MTAKATIFU YOSEFU UTUOMBEE _Kwaya ya Mt.JosephMfanyakazi ,Kijenge ,Arusha
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2021
- Kwaya ya Mt.Josephmfanyakazi parokia ya wat.petro na paulo kijenge ,Arusha Wanapenda kukukaribisha ndugu mtazamaji kuutazama wimbo huu Maalum wa MTAKATIFU YOSEFU utunzi wake Ray Ufunguo kwaajili ya Mwaka wa Mtakatifu Yosefu .....KARIBUNI
Huu wimbo wabariki moyo wangu Sana. Akhsante Sana Kwa nyimbo zenu nzuri. Mtakatifu Yosefu Utuombee Kwa Mola.
Wimbo mtamu hakika narudiarudia kuusikiliza....
Mbarikiwe Sana kwa sauti zenu nzuri. Mungu awape nguvu ya kusambaza upendo wake kwetu binadamu
Hongereni Jamani
Nice looking also
Kazi imeonekana na imependeza mnoo. Mungu awabariki sana
Hongereni sana wimbo mzur
Tuwape maua Yao.
Hongera Sana, sauti zimetulia,👌 Roho Mtakatifu aendelee kufanya kazi katika utunzi wenu..
Hongereni Sana mungu azidi kuwabariki 🙏
Hakika huu utunzi umetulia hii ndiyo Romani Catholic Mungu akubariki kanisa letu well done Kaya
Hongeren sana Kwaya ya Mt. Joseph mfanyakazi.. kazi nzur sana 👏👏👏
Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu awe pamoja nanyi.
Hongereni sana Kwaya ya Mtakatifu Yosefu Mfanyakazi. Wimbo unatafakarisha
very Good chama langu jipya done done ingawa mm simo
Naupenda sana huu wimbo ,na Hongereni Waimbaji
Mungu azidi kuwabariki zaidi.... Yosef mfanyakazi ni somo na msimamizi wa kwaya yangu pia nimeupenda sana wimbo huu..
Ray yaani wewe ni very rare species, one of the endangered species of roman catholic musical geniuses,,, uko vizuri sana kwenye kinanda na kwa utunzi pia, audio iko vizuri sana na video pia, MUNGU wa mbinguni akulinde na kukubariki milele
Kazi nzuri
Hongereni Sana wana Yosefu..... KMJ kijenge.....
Asanteee
Hakika wimbo mtamuuuu, hongereni nyote
Asante sana
Rajo Production well done 👌
Kwaya ya Mt.joseph kijenge Arusha hakika mambo yamekaa vz sana
Mpiga kinanda, kwaya master pamoja na wengine sauti zimetulia, mmeimba vzr
Wimbo mtamu jamani naomba nota
Hongereni sana na Mungu awabariki.
Amina nawe pia
wimbo mzuri sana. mbarikiwe sana
Kazi nzuri hongereni sana
My patron saint at my SCC . We're celebrating him today. St Joseph pray for us🙏
muziki mzuri sana,, Mt. Yoseph utuombee kwa Mungu🙏
Pongez kwa kazi nzuri hakika ni mwaka wa Yosefu
asante sana
Kazi safi 🔥🔥👍
Asantee
Wimbo mzuri sana...
Kazi poa sana
Hongereni kwa kazi nzuri nimebarikiwa mno....Mungu awabariki KMJ Kijenge
Aminaaa
Wimbo.umetulia.vzr.hongera sana
Good work!👏👏👏👏
Rajo productions never disappoints💁♀️.
Thank you 🙌
Hello my dear brother and sister, nice work and may God continue be with you people, it's me Kelvin Lawrence from mama Lula
Wawoooo hongereni mnooo watumishi......Mungu awabariki sana ❤❤❤❤❤❤❤
Mungu azidi kuibariki parokia yetu pendwa kwa utume mwema
RAJO hujawah kosea! Be blessed!
kabisaa
Kazi Nzurii Sana Familia ya Kristo 👏🔥🔥
Hongereni sana wapendwa
Jamani hongereni sana kwa wimbo mzuri sana!!
Nice song congratulations.
Kazi nzuri sana
Wow! Asanteni kwa wimbo huu mzuri wa Somo wenu. Wimbo huu unatusaidia sote kusali vizuri kwa huu mwaka wa Mt. Yosefu.
Hongereni sana
Jamani jamani😋
Hongereni Sana kwaya ya Mt. Yosefu Mfanyakazi MUNGU awabariki Sana kwa kazi nzuri!
Kuna mama mmoja jamani huwa ananibariki Sana kwenye kwaya yenu 🥰
Ndugu Ray_You are a rare musical genius.I thank God for you.Stay humble and work for God
Asanteeeee kijenge nilikuwa Pao sana nikiwa apo kanisan mwaka 2022
Hongera wimbo mzuriii…mbarikiwe sana🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera sana@Ray
This is great piece.
Kindly naomba mziki wake.
I love this song🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kama kawaida kazi swafii
Asante Sana
Kazi njema Sana St. Joseph. Pongezi pia kwa Ray ufunguo kwa utunzi bora sana
Asante ...
@@kwayayamt.josephmfanyakazi2842 Beautifully sung.
Mmependeza jaman pia 😁❤️ na wimbo uko poa .Mungu awabariki wote kwa kazi yenu nzuri😊❤️
Asante mno
Hongera sana@rajo productions
Hongereni sana kwa wimbo mzuri mungu awabariki sana kwaya ya mt. Joseph kijenge🙏🙏🙏
Wimbo mtamu sana, God bless you all
Nalia ninapoimba wimbo huu ... I feel the message
This song Blesses my heart in a very big way. I pray that God continue to inspire and use you to spread His Gospel to the world. Yosefu Mtakatifu Utuombee Kwa Mungu.
Hii kwaya naipenda sana jamani sijui nisemeje , Mungu azidi kuwaongoza najua hii CD iliuzwa sana kwa wimbo huu
Am blessed sauti tamu
Wimbo mzuri sana! Sauti zimetuliaa 👏🏼👏🏼👏🏼
amina
Agustino yupo kwenye hiyo kwaya
Hongereni sanaa wanakijenge.....kmj
I nice song@Ray the skills and talent are on another level kudoz!
Naomba mziki wake kindly,,,
Well done KMJ Kijenge....Kazi nzuri Rajo Productions👌
Asante sana
Jamani wimbo umenigusa sana❤❤🙏
Sauti kweli zimetulia sana mungu awabariki ktk huduma yao hiyo
Kongole ziwafikie wanakwaya wote kwa utume mungu awabariki azidi kuwajaza roho mtakatifu
Safiii
Asante
Sala na kazi iendelee, maombi tosha kabisa. hongera
Wow wow💓💓 God bless you
Wimbo wenye kuleta furaha, matumaini na ujasiri wa kiimani
Asanteni sana, huu wimbo inatuliza 🙏
Kwaya nzuri uimbaji umepngwa vizuri.
Kazi nzuri Sana Wana wa MUNGU
Napenda hii wimbo sana;
I love this song
Hao wakaka wanaimba vizuri mno
Sure it's a nice song and prayers St. Joseph pray for us
my brother Constantine God bless u with ur team❤️
Mungu akubariki na kazi zako👏
Pray for us ooh st. Joseph ❤❤❤
Wonderful
Mungu awabark sana
aki ya nani hii imenibeba uongo baya .... waaaat tamu sanaaaaaa
Good
Mko vizuri
❤❤❤Saafi saana
Ujumbe mwema❤❤❤
Rey so genius
Mubarikiwe na mungu
What a song👏👏👏
Kijenge petro and paulo🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
I'm really really blessed thank you for this great message
Heko kwenu
What a beautiful song....... big up kmj we will support you. ....
Rozimhando
Wimbo mtamu Sana ..
My favorite....
St. Joseph, pray for us
Please someone to translate for this song in English ,is so nice
Mt.Yosefu Utuombee 🙏