Holy Trinity Studio - Ahimidiwe ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • KWAYA YA MT. FRANSISCO WA ASIZ
    PAROKIA YA BIKIRA MARIA MAMA NA MALKIA - KORONGONI JIMBO KATOLIKI LA MOSHI

Комментарии • 88

  • @RobertCharleskadonya
    @RobertCharleskadonya 13 дней назад +1

    Amina sana 🙏🙏

  • @jumannechristopher1714
    @jumannechristopher1714 6 часов назад

    Hakika huwa mnanibariki Sanaa mungu awabariki na adumishe umoja wenu

  • @murependo163
    @murependo163 3 месяца назад +2

  • @iddatarimo1430
    @iddatarimo1430 14 дней назад

    Wimbo mzuri sana.

  • @tertulaandrew3939
    @tertulaandrew3939 8 месяцев назад

    Barikiwen sana wimbo mzuri mno unanibariki

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Год назад

    Ahimidiwe Bwana wangu na mwamba wangu, Anayenifundisha uhodari.
    Anayenifundisha mikono yangu vita,
    Pia vidole vyangu kupigana.

  • @waelimesha8207
    @waelimesha8207 Год назад

    Hongereni wanakwaya , pia mpiga kinanda yuko vizuri

  • @simonmenza
    @simonmenza 2 месяца назад

    Wimbo mtamu jamani

  • @thomasamedeus5543
    @thomasamedeus5543 Год назад

    Wimbo mzuri sana Sana, napenda kuusikiliza mda wote, nabarikiwa Sana aisee

  • @erickalex7531
    @erickalex7531 Год назад

    Mwimbo mzuri sana naupenda

  • @sheilajepkorir12
    @sheilajepkorir12 4 года назад +1

    Mungu awabariki mutoe ganda zingine mingi

  • @lucasjohnmabanda5858
    @lucasjohnmabanda5858 Год назад

    Hongereni watumishi wa bwana

  • @hamishashello8231
    @hamishashello8231 5 лет назад +1

    Naupenda sana huu wimbo, wameuimba kwa utulivu sana!! Daaaah! Nina Furaha sana.

  • @daudikilatu4085
    @daudikilatu4085 3 года назад

    Hivyo hivo mpaka mbinnguni,mungu awabariki sana

  • @barridonvitus893
    @barridonvitus893 3 года назад +1

    May God strengthen you all my Kenyan fellow Christians

  • @nataliasimon5661
    @nataliasimon5661 5 лет назад +3

    Hongereni sana wanakwaya wa Parokia ya Korongoni kwa kazi nzuri

  • @barridonvitus893
    @barridonvitus893 5 лет назад +3

    God bless you all my fellow Christians in Kenya and behold allover the world

  • @jamesfesto1178
    @jamesfesto1178 3 года назад

    Saf sana mmbarikiwe

  • @GloryMushi-ub3gb
    @GloryMushi-ub3gb Год назад

    Mbarikiwe sana❤❤❤❤❤❤😊😊

  • @georgemgalega2388
    @georgemgalega2388 5 лет назад +1

    Mwarabu Mungu akupe nguvu uzidi kutuweka hazina ya kumsifu Mungu

  • @nicolausnyengo3991
    @nicolausnyengo3991 5 лет назад +4

    Mungu awabariki na awaongezee uchaji...
    Muimbieni kweli MUNGU wimbo mpya imbeni kwa kitanda cha nyuzi kumi....
    Kuimba ni kusali mara mbili lkn kuimba vizuri ni kusali zaidi...

  • @samsonmaja1185
    @samsonmaja1185 5 лет назад +2

    Kazi nzirii, nmebarikiwa sana

  • @hosianalameki8522
    @hosianalameki8522 5 лет назад +1

    Hongereni sana wapendwa wana kwaya ya Korongoni ujumbe umefika Asante sana mbarikiwe na Bwana.

  • @anastasiandinda3236
    @anastasiandinda3236 2 года назад

    🙏🙏 mungu awalinde

  • @stevengracphord953
    @stevengracphord953 5 лет назад

    Mwarabu safi sana unatungo nzuri sana

  • @barridonvitus893
    @barridonvitus893 3 года назад

    Though am not hearing what the music is saying but I love to play it and the other one tittled Kristo Atawele

  • @charlesswai2768
    @charlesswai2768 5 лет назад +1

    Amina hongereen kwa kaz nzur kuimba raha sana pongez kwake mwl p mwarabu sifa na utukufu n kwako ee MUNGU

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 5 лет назад

    Kazi nzuri
    Msikate tamaa
    Mnaibeba Moshi

  • @charlesbaraka3428
    @charlesbaraka3428 5 лет назад

    Mungu awabariki wanakwaya Korongon kwa wimbo mzur

  • @stevengracphord953
    @stevengracphord953 5 лет назад

    Hongereni sana KORONGONI sasa mmerudi kama zamani kulikuwa na babu mpiga kinanda na ndio moja ya kwaya zinazo imba sana Moshi ....mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri wa zaburi

    • @jacksonkanzira9789
      @jacksonkanzira9789 4 года назад

      Huyo babu mpiga kinanda ni Mzee Melchior Basil Syote

    • @EdnaMuro-tx8os
      @EdnaMuro-tx8os 2 месяца назад

      Atareeeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉

  • @edwinmatozi7451
    @edwinmatozi7451 5 лет назад +1

    Huyu mtunzi anatisha sana; na Wanakwaya wako vizuri. Kweli Mungu ahimidiwe

  • @leticiakabula4506
    @leticiakabula4506 4 года назад +1

    Gobless u ihave been blessed by this song

  • @robbaomar4069
    @robbaomar4069 5 лет назад +1

    Mnasauti nzuri,bongezi sana mungu hawabariki

  • @mariethapesha593
    @mariethapesha593 5 лет назад +4

    Hongera sana wimbo mzuri sana

  • @hilalionmushobozi4819
    @hilalionmushobozi4819 5 лет назад +3

    Kazi bora kabisa

  • @hiltrudavenance3262
    @hiltrudavenance3262 4 года назад

    Mungu Awabariki sana Amen.

  • @JacobHMkwe
    @JacobHMkwe 5 лет назад +1

    hongereni mnanifurahisha sana

  • @ndg.felixamanidamas8292
    @ndg.felixamanidamas8292 5 лет назад +3

    God bless those who sing this nice song.

  • @gladnesswaziri2727
    @gladnesswaziri2727 2 года назад

    Best song☝️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏

  • @jacksonruitiari9245
    @jacksonruitiari9245 4 года назад

    Sauti mwaaaahhh

  • @chukwunezuokeke896
    @chukwunezuokeke896 5 лет назад +2

    God bless you all my fellow Christians

  • @simonmusyimi906
    @simonmusyimi906 5 лет назад

    Mungu awabariki kwa kazi njema

  • @germanacornel1822
    @germanacornel1822 5 лет назад +1

    Jamani Hongereni Sana ujumbe umefika heri watu walio na bwana wenye Bwana kua Mungu wao. Barikiwa sana.😋😋

    • @swepakazimoto9233
      @swepakazimoto9233 5 лет назад

      Mnanipa hamasa sana wanakwaya wakwaya zote kwanamna ya pekee wakatoliki mnanipa raha sana mbarikhwe

  • @kachule4525
    @kachule4525 5 лет назад +1

    Ilike it keep it up

  • @tadbrave9318
    @tadbrave9318 5 лет назад

    Asanteee
    Ahimidiwe BWANA wangu....

  • @YudaThadei-xz1dz
    @YudaThadei-xz1dz Год назад

    Teach me how to download it to my device

  • @barridonvitus893
    @barridonvitus893 3 года назад

    God bless you my dear people kenya

  • @siaurio5274
    @siaurio5274 5 лет назад

    Wow hongerennnn jimbo lang la moshiii

  • @crediuskyando6906
    @crediuskyando6906 5 лет назад +2

    Hongereni kwa kazi nzuri kwenu wanakwaya na Holy Trinity ku maintain ubora wa kazi zenu

  • @sabinarobert9759
    @sabinarobert9759 5 лет назад +1

    Jamani kwa Mungu kuna raha

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 5 лет назад

    Amina Mungu awabariki

  • @stanleymkolwe3051
    @stanleymkolwe3051 5 лет назад

    Hongereni sana

  • @segirinyajoseph345
    @segirinyajoseph345 4 года назад

    Good

  • @yohanamakeja9082
    @yohanamakeja9082 5 лет назад

    Wimbo mzuri

  • @Mo_classic_Bland
    @Mo_classic_Bland 5 лет назад +2

    Safi sana.

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 5 лет назад

    neno LA mungu itangaswe kote

  • @aidanmpalile9386
    @aidanmpalile9386 4 года назад

    May God bless you forever

  • @stephenhaule9051
    @stephenhaule9051 5 лет назад +2

    Asanteeni

  • @priscusshirima9977
    @priscusshirima9977 5 лет назад +1

    Mbarikiwe sana

  • @namiti53
    @namiti53 5 лет назад

    The work of God is endless

  • @getrudeshirima9524
    @getrudeshirima9524 5 лет назад

    nyimbo nzuri sana jamani, naombeni muweke na nyimbo za zamani za korongoni nazipenda sana jamani chondechonde

  • @jonasshirima4948
    @jonasshirima4948 5 лет назад +1

    Nazi nzuri

  • @ceciliaceci4568
    @ceciliaceci4568 Год назад

    💓💓💓💓💓💓❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Год назад

    Ok

  • @nancymuteits2477
    @nancymuteits2477 5 лет назад

    Nice song.. God bless the singers

  • @deucpatrick4850
    @deucpatrick4850 5 лет назад +1

    kaniki kengeee Kinanda nimekisikiaa

  • @stephenmusitia5899
    @stephenmusitia5899 4 года назад

    Inabamba

  • @ghislainecellio6442
    @ghislainecellio6442 5 лет назад

    👏👏💖💗

    • @byeralety9237
      @byeralety9237 5 лет назад

      Mama shedrack nimewaona mko poa endeleeni kumwimbia mungu

  • @martinmabala9760
    @martinmabala9760 5 лет назад +1

    Mnabore na hilo nembo lenu kila Mwanzo wa nyimbo nyi ni ma professional hilo nembo linawatolea ueledi wenu utafikiri movies kumbe nyimbo tena Choir catholic

    • @martinmabala9760
      @martinmabala9760 5 лет назад

      @@HOLYTRINITYSTUDIOS sina maana ya kutoa icon wekeni but sio kwa. Mtindo ka huu mbona wtu wanweka n inpendeza but ni ushauri tu ktu kuboresha huduma zenu na zipendwe na watu

    • @enockngailla1867
      @enockngailla1867 5 лет назад

      Hongeleni sana na hongela yake mtunzi na tena anahaki ya kuitwa mocha mungu ambaliki sana

    • @fridolinusboniface3574
      @fridolinusboniface3574 5 лет назад

      @Martin Mabala, Holy trinity inafanyakazi sio kwa kufuata mapenzi ya mtu eti unaitwa ushauri bali inazingatia utaratibu iliojiwekea. ukiitaka utaufuata kama hutaki hutalazimishwa. unawezaje kuanza ku attack kitu ambacho huelewi kwanini kiliamuliwa hivyo, kabla hujaandika fikiria unachotaka kuandika tena kwa umakini mkubwa. mtazamo wako usiulazimishe Kua wa wengine, huwezi jificha nyuma ya pazia la ushauri ukaandika kitu cha hivyo, atahivyo ushauri wako HT inaupuuza

    • @victormwailenge3713
      @victormwailenge3713 5 лет назад +1

      UPUMBAVU MKUBWA SANA KUHUKUMU KITU KISA WW HUKIPENDI KWANZA UKIWA NA MAWAZO MAFUPI UTAJIONA UKO SAWA KWA KILA KITU, HIYO NI LOGO NA USILAZIMISHE IWE KAMA LOGO ULIZOZOEA WEWE, HEBU HESHIMU KAZI YA MTU NA UKIWEZA KATOE USHAURI INBOX

    • @barakathobias8788
      @barakathobias8788 5 лет назад

      Kwanza mie niseme HTS mko vizuri kuliko.... Keep it up, kwa sisi watu wa mziki na tunafanya kazi media to be honest you guys are professional.
      Nataka kusema tu kila gari huwa na Muungurumo wake so melody ID + Logo ziko poa saaana! Kwanza mie huwa nikisikiliza hiyo intro yenu najua kitu kipya kimeingia!!! Ushauri wangu kwenu Ongezeni ubunifu sasa maana kama ni matarumbeta ya mekua kila kona though kiuhalisia hata haya tumiki pia wapeni ushauri wanakwaya kile ambacho mtaona kitawafanya watoe wimbo bora na sio bora wimbo.Aksante ni sana
      Mungu awabariki.

  • @winnieavit5985
    @winnieavit5985 5 лет назад

    HAKIKA MUNGU AHIMIDIWE SIFA NI ZAKE MILELE

  • @GodfreyMassawe-x7v
    @GodfreyMassawe-x7v 7 месяцев назад