Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff
Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki
Ila Hapa Ulinipiga Na Kitu Kizito Sana. Nimelijua Hili Baada Ya Kuoa Na Kuwa Na Maisha Yangu Mwenyewe. Huko Kucheza Na Part yako Hujapenda Wala Huogopi Maradhi Labda Pia Huyo Awe Mpangaji Mwenzio Ila Siyo Mke Wala Ndugu yako Ayafanye Hayo. Karibu 2022 Tuko Pamoja
Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka
Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...
Tunaongalia huu wimbo 2024 like hapa❤
It’s 2024 and it’s still a hot banger🔥🔥👏
2024 nipe like zang
Nipo 2024 ngonga like
2024 kama uko live na goma kali kama hili piga like yako kibabee
.......2024 hii ngoma 🔥
Naikubali sana ii ngoma 2023 gonga like hapa
Uliye husika kuungalia huu wimbo 2020 naomba tupiaa like ako hapoo
best of all time ( Nyota na ing'ae kwako we bwana amini...nakuombea bado 2024🎉😢
Wimbo mkali sana huu, 2024 mpaka leo unadum
Bado tupo nao 2024❤❤❤
It's 2023, april.but this song hits as if it's new.its a timeless jam.
Bonge la ngoma kama uwelewi utaelewa tu Bigap
Hongera kwa kufikjsha views 1 million
Hongera kwa kutimiza viewers million 1
Big up msechu kazi nzuri
Ambao bado wanangalia ngoma hii mwaka huu naomba like
Nyota naing'aeee kwakoeee nakuombeaaa
kaka ujumbe umefika kwa jamii, umewagusa wengi hasa wenye ndoa zenye matatizo, wakisikiliza ujumbe huu wanavamiwa na machozi.
PAMOJA SANA
Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff
Msechu upo juu huu wimbo umetulia.
Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki
Amin na Msechu,kwakweli nawakubali,dah....mungu azidi kuwapaisha kwakweli,nikimfikiria Linah,cjui kwanini aliamua kutemana na Amin kwakweli
Baada ya 1M nimekuja kuangalia tena 🔥🔥🔥
Daah amazing song❤
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
2024
Everlasting masterpiece🎉❤
Hakika .ni wimbo unao ishi ,living song .gonga like kama unakubaliana
Kwakweli ya Amini Ni Madogo, Tatoo Tu inamliza, ILA nimependa hapo mwisho unaona bora ule zako Tu, halafu ukampa "KWENDRAAAAAAAAAA"
Nipo hapa kuwajua wanaoangilia 2024
Kaka tunakusibiria to a mambo! Wimbo nyota yangu umejaa falsafa ya changamoto za ndoa!! Big up brother
Huu wimbo ndio umekuwa chakula cha masikio yangu kwa sasa
Dua zao zmejibiwa
Ninekuongezeaaa viewers 😂😂😂 Una milioniii na moja😂🙆🏽♀️
The chemistry of those two guys is amizing...who's still watching this ngoma 2020..gonga like ya nguvu apa!
Am here 2020
La fredoh I'm here 🙌
I'm here 🙌
2020 watching with you 💋💋
2021 🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Here 2024 song is stil hot 🔥
Nipo hapa kushuhudia 1M after six years
brother umefanya vizuri mpaka nimekukubali xana zidi kutoa nyingine mzuri zaidi ya hz
Niko hapa baada ya ngoma kuhit 1M😃 🔥 🔥 🔥🔥🔥
Moja ya wimbo wangu bora wa muda wote🔥🔥🔥
It's 2023 and still I feel blessed listening to this song🙏
Msechu umetisha sana kaza buti utafika mbali
Hongera sana brow maana hii nyimbo ina mafundisho
From Zimbabwe and l love this song still watching 2021 👌
Natamani my x girl friend angeisikia hii music.
ya good brother.
😂😂😂😂umeachwa au
huu wimbo uko bomba sana
Nimerudi kuuangalia huu wimbo na kuuskiliza
Kaz nzur # Amos msechu team
Ila Hapa Ulinipiga Na Kitu Kizito Sana.
Nimelijua Hili Baada Ya Kuoa Na Kuwa Na Maisha Yangu Mwenyewe.
Huko Kucheza Na Part yako Hujapenda Wala Huogopi Maradhi Labda Pia Huyo Awe Mpangaji Mwenzio Ila Siyo Mke Wala Ndugu yako Ayafanye Hayo.
Karibu 2022 Tuko Pamoja
kazi hii ilinipoza sana moyo miaka ile ya mateso
Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka
Mudy Salum kaka ongeza bidii wimbo nyota ukojuu safi sana
Namkumbuka dj arungu aiseee whose 2024
Ujumbe umefika kwa wote si mwanaume au mwanamke. Ila🥰🥰🥰
Nimekuja kuview na mimi mwaka 2021
2023
Nalia na Mungu wangu😢
Ngoma Kali sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nyimbo video inaonekana Kama mpy ❤❤❤nyimbo isiyoisha utam ❤❤
Tisha sana msechu yaniii,gudgud bana ,,,,amin aminia ubaridi ubaridini
Views ml moja hongera na mi ndo nimekuja kuona now
Nakuelewa sana kaka!!keep it up!!hakika ww ni mwanamuziki!!big up to you & amini!!!
2021 but still hot
Msechu we ni zaidi ya msanii hongera mwene wachu
Nice song!
unyamaa sanaaa
Tunao upenda huu wimbo bado 2019 achia like
Nyimbo nzur mno na Ina mafundisho
Hiyo vocal inayomalizia kwa mbaaali inaonyesha kweli msechu noma!
Zidi kusema na Mola ataitikaaa.... Aseee hii nyimboo ni yenyeweee kabisaaa
2022 still listening 🎧 the masterpiece
i can't stop listening to this song even one day
🤚🏿
🎉🎉🎉🎉3/11 /2023
Mr msechu usikae kimya toa njimbo kali zaidi ya hii
mr peter u deserve some thng this is awere song!!! great work
Duu nyota bonge ngona bado linaishii
Nimeipenda sana hii Peter msechu, ni yanayonitokea sasa
pole
Duu pole
Stay blessed brother
Pole ndio mapenzi ila ushauli tafuta ela utakuwa na furaha
Xhem langu amini unaweza Tena xana gonna like
bonge la collabo mzee baba
Nyimbo hii inanikumbusa Bali xana da lafiki yangu Steven da mungu amulaze mahali pema peponi 🙏😤😤
Michael Paulo steven ndio nani??
Ety saivi vijana wako kwenye Amapiano 😂😂😂🙌🙌
Naomba like za kutosha 2023 tunao cheki ngoma hii
to day 2024 may song still hitting,big up a lot broo
Huu wimbo naukubali san
Tuliokuj baada dozen selection
Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...
wow! Peter Msechu from all the way from Tusker Project Fame to the world! proud to be an East African. listening from Nairobi, Kenya.
Nyimbo moja inakufanya itazamwe mapenzi kwa upana wake... Love always wins guys
Adi leo naupenda😋😋😋
Yamenikut imenibidi nije kuichek hii 2024 iko pw sn
Tunao Maliza mwaka 2020 huku bado tunaskiliza This good Music Pitisha like hapa Kizalendo
2024 nimekuja kusikiliza nyimbo nzuri kutoka kwa Msechu
Hii ilikua ni kitu bora sanaa kutoka kwenu asee...... 2020 bado tunaishi nayo.
umetisha baba ongera
msechu nakukubali yamenikuta hayo
Wimbo mzuri brothers, huu ndio muziki tunautaka
Mziki wa KIBABA sana huu.
😂😂😂😂 kabla jamaa ajawa muombolezaji wa serikali😂
msechu c uko juu uko mkali zaidi ya venye ulikuwa tpf
Weka like 2021 hapa
Nimekuja kutazama ih nyimbo baada ya Boflo Star Seach Kigoma
Wimbo mkali na video kali. Big up msechu
Kama bado unabisha hii ni nyimbo kali ya mda wote basi kaombewe
Wote tulio upa seport huu wimbo mpka elf 2020 tia comment hapa niambie umegundua nini mimi natamani hawa jamaa waungane kama rostam
Tisha baba loloo..km mbele vle
Wlikutana mafundi tupu yaan Huwa sichoki kuusikiliza huu wimbo😊
Old is gold..kazi nzuri sana. Much respect
daaa huu wimbo haunichoshagi kbs