KISIMA CHA WOKOVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Kwaya ya Mt. Cecilia - Malangali (KMCM) Parokia ya Itengule, Kigango cha Malangali, Jimbo Katoliki la Iringa. Ni Album yenye nyimbo kumi inayoitwa Kisima cha wokovu. Waweza kuwasiliana nao kupitia namba 0755 842 380

Комментарии • 86

  • @Emanuela-ck8yy
    @Emanuela-ck8yy 9 месяцев назад

    Mungu awabariki sana muendelee kutumia vipaji vyenu

  • @ilungakabu1116
    @ilungakabu1116 3 года назад +1

    Leeeeeeeeeeeeee,mungu djo chefu

  • @revocatusmboro5086
    @revocatusmboro5086 4 года назад +1

    Ujumbe mzuri sana na Video yenye ubora keep up Rajo katika mapinduzi ya kutuletea vitu vilivyo bora. Angalia eneo la sauti kuna kasauti kanasikika mkarekebishe

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 3 года назад +1

    Mtateka maaaji sauti ya pili nimewasikia

  • @zedianakangalawe1880
    @zedianakangalawe1880 3 года назад +1

    Nimechelewa kuujua huu wimbo

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 9 месяцев назад

    mungu awape nguvu na afya njema ili muendelee kuliupiri habari njema kwa watu wote

  • @DjTijay254
    @DjTijay254 3 года назад +1

    Amina amina

  • @leticiachunga9118
    @leticiachunga9118 2 года назад

    Mungu awabatiki mnoooo

  • @godliverclement1923
    @godliverclement1923 2 года назад +1

    Uko sawa

  • @ilungakabu1116
    @ilungakabu1116 3 года назад +1

    Amona,very deep,congratulations

  • @jumannebaraka7654
    @jumannebaraka7654 4 года назад +1

    Amina ubarikiwe kwa wimbo mzuri

  • @nestorymuhoja3779
    @nestorymuhoja3779 4 года назад +1

    Hakika mmetuhubilia vyema. Mungu akubariki nyote.

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 5 лет назад

    Wapendwa mmependeza sana mungu akupe kazi yenu Sikh moja mjekujulikana na dunia nzima aminaaa upako wawokovu

  • @wilsonngumbuke4482
    @wilsonngumbuke4482 5 лет назад

    Wimbo mzuri mno... mpiga kinanda yuko vizuri. Waimbaji wote mnatamka maneno..... hakuna ubabaishaji. RAJO tangaza albam hii

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 4 года назад +1

    Hakika Mungu wetu amenena kupitia kwenu. Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji!

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 5 лет назад

    Mungu awabariki sana mungu hana upendeleo upako mpaka malangali ,mbarikiwe sana Nazi ya mungu isonge mbele kwa Nina LA yesu mtono hapa

  • @ilungakabu1116
    @ilungakabu1116 3 года назад +1

    Amlna

  • @reymondipaschali9643
    @reymondipaschali9643 5 лет назад

    napenda sana nyimbo zakwaya wanakwayamwote nawaombea wazidi kufanyavizuli ktk nyimbo

  • @yustinomasangula6122
    @yustinomasangula6122 6 лет назад +1

    Kazi nzuri sana hiyo, hongereni sana Wanakwaya na Waalimu walioshiriki katika kazi hii.

  • @yovitakayombo9724
    @yovitakayombo9724 4 года назад +1

    Nitateka maji katika visima vya wokovu hiyo ndiyo imani yang Yesu nisaidie niweze kuona kisima cha wokovu. Mbarikiwe

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 6 лет назад

    Nyimbo nzuri sana yenye kuhamasisha uinjilishaji. Ni furaha na faraja kusikiliza nyimbo hii yenye maudhui mazuri sana...kwa namna ya kumtukuzu Mungu wetu wa Mbinguni.
    Mbarikiwe sana!

  • @emilianaluoga6893
    @emilianaluoga6893 5 лет назад

    Hongereni sana wapendwa katika Kristo

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 5 лет назад

    Mkinywa hayo maji kutoka kwenye visima hivyo kiu zenu zitaisha milele hamtakua na kiu kamwe.from south Africa

  • @getrudamyblu4778
    @getrudamyblu4778 5 лет назад

    waooo nawakumbuka sana mi getruda from itengule mission but kwa sasa niko zanzibar mr kivinge nakukumbuka baba wote kwaujumla utume mwema

  • @semangasemanga
    @semangasemanga 5 лет назад

    Mungu awape afya muendelee kumsifu na kumuabusu yeye. Hakika hamu yangu ni yateke maji ya uzima.

  • @olivemasika1294
    @olivemasika1294 4 года назад +1

    Courage mes chers.

  • @tobbymesso
    @tobbymesso 6 лет назад

    Kutoka KENYA nasema heko kwa kazi nzuri,mbarikiwe

  • @masondaselina4046
    @masondaselina4046 6 лет назад

    Kwa furaha kabisa kaz nzur

  • @veronicawoisso5332
    @veronicawoisso5332 7 лет назад +3

    Ujumbe mzuri sana, Roho Mtakatifu aendelee kuwaongoza katika utume wenu

  • @robertkairo8483
    @robertkairo8483 7 лет назад

    Safi sana tungu safi, uimbaji safi, recording nzuri, uchezaji mzuri, madhari ya kusisimua, upigaji kinanda wa kuvutia......Asante

  • @stephanmpangire4741
    @stephanmpangire4741 7 лет назад +2

    Barikiwa sana waimbaji na waandaaji kwa kazi nzuri

  • @tegemeokwigira1191
    @tegemeokwigira1191 6 лет назад

    Hakika nabarikiwa sana tena sana kwa nyimbo tamu hizi. Mungu na apewe sifa kwa taranta hizo.

  • @martinmuthuititotitomuthui3383
    @martinmuthuititotitomuthui3383 5 лет назад

    Wow very nice song.praise be to Jesus Christ our lord..

  • @jacksonwagala3098
    @jacksonwagala3098 5 лет назад

    Nikija huko ntawatafuta maana sio kwa kuimba huko, Asee Kwa Furaha kweli

  • @godliverclement1923
    @godliverclement1923 2 года назад

    Sawa

  • @alfredgodliver7429
    @alfredgodliver7429 5 лет назад

    Bomba bomba kwaya

  • @yohanagabriel3287
    @yohanagabriel3287 6 лет назад

    Mbarikiwe sana na aliyejuu, naomba mtuwekee na wimbo Wa ( umetakaswa) ahsanteni sana

    • @laulentkulwa3353
      @laulentkulwa3353 6 лет назад

      siwezi kuacha kwaya katu maana nimambo matam yapo kwenye utume

  • @ramathanirama3419
    @ramathanirama3419 4 года назад +1

    Vema
    Kitaifa

  • @martialyala2127
    @martialyala2127 6 лет назад +1

    Soyez protège soyez bénis Amen Amen Amen que Dieu soit loué Nature Guita du Congo Brazzaville !

  • @deogratiusmbigi9153
    @deogratiusmbigi9153 6 лет назад +3

    tatizo LA rajo ni usambazaji.tunatamani nyimbo hizi tuziangalie na familia zetu lakini madukani hatuzikuti.wekeni wawakilishi kila mikoa ikiwezekana wauze parokiani na vigangoni kama mnaona madukani mnaibiwa.

  • @eleuterkihwele3961
    @eleuterkihwele3961 6 лет назад +1

    Miaka ya 1997 nilikuwa Itengule na mwenyeji wa Malangali frmo Maduma nimefurahi sana kwa Kazi nzuri na madhari nzuri mbarikiwe sana kwa kuimba vizuri kinanda safi

  • @janewairimu8339
    @janewairimu8339 2 года назад

    Thanks for blessing us with God’s message through singing. Mbarikiwe sana

  • @godlovecharles4527
    @godlovecharles4527 6 лет назад

    You did the best,it sound good.Kila chombo na sauti vinasikika kwa nafasi yake,very good.Mbarikiwe sana.Tuhonginzeh

  • @moeselinus111
    @moeselinus111 7 лет назад

    Mtunzi,waimbaji, Ray na RAJO PRODUCTION nyote mmetutendea haki tunaopenda nyimbo hizi Mungu awalipe sawa sawa na mjitoavyo

  • @wabulegrace6335
    @wabulegrace6335 2 года назад

    Good.

  • @laurencemisigaro9934
    @laurencemisigaro9934 4 года назад +1

    Good song

  • @seciliambedule2781
    @seciliambedule2781 6 лет назад

    Mpo vizur sana hongereni kwa utume uliotukuka

  • @nemestarimo2922
    @nemestarimo2922 5 лет назад

    nyimbo nzenu ni nzur sana ila madukan hazipatikan wajamen. Hiz ndizo cd ambazo unaweza kusikiliza ukiwa na watoto na hata ukiwa na wakweeeee.

  • @mastidiusmichael3370
    @mastidiusmichael3370 6 лет назад

    Kweli bwana ni kisima cha wokovu

  • @josephntibonera3645
    @josephntibonera3645 4 года назад +1

    It's amazing kwa sababu muziki unamatch vizuri sana na sauti zote. Mwenyezi Mungu awabariki

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 6 лет назад

    Ujumbe muzuli sana Asanteni

  • @Devotamlelwa9239
    @Devotamlelwa9239 6 лет назад

    hongereni sana naona vipaji vimesimama

  • @bernadetteikandi4438
    @bernadetteikandi4438 6 лет назад

    Awesome. I don't tire watching you. keep up

  • @martialyala2127
    @martialyala2127 6 лет назад

    Moi suis Nature du Congo Brazzaville je suis beaucoup ses chants très merveilleux d'ou on peut avoir ici chez nous; que le bon Dieu vous protète

  • @josephmuriithi6067
    @josephmuriithi6067 3 года назад

    Beautiful tune, Simplicity is key. Keep up the good work of EVANGELISING through MUSIC AND especially Singing. ....GOD BLESS YOU ALL ABUNDANTLY

  • @emmanuelmachibya.
    @emmanuelmachibya. 7 лет назад +1

    Mmefanya kazi nzuri mbarikiwe

  • @lucymasood8601
    @lucymasood8601 7 лет назад +2

    Ubarikiwe kwa kazi nzuri

  • @samuelwachira9643
    @samuelwachira9643 6 лет назад

    Congratulations for the good songs for u make our Catholic Church proud.

  • @nenebikorimana9767
    @nenebikorimana9767 2 года назад

    Yes, john7:38

  • @isaackgabrieltv5514
    @isaackgabrieltv5514 7 лет назад

    Mkoo vzur

  • @markokasenegala4972
    @markokasenegala4972 6 лет назад

    May the grace of God be with you all singers ,well done

  • @drkaswalala
    @drkaswalala 7 лет назад +4

    Atkuzwe yeye aliye juu kushusha vipaji vyake nakuruhusu uinjilishaji wa njia ya nyimbo
    Mbarikiwe sana

  • @marryyohana5988
    @marryyohana5988 5 лет назад

    safi sana

  • @linckystudio4186
    @linckystudio4186 6 лет назад

    You did the best

  • @fredymwesiga7071
    @fredymwesiga7071 7 лет назад

    Mungu akubariki sana kaka Ray, kweli kazi ni nzur mno

  • @bernardmwenda4348
    @bernardmwenda4348 5 лет назад

    Its a nice production keep it up.Aso a source of blessings and entertainment too.

  • @martialyala2127
    @martialyala2127 6 лет назад

    Que Dieu soit loué moi suis au congo Brazzaville d'ou on peut trouver ce DCD !

  • @mastidiusmichael3370
    @mastidiusmichael3370 6 лет назад

    Asanteni Mungu awabariki

    • @baltasartemu2153
      @baltasartemu2153 6 лет назад

      Namshukuru Mungu kuona kazi ikitoka MALANGALI. Nakumbuka lipiano la shule tulivyokuwa tunalibeba kuimbia hapo kigangoni. Mtavangu V. Nyenza......Mushiiii

  • @beathmkongwa1426
    @beathmkongwa1426 5 лет назад

    king of mgl town

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Asante Ray by Kibuyu

  • @costanciapamphurey9084
    @costanciapamphurey9084 6 лет назад

    hongeren sana CD ntaipataje?

  • @benedictofaustine519
    @benedictofaustine519 6 лет назад

    Ambwene

  • @mtumishisimba
    @mtumishisimba 7 лет назад +2

    huyu mdada amewatoka St John Paul 2 choir?

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe9011 6 лет назад

    Nice song

    • @enossilasi4332
      @enossilasi4332 5 лет назад

      Esu

    • @enossilasi4332
      @enossilasi4332 5 лет назад

      Esu

    • @bikorimanaonesphore2993
      @bikorimanaonesphore2993 4 года назад

      Celui qui croit en moi n'aura point soif,des fleuves d'eau vives jailliront sur lui comme le disent les écritures (John 7:38),I like this song

  • @siliviawabera8665
    @siliviawabera8665 5 лет назад +1

    good