JEMEDARI WA MBINGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Jemedari wa Mbingu, ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
Album hii ipo sokoni sasa na inapatikana mikoa yote.
Wasiliana nao leo kupitia namba +255 754 886 290 au +255 754 962 559
#kwayakatoliki
Wimbo mzr sana namani niinqie humo nami niimbe pamoja nanyie unanibariki sana honqereni sana mmeimba vzr sana mbaikiwe
Amen
Hata malaika na Mungu mbinguni wakisikiliza huu wimbo wanatabasamu
Hahaha
Hata ingawa mwili u mnyonge nitainuka nimshukuru Mola maana ndiye mtumishi wangu maishani.Hongera.
It so latest song
Congratulations parokia ya kijenge mpo vizuri
hakika ni neema kubwa Sana kuupata wimbo huu mbarikiwe sana
Ubarikiwe pia
Aiseee hii kwaya inanikosha sana mko vizyri Mungu awabariki na kuwatia nguvu katika utume.Tumsifu Yesu Kristo
Wimbo unaoiburudisha nafsi.. Barikiwa mno Jalali Jalia awajalie neema kedekede mzidi kumtumikia siku zote.
asanten sana wimbo huu naupenda saana Mara ya kwanza niliusikia kanisan nikawautafta kwa juhudi hatimay nimeupata nafarijika sana na kubarikiwa mbarikiwe saana wapendwa
Kasinge owaishe
Barikiwa nyote watumishi wa mungu.
Rajo production choir inanifariji nafsi na hata kwa familia yangu
Who's listening this yr 1st day of March, wimbo mtamu kweli.... nausikiza kila hata sisikii kulala❤❤❤❤
Thaaaaanks
hongeren kwa kazi nzuri wanakwaya na wote mliofanikisha kazi hii, pia mtunzi amenibariki kwa tungo nzuri.
Asante sana kaka
Big up kwa organists Fulgence Swai n Henry Kimario matunda ya Uru Seminary
francis silayo.
Kweli RAJO upo vizuri wanaokucopy hawakuwezi
Mungu awabariki kwa ujumbe wenu mkuu,shukrani
mungu awabariki sana kwa ujumbe mzr mmeukonga moyo wangu jaman nafarijika nisikiapo wimbo huu nakushuku kwa moyo
nakushukuru kwa moyo asanteeeeee ni wimbo unaotubariki saana
Huwa nausikiliza kila asubuhi,kusema asante tu.
Wimbo mzuri Sana. Mbarikiwe wanakwaya
kweli bwana amenisikia na amenihinua amejibu maombi yangu
Gonga like twende pamoja
Qqàqa
Amen,❤ nimebarikiwa listening from Abu Dhabi
Nabarikiwa sana nikiskiliza wimbo huu. Jaman mbarikiwe sana mzidi kumtumikia mungu kwauimbji wenu
Wimbo huu umenitia nguvu mpya, mbarikiwe sana
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Nawapongeza wanakwaya wote mnaohubiri kwa nyimbo nzuri mbarikiwe sana,amina.
Wimbo mzuri mno..."Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo"
Balikiw watumishi kazi nzuli San
Ee we Mungu nakushukuru kwa moyo Asanteee, asanteni wanakwaya kwa wimb mzuri
Asante
Tumaini Swai ni mmojawapo wa wachezakinanda bora zaidi katika eneo nzima la Afrika Mashariki na Kati. Tungo nzuri sana
How can I like this song 1million Times!!!
Maishani mwangu nakushukuru kwa moyo asnteee
Wimbo mzuri kweli na umenifanya niwe na siku nzuli
Wimbo mzri mungu azidi kuwatia nguvu na kuendeleza kipaji mlichopewa na mwenyez mung🙏🙏🙏
How I love this song❤
I really blessed abt dat songs much my lovely friend,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Asante mtunzi,waimbaji na wote waliofanikisha kutolewa kwa wimbo huu.Mungu awabariki
Nice song waaau adi najiskia nko mbinguni
Wimbo Wa mwaka...2019 I.e......I like its calmness...... and tha context
Thanks
Hongereni sana wanakwaya kutoka Kijenge Jimbo kuu Katoliki Arusha Tanzania
"Kitambo kidogo nilimuomba nikimsihi Bwana (Mungu), ashuke kwangu anitazame", wimbo nzuri
Nashukuru kwa yote Unayonitendea Mungu wangu
Ata kwa unyonge wangu, ninakushukuru jemedari wa mbingu
Bonne cbanson mercie
Hii haitozeeka
Just love the music, from pakistan
Yah its real great!
Thanks Muhammad
T.Swai kazini..imependeza sana!
#skia utamu wa kinanda nanii!
From Kenya with Love... Wimbo mzuri sana wa shukrani... Kila wakati ninaposikia wimbo huu I just find myself praying and giving thanks.
Thanks Cleophas, be blessed
Ninakushukuru Jemedari wa mbingu hongeren sana huu wimbo huwa unanibari sana. Amejibu maombi yangu.
Wimbo mzuuuri sana na mtaaamu sana jamani. Hongereni sana wote. Kwako ewe Tumaini Swai big up yourself sana kwa ustadi wako kaka.
Wimbo umenikatisha usingizi. Ukanifanya nitafakari kwa kina makuu aliyonikirimia Mungu wangu. Asante Rajo kwakutupatia clip ya hawa wanakwaya
Tcha, huu wimbo umenifanya Nitaman siku zingkua znarudishwa nyuma tuuweke kweny albam yetu bagamoyo
Kwaya hii imenibariki sana
Asante kwa utunzi na uimbaji mzuri. Mbarikiwe
Ninakushukuru jemedari wa Mbingu Bwana Mungu wa majeshi
"Amenisikia ameinua amejibu maombi yangu"🙏🙏🙏🙏what a nc song mbarikiwe sana
Wimbo mzuri sana, mmeimba kwa hisia kubwa na mmewasilisha ujumbe murua. Mungu awabariki.
What a wonderful song, so sweet voices!!!!! Those people are singing like angels. I will never stop listening to this piece 'Jemedari Wa Mbingu'
You know?me I ask every morning and night to God not to die before I reach where this choir sings,I want to see them
Thanks guys. You are welcome
Í have to play this every morning n night before bed.siwezi chochote Mimi bila nguvu zako
Yesu
Nimeipenda.
Nawapenda bure
ukweli ni kazi nzuri mnoo. kristo tumaini letu hakika.
Ahimidiwe Bwana milele yote, Asanteni kwa wimbo mzuri wapendwa
Amen
Huu wimbo Huwa unanibariki sana.Utadhani mlijua maisha yangu yalivyo.
Ee Mungu Nakushukuru kwa Moyo. ... Bwana Awabariki na Kuwalinda Wapendwa. Endeleeni kumwimbia kwa Moyo JEMEDARI WETU.
Hongereni wanakwaya.. Mbarikuwe ktk uimbaji. Naomba muweke huu wimbo face book Kama inawezekana
wacthing a million times!!!!!!!
aisee kuwa ndan ya yesu ni raha hakuna mfano
Mungu Ana jibu Maombi yangu kila siku
Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa Moyo, Ahsateee🎶❣️
Nakushukuru MUNGU wangu kwa MOYO
I LOVE THIS SONG
Na tazama sasa nakuja,eeh mungu wangu kwa unyenyekevu,nikushukuru niseme Ahsante....this song blesses me,it inspires me
It reminds me of my blessings no matter how small
I thank God
Eeeh mwenyezi mungu ,nakushukuru kwa moyo .Ahsante
Pamoja sana
A blessing song
Nakushukuru kwa moyo asante
Hongereni sana wimbo ulio na mguso na mvuto kuusikiliza asante
Ntakushukuru kwa moyo wangu wote,asante
Imenibariki Jemedari wa mbigu
Be blessed
Napenda pale anapoanzisha mwl
What a nice song, Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo wangu wote, Asante
if i come to the church this choir belongs it will be hard to come back to kenya.... waaa this song may God bless you all for this beautiful voices. a great gift you got
Thanks Meccy
Its simple Tz choirs have passion in singing, hawa wetu Mungu atuonekanie
@@kiwalirusavings4737 call me after Corona pandemic nikuje niwatengeneze
Kazi nzuri wapendwa
Mungu Apate Sifa Milele.
Nakushukuru kwa moyo. Asante! Mwakora!
Nimekuelewa Ansbert MWAKORA
Kasinge owaishe. Ntukumiss muno
Kazi nzuriiii
Mbalikiwe katika bwana!!!
Nashukuru kwa yote yesu,mbarikiwe sana
This has been a song that reminds me alot....🎉🎉I remember when I first heard it like yesterday
Wimbo wangu wa mwaka 2018 nlikuwa nausubiria kwa shauku kubwa mnoo
This song never Gets old, I really Love it.
hongereni sana wana Joseph . mmeiutendea haki wimbo na mtaalamu Swai
More than excellent kwa kweli bonge la song
Nakushukuru kwa moyo ewe Mungu wangu, Ni mengi umenitendea, mbarikiwe waimbaji😘😘😘
Team kubwa
Ujumbe mzito kweli mungu aendelee kuwabariki
Hongereni kwa kazi nzuri
Asanteee
NAKUSHUKURU KWA MOYO.NICE SONG
🔥🔥😘😘It's lit, I just love this song,..Am afraid I might not come back to Kenya on visiting
Urudi
😍😍😍it's because you see Tanzania is beautiful!!!
Thanks
Wow nawaona wa nyumbn Mungu azid kuwabarik
Listening from ,Dubai mmbarikiwe sana,siwezi bila nguvu zako bwana,mungu🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏼🙏🏼🙏🏼🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀
I like the stanzas, well done. Kudoz
nimebarikiwa... Kazi nzuri
2020 Jemedari WA Mbingu nakushukuru KwA Moyo.
Safi kabsa yan
Very good job wanakwaya wenzangu. Namshukuru MUNGU kwa namna ya pekee kwaajili yenu maana naoana huu wimbo umetungwa kwaajili yangu. Nimepita ktk kipindi kigumu sana ila MUNGU mwenye nguvu akaniokoa na sasa utukufu wake unaonekana, Kutoka ndani ya moyo wangu NINAMSHUKURU kwa moyo. Mbarikiwe sana ndugu zangu
Uzidi kubarikiwa ndugu.
Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu awabariki zaidi!
Hongereni sana wapendwa