WEMA WA MUNGU - KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, \\ NANSIO-UKEREWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Karibu utazame wimbo Mzuri wa Mafundisho na tafakari
    Mtunzi: P. P FUBUSA
    Waimbaji: KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, NANSIO
    Sound Eng.: SHIMANYI FM & PASCHAL (DUKE)
    Organist: KAZOBA DE WJ
    Video Director: MDETE TM
    Audio: CGen - Pro
    #kwayakatoliki #africangospel #eastereggs #eastersongs #hehasrisen

Комментарии • 42

  • @JumaLauren-jw1gv
    @JumaLauren-jw1gv 4 месяца назад +1

    Kazi Iko sawa jamn mm pia naomba huyo mtunz antungie wimbo wa maadili yameporomoka sana

  • @Arati3
    @Arati3 4 месяца назад +3

    Kazi safi ❤

  • @Mkatachuma89
    @Mkatachuma89 4 месяца назад +1

    So touching! Katika Magumu yote.....Asanteni na hongereni sana. Hongera kwa kazi nzuri kuanzia utunzi mpaka performance. ❤❤❤

  • @martindaudi2537
    @martindaudi2537 4 месяца назад +3

    Hongereni sana kwa kazi nzuri. Bila kukusahau mwl.wangu kazoba, kaka chukua maua🎉yako kaka. Wana manyoni tunasema (Alumbwe muwaha)

    • @kazobamedia
      @kazobamedia 4 месяца назад +1

      Alumbwe chibitilila mwaha 😊😊😊😊😊

  • @user-jj6zx1vw9m
    @user-jj6zx1vw9m 3 месяца назад

    Hongereni Sana.wimbo nzuri murua wenye ujumbe wa kiimani katoliki ❤🎉

  • @JacobKazoba-k1k
    @JacobKazoba-k1k Месяц назад

    wow! that's a great catholic song never disappoint when it comes of God worship. lets Thanks GOD together regardless of our denominations, be blessed all choir member.

  • @WiliamMgala
    @WiliamMgala 3 месяца назад

    Napenda mda wote kuwaskiliza wema wa Mungu unatosha

  • @salvatorymogesi6476
    @salvatorymogesi6476 4 месяца назад +2

    Always in the class of the Best 💪💪💪. Keep going fellows in almighty's grace 🙏🙏🙏

  • @severinmagagura8365
    @severinmagagura8365 14 дней назад

    Nimebarikiwa sana wimbo huu

  • @IsidoreMakutu
    @IsidoreMakutu 4 месяца назад +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri.Mmetisha!
    Nimewamis sana
    Pd.Makutu

  • @EnjoyJohn-fo3ox
    @EnjoyJohn-fo3ox 3 месяца назад

    Kaz nzur jmn wimbo mzuri unafundixha❤❤

  • @DOROTHEAPHILIPO-m7b
    @DOROTHEAPHILIPO-m7b 2 месяца назад

    Hongereni sana kazi nzr naombeni jamani hiyo cop ya wimbo

  • @Johari-it6ki
    @Johari-it6ki 4 месяца назад +1

    Amina kwa uinjilishaji

  • @eugenekeragori
    @eugenekeragori 4 месяца назад

    Wimbo mtamu sana ajabu..Asante sana Nonsio.. twawapenda sana Kenya ❤❤

  • @juliusmboyaemily7964
    @juliusmboyaemily7964 4 месяца назад +3

    Nafarijika sana napoona wana familia wangu mnafanya vyema. Huku niliko ninajivunia kuwa nanyi.

    • @Mkatachuma89
      @Mkatachuma89 4 месяца назад +1

      Asante sana Mr Mboya.Tunamiss sana bass yako

  • @lucymutua7140
    @lucymutua7140 4 месяца назад +3

    Hongera sana kwa uimbaji wenu mzuri,nmeupenda huu wimbo,hakika Mungu ndiye mfariji wa kweli.🎉

  • @ericknyangu
    @ericknyangu 4 месяца назад +2

    ❤❤❤

  • @SilvesterKazoba
    @SilvesterKazoba 4 месяца назад +2

    Hongera sana wimbo mzuri kwa kazi nzuri wana wa Sebastian mnaifanya Mungu azidi kuwafanya kuwa wabunifu zaidi na zaidi kila kunapo kucha mfanye vizuri zaidi ya hapo.

  • @rafaellikenejo4061
    @rafaellikenejo4061 4 месяца назад +2

    Hongera sana @kazoba de wj kwa kazi nzr unayoifanya zao la ngudu, mungu azidi kukubaliki

  • @WiliamMgala
    @WiliamMgala 4 месяца назад

    Nimewaelewa sana hongelen

  • @FlorahKatoyo
    @FlorahKatoyo 3 месяца назад

    Wow.kazi nzuri

  • @AnnaWenceslaus-rp2ze
    @AnnaWenceslaus-rp2ze 3 месяца назад +1

    Kupitia nyimbo zenu Imani yangu inakua nawapenda Sana Wana yosefu

  • @NicholusMunyao-ch5vf
    @NicholusMunyao-ch5vf 4 месяца назад

    This is like Cherubim choir. Heavenly echo

  • @marrykalangula9952
    @marrykalangula9952 4 месяца назад +2

    Wema wa mungu.safi sana mt.yosefu

  • @TumainAndrea
    @TumainAndrea Месяц назад

    Hongereni sana

  • @emmanuelbaltazary3564
    @emmanuelbaltazary3564 4 месяца назад +2

    Hongereni sana wapendwa kwa kazi nzuri sana❤

  • @butangasospeter8987
    @butangasospeter8987 4 месяца назад +2

    Asanteni wanakwaya kwa kazi nzuri

  • @EsterAmon
    @EsterAmon 4 месяца назад +2

    Wow kazi nzuri be blessed

  • @reginamgalula2632
    @reginamgalula2632 4 месяца назад +2

    Kazi nzur hongeren sana

  • @christynandomi3650
    @christynandomi3650 4 месяца назад +2

    wimbo mzuri sanaa❤

  • @anithasylvester2774
    @anithasylvester2774 4 месяца назад

    Mubarikiwe sana

  • @simonyusuphkwigema3172
    @simonyusuphkwigema3172 4 месяца назад +2

    Hongereni sana mungu awatie nguvu zaid

  • @godwin.e.mwanga
    @godwin.e.mwanga 4 месяца назад +2

    Hongeren sana

  • @SmilingMonarchButterfly-kh4ve
    @SmilingMonarchButterfly-kh4ve 4 месяца назад

    🙏🙏🙏❤️❤️❤️🔥🔥🔥

  • @AmadeoHubile
    @AmadeoHubile 4 месяца назад +1

    Nawapenda wana josefu kazi nzuri

  • @theophilhemile7677
    @theophilhemile7677 4 месяца назад

    Mr. Kazoba ni mwamba

  • @ferdinandikubila3669
    @ferdinandikubila3669 4 месяца назад +2

    Hongereni sana