Holy Trinity Studio - Kristu ni Yuleyule ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • KWAYA YA KRISTU MFALME PAROKIA YA FUMBO LA MSALABA
    MAGANZO USHIROMBO - KAHAMA

Комментарии • 125

  • @RuthMulemia-l5h
    @RuthMulemia-l5h 10 месяцев назад

    Be blessed, shikilia hapo👍

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 4 года назад

    Babu nimekuona safi sana mungu awabariki

  • @BenedictoMkulima
    @BenedictoMkulima 9 месяцев назад

    Mmmh kwaya hii nimeielewa sana.

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 4 года назад

    Kristo ni yeye yule,sasa na hata milele amina

  • @MaryNdutaNduta-xu8io
    @MaryNdutaNduta-xu8io 3 года назад

    Amina. Amina. Kristu ni yuleyule mwanzo Jana na Leo.

  • @jpmugasa1
    @jpmugasa1 2 года назад

    Asanteni wasumbwa Kwaya nzuri sana

  • @benedictbaritoya3375
    @benedictbaritoya3375 4 года назад

    Sisi kwaya Kristo Mfalme Katumba, tunawapongezeni sana. Tunawaomba mmwimbie Mungu katika roho na kweli.

  • @patrickmukambilwa584
    @patrickmukambilwa584 4 года назад

    Kristu niyule yule mwanzo jana na leo mwanzo na mwisho yeye ni alfa na omega asante sana kwamaneno ayo Mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu yote amina

  • @raphaelomwenga5436
    @raphaelomwenga5436 5 лет назад +1

    Organist anachapa kitu safi sana,ningependa kukutana naye kabla mwisho wa maisha!! Ananitia motisha sanaaa,ubarikiwe kaka pia nanyi wanakwaya

  • @paskalinasalia8041
    @paskalinasalia8041 3 года назад

    Mbarikiwe na bwana

  • @gabym4339
    @gabym4339 4 года назад

    Nyakati ni zake

  • @beatricemanono1602
    @beatricemanono1602 2 года назад

    Good continue with that spirit

  • @edwardonyango5153
    @edwardonyango5153 2 года назад

    Nota zake wimbo mtamu kwelu

  • @gabrielmutuku7254
    @gabrielmutuku7254 4 года назад +2

    Natamani nihame Kenya niimbe nanyi Tanzania....natamani Sana kujiunga nanyi...😋🥰🥰🥰

  • @veronicamassay3063
    @veronicamassay3063 5 лет назад

    Mbarikiwe sana wapedwa kanisa la mungu

  • @faithblessed3778
    @faithblessed3778 4 года назад +1

    Kristu ni yule yule mwanzo,Jana na Leo milele yote l'm blessed by your songs,l feel like Jesus is coming

  • @mkeneshangwe7727
    @mkeneshangwe7727 3 года назад

    Nice song

  • @veronicapasua9763
    @veronicapasua9763 4 года назад

    Nani Kati yetu sisi wanadamu mwenye uwezo was kutawala mbingu na nchi hakika yeye Ni mwanzo na mwisho

  • @maximilianjoseph7896
    @maximilianjoseph7896 5 лет назад

    Kristu ni yuleyule Mwanzo, jana na hata milele, Asanteni kwa ujumbe mzuri

  • @bonydemaria2030
    @bonydemaria2030 6 лет назад +11

    Duuu... ni balaaa. mtatufanya wengine tukate tamaa kurekodi jamaniiii...sio kwa uzuri huo. Mambo ni moto hadi vigangoni!!! balaaa.. hongera trinity. kazi ipo pouwa!!

  • @markelsante2391
    @markelsante2391 4 года назад

    Umenikosha kweliii nawapenda sana jamanii wanakwaya wa maganzo nilikuwa ushrombo wakati mnazindua hongeren sana mungu awatie nguvuu jamaniii penda sana nyie kweli ni alfa na omega mmmmmwaaaaaah!!....

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 4 года назад

    Mungu awabariki kwa kuhubiri kwa njia ya uimbaji. Binafsi nawapenda sana jinsi ambavyo huwa mnajitoa katika kumwimbia bwana, mmetisha kahama .

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 2 года назад

    Devel's worship

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад +3

    Nimemuona Classment wangu Awazi Batamwaki

  • @haulefrancis2862
    @haulefrancis2862 5 лет назад

    Ndio watu wanataka kuleta usasa katika kumtumikia mungu

  • @sirilisimon62
    @sirilisimon62 5 лет назад

    Ni nzuri sana kumsifu mungu jamaa

  • @martinemasunga5802
    @martinemasunga5802 6 лет назад +2

    Ilikuwa jana nilipo ingia kuangalia kazi ya TRINITY ni balaaa huwezi amini siku nzima nimesikiliza kazi zao tuuuu.Kwa kweli ninyi ni nooma sana mumetisha ile mbaya Mungu awabariki saaaaana yaaan BONGE la HD.

  • @jeremiahmwendwa324
    @jeremiahmwendwa324 4 года назад

    Wow,nice song

  • @spensiosamfoy4304
    @spensiosamfoy4304 4 года назад

    Nawapenda sana

  • @damianemmanuel3341
    @damianemmanuel3341 4 года назад

    Hongeren sana kwa kuimba vizur!!

  • @susanmweni6993
    @susanmweni6993 5 лет назад +5

    Amina it's the. Same yesterday And to day and forever

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 6 лет назад +4

    maneno tumesikia,kinanda tumesikia !!! hongereni

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 4 года назад

    Ladha zakipekee ndan ya mziki sanifu 🎶🎵 saf sana

  • @mariitasamson3440
    @mariitasamson3440 5 лет назад +1

    Kongole sana kwa nyie Wanakwaya kwa wimbo mzuri kabisa.Kweli Yesu ni yule yule

  • @fredetal652
    @fredetal652 5 лет назад +1

    WIMBO mtamu kweli.

  • @gabym4339
    @gabym4339 4 года назад

    Yeye ni alfa na omega

  • @josephjila957
    @josephjila957 5 лет назад

    Siwezi amini kweli macho yangu kitu kizuri inatoka kanda ziwa kumbe tunaweza sio dar tu.hongereni sana.

  • @johnnzomi9330
    @johnnzomi9330 6 лет назад +1

    great song carrying great message kudos wana ushirombo mungu hawazindishie baraka

  • @nhalekasmir478
    @nhalekasmir478 4 года назад

    Maganzo haipo kahama, ipo kishapu

  • @paschalaxwesso6844
    @paschalaxwesso6844 5 лет назад +1

    Yeye ni yule, alfa na omega, Amina

  • @bennahkim7761
    @bennahkim7761 2 года назад

    Very nice congratulations our brothers and sister's am blessed

  • @ibrahimsemkiwa3028
    @ibrahimsemkiwa3028 5 лет назад

    Amina kristo ni Alfa na omega

  • @gabrielmikindo3756
    @gabrielmikindo3756 6 лет назад

    Kristu Jana na Leo, mwanzo na mwisho, Alfa na omega, nyakati in zake na Marne pia, utukufu in wake na enzi pia, DAIMA NA MILELE. AMINA .(hongera kwa uinjilishaji mzuri.)

  • @Choralestaugustinmunyinya2023
    @Choralestaugustinmunyinya2023 6 лет назад +1

    mnaimba vizuri sana ! mkatufundishe na sisi

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 6 лет назад

    Kristo ni yule yule mwanzo Jana na Leo,amina,amina watumishi waMungu kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.Mungu awatie nguvu na moyo mkuu wa kuendelea kulitangaza neno lake ktk mataifa yote.

  • @antoniakazungu3313
    @antoniakazungu3313 6 лет назад +2

    hongereni sana kazi nzurii

  • @stellasona9269
    @stellasona9269 5 лет назад

    Hongereni sana kwa kujitoa, mnaimba kwa utashi wote!!! Mbarikiwe sana

  • @daudikasonso3673
    @daudikasonso3673 6 лет назад +2

    *HOLLY TRINITY STUDIOS* YOU DID IT AGAIN
    WE GONA RUN THIS TOWN AND EAST AFRICA AND ALL OF AFRICA

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 4 года назад

    Congrats. Very touching and real inspiring...keep it up and blessed!

  • @godysamwel1117
    @godysamwel1117 6 лет назад

    Mbarikiwe sana waimbaji wa MUNGU nimebarikiwasana jamani na ujumbewenu na uimbajiwenu mzuri

  • @henryoreo2283
    @henryoreo2283 5 лет назад

    Maganzo, HT na Mshobozi!! awesome job!!

  • @lucasngaga2274
    @lucasngaga2274 6 лет назад +1

    Safi sana Mungu awape nguvu waimbaji mmeimba vizuri pia mmetamadunisha vizuri

  • @barackjombaajr7467
    @barackjombaajr7467 6 лет назад +3

    Safi sana kazaneni

  • @risperkiplangatcartoon9070
    @risperkiplangatcartoon9070 4 года назад

    Iko poa

  • @lidiamelick2518
    @lidiamelick2518 5 лет назад

    mungu wajalie moyo wa injilishaji

  • @issakasimu4602
    @issakasimu4602 6 лет назад

    asanteni sana kwa wimbo mzuri na umetulia sana nawapenda sana mnanikumbusha nyumbani

  • @sadamudy8760
    @sadamudy8760 6 лет назад

    Wow kristo ni yule yule mwanzo jana na Leo mwaaaaaah nimefurah 😍😍😍

  • @heldaoman3070
    @heldaoman3070 6 лет назад +1

    Kazi nzuri Mungu awabarik Amina

  • @jeniphamasanga9120
    @jeniphamasanga9120 5 лет назад

    Hongerani sana watumishi

    • @fabianmatei456
      @fabianmatei456 4 года назад

      Jenipha Masanga Fabiani Matei wa turiani mtibwa mpo vizuri

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад +6

    Eng. Mushobozi barikiwa sana kwa upigaji wako kwakweli binafsi yangu huwa unanibariki sana. Na hongera kwa uvumbuzi Wa upigaji pedo miguu miwili. Ungeweza kuitwa prof kwa ugunduzi huo but Mungu ndiye aliyekutumia na kuufanya mziki Wa kikatoliki unoge. By Kibuyu

  • @rosembuli9641
    @rosembuli9641 6 лет назад

    Hongeren Asante kwa kutuinjirisha

  • @faustereveist8670
    @faustereveist8670 6 лет назад

    Nimebarikiwa kweli kristu ni yule Yule ongereni

  • @elizamlawa3862
    @elizamlawa3862 6 лет назад +1

    mmbarikiwe nimependa wimbo wenu

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Hongera kwa utume Awazi. Tokea uchama

  • @venanceseni5382
    @venanceseni5382 6 лет назад

    Amina. Hongereni sana wanakwaya Mungu azidi kuwabariki katika utunzi na utume wenu

  • @christinambuna2384
    @christinambuna2384 6 лет назад +1

    Hongera sana mpiga kinanda naweza sema no prof. Ubarikiwe

  • @peterngayiwamasanja2142
    @peterngayiwamasanja2142 5 лет назад

    Congratulations Maganzo

  • @maximilianjoseph5417
    @maximilianjoseph5417 4 года назад +1

    NYC choir be blessed !

  • @agustinommassi2443
    @agustinommassi2443 6 лет назад +2

    Yeye na alfa naomega amen

  • @nkhangweleniduncanmudau5468
    @nkhangweleniduncanmudau5468 6 лет назад +3

    Nice work Trinity you are the best studio

  • @mwebalauben7666
    @mwebalauben7666 4 года назад +1

    Iam inspired by de way you organise everything.Thats y i say a Catholic remains a Catholic whether i understand de language or not.

    • @nicokabir7674
      @nicokabir7674 3 года назад

      you prolly dont give a shit but if you are bored like me during the covid times you can stream all of the latest series on instaflixxer. Been binge watching with my brother for the last few days xD

    • @romanduncan6230
      @romanduncan6230 3 года назад

      @Nico Kabir Yup, been watching on InstaFlixxer for months myself :)

  • @raphaelmbuya1531
    @raphaelmbuya1531 6 лет назад

    ni yule yuleee jana na leo

  • @desderinshendry1236
    @desderinshendry1236 5 лет назад

    Ameeen.....ni Yule Yule

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Waimbaji hongereni kwa kazi nzuri.

  • @EliasCharlesNyanza
    @EliasCharlesNyanza 6 лет назад

    Amina, mubarikiwe sana

  • @barackjombaajr7467
    @barackjombaajr7467 6 лет назад

    Kazi nzuri

  • @hersiyamohamud2686
    @hersiyamohamud2686 5 лет назад

    Thenks love Kenaya

  • @julianthadeus6296
    @julianthadeus6296 6 лет назад +1

    Mshobozi,hunampinzani kwenye kinanda

    • @kafulyawilson8567
      @kafulyawilson8567 6 лет назад +1

      Julian Thadeus yupo dogo anaitwa Thomas Baraka mashibe,,,anagusa hatari but mushobozi acha aitwe mushobozi na atabaki hivyo,,,unajua maana ya jina mushobozi?.?

    • @immakulatamasana5915
      @immakulatamasana5915 6 лет назад

      njoo utupigie nasisi kinanda tuko mwanza

    • @kaigamutongore8791
      @kaigamutongore8791 6 лет назад

      Immaculata. Mkimuhitaji tu. Yeye yupo. Karibu sana

    • @edwardkioko4455
      @edwardkioko4455 4 года назад

      Mimi n mkenya apa ila tz mko mbali sana kimziki. Mshombozi na kaka Barack Thomas Mashibe hongereni sana kwa upigaji wenu wa Kinanda. Nawapenda sana. Kanda walizopiga hao kaka wawili sio mchezo.

  • @maukadekandege6617
    @maukadekandege6617 6 лет назад +1

    Amina sanaaaaa

  • @parispresdor3598
    @parispresdor3598 5 лет назад

    Aminaa

  • @felicianluvanda9672
    @felicianluvanda9672 6 лет назад

    Kazi nzuri hongereni ndugu zangu

    • @fundsuttfestoboga7644
      @fundsuttfestoboga7644 6 лет назад

      mmependeza saana
      sale, sautii, ujumbe.
      (mhum) fanyen toba kilawatat muwenamioyosaf 2kutane paladiso

    • @simayajosiah9813
      @simayajosiah9813 6 лет назад

      hongera mtunzi na kwaya kwa ujumla wimbo umenibariki sana

    • @peterbudotela6465
      @peterbudotela6465 6 лет назад

      Felician Luvandam
      Mko juu huwezi amini

    • @richiegaby99
      @richiegaby99 5 лет назад

      Wimbo mzuri yesu ni yuleyule mmependeza sana amina

  • @Love_Tush
    @Love_Tush 5 лет назад

    Good song i love it🔥🔥🔥🔥🔥

  • @onesmokisusa
    @onesmokisusa 6 лет назад +4

    I'm real interested with this art, it's awesome great, if possible will I join your company to learn video production. I hope you'll accept my request, God bless you

  • @fideliakavinya9227
    @fideliakavinya9227 6 лет назад +4

    I love this song.How can I join this choir?
    Beautiful voices.Be blessed

  • @festlewamaina5437
    @festlewamaina5437 6 лет назад

    oooh haleluyaaa

  • @gabrielmutuku7254
    @gabrielmutuku7254 4 года назад +1

    My all time song🥰🥰 hongereni watunzi na waimbaji... Huu wimbo hunibariki Kila niuskizapo....naomba aliye na nota za huu mziki anisaidie.. whatsapp +254704062444... Au email: gabumwanzia@gmail.com... asante na m'barikiwe nyoteee

  • @adelinasanga1133
    @adelinasanga1133 6 лет назад

    .harmonez

  • @rosinakithinga8839
    @rosinakithinga8839 2 года назад

    A als))

  • @onesmokisusa
    @onesmokisusa 6 лет назад +2

    Nice work. Can you help me your contact please. I'm interested in video production