NITAKUTUKUZA MUNGU_by Kwaya ya Mt.Gregory Mkuu, St. John University DODOMA TZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Huu ni wimbo mmojawapo kati ya nyimbo kumi na mbili zinazounda album inayoitwa NITAKUTUKUZA MUNGU kutoka kwaya ya Mt.Gregory Mkuu ya St.John University - Dodoma Tanzania.
    Ni album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
    Jipatie nakala yako ya DVD uweze kupata kusikia nyimbo nyingine zilizomo ndani ya Album hii.
    Wasiliana nao leo kwa simu namba +244 652 060 267 au +255 763 021 020
    Tumsifu Mungu kwa pamoja, Tumtukuze Mungu kwa pamoja.
    Mungu tunakuomba uendekee kutubariki, Tuyasikie Maneno matamu ya waimbaji hawa, Kisha Mimina Neema zako kwetu, Tulishike neno lako, tufuate mafundisho ya Mwana wako Yesu Kristo, tuzijue Habari za Yesu.
    #kwayakatoliki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 357

  • @credokanyabuhura7876
    @credokanyabuhura7876 6 лет назад +1

    RAJO PRODUCTIONS MUNGU ANAWAONAAAAAAAAAAAAAA.....SI KWA U-HD HUU...SAUTI NA MWONEKANO NDO HATA SISEMI.. UHIMIDIWE BABA YETU, MUNGU UPEWE SIFA. ZACHARIA WEWE NA RAY UFUNGUO MIMI SIWAWEZIIIIIIIIIIIII..

    • @niconemerapiero4881
      @niconemerapiero4881 6 лет назад

      Credo Kanyabuhura i love your songs and your choir
      I’ld like the words of that song pleasecon npiero2012@gmail.com
      Thank youuuu

  • @martinmuthuititotitomuthui3383
    @martinmuthuititotitomuthui3383 5 лет назад +18

    Who is with me watching 2019?let me see likes hapo Chini na bwana wetu mungu awabariki Tu Sana...

  • @bartazarymkereme4921
    @bartazarymkereme4921 7 лет назад +1

    impo vizuri mungu awabariki katika uimbaji wenu shida zenu zijibiwe ktk uimbaji nikimaaanisha mungu awasikie ktk zauti zenu za uimbaji.zingatia mtumikie bwana ungali bado kijana

  • @veronicawilliams8636
    @veronicawilliams8636 Год назад +1

    May the good Lord continue to bless all al you (choir) its my strength all the time. may the name of the Lord be Praised

  • @vitussimon9696
    @vitussimon9696 6 лет назад +1

    Nisipotoa hongera kwa uimbaji mzuri Basi ntakua mbinafisi. Mmefanya kazi nzuri na imeturia sana. uhimidiwe Mungu nami naungana na wanakwaya nasema Uhimidiwe Mungu wa vyote.

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 4 года назад +3

    Uhimidiwe daima Mungu wetu. Hakika mmeimba vizuri sana...taratibu kabisa kumtukuza Mungu wetu. Nawaombea baraka tele katika uimbaji wetu na Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa milele. Vyombo katika nyimbo hii vimetia fora sana...hakika mmevitendea haki...blessed!

  • @flipaclipanimationz6790
    @flipaclipanimationz6790 6 лет назад +1

    Nimebarikiwa mnooo, Mtunzi Mungu azidi kukupaka mafuta, Waimbaji nanyi Mungu aendelee kuwatumia kuwa vyombo vya sifa, Wapiga vyombo nanyi mbarikiwe sana kazi yenu ni njema, yaani kila kitu katika huu wimbo kwangu kiko vizuri, naamini sifa hizi mlizomuimbia Mungu wa mbinguni zimevuma hata mawinguni .

  • @jacksonruitiari9245
    @jacksonruitiari9245 5 лет назад +2

    Hongera sana. Mna sauti taamu tena tulivu. Rabana awabariki.

  • @happykasian6304
    @happykasian6304 4 года назад +3

    Uhimiliwe yawe ,ni wimbo mzuri sana

  • @jkass757
    @jkass757 7 лет назад +1

    Mapigo halisi ya Kikatoliki na uchezaji unaomtukuza Mungu wa Kikatoliki. Kwaya nyingine tuna mengi ya kujifunza kutoka Kwaya hii. Huwezi kuleta uchezaji wa Disco kanisa la Kikatoliki.

  • @bwiledeus4689
    @bwiledeus4689 5 лет назад +1

    sichoki kuuangalia huu wimbo.asanten sana na mungu mwenyez azidi kuwabariki

  • @josephkioko4817
    @josephkioko4817 4 года назад +1

    Ndugu waimbaji,uimbaji huu ni wa haiba yake!Unakosha moyo na kutoa mwito mahsusi-kumtukuza Mungu.Heko.Maulana awajalieni umoja zaidi,afya njema na moyo wa kuhubiri kupitia kipaji hiki adimu cha uimbaji.Heko mara.

  • @michaelkatembo97
    @michaelkatembo97 4 года назад +4

    Mfalme Daudi alikuchezea...... What a blessing

  • @theresemaina1020
    @theresemaina1020 6 лет назад +2

    napenda maneno ya wimbo huu sana. Baba yetu uhimidiwe na upewe sifa!

  • @mrgo5141
    @mrgo5141 4 года назад +1

    Is like the day has come 4the. Church of C -JESUS 2 GO HIGHER

  • @martinmuthuititotitomuthui3383
    @martinmuthuititotitomuthui3383 5 лет назад +3

    Am very very much proud of my church,Roman Catholic church.

  • @NahashonYego-zb9fk
    @NahashonYego-zb9fk 3 месяца назад

    Wonderful and shining God is always

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 года назад +1

    Uhimidiwe baba yetu uhimidiwe, uhimidiwe Mungu upewe sifa asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 года назад +2

    Amen Amen Amen. Mbarikiwe kwa uinjirishaji na ujumbe mzuri St. Gregory.

  • @edgarrutaihwa2179
    @edgarrutaihwa2179 5 лет назад +1

    Uhimidiwe Mungu upewe sifa. Catholic melodies zitakubaki juu Kileleni

  • @nkakalushalila
    @nkakalushalila 4 года назад +1

    Dk 3.40 to Dk 4.00 "Bwana nikiyatazama matendo yako kwangu, ninakutukuza kwa haki, ninakutukuza eeh Mungu, ninakosa la kusema ni mengi mno kwangu, ninakushukuru eeh Yesu, Ninakushukuru Sana"' AMEN

  • @loycekazimili7225
    @loycekazimili7225 3 года назад +1

    Amina huu wimbo naupenda Sana mbalikiwe

  • @gustavmwango3622
    @gustavmwango3622 2 года назад +1

    Ahsante Mungu kwa hii kazi yetu nzuri🙏

  • @johnmwadime1429
    @johnmwadime1429 4 года назад +1

    Wimbo huu naupenda sana. Baraka tele kwa wanakwaya kutoka Ujerumani na Kenya

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 4 года назад +1

    Asante Dodoma kwa nyimbo nzuri ya kumtukuza mwenyezi MUNGU. AHIMILIWE BWANA APEWE SIFA. HALELUYA. 🙏🙏

  • @marthaemmanuel3323
    @marthaemmanuel3323 3 года назад +1

    Yan nauona uwepo wa bwana mbarikiwe waimbaji wote

  • @patrickokoth7086
    @patrickokoth7086 5 лет назад +1

    very nice songs
    kazi ya mungu pia ina ugumu wake so we have workhard to achieve

  • @scholarjosephat1281
    @scholarjosephat1281 5 лет назад +2

    Sauti tulivu inapenya mpaka rohoni hongeren sana mungu awazidishie nguvu mzidi kumtumikia bila kuchoka wa kukata tama. Uimidiwe mungu wangu

  • @yovitakayombo9724
    @yovitakayombo9724 4 года назад +1

    Nitakusifu ningali hai uhimidiwe milele Mungu

  • @mercymuranga4861
    @mercymuranga4861 4 года назад +2

    Nabarikiwa Sana nikiwa Saudia God bless you all Amen

  • @enriqueonsakia
    @enriqueonsakia 3 года назад +1

    Great song ,,hongera waimbaji

  • @timotheohongera356
    @timotheohongera356 5 лет назад +2

    Hiyo staili ya kurudisha mikono nyuma ni kali mno

  • @cosmaslohay6736
    @cosmaslohay6736 4 года назад +1

    Pongezi kwa kazi ya kutangaza enjili

  • @happyrocky7637
    @happyrocky7637 7 лет назад +9

    hongereni wana Gregory kwa Kazi nzuri mmefanya wonders.......nimebarikiwa saaana

  • @petterymroki3864
    @petterymroki3864 3 года назад

    Mungu awabariki mko vizuri

  • @abelmgalla1533
    @abelmgalla1533 7 лет назад +5

    Kaz nzur Sana mungu awatangulie katika safari yenu ya kutangaza neno lake kwa njia ya uimbaji,dada umeitendea talumbeta haki hongera

  • @bernardaquila2306
    @bernardaquila2306 7 лет назад +9

    Mungu Roho mtakatifu na awatie nguvu wadogo wa Makuburi choir, hakika MUNGU atukuzwe kwa ajili yenu daima.

  • @allenmwamba2146
    @allenmwamba2146 7 лет назад +7

    uhimidiwe baba yetu barikiwa sana wanakwaya wote mlioshiriki kuimba

  • @veronicawoisso5332
    @veronicawoisso5332 7 лет назад +8

    Mmeimba vizuri sana, Roho Mtakatifu awatangulie kwenye utume wenu. Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Zab 150:6

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад +2

      Nawapenda bule mimi"Mungu awabariki daima
      ♡♡♡♡♡♡♡♡
      ♡♡♡♡♡♡♡♡
      ♡♡♡♡♡♡♡♡
      ♡♡♡♡♡♡♡"Amani ya Mungu iwe kwenu daima

    • @donardkajanga842
      @donardkajanga842 6 лет назад

      Veronica Woisso

  • @abelmgalla1533
    @abelmgalla1533 7 лет назад +1

    hakika viumbe vya kutukuza mungu,ee mungu wabariki wanao wazidi endelea kutangaza na kukutukuza daima popote pale.

  • @maryreginasechali5625
    @maryreginasechali5625 7 лет назад +9

    nmewaelewa sana vjana. nakuona mushoboz kijana mchapa kaz. uhimidiwe mungu upewesi haswa. hzo voko vibrato flan HV sio za nchi hii. Mungu wainuie had mshangae.

  • @mirampoya3561
    @mirampoya3561 4 года назад +2

    be in Jesus Christ is happyness

  • @andrewathanas9535
    @andrewathanas9535 7 лет назад +4

    so fantastic.
    Kazi nzuri wapendwa Mungu aendelee kuwatumia.

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 6 лет назад

    Bila shaka uimbaji wenu ni wa kutukuka...Baba Yetu aliye Mbinguni awazidishie karama na neema katika uimbaji wenu!!

  • @jaquilinemabada9424
    @jaquilinemabada9424 7 лет назад +5

    Mmefanya wonders! Hongereni sana!Mungu uhimidiwe.....

  • @veronicabrilliance7747
    @veronicabrilliance7747 7 лет назад +1

    Kazi nzuri sana. Hongereni wanakwaya wote, Mungu azidi kuwatia nguvu n ktk masomo yenu

  • @najuaphilemonngateu5894
    @najuaphilemonngateu5894 4 года назад +2

    Nice song. Mbarikiwe sana

  • @csm-kroup4758
    @csm-kroup4758 6 лет назад

    Kitu kimetulia sana naomba NOTA tafadhali niweze Kumtukuza Mungu na Waimbaji wangu.

  • @fredrickosumo3766
    @fredrickosumo3766 4 года назад +2

    Very nice and good song to prepare us to heaven

  • @diana6didelis355
    @diana6didelis355 5 лет назад +1

    Mko juu Gregory the Great nimewamiss sana, na mmefanya nyimbo nzuri sana

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 2 года назад +1

    Atukuzwe.mungu.milele.na.milele

  • @markmurithi4003
    @markmurithi4003 5 лет назад +1

    Mungu atukuzwe milele na milele amina....

  • @rajopro
    @rajopro  7 лет назад +20

    kwa atakayependa kuwa wakala wa kuisambaza kazi hii nzuri yenye nyimbo 12 za kumtukuza Mungu, kwenye mikoa mbalimbalina hata nje ya nchi awasiliane na viongozi wa kwaya hii kupitia maelezo yaliyo kwenye video description juu...
    Mungu atubariki sote.

    • @tobbymesso
      @tobbymesso 6 лет назад

      RAJO PRODUCTIONS na sisi tulio KENYA jee,naeza pata aje kanda hizi?

    • @mariealiceraymond2508
      @mariealiceraymond2508 5 лет назад

      Can someone translate that song in French please! I really love it may the Lord continue to blessing us.

  • @edgaredward9171
    @edgaredward9171 7 лет назад +4

    Wimbo mzuri sana nimeupenda....nakuona sana mtalaam wangu wa piano justine from same boys hakika ahimidiwe mungu nawapenda woteee udom

  • @martinmuthuititotitomuthui3383
    @martinmuthuititotitomuthui3383 5 лет назад +5

    Can't get enough of listening to this song.. praise be to Jesus Christ our lord...

  • @cellinamutuku
    @cellinamutuku 3 года назад +2

    Still here in 2021, despite the challenges praise and honour to God, nice song

  • @otiliamwingila3697
    @otiliamwingila3697 2 года назад

    Asante kwaujumbe mzuri tunaoupata kupitia nyimbo za injili

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman5588 3 года назад +1

    SAFI KABISA

  • @judykemunto3208
    @judykemunto3208 6 лет назад

    Aki siluamini macho yangu kuwa nimeona na kucgukua icha na Zacharia Gerald, Mungu akubariki sana, karibu tena Kenya

  • @pasianokahere7896
    @pasianokahere7896 7 лет назад +3

    Wimbo mzuri na Mungu awatangulie katka kazi yenu ya uinjilishaji.

  • @vitussimon9696
    @vitussimon9696 6 лет назад

    na Uhimidiwe Mungu uliluwako, uliepo na utakae kuwapo milele na milele. Safi Sana waimbaji mbarikiwe

  • @marysemufali7011
    @marysemufali7011 6 лет назад

    A very good song Hongereni St.John.Full mabaraka hapa nilipo...Ahimidiwe MUNGU WETU NA APEWE SIFA

  • @fabianmabano8400
    @fabianmabano8400 5 лет назад

    Hakika kazi hii nzuri ajabu.Nakupongezeni sana sana.RAJO PRODUCTION hakika mko njema.

  • @sostenseiya3641
    @sostenseiya3641 7 лет назад +2

    Wimbo mzuri sana, hakika Mungu atukuzwe nasi tutakatifuzwe

  • @jacksonruitiari9245
    @jacksonruitiari9245 4 года назад +2

    Finally nimeupata wimbo wangu.

  • @maroloansihaloho2739
    @maroloansihaloho2739 3 года назад

    Turun dari sorga dari ALLAH upah gitit dari asaf sepatutnya

  • @vitussimon9696
    @vitussimon9696 6 лет назад

    Na Uhimidiwe Mungu uliekuwako, uliepo na utakae kuwapo milele yote. Safi Sana waimbaji mbarikiwe

  • @johnmwadime1429
    @johnmwadime1429 6 лет назад +23

    Msichoke kumtukuza Mungu.Endeleeni kubarikiwa nasi tunamuhimidi na kumuenzi Mungu.Ahimidiwe siku zote

  • @johnmwadime1429
    @johnmwadime1429 7 лет назад

    Nyimbo tamu ajabu.Mungu azidi kuwabariki kwa vipaji alivyowajalia.Nina furaha moyoni

  • @severiusnyakundi9479
    @severiusnyakundi9479 4 года назад +5

    I'm real blessed by these wonderful songs. Spiritual nourishment is taking place in me... Amen.

  • @veromugo1977
    @veromugo1977 6 лет назад +1

    Ahimidiwe milele yote Mungu wetu,dancing style yenu yavutia na mmejipanga swafi sana.I can't stop watching you again and again.Am Veronica from Nairobi

  • @twalibabdul5512
    @twalibabdul5512 7 лет назад

    hongeleni sana kazi Nzuri,sauti halisi ya kikatoliki,mbarikiwe wrote hasa hiyo anayeringa na trumpet.amenibariki.

  • @molom5027
    @molom5027 3 года назад +3

    One of the best hymns of the year and millenium. God bless you all for playing your evangelica role in the church of God. Bravoo

  • @lucasadolf244
    @lucasadolf244 5 лет назад

    Kusoma na kumtukuza mungu inawezekana, nawaombea sup isiwe upande wenu

  • @marymukami140
    @marymukami140 6 лет назад

    Naupenda sana wimbo huu. Na aliyepiga kinanda jamani Kongole!!!

  • @mrsmasha7322
    @mrsmasha7322 7 лет назад +1

    waooh nabarikiwa sana
    nice work
    saut ya tatu nimewakubali

    • @nkusijanvier9953
      @nkusijanvier9953 7 лет назад

      Hongela ninyimbo nzuri sana zimenigusa mngu awabariki .ni january .toka canada

  • @jkass757
    @jkass757 7 лет назад

    Mmedhihirisha kuwa ni kwaya ya wasomi. Hongera sana mpiga kinanda

  • @nathannbanda3345
    @nathannbanda3345 5 лет назад +2

    Amina. Nice song. We love you Tanzanians. Continue to proclaim the Gospel of the Lord. I beg only, sometimes some songs put them in English or just be putting the subtitles so that we can be getting the meaning us who are not Swahili speakers. Thanks

  • @catherinerori5330
    @catherinerori5330 4 года назад +2

    Hongera sanaaaa, may God bless you for this wonderful message, keep it up

  • @sesiliarobart9154
    @sesiliarobart9154 2 года назад

    Thank you Dodoma Mungu uhimidiwe Mungu wetu Amina mbarikiwe

  • @venanceseni5382
    @venanceseni5382 7 лет назад

    Kwa kwel mmeimba vizur tena kwa mahadhi ya kikatoliki kabisa. Kuimba ni furaha hongeren sana

  • @florakazunga9814
    @florakazunga9814 7 лет назад +4

    Mbarikiwe kwa uimbaji wenu.

  • @eliaswankenge9656
    @eliaswankenge9656 4 года назад +1

    Ninashuku kwa kupata nyimbo za kanda hizi.

  • @lucypascal7296
    @lucypascal7296 6 лет назад

    nafarijika sana ninavyosikiliza hizi kwaya zinanibariki sana waimbaji mbarikiwe

  • @timotheohongera356
    @timotheohongera356 5 лет назад

    Kwaya bora sana hii baada ya chang’ombe... nice guys

  • @abelsanga2616
    @abelsanga2616 5 лет назад

    napendaga unono wa sauti na kinanda. Mungu awafunulie maisha mema

  • @renatusfelix6021
    @renatusfelix6021 7 лет назад +2

    hongera sana rajo kazi nzuri sana
    hongera nyingi pia kwa wana dodoma

  • @EternalNourishments
    @EternalNourishments 3 года назад +2

    This is so great , God bless

  • @onesmostephano8456
    @onesmostephano8456 6 лет назад

    Hakika Kazi nzuri sana Mungu azidi kupewa sifa na utukufu

  • @lianaflo8737
    @lianaflo8737 6 лет назад +6

    am in heaven ,such nice voices .blessings like millions to this choir

  • @raymondmbitta9032
    @raymondmbitta9032 6 лет назад

    Hongereni sana watumishi Wa mungu hakika mungu ni mkuu.

  • @MartinMartin-lv4jp
    @MartinMartin-lv4jp 5 лет назад

    Mko tu juu Sana awabariki nyimbo nzuri kweli

  • @immaculathawilliam1482
    @immaculathawilliam1482 6 лет назад +3

    Dah! Rajo Production...you're de great.......congrats

  • @msafirisengea5192
    @msafirisengea5192 6 лет назад

    Amina uhimidiwe kwa yote unitendeayo maishani

  • @kibedavid3534
    @kibedavid3534 5 лет назад

    Hakika twabarikiwa na nyimbo zenu tamu tamu,,hongera na rabi awafadhili

  • @lungalathegreat3017
    @lungalathegreat3017 7 лет назад +9

    mungu awabariki kwa uinjirishaji wenu

  • @lucynelson5621
    @lucynelson5621 5 лет назад +2

    Rajo production mko vzr

  • @janemlesi5932
    @janemlesi5932 5 лет назад

    Mungu awabariki kwa kusifu na kuabudu Mungu on mwema

  • @mosessaule2977
    @mosessaule2977 7 лет назад

    Kazi nziri sana mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha.

  • @dconfidential236
    @dconfidential236 6 лет назад

    Mubarikiwe sana kwa kazi nzuri na majitoleo yenu kuinjilisha