Holy Trinity Studio - Tukirimie ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • KWAYA YA MT. JOSEPH MFANYAKAZI, PAROKIA MT. YUDA THADEI MTO WA MBU ARUSHA.

Комментарии • 80

  • @ponsianonyangachi6805
    @ponsianonyangachi6805 2 года назад

    Unikirimie na mimi Ee Bwana

  • @michaelmchingama3293
    @michaelmchingama3293 Год назад +1

    Big up

  • @lucynjeri9514
    @lucynjeri9514 3 года назад

    Mko sawa kabida muenfdelee hivyo hivyo mbalikiwe

  • @johnkyara2016
    @johnkyara2016 5 лет назад +3

    Kazi mzuri sana wana wa mto wa mbu

  • @FreddyMgaya-jc9nj
    @FreddyMgaya-jc9nj Год назад

    🎉🎉🎉❤❤❤❤wimbo mzuri Sana

  • @PaulaMaita-yx8oj
    @PaulaMaita-yx8oj Год назад

    Tunabarikiwasana

  • @kakaproduction919
    @kakaproduction919 5 лет назад +2

    Mungu amewabariki Watanzania wakatoliki yaani hii nyimbo si choki kuzikiza,,,, Mola awabariki sana

  • @evaristmagoti7346
    @evaristmagoti7346 Год назад

    Tukirimie bwana

  • @mleykiyeyeu8661
    @mleykiyeyeu8661 2 года назад

    Kwaya.naipenda

  • @graphphoto705
    @graphphoto705 3 года назад +1

    God is gold all de best nawapenda

  • @PaulaMaita-yx8oj
    @PaulaMaita-yx8oj Год назад

    Hakika tunabalikiwa

  • @monicahmutuku7191
    @monicahmutuku7191 5 лет назад +2

    Wimbo mtamu. Mungu tukirimie. Sauti nzuri Hongereni. Mungu azidi kuwaonekania. Mbarikiwe sana

  • @katuramubbala7269
    @katuramubbala7269 3 года назад

    My best in li:e

  • @freedolinemao1361
    @freedolinemao1361 5 лет назад +1

    Ht mko vizuri bila kuwasahau wana wa MTO wa mbu

  • @cyrilologe
    @cyrilologe 4 года назад

    Tukirimie Bwana ....neema zako tushushie

  • @cyrilologe
    @cyrilologe 5 лет назад

    Huu wimbo unatupa utulivu wa aina yake..utukirimie...Baraka zako tuzidishie.tukirimie Bwana

  • @stephenhaule6492
    @stephenhaule6492 5 лет назад +2

    Nawashukuruni saaana waimbaji nabarikiwa sana na wimbo huu mzuuri. Mwenyezi Mungu awabariki Nyooote!!!

  • @salvatorymogesi6476
    @salvatorymogesi6476 5 лет назад +5

    Hongereni sana wana wa Mungu kwa kazi Nzuri.
    Mungu wetu atukirimie kushinda Vishawishi tuimbe hata Mioyoni mwetu na mwisho sisi na wale wanaosikiliza nyimbo zetu tufike kwake.

  • @ezekielmacheyeki7118
    @ezekielmacheyeki7118 5 лет назад +1

    Hongereni kwa kazi nzuri na uimbaji mzuri Mungu azidi kuwa nanyi katika kazi ya utume huu adhimu

  • @erenestmaliatabu9548
    @erenestmaliatabu9548 5 лет назад +1

    Nyimbo nzuli kweli kabisa nungu awazidishie iwinjilishaji mwema

    • @kebbymulilo861
      @kebbymulilo861 5 лет назад

      kebby mulilo say thank you for the song

  • @johnmalakwen6314
    @johnmalakwen6314 5 лет назад +3

    Sauti nzuri na mpangilio mwema. Mungu atukirimie neema zake

  • @thomasnyamari401
    @thomasnyamari401 4 года назад

    Wimbo mzuri na wenye mashiko.Hongera wanakwaya wenzangu tuzidi kumwimbia Mungu kwa sauti nyororo na za kuvutia atukirimie baraka tele.

  • @wilsonngumbuke4482
    @wilsonngumbuke4482 5 лет назад +2

    Kristo!
    Ninachofurahia ni kusikika vizuri kwa maneno ...
    Sauti zimepangika vema sana..... Mungu azidi kuwakirimia katika uimbaji wenu kwake

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 5 лет назад +1

    Hallelujah atukuzwe kristo bwana wetu

    • @georgemwandu2329
      @georgemwandu2329 5 лет назад

      tumwimbie Bwana wanashikwakata Mungu awabariki muendelee na utume wa uimbaji

  • @glorymjie8372
    @glorymjie8372 5 лет назад +2

    Hakika Mungu na atukirimie...hongereni kwaya ya mt Joseph mfanyakazi mmefanya Nazi nzuri

    • @vincentpieter2920
      @vincentpieter2920 5 лет назад

      Glory
      Natokea kenya. Mwimbo mzuri.shda neno tukirimie sijaielewa

  • @nicholaskhainza3329
    @nicholaskhainza3329 5 лет назад +1

    Kazi kamilifu...wosia mtimilifu.Barikiweni wapendwa.

  • @tadbrave9318
    @tadbrave9318 5 лет назад +1

    Mungu utukirimie barakaaaaa.....
    Hakika ni ujumbe murua,asanteni Wanakwaya

  • @ernestsogadji6784
    @ernestsogadji6784 4 года назад +2

    Très édifiant.

  • @mwitamichael9087
    @mwitamichael9087 5 лет назад

    Wimbo mzuri ila mchanganya picha kachemka

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 5 лет назад

    utukirimie sisi watoto wako na utukirimie kanisa letu katholiki ili neno LA mwenyezi mungu ixidi kuenea note pia watunzi wetu

  • @benkbenk9461
    @benkbenk9461 5 лет назад

    Mola awabariki na awazidishie baraka kwa kazi yenu njema .

  • @charlesjmartin1935
    @charlesjmartin1935 5 лет назад +2

    Hongerani sana ninapend sana kusikiliza music mtakatifu

  • @prosperkobelo9557
    @prosperkobelo9557 5 лет назад +1

    Asnt sana tumsifu Mungu milele

  • @josephokello5951
    @josephokello5951 2 года назад

    Good song with good dancing style

  • @secyrobert8218
    @secyrobert8218 5 лет назад

    Barikiwa Sana waimbaji kwa sauti nzuri karibuni kondoa

  • @isdorykitunda
    @isdorykitunda 5 лет назад +1

    Wimbo mzuri sana. Umenibariki.

  • @mathewnjuguna4231
    @mathewnjuguna4231 5 лет назад

    Asanteni sana kwa sauti zenu nzuri. Mungu awabariki.

  • @michaelmusitah5553
    @michaelmusitah5553 5 лет назад

    Kazi nzuri sana wana mto wa mbu. Mungu awabariki sana. Wapi nguli wangu Erick Masumbuko? Nguli wako nimeielewa kazi hongereni sana.

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 лет назад

    Nmebarikiwa xana

  • @johnpapaking1497
    @johnpapaking1497 5 лет назад

    Hongera zenu wanakwaya
    Wimbo mzuri

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 5 лет назад

    Naam Kazi Mzuri Sana hiii,Safi Baraka

  • @siliviawabera8665
    @siliviawabera8665 5 лет назад

    KAZI NZURI HONGERENI SANA

  • @moseslungu547
    @moseslungu547 4 года назад

    Balikiwa

  • @creativepointproductions9818
    @creativepointproductions9818 5 лет назад

    Safi sana, kazi nzuri Holy Trinity Studios. Baraka Mashibe, utunzi mzuri sana. Endeleeni kufanya kazi nzuri kila wakati.

  • @alphoncebucheye6424
    @alphoncebucheye6424 5 лет назад

    Atukuzwe Mungu kwa kazi yenu nzuri

  • @michaelmusitah5553
    @michaelmusitah5553 5 лет назад

    Naomba kupata full album.

  • @georgemwala267
    @georgemwala267 5 лет назад

    Kazi nzuri Mbarikiwe Sana

  • @anthonymwikwabe1863
    @anthonymwikwabe1863 5 лет назад

    hongeren wimbo safi naomba copy yake tafadhal

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 лет назад

    Kakitendea kazi kinanda.

  • @achilesipaul511
    @achilesipaul511 5 лет назад

    Safi sana

  • @willey_brandtrue9966
    @willey_brandtrue9966 5 лет назад

    Mbarikiwe

  • @estherfrancis9222
    @estherfrancis9222 5 лет назад

    hongeren sana nimeipenda mno

  • @fredyjoseph8901
    @fredyjoseph8901 5 лет назад

    Kweliii kabisa utukirimie

  • @bujunebusanya3966
    @bujunebusanya3966 5 лет назад

    Hongereni kwa wimbo mzuri.

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 лет назад

    Holy Trinity mpo juu hongereni sana. Pia waimbaji mmenikuna kwa sauti nzuri mnoo. Huyu aliyepiga kinanda namfananisha upigaji wake kama was Engineer Fridolinus Mushobozi

    • @julianakileo9038
      @julianakileo9038 2 года назад

      Nimebarikiwa sana na wimbo huu. Wanakwaya mbarikiwe sana mna sauti nzuri sana

  • @stephenhaule9051
    @stephenhaule9051 5 лет назад

    Thanks waimbajii

  • @andrewnombo2731
    @andrewnombo2731 5 лет назад

    Aminaaa

  • @richardlugata5767
    @richardlugata5767 3 года назад

    Raha tupu

  • @apollotee1929
    @apollotee1929 3 года назад

    😍😍😍

  • @juliuskamar4292
    @juliuskamar4292 2 года назад

    after three 3 years am watching again. Good song

  • @valeriansixbert9428
    @valeriansixbert9428 5 лет назад

    Swaaaaafiiiiiii

  • @secyrobert8218
    @secyrobert8218 5 лет назад

    Wapi mwalim Alex kabogo jamani

  • @georgesamwel3200
    @georgesamwel3200 5 лет назад

    Poa

  • @yustamassawe1585
    @yustamassawe1585 5 лет назад

    Mwaakasege

  • @bujunebusanya3966
    @bujunebusanya3966 5 лет назад

    Hongereni kwa wimbo mzuri.

    • @sumaimagese8181
      @sumaimagese8181 5 лет назад

      Hongereni Sana,Mungu awaongezee kibaji,na mtunzi wenu yupo vizuri bila kuwa sahau holy trinity mko juu sanaaa.

    • @helakridiwella6863
      @helakridiwella6863 5 лет назад

      hongereni wimbo mzurii

    • @samwelkassi9207
      @samwelkassi9207 5 лет назад

      Hongeren sana nafurah kumwona out first Born Angela Kassi Mungu amjalie afy aimbe katika roho na kweli

    • @wamauzowaukweli3045
      @wamauzowaukweli3045 5 лет назад

      Nafulahi kusikianyimbo za kikatoriki