KISIMA CHA WOKOVU
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Kwaya ya Mt. Cecilia - Malangali (KMCM) Parokia ya Itengule, Kigango cha Malangali, Jimbo Katoliki la Iringa. Ni Album yenye nyimbo kumi inayoitwa Kisima cha wokovu. Waweza kuwasiliana nao kupitia namba 0755 842 380
Mungu awabariki sana muendelee kutumia vipaji vyenu
Leeeeeeeeeeeeee,mungu djo chefu
Ujumbe mzuri sana na Video yenye ubora keep up Rajo katika mapinduzi ya kutuletea vitu vilivyo bora. Angalia eneo la sauti kuna kasauti kanasikika mkarekebishe
Mtateka maaaji sauti ya pili nimewasikia
Nimechelewa kuujua huu wimbo
mungu awape nguvu na afya njema ili muendelee kuliupiri habari njema kwa watu wote
Amina amina
Mungu awabatiki mnoooo
Uko sawa
Amona,very deep,congratulations
Amina ubarikiwe kwa wimbo mzuri
Hakika mmetuhubilia vyema. Mungu akubariki nyote.
Wapendwa mmependeza sana mungu akupe kazi yenu Sikh moja mjekujulikana na dunia nzima aminaaa upako wawokovu
Wimbo mzuri mno... mpiga kinanda yuko vizuri. Waimbaji wote mnatamka maneno..... hakuna ubabaishaji. RAJO tangaza albam hii
Hakika Mungu wetu amenena kupitia kwenu. Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji!
Mungu awabariki sana mungu hana upendeleo upako mpaka malangali ,mbarikiwe sana Nazi ya mungu isonge mbele kwa Nina LA yesu mtono hapa
Amlna
napenda sana nyimbo zakwaya wanakwayamwote nawaombea wazidi kufanyavizuli ktk nyimbo
Kazi nzuri sana hiyo, hongereni sana Wanakwaya na Waalimu walioshiriki katika kazi hii.
Nitateka maji katika visima vya wokovu hiyo ndiyo imani yang Yesu nisaidie niweze kuona kisima cha wokovu. Mbarikiwe
Nyimbo nzuri sana yenye kuhamasisha uinjilishaji. Ni furaha na faraja kusikiliza nyimbo hii yenye maudhui mazuri sana...kwa namna ya kumtukuzu Mungu wetu wa Mbinguni.
Mbarikiwe sana!
Hongereni sana wapendwa katika Kristo
Mkinywa hayo maji kutoka kwenye visima hivyo kiu zenu zitaisha milele hamtakua na kiu kamwe.from south Africa
waooo nawakumbuka sana mi getruda from itengule mission but kwa sasa niko zanzibar mr kivinge nakukumbuka baba wote kwaujumla utume mwema
Mungu awape afya muendelee kumsifu na kumuabusu yeye. Hakika hamu yangu ni yateke maji ya uzima.
Courage mes chers.
Kutoka KENYA nasema heko kwa kazi nzuri,mbarikiwe
Kwa furaha kabisa kaz nzur
Ujumbe mzuri sana, Roho Mtakatifu aendelee kuwaongoza katika utume wenu
Safi sana tungu safi, uimbaji safi, recording nzuri, uchezaji mzuri, madhari ya kusisimua, upigaji kinanda wa kuvutia......Asante
Barikiwa sana waimbaji na waandaaji kwa kazi nzuri
Hakika nabarikiwa sana tena sana kwa nyimbo tamu hizi. Mungu na apewe sifa kwa taranta hizo.
Wow very nice song.praise be to Jesus Christ our lord..
Nikija huko ntawatafuta maana sio kwa kuimba huko, Asee Kwa Furaha kweli
Sawa
Bomba bomba kwaya
Mbarikiwe sana na aliyejuu, naomba mtuwekee na wimbo Wa ( umetakaswa) ahsanteni sana
siwezi kuacha kwaya katu maana nimambo matam yapo kwenye utume
Vema
Kitaifa
Soyez protège soyez bénis Amen Amen Amen que Dieu soit loué Nature Guita du Congo Brazzaville !
tatizo LA rajo ni usambazaji.tunatamani nyimbo hizi tuziangalie na familia zetu lakini madukani hatuzikuti.wekeni wawakilishi kila mikoa ikiwezekana wauze parokiani na vigangoni kama mnaona madukani mnaibiwa.
Miaka ya 1997 nilikuwa Itengule na mwenyeji wa Malangali frmo Maduma nimefurahi sana kwa Kazi nzuri na madhari nzuri mbarikiwe sana kwa kuimba vizuri kinanda safi
Mko vizuri
Thanks for blessing us with God’s message through singing. Mbarikiwe sana
You did the best,it sound good.Kila chombo na sauti vinasikika kwa nafasi yake,very good.Mbarikiwe sana.Tuhonginzeh
Mtunzi,waimbaji, Ray na RAJO PRODUCTION nyote mmetutendea haki tunaopenda nyimbo hizi Mungu awalipe sawa sawa na mjitoavyo
Good.
Good song
Mpo vizur sana hongereni kwa utume uliotukuka
nyimbo nzenu ni nzur sana ila madukan hazipatikan wajamen. Hiz ndizo cd ambazo unaweza kusikiliza ukiwa na watoto na hata ukiwa na wakweeeee.
Kweli bwana ni kisima cha wokovu
It's amazing kwa sababu muziki unamatch vizuri sana na sauti zote. Mwenyezi Mungu awabariki
Ujumbe muzuli sana Asanteni
hongereni sana naona vipaji vimesimama
Awesome. I don't tire watching you. keep up
Moi suis Nature du Congo Brazzaville je suis beaucoup ses chants très merveilleux d'ou on peut avoir ici chez nous; que le bon Dieu vous protète
Beautiful tune, Simplicity is key. Keep up the good work of EVANGELISING through MUSIC AND especially Singing. ....GOD BLESS YOU ALL ABUNDANTLY
Mmefanya kazi nzuri mbarikiwe
Ubarikiwe kwa kazi nzuri
Congratulations for the good songs for u make our Catholic Church proud.
Yes, john7:38
Mkoo vzur
May the grace of God be with you all singers ,well done
Atkuzwe yeye aliye juu kushusha vipaji vyake nakuruhusu uinjilishaji wa njia ya nyimbo
Mbarikiwe sana
safi sana
You did the best
Mungu akubariki sana kaka Ray, kweli kazi ni nzur mno
kazi nzuri na yenye upako
kaka rey ufunguo umetisha kaka hongera xana
Its a nice production keep it up.Aso a source of blessings and entertainment too.
Que Dieu soit loué moi suis au congo Brazzaville d'ou on peut trouver ce DCD !
Asanteni Mungu awabariki
Namshukuru Mungu kuona kazi ikitoka MALANGALI. Nakumbuka lipiano la shule tulivyokuwa tunalibeba kuimbia hapo kigangoni. Mtavangu V. Nyenza......Mushiiii
king of mgl town
Asante Ray by Kibuyu
hongeren sana CD ntaipataje?
Ambwene
huyu mdada amewatoka St John Paul 2 choir?
Tena ninawaona kama wawili kutoka St. Paul II Mbeya!!
Nice song
Esu
Esu
Celui qui croit en moi n'aura point soif,des fleuves d'eau vives jailliront sur lui comme le disent les écritures (John 7:38),I like this song
good