake mnavopiga hizo ngma?

  • @ahmadisaid9304
    @ahmadisaid9304 2 года назад

    Hakuna hoja kwa wafanyao maulid hapo anajitetea tu lakini hakuna maulidi kwenye uisilam mwisho ndo watu wakata viuno halafu mwasema hayo si yenu ila nyinyi ndo mmefungua huu mlango basi waacheni tu

  • @kizitumbe2210
    @kizitumbe2210 2 года назад

    المولد لا ليس البدعة

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 2 года назад

    Hapo mlipo mpo sawa na maulidini tu

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад

    Maulid ni ujahil na mtume SAW hakujanayo na alikata kutukzwa alisema musintukuze Kama mayahud walivo mtukuza issa

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад

      Abu Ahmad msinitukuze kama walivyomtkza issa....is a katukzwa kwa kwaitwaظungu so mtume kakataa asisifiwe kuitwa mungu...sawa babaa?kwanza masomeee

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 Год назад

    Hawo wahabii watakukufurisheni achaneni nao gombaneni na wasio kuwa waislam
    Mtagawanjwa tu

  • @allypapaa489
    @allypapaa489 4 года назад

    Maulid Bida'h tatizo waelezaji Wana Jazba tu

  • @awadhially1384
    @awadhially1384 5 лет назад +1

    Kama mmetumwa kutuvuruga, watu wanakufa nyie mnabishania Maulid Allah anawaona mjue mbona hamkutani kujadili matatizo makubwa yanayo wakuta waislam?

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад

      Waambiye wanajaliyana maulidi
      Sikilamtu akifa ataenda naamali yake msitutiye tabu
      Mnateta bure wallahi ninawashanga mm subhanallah

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад

      Wape yusuf huyo mtoto wa bakari nalala halijui kitu ijuha Hilo
      Nikama ishe niidhuka nalala huyo

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад

      Tutasoma maulidi mpaka tufe

  • @halimbintmussaalbajuun2498
    @halimbintmussaalbajuun2498 6 лет назад

    waislama sisi kwa sisi tunakhitalifiana kuna mangapi ya kuyaendeleza na kuyafanya wamekaa eti mjadala na mdahalo kuhusu maulid

    • @rashashuaib9838
      @rashashuaib9838 6 лет назад

      Sheikh wangu mi nauliza iyo midahalo wanayofanya mashekh zetu wametowa wap mambo ayoo ? Kwasababu kuna watu hawaswali ni dharura zaid kuwalingania ila wao wameona mijadala NDIO muhimu

  • @swafniesaid2331
    @swafniesaid2331 2 года назад

    ituzeni hamuoni kilakuchapo huzidi

  • @mwajumamashallah3122
    @mwajumamashallah3122 5 лет назад +2

    Binafs maulidi hapana niuzushi

  • @amejani9368
    @amejani9368 5 лет назад

    Mjadala mzuri lkn pande zote mnakimbia kwenye mnaleta mashairi, nahwu, sarfa na balagha Tupeni aya ktk qurani, hadithi angalau mawafikiano ya maghulama JENGENI HOJA

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 4 года назад

      Bila hizo balagha na nahw huwezi kuelewa matamko ya kiarabu

  • @fundibombazanzbar5717
    @fundibombazanzbar5717 4 года назад

    du mdigo huyu mbishi alovaa koti
    ok tuthibitshie mtumi alitoa klip

  • @issaahmady9644
    @issaahmady9644 4 года назад

    Yaani huyu muhabia hana elimu kabisa yaani hajifahamu kabisa

  • @abdulmunimawadh3697
    @abdulmunimawadh3697 4 года назад

    I'm now confused

  • @amejani9368
    @amejani9368 5 лет назад

    Hiyo hadithi aloruhusu Mtume s.a.w apigiwe dufu na mw'ke ilikuwa kwa sharti ya NADHIRI na nadhiri ni dharura! huwezi kuijengea hoja kuwa Mtme s.a.w. ameruhusu dufu hili la kawaida apigiwe. Kwenye dharura maalum na zilizokubaliwa na sharia hata pombe waweza kunywa au ukala nguruwe lakini LKN HAINA MAANA UMEPATA RUHUSA YA KULA AU KUMYWA KAWAIDA Towa aya ktk qurani, au hadithi ya mtume s.a.w iliyo sahihi juu ya uhalali wa kuadhimisha maulidi dufu akiwa na lilipigwa akiwa hai au maswahaba walifanya na akaridhia pia toa hoja ikiwa mfunguo sita ni mwezi wa maadhimisho ya maulidi yake unayodai ibada kwa kuwa unamsifu s.a.w .Toa aya au hadithi ulipoainishwa mwezi huu kama ile mingine minne. Kisha itafute historia ya maulidi ktk pale Misri na lengo lake ukiacha lile alilopigiwa s.a.w ktk hijra.

    • @muhammadrudainy597
      @muhammadrudainy597 5 лет назад

      nadhiri hata kama ni nadhiri, hairuhusiwi ikiwa jambo ni dhambi. wacha dhambi, jambo la kipuuzi liso na manufaa haifai kuweka nadhiri. kwa hadithi ya mtume (saw).
      swahaba alieka nadhiri kuwa atatembea miguu chuma. mtume akamkataza kutekeleza. akamwambia vaa viatu.
      swahaba mwingine aliweka nadhiri atasmama kwenye jua mchana kutwaa. mtume (saw) akamwambia hapana. kaa kwenye kivuli bwana.
      kwa hivo. nadhiri haihalalishi jambo haramu. wala haifanyi uzuri jambo la upuzi!!
      mtume kamruhusu mwanamke apije twari. kwa dalili hii, twari si haram.

    • @husenimareja1907
      @husenimareja1907 5 лет назад

      Ame Jani kumbe hata nikiweka nadhir ya kuzini inafaa kutekeleza

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад

      Bakari nalala ww hunalolote
      Maulidi niibada mutake musitake

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад

      Tutasoma maulidi mpaka tufe

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 лет назад

      Ww mtoto wa bakari nalala
      Kwanza mkataze babako
      Nama gurupu nakuimba ijuha ww izuka ww niidhuka

  • @asa9268
    @asa9268 5 лет назад

    Watu wasokuwa na ilmu kusoma madaris miaka mitatu minne ndio wanafungua midomo yao..huu mjadala si mzuri..ni mjadala utakaoleta chuki baina ya waislamu

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +1

    Tufateni mienendo ya mtume tusifanye shere kukata kiuno twamwudhi mtume

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +1

    Habibty Kama hufati mienendo ya mtume SAW basi ni kafir

  • @saidimohammed2455
    @saidimohammed2455 5 лет назад +1

    Maulidi maulidi niharam

    • @fahadfahmy
      @fahadfahmy 5 лет назад

      Maulid haijaharamishwa Said Mohammed

    • @wensimpunga3658
      @wensimpunga3658 5 лет назад

      saidi mohammed KASOME. TENA. DR. KIFAGIO.

  • @fundibombazanzbar5717
    @fundibombazanzbar5717 4 года назад

    mawahabi nyote elmuzenu ndogo

  • @yusufusalimu5397
    @yusufusalimu5397 5 лет назад

    Dah kweli dini imeingiwa na wagonjwa sasa as ww hija na funga unafananiza na ibada za sunna huna kazi ww

  • @hayratmbupi1791
    @hayratmbupi1791 5 лет назад

    Waliosoma woote wapo kimnya wala hutowaona mitandaoni wakibishana

  • @omarsalim9879
    @omarsalim9879 6 лет назад +1

    Maulid ni bidaa.

    • @alishariff8657
      @alishariff8657 6 лет назад

      Omar Salim na unasemaje aqsamu tawheed

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 5 лет назад +1

      Kabsaa ni bidaa watu wamaulid hamna tafaut na mashia

    • @fatmasuleiman2989
      @fatmasuleiman2989 5 лет назад

      Hawa wanavyo sema ni sawa wanapinga maulid na kweli maana madina na makkah hawasomi maulid ni uzuzshi ni kweli

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 5 лет назад

      @@alishariff8657 SI qismu tawhid pekee Bali bida zao Ni nyingi lakini Hawa tambui.

    • @wensimpunga3658
      @wensimpunga3658 5 лет назад

      Omar Salim AKIRI. ZAKOFEKI. DR. KIFAGIO. TZ.