Wimbo Mzuri zaidi ya neno zuri. Zamani ulirekodiwa kwa mwendo wa taratibuuu ulinoga mnooo. Hata hii kuupiga kwa mahadhi ya kiasili umetokelezea pia. Chukueni maua yenu
Hakika nimebarikiwa Sana na wimbo wenu kwani sauti zimepangika na kuimbwa kwa unahiri Sana na kwa utulivu. Hakikamnatuinjilisha vizuri kupitia utume wa uimbaji. Hongereni Sana. Mungu azidi kuwabariki
Safi sana...lkn pale mwisho tunamalizia na neno "ninawakomboeni" ninyi mnamalizia "ninawakoa" inakuwaje hapo wakuu? Maana unajua ukisikia wimbo tofauti na unavyoujua hata kama ingekuwa herufi moja hupunguza kitu Fulani hivi. Au hilo neno halikufaa hapo?
Hii imefanya wabadili hata thamani ya nota zake ili kukidhi mahitaji yao. Nadhani hapa yaliingia mambo ya kiswahili sanifu ndo maana wakafanya hivyo. Lakini sijui kama ni kosa au kama ni sahihi, maana sijaona kosa la mtunzi sehemu hiyo ya mwisho mpaka waifanyie marekebisho.🤔🤔☹️☹️
Mi nadhani kwa kuwa main theme imeanza "nitawokoeni" hivi karibuni (kuokoa) nadhani kule mwisho wameweka watu watona wazi kuwa "ninawaokoa" ili kuleta maana ya mwendelezo ule wa mwanzo. Niko tayari kurekebishwa
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri na wenye kutafakarisha Mungu azidi kuwategemeza katika huduma ya uimbaji
Wimbo Mzuri zaidi ya neno zuri. Zamani ulirekodiwa kwa mwendo wa taratibuuu ulinoga mnooo. Hata hii kuupiga kwa mahadhi ya kiasili umetokelezea pia. Chukueni maua yenu
Amiiina
Asante Mungu...
Aiseeeee kazi nzuri Sana wapendwa.. Hakika hii ni familia takatifu..
❤❤❤
🔥🥰🙏
😍
Hizo sautiiii tuuuu watu wa Mungu. Zanena ukuu wa Mungu. Blessings.
Nafurahi kumuona mwalimu wangu Dr. Manoko akiitendea haki BASS.
Wimbo mzuri
MUNGU aubariki utume wenu.
Nawapogeza kwa wimbo wenu mzuri hakika nimebalikiwa sana
Wow😋👏🏿
Hongereni sana jmn 👌
Ll
Mungu awaatamie kwa kazi yenu nzuri mno❤
Kazi nzuri sana.utulivu unaofaa
Tubarikiwe na mziki huo.
Malizieni anawakomboeni
🔥🔥🔥🔥 proud being Catholic sweet song 🥰
Hakika nimebarikiwa Sana na wimbo wenu kwani sauti zimepangika na kuimbwa kwa unahiri Sana na kwa utulivu. Hakikamnatuinjilisha vizuri kupitia utume wa uimbaji. Hongereni Sana. Mungu azidi kuwabariki
Tunashukuru... Barikiwa pia
Wimbo uko na ujumbe powerful sana..Hongerenei wana Mwenge
Asante sana 🙏🏿🙏🏿
Cool sana mkuu Peter perfect💖,nice voices👏👏👏
Yang7a the ll
Mungu ni Mwema
Kila wakati.
MUNGU AENDELEE KUIWEKA ROHO YAKE SAASITA PAHALI PEMA PEPONI. HONGERENI CHOIR KWA KUMTUKUZA MUNGU NA NYIMBO ZAKE. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Apate pumziko jema. Ameacha alama kuu🙏 na wameutendea HAKI wimbo kwa sauti👌👌👌
Hongereni sana kwaya ya Familia Takatifu Mwenge
Shukrani 🙏🏿
Thanks and congratulations to the whole team for a nice classic and preaching song plus sweet voices. God bless you all.
Thank you, be blessed too.
Hongera Sana Sana ...saut zimetulia Sana Sana..
Asante sana Mwalimu.
Mungu Mtakatifu aliye wajalia sauti nzuri atukuzwe katika uimbaji wenu na wanadamu waokolewe🙏
Mko juu watu wa Mungu
Mungu apewe sifa
Bravo!
👍🏼
Super👍
Thank you 👍
Safi sana...lkn pale mwisho tunamalizia na neno "ninawakomboeni" ninyi mnamalizia "ninawakoa" inakuwaje hapo wakuu? Maana unajua ukisikia wimbo tofauti na unavyoujua hata kama ingekuwa herufi moja hupunguza kitu Fulani hivi. Au hilo neno halikufaa hapo?
Hii imefanya wabadili hata thamani ya nota zake ili kukidhi mahitaji yao.
Nadhani hapa yaliingia mambo ya kiswahili sanifu ndo maana wakafanya hivyo.
Lakini sijui kama ni kosa au kama ni sahihi, maana sijaona kosa la mtunzi sehemu hiyo ya mwisho mpaka waifanyie marekebisho.🤔🤔☹️☹️
Mi nadhani kwa kuwa main theme imeanza "nitawokoeni" hivi karibuni (kuokoa) nadhani kule mwisho wameweka watu watona wazi kuwa "ninawaokoa" ili kuleta maana ya mwendelezo ule wa mwanzo. Niko tayari kurekebishwa
Nmebarikiwa sana ❤🙏
Amina 🙏🏿
Jamani basi nyimbo zenu mpya mziweke huku
Soon
❤❤❤