Linex Feat. Diamond Platnumz - Salima (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 11 мар 2015
- Watch Linex Latest Song GOT ME ► bit.ly/2uBqnPW
Buy this song from iTunes: geo.itunes.apple.com/in/album...
New Song (Hewala) - • Linex Ft. Christian Be...
Watch and share the brand new music video "Salima" by Tanzanian artist Linex Ft. Diamond Platnumz.
Like me on Facebook: / linex.sunday
Follow me on Twitter: / linexsunday
Circle me on G+: plus.google.com/+LinexSunday
Stream music free at our official Website: www.mziiki.com
Visit MziikiTube channel for unlimited entertainment: / mziikitube
Haiwezekani 2024 naaangalia pekee yanguu....gaweni hizo likes tukisonga
Walio rudiya tena hapa 2024 tujuwane kwa likes ❤
Tupo💜
I really like this old song when rythm was rythm acha hizi vitu zinaibwa sikuiz n kusaulika after one week 2024 still listening
2024
2024 here i come❤
Buana wewe hii ilikuwa moto 😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Lakini watu wanasahahu haraka kama Niko hapa 2024 pekee yangu leteni likes
Tuko uku
Mali Po ❤❤❤🎉
Tumo humu
Tupo❤
Pamoja sana
Mpaka 2024 naangalia acheni hizo gonga like twende sawa😂😂
Na narudia mara kama tatu hivi jameni..😮😅
nan kasema
Aisee tuko wengi😊😊
Tupo pamoja
Mmmmh kwautamu waiyi nyimbo aiwezekani 2024 kama nimimi mwenyewe naitizama apana tujuane kwa like tunao utizama sasa 😘😘😘
2000 ndio mwaka nilio zaliwa na ngonga like apa. Leo 18/2/2024 naomba like Kwa 2024
Najua ukona nami apa bado 2024😊kama kweli nipe like jaman
Haiwezekani 2024 naangalia mwenyewe hembu gonga like Apo tuone tuko wangapi
Nipo muda wote
Haiwezekani eti 2020 hii naiangalia peke yangu....gaweni hizo likes kama zinaongeza mshahara😁😁😁!!!
🔥🔥🔥🔥🔥
tunakalia wote mm na ww
Niko ndani hta saa hii
Love it
2023 na its still a vibe❤❤❤❤❤
Mbka 2024 naiskiza 😊 wapi likes za old school
Is there anyone??, mbona siwaoni kwa hit nzito kama na hii👌
HAPPY NEW 2024🎉🎉 wenye tuko hapa since the release of this song piga like ni God men
Huu wimbo nyie watu mliusuka aisee🙌🙌 2023 bado ni hitsong kwangu
ilingoma alinipiti kila nikiamuka wapi like zangu 5 guys ipo siku😢❤
Niliishi kupenda hii song sana mwenye ako hapa 2024 gonga like tukisonga
This song wa produced when i was 5yrs...now am a grown up.....nipeeni likes for your love...❤❤❤
Moja ya ngoma bomba ambazo Linex amewahi kutoa, I love it. Press a like if yu still watching this song too
I like
Wale ambao wanasikiliza huu wimbo 2024 like hap
Haiwezekani eti 2024 hii naiangalia peke yangu dondosheni hizo like😊
March 2023 and I still can't get enough of this song. It always reminds me of the old good days with my love when our love was fresh, and whenever I listen to it my love for him grows stronger ❤️
Ka Munyao Sema Ukweli
2023 April and counting 🎉❤
I wish to dance this song with you Grance for my TikTok even if it means I come to Africa I will 🥰🙏.
🎉🎉🎉🎉🎉 wisawa
Hauko peke yako 😂😂
Hii ngoma ni forever ever nazeeka naipenda! Wapi Linex
Still Recommended by RUclips in 2023....It's Still a Masterpiece 💙🎧
We need to praise God we still live nime kumbuka kwetu kigoma😭
February 4 2023 watching
Hii mayo haizi sahaulika.Good one
2023 it's right here still masterpiece ❤️
2023😘
Ngoma yangu ya maisha kila nikiamka lazm niisikilize daah nainjoy sana respect linex 2024 nipo na mm
Hii nyimbo kwamtazamo wangu daimond ametisha Sana Nani mwene wazo Kama langu 🔥
Me 💯
Wenye bado 2027 tutakua tunawatch Mko wapi😅
Wapi wale mko hapa 2024 nipen likes❤😊
Gonga like kama bado mwaka 2024 unasikiliza
April 2024 mko wapi.😊
Kama unaitazama hii song 2021 gonga like
Amaizing song
😍😍
ruclips.net/video/YZuSmW6_Ok4/видео.html 👈
Nikitaka kutuliza akili....wimbo salima ndo mambo yote
2022
Who's still here 2023?
this guy has a voice 🙌👏
Nani 17/06/2024 tujuwane hapa nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿
My favourite collaboration.... Em nipeni likes ambao tunaipenda hii nyimbo forever
tuko pamoja linex
Together
kuna nyimbo zingine huwa zinagusa maisha ya watu sanaa...!!!😭😭😭
Kweli asee
Naandika maneno haya kwa masikitiko kubwa .
Kama kuna kiumbe kwenye Sanaa ya muziki wa hapa bongo ninatamani kuendelea kuwepo active ni huyu mwamba Linex.
Lakini zaidi hii Ngoma kiukweli ni moja Kati ya Ngoma nzuri mno na iliimbwa kwa hisia nzuri na vijana hawa wawili(Diamond &Linex).
Natamani Sana warusi tena studio waandae Ngoma kama mbili au Tatu.
Kwel kabisa
What Diamond did on this masterpiece will be remembered by generations
Diamond Platinum and Linex....
Please grace us with round two please....
WHO’S WITH ME ON THIS ONE......
Haiwezekani huu Mwaka 2024 Niangalie pekeangu 😂Haya Kama umepita hapa usipite bila kulike hapa
Nani ako 2024... Tukiwaza our failed relationship...♥️😭
Mimi hapa
All is well
Am here
I'm always caught by the passion in their native languages. 8 years down and still sounds fresh and catching. Talent❤
Kama unatamani another colabo of this two guys like tukiendanga
14th feb 2022, and still feels very fresh and soul nourishing 💜🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pomoja Sanaa
Kweli...
💪💪
Tuko hapa pia,,,
@@fatumasefu5765 llllĺl
R
Haiwezekani et niangalie peke yangu 2024 najua tupo wengi naombi like hapa tafadhali sana
It's 10th September, 2023 and the song is still live, Salima song is deep in my heart, Share the likes together, more love from Kutno_Poland❤🎉❤🎉🎉❤
30/5/2020, wangapi tunataka hizi sauti zifanye collaboration tena!! Jmn, daah... Like zenu!
8 still a big tune. This song is going to remain a hit for the next 99years.
Daaah!
LINEX Kama LINEX Yaani Natamani Siku Zirudi Nyuma Aisee "
Tunaotazama hii Ngoma mwaka 2024 tujuane 😅
from Zimbabwe, still listening 2021, one of my favourite songs
straight up Ronny
True bongo music a reflection of true life.
Yeah me too😊
@@KudzaiOlokaneKuku7 k
My favourite music, my always play list
Aliyepitia mistari hii 2020 like twende sawa
Nyayo za simbaa
Nice song I like and would be happy to sing along the lyrics. Does anyone know them? can anyone send me
Hot
Tokea Meru Kenya 👍
Kuruf
2024 I'm here again linex one of my favourite ❤❤kama unausikiza huu wimbo bado nipe like please 🙏 🥰
Diamond platnumz and his brother Linex mjeda. Hii ni moja kati ya nyimbo Bora kabisa ya viumbe hawa wawili kwa kushirikiana. Inawezekana ikawa ni miongoni mwa nyimbo nzuri sana nchini Tanzania. Sauti nzuri za waimbaji wazuri nchini Tanzania.
Natamani ifanyiwe remix kabla Linex hajaanza kuimba Gospel.
Fanyeni jambo ndugu wawili toka kule ziwani.
I just wonder why this guy isn't heard anymore 😢😢.
Big up Linexx
(watching now 31/05/2019) This song... Linex upo wapi kijana amka ufanye kazi nyingine kali kama hii,,,,
Tuna taka kazi Kama hizi sio matusi matusi kitu kuntu
Iwezekani ety ni mm nasikiliz 2024 pekee yangu gonga like kama tuko kimoja
Wenye mko hapa 2025 tujuane na likes 😂❤
Watching this every day, every night! Love these 2 boys ❤️❤️ (2021)
Pamoja sanaaa
Tupo 5 mwezi 4 mwaka 2021
@@arafaomari1832 pamoja sanaaaa
Pamoja
Still watching it
I am from Cameroon, West Africa but have fallen in love with East African music. I do no understand Swahili, but their rhythms are very appealing. In Africa music always transcends cultural barriers. Diamond Platmumz is a force to be reckon with. I really respect his creativity and ingenuity.
well spoken bro....
John Morfaw I likes...I'm from Uganda but love anything African music whether from Uganda or to Nigerian and/or Ghana and all the likes. We are all one.
Makes 2 of us, I am from Zimbabwe but I love this despite not knowing what they are saying!
Yeah John African Music is good . You may be East Africa but still you can enjoy west or south African music.
This song is love Swahili song . A man fell in love with girl called Salma when they were in schools. They loved each other and promised to marry each other. In their journey of love , parents of the girl died and lady got frustrated and decide to leave the city . She lost communication with her boy. The boy kept searching her. He went to village searching her. He finally saw her but it was too late to make her back because she married to man who helped to his way.
At the end you the boy returning home hopelessly.
Very nice song
+cleodontina1 we Kenyans love JAH PRYZAH
Hadi Leo 2024 naskiza tu old is gold
2024 naendelea ku enjoy hii nyimbo🥳🥳🥳
Ina maana wa Nov 2020 ni Mimi tuu. Like twende sawa.
Me too after Rayvanny album ...waongo!! 👌👌👏👏
2021 now still watching
Rayivyn
Joi
3/2/2021 , Naomba mfanye colabo na diamond Ngoma nyengine 🙌🙌🙌 ryvann ft linex iko 🔥🔥🔥
2023,08,17
Sidhani kama Niko peke yangu naikumbuka hii kazi safiiii .. likes Moja mbili tatu tukisonga. 🤗
2024 tunaitisha remix ya hii ngoma na merimela 😹
Linex,Mwenyezi Mungu azidi kukujalia maisha marefu I so much love your good songs,nyimbo zako daima zina fundisho fulani hivi,nakukubali sana kaka.
Wenye wameirudia 5times kama mimi weka like akiii😂😅😅😅
Hebu like hapa bado naipenda huu wimbo tangia nikiwa primary aaah jamani😢❤❤❤Salima
Wanangu wa 2024 weka likes nyingi hapa.
Nani anaangalia hii ngoma 2019 gonga like hapa
bado kali sana
Smart
A love it Soo much
Paul Allen i
Shadhia
Mie mwenzako nakupenda Mie Nataka niwe wako.............😘😘😘😘 this is just it 👏👏...Guys you kiled it..
Best Swahili love song ever,, who is with me?
chibu nakuelewa upo vizur sn
Mjeda muziki anaujua! Muziki hauchuji hata kidogo. Hongera bro Linex keep it up
Ngoma haitoki ladha this person is on another level
I am in love with this song all the time…😋still shining 2021
Moyo unatamani ningekua kitabu ufungue.... My heart melts, the moment diamond starts singing! I love Linex's unique voice
Dk
Xbv
Dud
Huuu wimbo ni historia yangu jamen❤❤❤
Ni wimbo ambao hauniishi hamu kuusikiliza na kuuangalia. Naupenda hadi naumwa. Wapi LINEX jamani.
Peace and love from Ethiopia 💚💛❤️
Hay birthsheba taye
Nice song👏👏 i love Tanzanian and Ugandan songs ...... From neighbor Zambia🇿🇲🇿🇲
2023 wakati wa scandal ya pastir mackenzie hapa kenya 😂😂badoo naiangalia hii ngomaa balaa
2024 moto kabisa wapi likes jameni
Wale wanaielewa ngoma hii kama mimi gonga like hapa
Wale wapenzi WA Linex juu ya sauti yake, na mpo 2019 Sema Linex nice voice
The Great Voice...... Linex 100%
Lined nice
Nice song
8 years down and still sounds fresh and catching. Talent❤
Surely, this is the song I love it most so much. Imagine I can watch it over and over a hundred times per day without getting tired or booed.
Ofcoz but goma lina hit up to now
Inamaanaa wa December 2019 ni mm tu Kama upo na unaangalia hata like mbili znatosha jaman
Tupo😂😂😂
Tupo
30-Dec-2019...... Linex Ma Nigga 🤔
@@loxanasuleimani8791 smart
Unapenda
One thing I love about linex he's unique. No scandals,humble, he sings out wat he feels.
BUT MWENYE WANAIMBA NA YEYE NDIYE BABA SCANDALS
Hellen Njoki mambo
Hellen Njoki that's true
I really love this guy's voice
Ue still a live come and see hime kiking nyeto online
Wakamba wote kujeni hapa "ukai vaa mituki"🇰🇪👊👊
All the way from Kenya rift valley may 2023 can I get some likes😅😅
Utamu....Utamu Wa Moyo Wangu Mi Kupendwa Na Wewe💥💥💥❣❣This line gets me every single damn time here in 2019 🥰🥰🥰
Still single in 2021 😭😭😭😭
This gal was so beautiful without makeup, its called natural beauty 😍😍
Yes very pretty
You can say that again .....why diamond derailed from what he does best I don't know haki.juet look at this piece of art
Absolutely 🤗
Jamani diamond atabaki kuwa diamond 💎 tuu kabisa hawawezi 💘💘
Hatari sana .. watu walikuwa wanaimba zamani jamani
Diamond's voice is real diamond...😍😍Linex's voice is gold one😍😍
These Guys sang from their hearts with true emotions....I can't stop listening to it.......sounds so real. Thanks men.
From Kenya,,hii naitambua sana
❤❤❤hii ni zaidi ya baraka ila kumbuka akipenda Mungu sisi ni nani mungu ndiyo mwenye mamla yote ya kutupandisha
2024 mko wapi jamani❤❤
Niko hapa 2/6/2019 i love this song Niko na Nani nipee like ndio nijue tuko pamoja
22nd June 2019...still rocking
Niko kabisa 24/06/2019 naupenda sana huu wimbo
Ngoma tamu sana
dogo janj
dogo janja
I just still love this song and the progress of Diamond pltnmz
2021here
Anyone watching this song from 2020 to 1 January 2024🥳 😂 lov from Malawi 🥰
Kuna jambo limenikumbusha hii nyimbo mwaka huu Wa 2024 kama pia Kuna jambo umekumbuka like hapa😐 lifeee!!
No drugs, no nudes, no vulgar language,.
Talent 100%
No tatoos too 😹😹but sahii
@@lenahngute9834 🤣🤣🤣
Tattoo is still there, just video quality maybe but diamond had them as early as 2013 and this song is for 2015. Ona mikono vizuri na kifua
@@lenahngute9834😂😂😂