JEMEDARI WA MBINGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Jemedari wa Mbingu, ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
    Album hii ipo sokoni sasa na inapatikana mikoa yote.
    Wasiliana nao leo kupitia namba +255 754 886 290 au +255 754 962 559
    #kwayakatoliki

Комментарии • 285

  • @angeljoseph3098
    @angeljoseph3098 4 года назад +2

    Wimbo mzr sana namani niinqie humo nami niimbe pamoja nanyie unanibariki sana honqereni sana mmeimba vzr sana mbaikiwe

  • @lucychogo7073
    @lucychogo7073 4 года назад +2

    Hata malaika na Mungu mbinguni wakisikiliza huu wimbo wanatabasamu

  • @thomasnyamari401
    @thomasnyamari401 4 года назад +4

    Hata ingawa mwili u mnyonge nitainuka nimshukuru Mola maana ndiye mtumishi wangu maishani.Hongera.

  • @gelasitarimo8660
    @gelasitarimo8660 3 года назад +2

    It so latest song
    Congratulations parokia ya kijenge mpo vizuri

  • @johnjames567
    @johnjames567 5 лет назад +6

    hakika ni neema kubwa Sana kuupata wimbo huu mbarikiwe sana

  • @massawefamilly7346
    @massawefamilly7346 3 года назад +2

    Aiseee hii kwaya inanikosha sana mko vizyri Mungu awabariki na kuwatia nguvu katika utume.Tumsifu Yesu Kristo

  • @victoronyiego3676
    @victoronyiego3676 5 лет назад +4

    Wimbo unaoiburudisha nafsi.. Barikiwa mno Jalali Jalia awajalie neema kedekede mzidi kumtumikia siku zote.

  • @leahmwombeki3671
    @leahmwombeki3671 5 лет назад +5

    asanten sana wimbo huu naupenda saana Mara ya kwanza niliusikia kanisan nikawautafta kwa juhudi hatimay nimeupata nafarijika sana na kubarikiwa mbarikiwe saana wapendwa

  • @emanuelkailas9701
    @emanuelkailas9701 4 года назад +3

    Barikiwa nyote watumishi wa mungu.
    Rajo production choir inanifariji nafsi na hata kwa familia yangu

  • @abinanyanchama9561
    @abinanyanchama9561 4 года назад +3

    Who's listening this yr 1st day of March, wimbo mtamu kweli.... nausikiza kila hata sisikii kulala❤❤❤❤

  • @michaelsikazwe4577
    @michaelsikazwe4577 5 лет назад +3

    hongeren kwa kazi nzuri wanakwaya na wote mliofanikisha kazi hii, pia mtunzi amenibariki kwa tungo nzuri.

  • @francissilayo.3457
    @francissilayo.3457 5 лет назад +13

    Big up kwa organists Fulgence Swai n Henry Kimario matunda ya Uru Seminary

  • @stellamamiro6553
    @stellamamiro6553 4 года назад +3

    Kweli RAJO upo vizuri wanaokucopy hawakuwezi

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 4 года назад +4

    Mungu awabariki kwa ujumbe wenu mkuu,shukrani

  • @livinusjacob4729
    @livinusjacob4729 5 лет назад +3

    mungu awabariki sana kwa ujumbe mzr mmeukonga moyo wangu jaman nafarijika nisikiapo wimbo huu nakushuku kwa moyo

  • @conradngatunga9657
    @conradngatunga9657 4 года назад +3

    nakushukuru kwa moyo asanteeeeee ni wimbo unaotubariki saana

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 4 года назад +4

    Huwa nausikiliza kila asubuhi,kusema asante tu.

  • @josephsimba4655
    @josephsimba4655 4 года назад +4

    Wimbo mzuri Sana. Mbarikiwe wanakwaya

  • @petermbinga3128
    @petermbinga3128 5 лет назад +6

    kweli bwana amenisikia na amenihinua amejibu maombi yangu

  • @ruthpeter1693
    @ruthpeter1693 4 года назад +12

    Gonga like twende pamoja

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 2 года назад

    Amen,❤ nimebarikiwa listening from Abu Dhabi

  • @severinemushi7175
    @severinemushi7175 4 года назад +3

    Nabarikiwa sana nikiskiliza wimbo huu. Jaman mbarikiwe sana mzidi kumtumikia mungu kwauimbji wenu

  • @rehemamalenda1009
    @rehemamalenda1009 4 года назад +4

    Wimbo huu umenitia nguvu mpya, mbarikiwe sana

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 года назад +1

    Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @georgelugalinda4526
    @georgelugalinda4526 5 лет назад +2

    Nawapongeza wanakwaya wote mnaohubiri kwa nyimbo nzuri mbarikiwe sana,amina.

  • @kipkosgeidominic6093
    @kipkosgeidominic6093 3 года назад +3

    Wimbo mzuri mno..."Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo"

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 5 лет назад +2

    Balikiw watumishi kazi nzuli San

  • @evelynemlokela7782
    @evelynemlokela7782 5 лет назад +3

    Ee we Mungu nakushukuru kwa moyo Asanteee, asanteni wanakwaya kwa wimb mzuri

  • @NzukiDominic
    @NzukiDominic 3 года назад +1

    Tumaini Swai ni mmojawapo wa wachezakinanda bora zaidi katika eneo nzima la Afrika Mashariki na Kati. Tungo nzuri sana

  • @newmanh
    @newmanh 4 года назад +12

    How can I like this song 1million Times!!!

  • @emiliana5218
    @emiliana5218 2 года назад

    Maishani mwangu nakushukuru kwa moyo asnteee

  • @majigelucas9479
    @majigelucas9479 5 лет назад +3

    Wimbo mzuri kweli na umenifanya niwe na siku nzuli

    • @florahjaphety8958
      @florahjaphety8958 4 года назад

      Wimbo mzri mungu azidi kuwatia nguvu na kuendeleza kipaji mlichopewa na mwenyez mung🙏🙏🙏

  • @winfredmumo3391
    @winfredmumo3391 3 месяца назад +1

    How I love this song❤

  • @joelmapunda2387
    @joelmapunda2387 4 года назад +4

    I really blessed abt dat songs much my lovely friend,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

  • @kekejoe4101
    @kekejoe4101 5 лет назад +2

    Asante mtunzi,waimbaji na wote waliofanikisha kutolewa kwa wimbo huu.Mungu awabariki

  • @lydiahsimiyu3425
    @lydiahsimiyu3425 2 года назад

    Nice song waaau adi najiskia nko mbinguni

  • @mwisukuuwewakaleli6219
    @mwisukuuwewakaleli6219 5 лет назад +16

    Wimbo Wa mwaka...2019 I.e......I like its calmness...... and tha context

  • @peterqorrocscqorro9341
    @peterqorrocscqorro9341 5 лет назад +3

    Hongereni sana wanakwaya kutoka Kijenge Jimbo kuu Katoliki Arusha Tanzania

  • @samkirwa3572
    @samkirwa3572 4 года назад +2

    "Kitambo kidogo nilimuomba nikimsihi Bwana (Mungu), ashuke kwangu anitazame", wimbo nzuri

  • @deodathwoisso2161
    @deodathwoisso2161 4 года назад +4

    Nashukuru kwa yote Unayonitendea Mungu wangu

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 5 лет назад +12

    Ata kwa unyonge wangu, ninakushukuru jemedari wa mbingu

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 4 года назад +3

    Hii haitozeeka

  • @mustafa3ify
    @mustafa3ify 5 лет назад +11

    Just love the music, from pakistan

  • @henryoreo2283
    @henryoreo2283 4 года назад +1

    T.Swai kazini..imependeza sana!

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 5 лет назад +4

    From Kenya with Love... Wimbo mzuri sana wa shukrani... Kila wakati ninaposikia wimbo huu I just find myself praying and giving thanks.

    • @ndibalema1
      @ndibalema1 4 года назад

      Thanks Cleophas, be blessed

  • @christinamaghembe9978
    @christinamaghembe9978 5 лет назад +6

    Ninakushukuru Jemedari wa mbingu hongeren sana huu wimbo huwa unanibari sana. Amejibu maombi yangu.

  • @edwardkioko4455
    @edwardkioko4455 4 года назад +2

    Wimbo mzuuuri sana na mtaaamu sana jamani. Hongereni sana wote. Kwako ewe Tumaini Swai big up yourself sana kwa ustadi wako kaka.

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 лет назад +2

    Wimbo umenikatisha usingizi. Ukanifanya nitafakari kwa kina makuu aliyonikirimia Mungu wangu. Asante Rajo kwakutupatia clip ya hawa wanakwaya

    • @janethpolle6479
      @janethpolle6479 4 года назад

      Tcha, huu wimbo umenifanya Nitaman siku zingkua znarudishwa nyuma tuuweke kweny albam yetu bagamoyo

  • @jafethpeter5706
    @jafethpeter5706 4 года назад +2

    Kwaya hii imenibariki sana

  • @bujunebusanya3966
    @bujunebusanya3966 4 года назад +2

    Asante kwa utunzi na uimbaji mzuri. Mbarikiwe

  • @elizabethjoseph9482
    @elizabethjoseph9482 3 года назад +1

    Ninakushukuru jemedari wa Mbingu Bwana Mungu wa majeshi

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 4 года назад +5

    "Amenisikia ameinua amejibu maombi yangu"🙏🙏🙏🙏what a nc song mbarikiwe sana

    • @mugarurasosthenes7912
      @mugarurasosthenes7912 4 года назад

      Wimbo mzuri sana, mmeimba kwa hisia kubwa na mmewasilisha ujumbe murua. Mungu awabariki.

  • @johnsadiki2657
    @johnsadiki2657 5 лет назад +11

    What a wonderful song, so sweet voices!!!!! Those people are singing like angels. I will never stop listening to this piece 'Jemedari Wa Mbingu'

    • @jeanherbertnkorokombe5665
      @jeanherbertnkorokombe5665 4 года назад

      You know?me I ask every morning and night to God not to die before I reach where this choir sings,I want to see them

    • @ndibalema1
      @ndibalema1 4 года назад +1

      Thanks guys. You are welcome

  • @winnieotieno8690
    @winnieotieno8690 5 лет назад +6

    Í have to play this every morning n night before bed.siwezi chochote Mimi bila nguvu zako

  • @soteliuskyaruzi6805
    @soteliuskyaruzi6805 4 года назад +2

    Nimeipenda.

  • @lucymkenda9069
    @lucymkenda9069 4 года назад +2

    Nawapenda bure

  • @bujingwaramadhan5941
    @bujingwaramadhan5941 5 лет назад +2

    ukweli ni kazi nzuri mnoo. kristo tumaini letu hakika.

  • @alesiakayoka1203
    @alesiakayoka1203 5 лет назад +3

    Ahimidiwe Bwana milele yote, Asanteni kwa wimbo mzuri wapendwa

  • @adelinamutagwa3441
    @adelinamutagwa3441 6 месяцев назад

    Huu wimbo Huwa unanibariki sana.Utadhani mlijua maisha yangu yalivyo.

  • @mwalimubassu
    @mwalimubassu 5 лет назад +3

    Ee Mungu Nakushukuru kwa Moyo. ... Bwana Awabariki na Kuwalinda Wapendwa. Endeleeni kumwimbia kwa Moyo JEMEDARI WETU.

  • @neemajohn754
    @neemajohn754 4 года назад +2

    Hongereni wanakwaya.. Mbarikuwe ktk uimbaji. Naomba muweke huu wimbo face book Kama inawezekana

  • @auxilianjeri4952
    @auxilianjeri4952 4 года назад +3

    wacthing a million times!!!!!!!

  • @estermasona1045
    @estermasona1045 5 лет назад +2

    aisee kuwa ndan ya yesu ni raha hakuna mfano

  • @tobiasokothotieno6188
    @tobiasokothotieno6188 3 года назад +1

    Mungu Ana jibu Maombi yangu kila siku

  • @mariethamollel3564
    @mariethamollel3564 3 года назад +2

    Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa Moyo, Ahsateee🎶❣️

  • @deogratiusmkamba8573
    @deogratiusmkamba8573 4 года назад +2

    Nakushukuru MUNGU wangu kwa MOYO

  • @manassehisaac5592
    @manassehisaac5592 4 года назад +3

    I LOVE THIS SONG

  • @hildajebet2203
    @hildajebet2203 4 года назад +5

    Na tazama sasa nakuja,eeh mungu wangu kwa unyenyekevu,nikushukuru niseme Ahsante....this song blesses me,it inspires me
    It reminds me of my blessings no matter how small
    I thank God
    Eeeh mwenyezi mungu ,nakushukuru kwa moyo .Ahsante

  • @silaselias9852
    @silaselias9852 4 года назад +2

    Pamoja sana

  • @roseomaanya1194
    @roseomaanya1194 Год назад +1

    A blessing song

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 лет назад +2

    Nakushukuru kwa moyo asante

  • @onesmuskimori3235
    @onesmuskimori3235 5 лет назад +4

    Hongereni sana wimbo ulio na mguso na mvuto kuusikiliza asante

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 2 года назад

    Ntakushukuru kwa moyo wangu wote,asante

  • @petrosimon8002
    @petrosimon8002 4 года назад +3

    Imenibariki Jemedari wa mbigu

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 3 года назад

    Napenda pale anapoanzisha mwl

  • @Mwalimutito
    @Mwalimutito 4 года назад +5

    What a nice song, Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo wangu wote, Asante

  • @meccymutwiri6618
    @meccymutwiri6618 5 лет назад +17

    if i come to the church this choir belongs it will be hard to come back to kenya.... waaa this song may God bless you all for this beautiful voices. a great gift you got

    • @ndibalema1
      @ndibalema1 4 года назад

      Thanks Meccy

    • @kiwalirusavings4737
      @kiwalirusavings4737 4 года назад

      Its simple Tz choirs have passion in singing, hawa wetu Mungu atuonekanie

    • @ndibalema1
      @ndibalema1 4 года назад

      @@kiwalirusavings4737 call me after Corona pandemic nikuje niwatengeneze

  • @edsonmlyuka1096
    @edsonmlyuka1096 2 года назад

    Kazi nzuri wapendwa

  • @mmasyonegeorgis5722
    @mmasyonegeorgis5722 Год назад

    Mungu Apate Sifa Milele.

  • @AnsbertNgurumo
    @AnsbertNgurumo 4 года назад +2

    Nakushukuru kwa moyo. Asante! Mwakora!

    • @joanjoan1080
      @joanjoan1080 4 года назад

      Nimekuelewa Ansbert MWAKORA

    • @ndibalema1
      @ndibalema1 4 года назад

      Kasinge owaishe. Ntukumiss muno

  • @happylazaro3862
    @happylazaro3862 5 лет назад +2

    Kazi nzuriiii

  • @thobiasafredy663
    @thobiasafredy663 5 лет назад +2

    Mbalikiwe katika bwana!!!

  • @acemarx6271
    @acemarx6271 2 года назад

    Nashukuru kwa yote yesu,mbarikiwe sana

  • @paulinemakhaso1009
    @paulinemakhaso1009 4 месяца назад

    This has been a song that reminds me alot....🎉🎉I remember when I first heard it like yesterday

  • @vsbrichiee437
    @vsbrichiee437 5 лет назад +4

    Wimbo wangu wa mwaka 2018 nlikuwa nausubiria kwa shauku kubwa mnoo

  • @kailimusyoki
    @kailimusyoki 7 месяцев назад

    This song never Gets old, I really Love it.

  • @felixkeriga744
    @felixkeriga744 5 лет назад +3

    hongereni sana wana Joseph . mmeiutendea haki wimbo na mtaalamu Swai

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 3 года назад +1

    Nakushukuru kwa moyo ewe Mungu wangu, Ni mengi umenitendea, mbarikiwe waimbaji😘😘😘

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 4 года назад +1

    Team kubwa

  • @juditholoo3535
    @juditholoo3535 3 года назад +1

    Ujumbe mzito kweli mungu aendelee kuwabariki

  • @kwayayamt.ceciliamburahati5339
    @kwayayamt.ceciliamburahati5339 5 лет назад +3

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @davidkg2630
    @davidkg2630 3 года назад +1

    NAKUSHUKURU KWA MOYO.NICE SONG

  • @bendettahnyerere3792
    @bendettahnyerere3792 5 лет назад +7

    🔥🔥😘😘It's lit, I just love this song,..Am afraid I might not come back to Kenya on visiting

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 3 года назад +1

    Wow nawaona wa nyumbn Mungu azid kuwabarik

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 2 года назад

    Listening from ,Dubai mmbarikiwe sana,siwezi bila nguvu zako bwana,mungu🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏼🙏🏼🙏🏼🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀🧎🏾‍♀

  • @mathiasmutiso7486
    @mathiasmutiso7486 3 года назад +2

    I like the stanzas, well done. Kudoz

  • @emmymarion1310
    @emmymarion1310 5 лет назад +2

    nimebarikiwa... Kazi nzuri

  • @annedavienyamhanga4738
    @annedavienyamhanga4738 4 года назад +2

    2020 Jemedari WA Mbingu nakushukuru KwA Moyo.

  • @florianfinda7445
    @florianfinda7445 5 лет назад +1

    Very good job wanakwaya wenzangu. Namshukuru MUNGU kwa namna ya pekee kwaajili yenu maana naoana huu wimbo umetungwa kwaajili yangu. Nimepita ktk kipindi kigumu sana ila MUNGU mwenye nguvu akaniokoa na sasa utukufu wake unaonekana, Kutoka ndani ya moyo wangu NINAMSHUKURU kwa moyo. Mbarikiwe sana ndugu zangu

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад +1

      Uzidi kubarikiwa ndugu.

    • @jacobmpalanzi5148
      @jacobmpalanzi5148 5 лет назад

      Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu awabariki zaidi!

  • @kwayayamt.yohanembatizaji_9701
    @kwayayamt.yohanembatizaji_9701 3 года назад

    Hongereni sana wapendwa