NITAKUTUKUZA MUNGU_by Kwaya ya Mt.Gregory Mkuu, St. John University DODOMA TZ
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Huu ni wimbo mmojawapo kati ya nyimbo kumi na mbili zinazounda album inayoitwa NITAKUTUKUZA MUNGU kutoka kwaya ya Mt.Gregory Mkuu ya St.John University - Dodoma Tanzania.
Ni album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
Jipatie nakala yako ya DVD uweze kupata kusikia nyimbo nyingine zilizomo ndani ya Album hii.
Wasiliana nao leo kwa simu namba +244 652 060 267 au +255 763 021 020
Tumsifu Mungu kwa pamoja, Tumtukuze Mungu kwa pamoja.
Mungu tunakuomba uendekee kutubariki, Tuyasikie Maneno matamu ya waimbaji hawa, Kisha Mimina Neema zako kwetu, Tulishike neno lako, tufuate mafundisho ya Mwana wako Yesu Kristo, tuzijue Habari za Yesu.
#kwayakatoliki - Видеоклипы
RAJO PRODUCTIONS MUNGU ANAWAONAAAAAAAAAAAAAA.....SI KWA U-HD HUU...SAUTI NA MWONEKANO NDO HATA SISEMI.. UHIMIDIWE BABA YETU, MUNGU UPEWE SIFA. ZACHARIA WEWE NA RAY UFUNGUO MIMI SIWAWEZIIIIIIIIIIIII..
Credo Kanyabuhura i love your songs and your choir
I’ld like the words of that song pleasecon npiero2012@gmail.com
Thank youuuu
Who is with me watching 2019?let me see likes hapo Chini na bwana wetu mungu awabariki Tu Sana...
impo vizuri mungu awabariki katika uimbaji wenu shida zenu zijibiwe ktk uimbaji nikimaaanisha mungu awasikie ktk zauti zenu za uimbaji.zingatia mtumikie bwana ungali bado kijana
May the good Lord continue to bless all al you (choir) its my strength all the time. may the name of the Lord be Praised
Nisipotoa hongera kwa uimbaji mzuri Basi ntakua mbinafisi. Mmefanya kazi nzuri na imeturia sana. uhimidiwe Mungu nami naungana na wanakwaya nasema Uhimidiwe Mungu wa vyote.
Uhimidiwe daima Mungu wetu. Hakika mmeimba vizuri sana...taratibu kabisa kumtukuza Mungu wetu. Nawaombea baraka tele katika uimbaji wetu na Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa milele. Vyombo katika nyimbo hii vimetia fora sana...hakika mmevitendea haki...blessed!
Nimebarikiwa mnooo, Mtunzi Mungu azidi kukupaka mafuta, Waimbaji nanyi Mungu aendelee kuwatumia kuwa vyombo vya sifa, Wapiga vyombo nanyi mbarikiwe sana kazi yenu ni njema, yaani kila kitu katika huu wimbo kwangu kiko vizuri, naamini sifa hizi mlizomuimbia Mungu wa mbinguni zimevuma hata mawinguni .
Hongera sana. Mna sauti taamu tena tulivu. Rabana awabariki.
Uhimiliwe yawe ,ni wimbo mzuri sana
Mapigo halisi ya Kikatoliki na uchezaji unaomtukuza Mungu wa Kikatoliki. Kwaya nyingine tuna mengi ya kujifunza kutoka Kwaya hii. Huwezi kuleta uchezaji wa Disco kanisa la Kikatoliki.
sichoki kuuangalia huu wimbo.asanten sana na mungu mwenyez azidi kuwabariki
Wimbo huu ni mzuri mungu awabaliki xaana
Ndugu waimbaji,uimbaji huu ni wa haiba yake!Unakosha moyo na kutoa mwito mahsusi-kumtukuza Mungu.Heko.Maulana awajalieni umoja zaidi,afya njema na moyo wa kuhubiri kupitia kipaji hiki adimu cha uimbaji.Heko mara.
Mfalme Daudi alikuchezea...... What a blessing
napenda maneno ya wimbo huu sana. Baba yetu uhimidiwe na upewe sifa!
Is like the day has come 4the. Church of C -JESUS 2 GO HIGHER
Am very very much proud of my church,Roman Catholic church.
Wonderful and shining God is always
Uhimidiwe baba yetu uhimidiwe, uhimidiwe Mungu upewe sifa asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Amen Amen Amen. Mbarikiwe kwa uinjirishaji na ujumbe mzuri St. Gregory.
Uhimidiwe Mungu upewe sifa. Catholic melodies zitakubaki juu Kileleni
Dk 3.40 to Dk 4.00 "Bwana nikiyatazama matendo yako kwangu, ninakutukuza kwa haki, ninakutukuza eeh Mungu, ninakosa la kusema ni mengi mno kwangu, ninakushukuru eeh Yesu, Ninakushukuru Sana"' AMEN
Amina huu wimbo naupenda Sana mbalikiwe
Ahsante Mungu kwa hii kazi yetu nzuri🙏
Wimbo huu naupenda sana. Baraka tele kwa wanakwaya kutoka Ujerumani na Kenya
Asante Dodoma kwa nyimbo nzuri ya kumtukuza mwenyezi MUNGU. AHIMILIWE BWANA APEWE SIFA. HALELUYA. 🙏🙏
Yan nauona uwepo wa bwana mbarikiwe waimbaji wote
very nice songs
kazi ya mungu pia ina ugumu wake so we have workhard to achieve
Sauti tulivu inapenya mpaka rohoni hongeren sana mungu awazidishie nguvu mzidi kumtumikia bila kuchoka wa kukata tama. Uimidiwe mungu wangu
Nitakusifu ningali hai uhimidiwe milele Mungu
Nabarikiwa Sana nikiwa Saudia God bless you all Amen
Great song ,,hongera waimbaji
Hiyo staili ya kurudisha mikono nyuma ni kali mno
Pongezi kwa kazi ya kutangaza enjili
hongereni wana Gregory kwa Kazi nzuri mmefanya wonders.......nimebarikiwa saaana
hongeren wana Gregily kwa kz zur ya uimbaji na MUNGU awabariki
Happy Rocky hongera na kwako pia maaana so kwa vocal hizo dear
Mungu awabariki mko vizuri
Kaz nzur Sana mungu awatangulie katika safari yenu ya kutangaza neno lake kwa njia ya uimbaji,dada umeitendea talumbeta haki hongera
Mungu Roho mtakatifu na awatie nguvu wadogo wa Makuburi choir, hakika MUNGU atukuzwe kwa ajili yenu daima.
bernard aquila amina
uhimidiwe baba yetu barikiwa sana wanakwaya wote mlioshiriki kuimba
Hongereni mmeimba vzr.
mungu awabariki
Mmeimba vizuri sana, Roho Mtakatifu awatangulie kwenye utume wenu. Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Zab 150:6
Nawapenda bule mimi"Mungu awabariki daima
♡♡♡♡♡♡♡♡
♡♡♡♡♡♡♡♡
♡♡♡♡♡♡♡♡
♡♡♡♡♡♡♡"Amani ya Mungu iwe kwenu daima
Veronica Woisso
hakika viumbe vya kutukuza mungu,ee mungu wabariki wanao wazidi endelea kutangaza na kukutukuza daima popote pale.
nmewaelewa sana vjana. nakuona mushoboz kijana mchapa kaz. uhimidiwe mungu upewesi haswa. hzo voko vibrato flan HV sio za nchi hii. Mungu wainuie had mshangae.
be in Jesus Christ is happyness
so fantastic.
Kazi nzuri wapendwa Mungu aendelee kuwatumia.
Bila shaka uimbaji wenu ni wa kutukuka...Baba Yetu aliye Mbinguni awazidishie karama na neema katika uimbaji wenu!!
Mmefanya wonders! Hongereni sana!Mungu uhimidiwe.....
Kazi nzuri sana. Hongereni wanakwaya wote, Mungu azidi kuwatia nguvu n ktk masomo yenu
Nice song. Mbarikiwe sana
Kitu kimetulia sana naomba NOTA tafadhali niweze Kumtukuza Mungu na Waimbaji wangu.
Very nice and good song to prepare us to heaven
Mko juu Gregory the Great nimewamiss sana, na mmefanya nyimbo nzuri sana
Atukuzwe.mungu.milele.na.milele
Mungu atukuzwe milele na milele amina....
kwa atakayependa kuwa wakala wa kuisambaza kazi hii nzuri yenye nyimbo 12 za kumtukuza Mungu, kwenye mikoa mbalimbalina hata nje ya nchi awasiliane na viongozi wa kwaya hii kupitia maelezo yaliyo kwenye video description juu...
Mungu atubariki sote.
RAJO PRODUCTIONS na sisi tulio KENYA jee,naeza pata aje kanda hizi?
Can someone translate that song in French please! I really love it may the Lord continue to blessing us.
Wimbo mzuri sana nimeupenda....nakuona sana mtalaam wangu wa piano justine from same boys hakika ahimidiwe mungu nawapenda woteee udom
Can't get enough of listening to this song.. praise be to Jesus Christ our lord...
Still here in 2021, despite the challenges praise and honour to God, nice song
Asante kwaujumbe mzuri tunaoupata kupitia nyimbo za injili
SAFI KABISA
Aki siluamini macho yangu kuwa nimeona na kucgukua icha na Zacharia Gerald, Mungu akubariki sana, karibu tena Kenya
Judy Onserio wimbo mzuri sanaw
Wimbo mzuri na Mungu awatangulie katka kazi yenu ya uinjilishaji.
Ahsant kwa baraka zanu😘😘😘😘
na Uhimidiwe Mungu uliluwako, uliepo na utakae kuwapo milele na milele. Safi Sana waimbaji mbarikiwe
A very good song Hongereni St.John.Full mabaraka hapa nilipo...Ahimidiwe MUNGU WETU NA APEWE SIFA
Hakika kazi hii nzuri ajabu.Nakupongezeni sana sana.RAJO PRODUCTION hakika mko njema.
Wimbo mzuri sana, hakika Mungu atukuzwe nasi tutakatifuzwe
Finally nimeupata wimbo wangu.
Turun dari sorga dari ALLAH upah gitit dari asaf sepatutnya
Na Uhimidiwe Mungu uliekuwako, uliepo na utakae kuwapo milele yote. Safi Sana waimbaji mbarikiwe
Msichoke kumtukuza Mungu.Endeleeni kubarikiwa nasi tunamuhimidi na kumuenzi Mungu.Ahimidiwe siku zote
Nyimbo tamu ajabu.Mungu azidi kuwabariki kwa vipaji alivyowajalia.Nina furaha moyoni
heko vijana
I'm real blessed by these wonderful songs. Spiritual nourishment is taking place in me... Amen.
IAM happy to get good songs lam be blessed
Ahimidiwe milele yote Mungu wetu,dancing style yenu yavutia na mmejipanga swafi sana.I can't stop watching you again and again.Am Veronica from Nairobi
hongeleni sana kazi Nzuri,sauti halisi ya kikatoliki,mbarikiwe wrote hasa hiyo anayeringa na trumpet.amenibariki.
One of the best hymns of the year and millenium. God bless you all for playing your evangelica role in the church of God. Bravoo
Kusoma na kumtukuza mungu inawezekana, nawaombea sup isiwe upande wenu
Naupenda sana wimbo huu. Na aliyepiga kinanda jamani Kongole!!!
waooh nabarikiwa sana
nice work
saut ya tatu nimewakubali
Hongela ninyimbo nzuri sana zimenigusa mngu awabariki .ni january .toka canada
Mmedhihirisha kuwa ni kwaya ya wasomi. Hongera sana mpiga kinanda
Safi sana
Amina. Nice song. We love you Tanzanians. Continue to proclaim the Gospel of the Lord. I beg only, sometimes some songs put them in English or just be putting the subtitles so that we can be getting the meaning us who are not Swahili speakers. Thanks
Hongera sanaaaa, may God bless you for this wonderful message, keep it up
Thank you Dodoma Mungu uhimidiwe Mungu wetu Amina mbarikiwe
Kwa kwel mmeimba vizur tena kwa mahadhi ya kikatoliki kabisa. Kuimba ni furaha hongeren sana
Mbarikiwe kwa uimbaji wenu.
Ninashuku kwa kupata nyimbo za kanda hizi.
nafarijika sana ninavyosikiliza hizi kwaya zinanibariki sana waimbaji mbarikiwe
Kazi nzuri mbarikiwe
Kwaya bora sana hii baada ya chang’ombe... nice guys
napendaga unono wa sauti na kinanda. Mungu awafunulie maisha mema
hongera sana rajo kazi nzuri sana
hongera nyingi pia kwa wana dodoma
This is so great , God bless
Hakika Kazi nzuri sana Mungu azidi kupewa sifa na utukufu
ONESMO STEPHANO
am in heaven ,such nice voices .blessings like millions to this choir
Hongereni sana watumishi Wa mungu hakika mungu ni mkuu.
Mko tu juu Sana awabariki nyimbo nzuri kweli
Dah! Rajo Production...you're de great.......congrats
Amina uhimidiwe kwa yote unitendeayo maishani
Hakika twabarikiwa na nyimbo zenu tamu tamu,,hongera na rabi awafadhili
mungu awabariki kwa uinjirishaji wenu
asante wat wamungu
Rajo production mko vzr
Mungu awabariki kwa kusifu na kuabudu Mungu on mwema
Kazi nziri sana mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha.
Mubarikiwe sana kwa kazi nzuri na majitoleo yenu kuinjilisha