Wimbo huu unanikumbusha miaka kadhaa iliyopita nikiwa ninaanza mahusiano na mume wangu, Wimbo huu huwa unamtoa machozi sana kwani anayakumbuka magumu ambayo tuliyapitia miaka hiyo, :For sure maisha yanabadilika, Big up,,,,,,,,Timbulo
Ujumbe wako utabaki milele maana binadamu hawajifunzi kupitia sanaa ila tunaosikiliza na kutafsiri tunaona uwepo wa sanaa katika jamii ikiwa ni kufundisha na kuelimisha kwani maisha yanataka Mafunzo na sio ufundi.
Tulio tendwa lazma tulie......kwan huwa namkumbuka mpenz wangu na magumu tuliopitia lkn hakuyathamini kaamua kuondoka hakiymungu mmi napouskia Huu wimbo nalia kama mtoto kwan namuona mbele yangu
Nani amekuja 2024 baada ya kukumbuka mbali 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
🤗💃💃
🎉
Ngoma bado Nikali Huwa inanikumbusha mbali sana kama bado unaikubali gonga likes 2023
Yaani bado kali sana
Leo 2023 wimbo umenilza baadae ya kumuona the late Kanumba
Unanikumbusha mbali 2024
2024 timbulo alikuwa mtu hatar...sna from yokohama japan 🙌
Daaah hii inanikumbusha mbali sana 2011
Dah yan mpka machoz yananilenga. Hzo Ngoma 11 - 12 Dah nikiw zangu Mbalaga Kidato cha 3😢😢
Wimbo huu unanikumbusha miaka kadhaa iliyopita nikiwa ninaanza mahusiano na mume wangu, Wimbo huu huwa unamtoa machozi sana kwani anayakumbuka magumu ambayo tuliyapitia miaka hiyo, :For sure maisha yanabadilika, Big up,,,,,,,,Timbulo
Who still watch this in 2018?
Rehema Phillip jaman hongeren kwa kuishi adi hiv
Rehema Phillip daaah
bora nnnyny mmeoana mm enz iz niliteseka mpka shule nikafeli yan
@@queenceuny7127 2020
2021-2022 Leo hii ngoma imenikumbusha mbali sana big up Timbulo
So mchezo muziku ndio huu 2024
Ujumbe wako utabaki milele maana binadamu hawajifunzi kupitia sanaa ila tunaosikiliza na kutafsiri tunaona uwepo wa sanaa katika jamii ikiwa ni kufundisha na kuelimisha kwani maisha yanataka Mafunzo na sio ufundi.
Wanaosikiliz hii ngom mpak Leo wapo kwel au nmbak mim tu #like
Timbulo ulishaga poteleaa mm unatutesa Sana sisi shabi zako
Daaaahhh yn huu wimbo hua unanitoaga machozi😢😢😢😢😢😢😢😢
Nyimbo yangu pendwa 2024
I have looked for this song for a whole three hours❤❤❤
I finally wrote a title that brought me here.
Daaa ,,nakumbka nipo,,,,,shuleeee ,,kidato mzee,,,,who with it in 2019-2020
Huyu jamaa ni noma hii ngoma aliandika c mchezo
2 Juawane miaka hiyo nakumbuka mengn sana
Timbulo please come back we have missed you a lot
Timbulo ni noumer sio kwa shairi hili Mpaka Leo 2021 ni motroooo
Daha jamaa kapotea sana broo tunakusubiri kaka konye gem wapi dah ngoma niamda lakin sichoki gonga like
Hatari sana mwaka 2011 mwishoni hii🔥🔥🔥🔥🔥
Nikiwa form 3 kipindi hicho
Huu mwaka pia nilikuwa form 3... hatari maisha yalikuwa raha sana. Inasikitisha miaka inaenda sana na tunakumbuka ujana wetu.
2023 nani anaickiliza hii ngoma Kali sana
Dah maisha yanaenda kasi, nimekumbuka mwanafulani sijui hata yuko wapi
Leo ndo nimegundua kuwa video vixen ni muigizaji wa tamthilia ya Nuru na Jiya zinazooneshwa Maisha Magic Bongo Dstv😊😊😊😊
BTW wimbo mzuri sana❤
2022 nimeikumbuka sana hii nyimbo👊jamaa amenikumbusha mbali sana aisee I was still young 🙂😎
Kwani timbulo yuko wapi cku iz
You had to be there 😅🔥
Daaah! Nakumbuka maisha ya Tanzania House Of Talent (ThT)
mungu akujalie nyota yako izidi kungaa zaidi, unaweza kaka ipo day yes
I love your version!you are a very talented artist, thank you for reminding me of my country. From a Cameroonian who lives in Canada. Thank you
2020 covid19 bado naupenda huu wimbo unanikumbusha bongo kitambo! 👌
Nakumbuka nlkuwa darasa la 7 huu wimbo nliupenda Sana Mama angu mdg ndio alitumia Kama muito kwa simu yakee daaah
dar wimbo huu unanikumpusha nikivyomwagwa na mgogo nilikuwa nampenda sana
Hahahaha
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Nyimbo nakumbuka mbaliiiiii sana jomonnnnnnn
Dah hainishi ham wallah
2019 bado napata mziki mtamu usioisha ladha rudi tens kwanyimbo kama hizi timbolo naamini utatudi kilelen
Khadija Msafili umeonaeeeee
nani bado anasikiliza hii 2020? gonga likes za kutosha hapa!
2023
2024 mpoo timbulo for life ❤❤❤
Tulio tendwa lazma tulie......kwan huwa namkumbuka mpenz wangu na magumu tuliopitia lkn hakuyathamini kaamua kuondoka hakiymungu mmi napouskia Huu wimbo nalia kama mtoto kwan namuona mbele yangu
Naipenda naifeel sana hii ngoma way back 2013 uko juu Timbulo
nyimbo za huyu jamaa tamu sana
Yaani bado haichuji naipenda mno
2025 nipe likes then kawatafute jamaa wanaitwa (xmaleya tchokolo) usikize original ya ngoma yenyewe
Uko wap saiz kaka upo vizury rudi kazini
Wewe unajua ila wamekuzidi uchawi jiongeze
Jamaa unajua ila umepotea Rudi chamani
Timbulo kk umepotelea wp kk Bado tunakuitaji
Timbulo umeuaaaa
Iko sawa hadi miaka 100
2024 bado tunaishi nayo❤
Npo hapa 2023🥰
Huu wimbo alimuimbia Jackline Pentezel walikuwa na uhusiano enzi hizo
Kumbe!!
@@esterpromy3183 Yah sikiliza mashairi utasikia anatajwa msanii ambaye yuko location,mara anasema anampenda movie star mbona haikuwa siri kabisa
Napenda sana
Somo somo somo
unauniza kichwa xana kaka one day yesssss
still waching in 2021.Amazing song from my brother Timbulo
Dah nakuelewa Sana mwamba
Tuendelee kujikumbusha
Timbulo... Daaaahhh
One of my favorites ❤
2021 kipindi cha mzee mpili wa yanga Ana trend 🔥🔥
We leo haya 2021 tusonge wote
Nakumbuka mbali sana
Wimbo mzuli
Mziki ya nyuma ilikuwa mizuri hata miaka ipite mingapi bado unavutia
Nani ambaye bado anaanglia mpaka sasa 2019
Nakupenda bule timbulo
2019 Nipo hapa
2023 NANI YUPO HAPA...?
🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
2019 bad nausikilza huu wimbo unanikumbusha mbal sana
2024 nani yuko kwa hewa
Timbulo nakumiss sana
Timbulo rudi kwenye gem bro nani anaangalia 2020
February 4 .2012 ngoma imetoka kali sanaa🎉🎉🎉
Wapi timbulo
Na bado nasikiliza 2023
Kali sana
Kaliii
hii ni bomba sana kwangu mimi
Xmas 2023. Ngoma bado kali.
ongera timbulo
I was here
Nakumbuka miaka kadhaa ilopita bdo hauchuji
2019 bado ngoma ni yamoto🙌🙌
Nashindwa ku danlod mwwee
Mziki mzuri
Unajua kuimba lkn roho mbaya haitakufikisha mbali ..
Nice bro
Unyama fulan
2021 ii nyimbo inanikumbusha mbali sana
Hii nyimbo atalii
Naangalia tena 2020/11/19 💕
We are here
Timbulo 👐
Wajukuu zangu watakua kuisoma hii 😂😂
hawa ndio wasanii acha wale midomo
Brother hapa ulituliza kichwa
30,3,2020 tupo jaman nyimbo inanikumbusha mbali sana hii
Nice song @timbulo
kazi nimeikubali