Hongereni sana wana wa Mungu kwa kazi Nzuri. Mungu wetu atukirimie kushinda Vishawishi tuimbe hata Mioyoni mwetu na mwisho sisi na wale wanaosikiliza nyimbo zetu tufike kwake.
Holy Trinity mpo juu hongereni sana. Pia waimbaji mmenikuna kwa sauti nzuri mnoo. Huyu aliyepiga kinanda namfananisha upigaji wake kama was Engineer Fridolinus Mushobozi
Unikirimie na mimi Ee Bwana
Big up
Mko sawa kabida muenfdelee hivyo hivyo mbalikiwe
Kazi mzuri sana wana wa mto wa mbu
🎉🎉🎉❤❤❤❤wimbo mzuri Sana
Tunabarikiwasana
Mungu amewabariki Watanzania wakatoliki yaani hii nyimbo si choki kuzikiza,,,, Mola awabariki sana
Tukirimie bwana
Kwaya.naipenda
God is gold all de best nawapenda
Hakika tunabalikiwa
Wimbo mtamu. Mungu tukirimie. Sauti nzuri Hongereni. Mungu azidi kuwaonekania. Mbarikiwe sana
My best in li:e
Ht mko vizuri bila kuwasahau wana wa MTO wa mbu
Tukirimie Bwana ....neema zako tushushie
Huu wimbo unatupa utulivu wa aina yake..utukirimie...Baraka zako tuzidishie.tukirimie Bwana
Nawashukuruni saaana waimbaji nabarikiwa sana na wimbo huu mzuuri. Mwenyezi Mungu awabariki Nyooote!!!
Hongereni sana wana wa Mungu kwa kazi Nzuri.
Mungu wetu atukirimie kushinda Vishawishi tuimbe hata Mioyoni mwetu na mwisho sisi na wale wanaosikiliza nyimbo zetu tufike kwake.
Hongereni kwa kazi nzuri na uimbaji mzuri Mungu azidi kuwa nanyi katika kazi ya utume huu adhimu
Nyimbo nzuli kweli kabisa nungu awazidishie iwinjilishaji mwema
kebby mulilo say thank you for the song
Sauti nzuri na mpangilio mwema. Mungu atukirimie neema zake
nami pia napnda hiyo
Wimbo mzuri na wenye mashiko.Hongera wanakwaya wenzangu tuzidi kumwimbia Mungu kwa sauti nyororo na za kuvutia atukirimie baraka tele.
Kristo!
Ninachofurahia ni kusikika vizuri kwa maneno ...
Sauti zimepangika vema sana..... Mungu azidi kuwakirimia katika uimbaji wenu kwake
wape mwongozo bwana
Hallelujah atukuzwe kristo bwana wetu
tumwimbie Bwana wanashikwakata Mungu awabariki muendelee na utume wa uimbaji
Hakika Mungu na atukirimie...hongereni kwaya ya mt Joseph mfanyakazi mmefanya Nazi nzuri
Glory
Natokea kenya. Mwimbo mzuri.shda neno tukirimie sijaielewa
Kazi kamilifu...wosia mtimilifu.Barikiweni wapendwa.
Mungu utukirimie barakaaaaa.....
Hakika ni ujumbe murua,asanteni Wanakwaya
Très édifiant.
Wimbo mzuri ila mchanganya picha kachemka
utukirimie sisi watoto wako na utukirimie kanisa letu katholiki ili neno LA mwenyezi mungu ixidi kuenea note pia watunzi wetu
Mola awabariki na awazidishie baraka kwa kazi yenu njema .
Hongerani sana ninapend sana kusikiliza music mtakatifu
Asnt sana tumsifu Mungu milele
Good song with good dancing style
Barikiwa Sana waimbaji kwa sauti nzuri karibuni kondoa
Wimbo mzuri sana. Umenibariki.
Asanteni sana kwa sauti zenu nzuri. Mungu awabariki.
Kazi nzuri sana wana mto wa mbu. Mungu awabariki sana. Wapi nguli wangu Erick Masumbuko? Nguli wako nimeielewa kazi hongereni sana.
Nmebarikiwa xana
Hongera zenu wanakwaya
Wimbo mzuri
Naam Kazi Mzuri Sana hiii,Safi Baraka
KAZI NZURI HONGERENI SANA
Balikiwa
Safi sana, kazi nzuri Holy Trinity Studios. Baraka Mashibe, utunzi mzuri sana. Endeleeni kufanya kazi nzuri kila wakati.
Atukuzwe Mungu kwa kazi yenu nzuri
Naomba kupata full album.
Kazi nzuri Mbarikiwe Sana
hongeren wimbo safi naomba copy yake tafadhal
Kakitendea kazi kinanda.
Safi sana
Mbarikiwe
hongeren sana nimeipenda mno
Kweliii kabisa utukirimie
Hongereni kwa wimbo mzuri.
Holy Trinity mpo juu hongereni sana. Pia waimbaji mmenikuna kwa sauti nzuri mnoo. Huyu aliyepiga kinanda namfananisha upigaji wake kama was Engineer Fridolinus Mushobozi
Nimebarikiwa sana na wimbo huu. Wanakwaya mbarikiwe sana mna sauti nzuri sana
Thanks waimbajii
Aminaaa
Raha tupu
😍😍😍
after three 3 years am watching again. Good song
Swaaaaafiiiiiii
Njimbo ni nzuri na tamu
Mungu atuzidishie baraka
Wapi mwalim Alex kabogo jamani
Poa
Mwaakasege
Safi sana napenda
Hakika mashibe ni mwamba atakuwa mkasa mtalajiwa
Hongereni kwa wimbo mzuri.
Hongereni Sana,Mungu awaongezee kibaji,na mtunzi wenu yupo vizuri bila kuwa sahau holy trinity mko juu sanaaa.
hongereni wimbo mzurii
Hongeren sana nafurah kumwona out first Born Angela Kassi Mungu amjalie afy aimbe katika roho na kweli
Nafulahi kusikianyimbo za kikatoriki