Kristu niyule yule mwanzo jana na leo mwanzo na mwisho yeye ni alfa na omega asante sana kwamaneno ayo Mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu yote amina
Duuu... ni balaaa. mtatufanya wengine tukate tamaa kurekodi jamaniiii...sio kwa uzuri huo. Mambo ni moto hadi vigangoni!!! balaaa.. hongera trinity. kazi ipo pouwa!!
Umenikosha kweliii nawapenda sana jamanii wanakwaya wa maganzo nilikuwa ushrombo wakati mnazindua hongeren sana mungu awatie nguvuu jamaniii penda sana nyie kweli ni alfa na omega mmmmmwaaaaaah!!....
Ilikuwa jana nilipo ingia kuangalia kazi ya TRINITY ni balaaa huwezi amini siku nzima nimesikiliza kazi zao tuuuu.Kwa kweli ninyi ni nooma sana mumetisha ile mbaya Mungu awabariki saaaaana yaaan BONGE la HD.
Kristu Jana na Leo, mwanzo na mwisho, Alfa na omega, nyakati in zake na Marne pia, utukufu in wake na enzi pia, DAIMA NA MILELE. AMINA .(hongera kwa uinjilishaji mzuri.)
Kristo ni yule yule mwanzo Jana na Leo,amina,amina watumishi waMungu kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.Mungu awatie nguvu na moyo mkuu wa kuendelea kulitangaza neno lake ktk mataifa yote.
Eng. Mushobozi barikiwa sana kwa upigaji wako kwakweli binafsi yangu huwa unanibariki sana. Na hongera kwa uvumbuzi Wa upigaji pedo miguu miwili. Ungeweza kuitwa prof kwa ugunduzi huo but Mungu ndiye aliyekutumia na kuufanya mziki Wa kikatoliki unoge. By Kibuyu
you prolly dont give a shit but if you are bored like me during the covid times you can stream all of the latest series on instaflixxer. Been binge watching with my brother for the last few days xD
Julian Thadeus yupo dogo anaitwa Thomas Baraka mashibe,,,anagusa hatari but mushobozi acha aitwe mushobozi na atabaki hivyo,,,unajua maana ya jina mushobozi?.?
Mimi n mkenya apa ila tz mko mbali sana kimziki. Mshombozi na kaka Barack Thomas Mashibe hongereni sana kwa upigaji wenu wa Kinanda. Nawapenda sana. Kanda walizopiga hao kaka wawili sio mchezo.
I'm real interested with this art, it's awesome great, if possible will I join your company to learn video production. I hope you'll accept my request, God bless you
My all time song🥰🥰 hongereni watunzi na waimbaji... Huu wimbo hunibariki Kila niuskizapo....naomba aliye na nota za huu mziki anisaidie.. whatsapp +254704062444... Au email: gabumwanzia@gmail.com... asante na m'barikiwe nyoteee
Be blessed, shikilia hapo👍
Babu nimekuona safi sana mungu awabariki
Mmmh kwaya hii nimeielewa sana.
Kristo ni yeye yule,sasa na hata milele amina
Amina. Amina. Kristu ni yuleyule mwanzo Jana na Leo.
Asanteni wasumbwa Kwaya nzuri sana
Sisi kwaya Kristo Mfalme Katumba, tunawapongezeni sana. Tunawaomba mmwimbie Mungu katika roho na kweli.
Kristu niyule yule mwanzo jana na leo mwanzo na mwisho yeye ni alfa na omega asante sana kwamaneno ayo Mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu yote amina
Organist anachapa kitu safi sana,ningependa kukutana naye kabla mwisho wa maisha!! Ananitia motisha sanaaa,ubarikiwe kaka pia nanyi wanakwaya
Mbarikiwe na bwana
Nyakati ni zake
Good continue with that spirit
Nota zake wimbo mtamu kwelu
Natamani nihame Kenya niimbe nanyi Tanzania....natamani Sana kujiunga nanyi...😋🥰🥰🥰
Mbarikiwe sana wapedwa kanisa la mungu
Kristu ni yule yule mwanzo,Jana na Leo milele yote l'm blessed by your songs,l feel like Jesus is coming
Nice song
Nani Kati yetu sisi wanadamu mwenye uwezo was kutawala mbingu na nchi hakika yeye Ni mwanzo na mwisho
Kristu ni yuleyule Mwanzo, jana na hata milele, Asanteni kwa ujumbe mzuri
Duuu... ni balaaa. mtatufanya wengine tukate tamaa kurekodi jamaniiii...sio kwa uzuri huo. Mambo ni moto hadi vigangoni!!! balaaa.. hongera trinity. kazi ipo pouwa!!
Umenikosha kweliii nawapenda sana jamanii wanakwaya wa maganzo nilikuwa ushrombo wakati mnazindua hongeren sana mungu awatie nguvuu jamaniii penda sana nyie kweli ni alfa na omega mmmmmwaaaaaah!!....
Mungu awabariki kwa kuhubiri kwa njia ya uimbaji. Binafsi nawapenda sana jinsi ambavyo huwa mnajitoa katika kumwimbia bwana, mmetisha kahama .
Devel's worship
Nimemuona Classment wangu Awazi Batamwaki
Ndio watu wanataka kuleta usasa katika kumtumikia mungu
Ni nzuri sana kumsifu mungu jamaa
Ilikuwa jana nilipo ingia kuangalia kazi ya TRINITY ni balaaa huwezi amini siku nzima nimesikiliza kazi zao tuuuu.Kwa kweli ninyi ni nooma sana mumetisha ile mbaya Mungu awabariki saaaaana yaaan BONGE la HD.
nice song God bless u
Wow,nice song
Nawapenda sana
Hongeren sana kwa kuimba vizur!!
Amina it's the. Same yesterday And to day and forever
maneno tumesikia,kinanda tumesikia !!! hongereni
hapo kwa kinanda wacha tu!!!
Ladha zakipekee ndan ya mziki sanifu 🎶🎵 saf sana
Kongole sana kwa nyie Wanakwaya kwa wimbo mzuri kabisa.Kweli Yesu ni yule yule
WIMBO mtamu kweli.
Yeye ni alfa na omega
Siwezi amini kweli macho yangu kitu kizuri inatoka kanda ziwa kumbe tunaweza sio dar tu.hongereni sana.
great song carrying great message kudos wana ushirombo mungu hawazindishie baraka
Maganzo haipo kahama, ipo kishapu
Yeye ni yule, alfa na omega, Amina
Very nice congratulations our brothers and sister's am blessed
Amina kristo ni Alfa na omega
Kristu Jana na Leo, mwanzo na mwisho, Alfa na omega, nyakati in zake na Marne pia, utukufu in wake na enzi pia, DAIMA NA MILELE. AMINA .(hongera kwa uinjilishaji mzuri.)
mnaimba vizuri sana ! mkatufundishe na sisi
Kristo ni yule yule mwanzo Jana na Leo,amina,amina watumishi waMungu kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.Mungu awatie nguvu na moyo mkuu wa kuendelea kulitangaza neno lake ktk mataifa yote.
hongereni sana kazi nzurii
Hongereni sana kwa kujitoa, mnaimba kwa utashi wote!!! Mbarikiwe sana
*HOLLY TRINITY STUDIOS* YOU DID IT AGAIN
WE GONA RUN THIS TOWN AND EAST AFRICA AND ALL OF AFRICA
Congrats. Very touching and real inspiring...keep it up and blessed!
Mbarikiwe sana waimbaji wa MUNGU nimebarikiwasana jamani na ujumbewenu na uimbajiwenu mzuri
Maganzo, HT na Mshobozi!! awesome job!!
Safi sana Mungu awape nguvu waimbaji mmeimba vizuri pia mmetamadunisha vizuri
Safi sana kazaneni
Iko poa
mungu wajalie moyo wa injilishaji
asanteni sana kwa wimbo mzuri na umetulia sana nawapenda sana mnanikumbusha nyumbani
Wow kristo ni yule yule mwanzo jana na Leo mwaaaaaah nimefurah 😍😍😍
Kazi nzuri Mungu awabarik Amina
Hongerani sana watumishi
Jenipha Masanga Fabiani Matei wa turiani mtibwa mpo vizuri
Eng. Mushobozi barikiwa sana kwa upigaji wako kwakweli binafsi yangu huwa unanibariki sana. Na hongera kwa uvumbuzi Wa upigaji pedo miguu miwili. Ungeweza kuitwa prof kwa ugunduzi huo but Mungu ndiye aliyekutumia na kuufanya mziki Wa kikatoliki unoge. By Kibuyu
Shija Lugiko tumshuku Mungu kwa yote
Eng. Fredo upo wapi siku hizi. Dar hapa au upo nje ya mkoa
Shija Lugiko boss nipo Dar naomba kupata namba yako
0716877262 na 0684767683
Hongeren Asante kwa kutuinjirisha
Nimebarikiwa kweli kristu ni yule Yule ongereni
mmbarikiwe nimependa wimbo wenu
Hongera kwa utume Awazi. Tokea uchama
Amina. Hongereni sana wanakwaya Mungu azidi kuwabariki katika utunzi na utume wenu
Mbalikiwe sana kwa sauti nzuri
Hongera sana mpiga kinanda naweza sema no prof. Ubarikiwe
Hongereni wimbo mzuriii sana
Congratulations Maganzo
NYC choir be blessed !
Yeye na alfa naomega amen
Agustino Mmassi m
wimbo nzur congratulations
AMEN
Never seen
Nice work Trinity you are the best studio
Nkhangweleni Duncan Mudau
thanks
Wimbo mzuri
Iam inspired by de way you organise everything.Thats y i say a Catholic remains a Catholic whether i understand de language or not.
you prolly dont give a shit but if you are bored like me during the covid times you can stream all of the latest series on instaflixxer. Been binge watching with my brother for the last few days xD
@Nico Kabir Yup, been watching on InstaFlixxer for months myself :)
ni yule yuleee jana na leo
Ameeen.....ni Yule Yule
Waimbaji hongereni kwa kazi nzuri.
Amina, mubarikiwe sana
Kazi nzuri
Thenks love Kenaya
Mshobozi,hunampinzani kwenye kinanda
Julian Thadeus yupo dogo anaitwa Thomas Baraka mashibe,,,anagusa hatari but mushobozi acha aitwe mushobozi na atabaki hivyo,,,unajua maana ya jina mushobozi?.?
njoo utupigie nasisi kinanda tuko mwanza
Immaculata. Mkimuhitaji tu. Yeye yupo. Karibu sana
Mimi n mkenya apa ila tz mko mbali sana kimziki. Mshombozi na kaka Barack Thomas Mashibe hongereni sana kwa upigaji wenu wa Kinanda. Nawapenda sana. Kanda walizopiga hao kaka wawili sio mchezo.
Amina sanaaaaa
Aminaa
Kazi nzuri hongereni ndugu zangu
mmependeza saana
sale, sautii, ujumbe.
(mhum) fanyen toba kilawatat muwenamioyosaf 2kutane paladiso
hongera mtunzi na kwaya kwa ujumla wimbo umenibariki sana
Felician Luvandam
Mko juu huwezi amini
Wimbo mzuri yesu ni yuleyule mmependeza sana amina
Good song i love it🔥🔥🔥🔥🔥
I'm real interested with this art, it's awesome great, if possible will I join your company to learn video production. I hope you'll accept my request, God bless you
Onesmo Philiberth most welcome
I love this song.How can I join this choir?
Beautiful voices.Be blessed
I love this song so beautiful
oooh haleluyaaa
My all time song🥰🥰 hongereni watunzi na waimbaji... Huu wimbo hunibariki Kila niuskizapo....naomba aliye na nota za huu mziki anisaidie.. whatsapp +254704062444... Au email: gabumwanzia@gmail.com... asante na m'barikiwe nyoteee
.harmonez
A als))
Nice work. Can you help me your contact please. I'm interested in video production
Onesmo Philiberth
Call us 0744 558606
Onesmo Philiberth
Holy Trinity Studio's Video producer
Kaiga Mutongore , thanks a lot, I'll be gratefully to meet with u
Onesmo Philiberth ur most welcome
Kaiga Mutongore thanks