TOFAUTI YA SHIA NA SUNNI Sheikh Ayub Rashid

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #DARSALAWIKI

Комментарии • 27

  • @MsabahaRamadhaninado
    @MsabahaRamadhaninado Месяц назад

    Manshaallah

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 7 месяцев назад

    Mbona mnaenda kinyume na hiyo aya uloanza nayo hapa

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад

    Ungekua unajua kua ni mashekh wa kiislam waqi ungeliwafuata

  • @Farida-vw1in
    @Farida-vw1in Год назад

    MashaAllah Allah autunze nakukumbuka sana Arusha se 1995

  • @islander3191
    @islander3191 2 года назад +2

    Hujaongea hata neno moja la maana ni porojo tu wallahi,

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад +1

    Tunamuomba allah akuongoze uifuate haqi na ukutoe katika ushia

  • @nasrjahdhamy9896
    @nasrjahdhamy9896 3 года назад +1

    Nacho kipenda kwa mashi ni watu watulivu na wana hikika

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад +2

    Acha kutetea ukafiri rejea kwa allah

  • @mohamedpinyi1859
    @mohamedpinyi1859 Год назад +1

    Nyinyi Shia mnawatakia Abubakar(AS) na Umar(AS) Moto wa Jahanamu!!!
    Mtume Muhammad aliwatabiria hawa Pepo katika wale Aashara Mubashara. Ina maana nyinyi Shi'a mnakanusha maneno ya Rassuli.
    Ukikanusha maneno ya Mtume wewe umeasi.
    Yafaa Shi'a wasilimu kisha watubu kwa Allah.

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад +2

    Acha kupotosha mzee ushia ni ukafiri na ndiomana mnashahada zaidi ya mbili

  • @ndikumanaallymugisha
    @ndikumanaallymugisha 4 года назад +1

    Naam swadcta sheikh hakuna kafir anaye hidji sasa huwa nashanga sana

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад

    Acha kuwadhihaki mashekh wa kiislam

  • @salhaisrael8265
    @salhaisrael8265 Год назад

    Na we unamatatizo unatafuta ukubwa tu.nimtu mzima unaelekea akhera bora ungezidisha nguvu kwenye ibada yaswala

  • @Dulla99
    @Dulla99 Год назад

    Yeyote aliye na itikadi Qurani imefanyiwa tahrif ni KAFIRI…uzushi huo uko katika vitabu vyenu dhahiri

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад

    Pia mmetengeneza al qaaba irani mnataka watu wasiendi kuhiji maka waje irani

  • @islander3191
    @islander3191 2 года назад

    Wewe ndio unaleta fitna, hivo vitabu venu vya unafiki hakuna anoviamini ktk sunni, mbona unaruka mada unakuja kwa omar hiyo sio jazba? wacha unafiki na uzushi, matabu makubwa ya uzushi na unafiki tu.

  • @mohabasultan1920
    @mohabasultan1920 4 года назад

    Mtume(SAW) alisema,
    "Fwateni Sunnah zangu na Sunnah za Maswahaba wangu watukufu."
    Je, wale wasiowatambua Ukhalifa wa Abubakar na Umar wako sawa?

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 3 года назад +1

      Unajua kuna watu siku ya kiama watachukua dhimma kubwa sana kuugawa uislam wallah nakwambia,kwa nn wasingefuata misingi ya Mtume alivyofundisha? Kama mtume S A.W kabla ya kufa hakuacha Sunni wala ushia.wameona mtume kafa kila mtu kaja na lake hili watakuja kulijibu wale ambao walilianzisha kama litakuwa bora Allah anajua likiwa limeupoteza umma Allah yeye anajua.Na hichi ndiyo chanzo cha ulimwengu wa kiislam kugawanyika.kama wao walitaka waunde madhehebu kwa nn hawakuanzisha mtume S.A.W yupo hai ehhh? Mara hawa sunni maana sunni ni wenye kufuata sunna za mtume mara hawa mashia shia maana yake ni kundi.kwani zama yupo Mtume S.A.W waislam hawakuwa wanafuata sunna? Leo hii Mtume kafa musifuate muongozo ule ule?.au hawa nao wanajiita shia huyu aliyeanzisha hii kwa nn asianzishe huo ushia Mtume yupo hai?. Kwa kweli hili lote wa kuwalaumu wale chimbuko na siyo hawa wa leo.kama unawapata wao wawili unakaa nao huyu aliyeanzisha ushia akasema sisi ni shia na huyu wa sunni ukawaweka pamoja lazima swali langu ningewauliza wote wawili kwa nn msingeuacha uislam kama alivyoufundiaha Mtume nyinyi mkaamua kuuleta kwa madhehebu ehh?.hata Mtume leo angekuwepo asingekubali kuona waislam wakijigawa hivi.mbona wanaouchukia uislam hawasemi mashia ndiyo magaidi au wasuni ndiyo magaidi? Wanasema waislm ni magaidi.eti sisi wenyewe leo tunagawana.hili mimi nasema lazima watabeba mizigo hao tu kama mtu wa mwanzo kuua na mtu wa mwanzo kuchonga sanamu.Na sisi waislam hatutakuwa kitu kimoja mpaka kiama kwa sababu tumetengana tayari na maadui zetu watatuweza vizuri.

    • @kitaaofficial4119
      @kitaaofficial4119 Год назад

      @@Pedeshee01 kweli kabisa hawa walioanzisha haya Madhehebu watakuwa na hujuma kubwa siku Kiama, Allah atusallim Salama Siku ya Kiama

  • @abdiabdullah8564
    @abdiabdullah8564 3 года назад

    Ila nyinyi wamlilia kwa kujipiga na kujikatakata mwilini, damu zinavuja hiyoo ndio dini kweli?

  • @alhashimy2625
    @alhashimy2625 3 года назад

    Nyinyi si waislam,
    1, Adhana yenu tofauti na waisla
    2, swala yenu pia ni tofauti,
    Dini yenu imeletwa khumeni na sasa inashikiliwa na khamenei, nyinyi ni Iraniiiiiiiiiiii

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g Год назад

      Naomba kuuliza huyo Khamenei Ninani haswaaa?

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg 2 месяца назад

      ​@@user-pj8ed9kn6gni baba yako pumbavu weee😂😂😂😂😂

  • @muhamadyusufu6663
    @muhamadyusufu6663 2 года назад

    Unatetea ukafiri eti kwasababu inapewa visenti jua kua kifo ni haqi pia tutafufulia siku ya qiyama