CHADEMA Imepanga Kumshinda Kwa Hoja Gani Samia 2025?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Kwenye mahojiano yake na The Chanzo, Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), anaweka wazi hoja watakazozitumia kumshinda Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2025, kubwa yao ikiwa ni kuongezeka kwa gharama za maisha nchini.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 31

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Месяц назад

    Wewe Mwandishi wa habari hiyo tasnia hauna utalamu nayo
    Nenda kalime viazi Kwenu

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 Месяц назад

    Mwandishi nae chawa

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Месяц назад

    Una uliza swali utaki kujibiwa au umetumwa,

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Месяц назад +1

    Hongera zako kamanda wetu

  • @user-nr3ym2ku6y
    @user-nr3ym2ku6y Месяц назад

    Chadema mnawabagua watu kwa dini zao mtizame slaa alimkosoa jk akamkubali magufuli leo anampinga samia

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад

    Kweli dada umenena hayo ndiyo tuna maswali juu ya raslimali yetu Ngorongoro ,bandari nayote hatetei hali ya maisha ya wanyonge kikokotooo kwa watumishi huyu mama tumwulize smepeleka wadsnii uchina kwa prsa gsni? Huku watumishi hwaongezrwi vijana hawaajiriwi huku anakopa kwanini

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад +1

    Mbona magufuli alikuwa anaogeaga kisukuma mlikuwa mnakenua meno tu

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk Месяц назад

    Hayo maisha magumu ninyi mnayosema mkishinda mtagawa pesa kwa wananchi? Acheni uongo wenu

  • @paull8659
    @paull8659 Месяц назад

    mwandishi wa habari huyo ni mjinga,anachanganya issues ana akili ndogo sana

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Месяц назад

    Huyu Mwandishi ni chawa wala hana akili kabisaaaa
    Zero brain
    Huyu mjinga kweli katumwa na Serikali

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 Месяц назад

    Kwani ni Uwongo hauzi Mali za Watanganyika? Wewe halifa wacha Uchawa

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza Месяц назад

    Huyo mwandishi anakupeleleza be careful dad's yangu

  • @sifaelmophat1021
    @sifaelmophat1021 Месяц назад

    Duh huyu dada mbona anaakil hvo?😊

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Месяц назад

    Mwandishi ni mjinga

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад

    Obama hakuuza rasili mali ya wamrekani mtalaaniwa mnaotetea ufisadi unaoendelea Tanganyika

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад

    Mwbie mamako aongee kikabila tumsikie ili nifurahi

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Месяц назад

    Wewe hamna hojja hapo wewe Binti acha ubaguzi tayari mwenyekiti wenu ameporomosha sana demokrasia katika chama chenu.na ameishawaingiza katika ubaguzi mkubwa hata wananchi wa kawaida wanaelewa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +1

    Huyu Muhandishi hafai hata tone

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Месяц назад

    Hivi mwekezaji kupewa ardhi kwa kufuata Sheria ni kuuza!!! Tafuteni hoja nyingine. Kenya kukodisha bandari ya Mombasa kwa Mediterranean ports ni kuuza? Duniani kote bandari zinakodoshwa hata China. Jipangeni kivingine . DPworld wako waingereza, German, China, kote huko wameuzwa.

  • @ChukiMjinga-jw2ql
    @ChukiMjinga-jw2ql Месяц назад

    Huyu jamaa si anaishi tanganyika maswali mengine ni ujinga

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад

    NYIE CHADEMA MNATAKA KUTULETEA SIASA ZA KENYA UKABILA

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад

    LABDA WAJE HOJA ZAO UKABILA NA UDINI HAMNA SERA YEYOTE YA KUTUELEZA SISI WA TANZANIA

  • @islambinomar8716
    @islambinomar8716 Месяц назад

    Hanaa akili huyu mwenyewe kaiba Hela ya Bawacha huyu

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      Wewe ndio huna akili,kaiba hela za BAWACHA,wewe ni Mwanachama wa BAWACHA?Hivi kuiibia nchi kama wanavyofanya viongozi wako wa CCM na kukiibia kikundi cha watu,kwako wewe usiyejitambua;Ni wapi nchi inaathirika zaidi?

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 Месяц назад

    Mwandishi huyo ni ngombe huyo ddaa alivu ilia Sana hakakuna mwandishi hapo

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Месяц назад

    Mwandishi yuko kwenye udini yuko kwenye uzanzibar sijui alisomea wapi mambo ya habari hawa ndo wana vyeti hewa pumba tupu

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад

    OBAMA AMETAWALA MAREKANI NA RICHI SUNAKI WINGEREZA ACHENI ULIMBUKENI

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад

    KAMA NYINYI SIO WAKABILA SIMNAONA TUNDULISSU AKIWA SINGIDA ANAWAHUTUBIA WANAICHI WA SINGIDA KWA KINYATURU YOTE HAYO TUNA YAONA ITIKADI ZENU

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Месяц назад +1

      Tatizo lako liko kichwani Elimu, Elimu, Elimu ujinga wa wafuasi ccm ni mtaji wawatawala kisiasa