Sheikh Naasor BACHU - TAFSYR YA SURATU TWAARIQ 1/4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2012

Комментарии • 23

  • @rajabuamiri9726
    @rajabuamiri9726 11 лет назад +3

    NASSOR BACHU NI MWANAZUONI ALIYEKAMILIKA NA KWAKWELI TAUHEED IMEJAA KUFUANI MWAKE, INSHAALLAH ALLAH AMJAALIE KILA LA KHERI

  • @anasmalongo6449
    @anasmalongo6449 3 года назад +1

    allah amrehem sheykh nasoro bachu mwaka 1999 nilikuwa sjazalw lakini alhamdulilah nimeipata darsa yako

  • @chespperentertainment6530
    @chespperentertainment6530 4 года назад +2

    ustadh Bachu Allah Ampee Pepo uliyo ya Juu Zaidi Mawadha haya 1999 nilikua na Miaka Saba tu SubhanaAllah..
    Alfu Kuanzia Aya ya 1-4 nimetafuta sijaona tafadhali nisaidieni kwa hilo

  • @ramadhansimbila2666
    @ramadhansimbila2666 Год назад +1

    Mashaalwaah allwaah akuhidhi mahala pema aaamiin

  • @ishengomamakora3365
    @ishengomamakora3365 4 года назад +1

    Allahumma ghfirlahuu warhamhu wasqanahuu fil-janaa

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 4 года назад +1

    ALLAH grant this humble, modest sheikh janathul firdous..

  • @Truthshallprevail1291
    @Truthshallprevail1291 11 лет назад +2

    Nikweli kabisa. Sasa ivi tunamuomba Mwenyezi Mungu amupe jannatul firdaws. INNA LILLAHI WA INNA ILAYHI RAJI'OON.

  • @witnessbeka4656
    @witnessbeka4656 5 лет назад +2

    Allah amrehem sheikh wetu,

  • @twalikali7726
    @twalikali7726 6 лет назад +1

    allah amraham shekh wetu na atujaliye tufate maneno yaka anayo sema amin

  • @ngwalitcha1655
    @ngwalitcha1655 8 месяцев назад

    Allah amrehemu sheikh ampe kauli thabit

  • @khamismussa6308
    @khamismussa6308 5 лет назад +1

    Allah amrehemu sheikh nassor

  • @vibration210
    @vibration210 11 лет назад +3

    Mashallaa allahumma ighfir lahu warhamhu wasakanahu fil jannah allahumma aamiin,
    hivi ndivo waislam wanapo iaga dunia wanatakiwa wawe wanakumbukwa kama hivi huu ni mfano mkubwa kutoka kwa sheikh wetu al maruhum Nassor Bachu kwani yeye leo tunamkumbuka kwa kuangalia au kuskiliza mawaidha yake nasi ndugu zangu wa ki islam tujitahidini na kujijengea mwisho mwema na kumbukumbu njema aaamin.Mungu mlaze mahala pema sheikh wetu pamoja na waisslamu wote aamin.

  • @khamismussa6308
    @khamismussa6308 5 лет назад +2

    Allah amrehem

  • @yusufabubakarayub2823
    @yusufabubakarayub2823 11 лет назад +1

    ameen ameen ameen

  • @ahmedhamis9931
    @ahmedhamis9931 5 лет назад +1

    Ameen allah huma ameen

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Год назад +1

    Naaam uzuri wa Quran tafsir upate uchambuzi mzuri mifano mingi kichwani ndio zinakaa

  • @jumatano8655
    @jumatano8655 7 лет назад +1

    Allahum maghufir'lahum warahmahum wasaka anhum fil jannat amiin amiin yarabal alamiin

  • @mussahamad8626
    @mussahamad8626 2 года назад +1

    Ni raha sana kusikia uchambuzi wa quran namna hii

  • @aishasadiqi9049
    @aishasadiqi9049 5 лет назад

    shekhe Nassor bachu 😭😭😭

  • @MattarKhamis-dg3pb
    @MattarKhamis-dg3pb 8 месяцев назад

    4-4