Highlights | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | NBCPL - 30/12/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 дек 2022
  • Tazama mambo yalivyokuwa wakati Simba SC, ikishusha mkong'oto wa mabao 7-1 kwa Tanzania Prisons.
    Wafungaji ni Saidi Ntibazonkiza mabao matatu
    John Bocco mabao matatu
    Jeremiah Juma bao moja
  • СпортСпорт

Комментарии • 385

  • @timothysamweli8808
    @timothysamweli8808 4 месяца назад +13

    Kama unaamini sakho, tulipoteza mashine gonga likes hapa

  • @benjaminsteven7350
    @benjaminsteven7350 Год назад +74

    ⚽football ipo simba ...kwingineko madudu raha ipo simba kwingineko shida wachezaji wazuri wapo simba....kama unakubali like zote kwangu

  • @alexanderjoseph8644
    @alexanderjoseph8644 Год назад +32

    Kama umefurahia usajr wa saido gonga like 😊😊

  • @nadalibrahim1261
    @nadalibrahim1261 Год назад +195

    Nipeni likes Zangu maana mm leo hii ndio wa kwanza kuview na hata kucomment😁😁😁

  • @paulsamwel1144
    @paulsamwel1144 Год назад +17

    Nipeni like zangu wanasimba wenzangu ngufu moja 💪💪💪

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Год назад +18

    Burundi juuu sana saido anatuakilisha vema sana🇧🇮

  • @megilolimuhamad9081
    @megilolimuhamad9081 Год назад +7

    Sakho anatembeza boll balaa👏💪🦁🦁🦁Mungu Ahsante🙏

  • @isaackamando8484
    @isaackamando8484 Год назад +30

    Jaman ivi kuna anaetizama hii sa 6 usiku saiv?😄😄 haikati utamu

  • @drkondochilonga1876
    @drkondochilonga1876 Год назад +13

    Nimerudia kuingalia hii mechi mara 5, lakini bado sijachoka. Nasikia raha sana!!

  • @amehassanrehanirehani7906
    @amehassanrehanirehani7906 Год назад +13

    Sakho kafanya kazi kubwa san kweny hii game japo kuwa hakushinda

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Год назад +11

    Sakho was on fire

  • @mbalaleshalif8892
    @mbalaleshalif8892 Год назад +7

    Sakho ni mchezaji bora 2022/ ukimtoa mwamba wa lusaka C💪🦁

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Год назад +9

    Saido Anafunga goal mbele ya mabeki =6
    Saido ni mchezaji Hatari sana

    • @paschalmahenge
      @paschalmahenge Год назад

      Kweli simba usajili wa saido hajakosea utopolo watamukumbuka sana ntibazokiza

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Год назад

      @@paschalmahenge Naoma nafasi ya kibu, Okra Kama no ndogo sana ndani ya simba.

  • @msafirisaididid2978
    @msafirisaididid2978 Год назад +9

    likee zenu wana simba blood🦁⛔⛔⛔⛔⛔⛔

  • @franccoz94
    @franccoz94 Год назад +6

    Sako kwangu Leo n man of match

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Год назад +5

    Simba sports club big team Africa 🦁💪🌍

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Год назад +5

    Simba wakikumbuka utamaduni wao wa pasi fupi fupi kwenye eneo la goli la wapinzani na wakaacha kutafuta umaarufu binafsi na choyo.. wakapeana pasi .. wana uwezo wa kuifunga timu ye yote mabao mengi! Excellent job! Nguvu MOja Simba! From now on thats how you play!

  • @dicksoncyprian8259
    @dicksoncyprian8259 Год назад +9

    na iki ndo kiwango bora cha simba toka msimu uanze,pasi mpaka golini,sakho kaacha uchoyo,wachezaji wasimba wameacha ubinafsi wa pasi,na wachezaji wa simba wameacha uroho wa kufunga

  • @arbinuwamahoro7370
    @arbinuwamahoro7370 Год назад +4

    Yana vipenzi vyangu kwer mmumetufurahisha uku burundi tumeinjoi kwer nawapenda wana simba 🇧🇮 tunawapenda

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +8

    Mimi Yanga dam kbs ila kwa hili halina ubishi Saidoo na Bigirimana bora Saidoo viongozi wetu wanadai mtovu wa nidham dunia hii bhana

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Год назад +11

    Kuna siku sakho ata kuja kuuwa kipa kama una amini hvyo like na hitaji za kutosha sio kwa ile short la kugongesha mwamba kiasi kile

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Год назад +4

    Wanasimbaaa.. 🎅🎅😃😃 hata tulingi 🤸🤸🤸. #Simbanguvumoja

  • @dicksoncyprian8259
    @dicksoncyprian8259 Год назад +8

    huyu kwangu ndo refa bora tanzania,wampe mechi ya simba na yanga

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Год назад +3

    Mzamiru ameimprove sana kiwango chake .. Sakho alikuwa na game nzuri sana Leo .. prisons wameingia kwenye mfumo vzr..

  • @zabronmfungo8503
    @zabronmfungo8503 Год назад +11

    Sakho ameupiga mwingiiiii

  • @official_phay1174
    @official_phay1174 Год назад +5

    Ukiskia pira biriani nd iloooo sasa🙌

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 Год назад +6

    Wallah haiishi hamu kuitizama hii

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 Год назад +6

    Saido ntibazonkiza the king of tanzania

  • @kassimabal4862
    @kassimabal4862 Год назад +5

    Sakho on fire

  • @piarachipuzi1569
    @piarachipuzi1569 Год назад +7

    Wastebasket like nyingi za kufunga mwaka basi kwa emoj 🤍🦁❤️

  • @kingcole60
    @kingcole60 Год назад +6

    Sakho kakiwasha sana

  • @prospermakundi2787
    @prospermakundi2787 Год назад +2

    Azam TV mnazidi kunoga ktk upigaji picha hongereni Sana

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 Год назад +8

    Nguvuuu mojaaa naangalia hvisasa ni saa Tisha na dakika kumi na mbili3:12 Nani anaenjoy na mimi

  • @halimamiraji
    @halimamiraji Год назад +7

    This is simba kuna anae kereka na magoli ya mnyama hhhhh

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 2 месяца назад

    Nice game simba they deserve to win play of the day simba goalkeeper

  • @user-hq6db5gs3c
    @user-hq6db5gs3c 9 месяцев назад +3

    Nawapenda san simba❤

  • @MagotiMagoti
    @MagotiMagoti Год назад +2

    Hii timu tunaipenda sana.. thank you boys #NguvuMoja

  • @sadih5333
    @sadih5333 Год назад +6

    Kwa Hali hii nimeamini maneno ya Yanga kua SAIDO Hana nizamu.

  • @doreensportswear_
    @doreensportswear_ Год назад +8

    stress kidogo tu nakuja kuangali hii na horoya 😂

  • @khatibramadhan8740
    @khatibramadhan8740 Год назад +5

    Ila simba kuna muda uwa nawasamehe makosa yenu yotee hatar sana

  • @amehassanrehanirehani7906
    @amehassanrehanirehani7906 Год назад +6

    Hii ndio simba tunayoitaka ila tunaitaji muendelezo so moj tushinde moja tunadroo inazoofisha ushindi wa kugombania ubingwa

  • @dottoyossam2013
    @dottoyossam2013 Год назад +3

    Nimefurah jamn, simbaaaaaaaaa

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno6239 Год назад +5

    13:10 that footwork from pape you don't do that if you're not a baller..

  • @abdulshaqoorothimani6560
    @abdulshaqoorothimani6560 Год назад +1

    Naipenda Sana club yangu Simba sport club

  • @dm_right5429
    @dm_right5429 Год назад +4

    Kiukweli sako akiwa kwenye ubora wake amewapita mbali sna ma winger kwenye soka letu

  • @jeunecarlybrand9037
    @jeunecarlybrand9037 Год назад +4

    Dah! Kutoka Kenya Simba timu langu siku zote. Pongezi.

  • @petersubeth9727
    @petersubeth9727 Год назад +4

    Kwanza saido ameingia kwenye rekod zadunia kupga goli3 ndan yadakika9+1

  • @phdhemed358
    @phdhemed358 Год назад +4

    Ao wanao toa Ela waendelee tu ila cku timu ikija kupigwa goli 10 ndio watajua gundi inausika vp kwenye kubandika baharage

  • @danielsimba9940
    @danielsimba9940 Год назад +2

    Simba ni shidaaaaaa

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 Год назад +1

    Hili pira burudani Pira biriani la kumaliza 2022❤️❤️🔥🔥tumeenjoy

  • @PaulSengo
    @PaulSengo Месяц назад +2

    Timu ya kwanza kuwa na hat trick mbili kwa mechi

  • @jacksonceleophasi1219
    @jacksonceleophasi1219 Год назад +4

    Simba hii Kuna watu watateseka

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Год назад +9

    Jifunze quran kwa hukmu, kuongea kiarabu gusa maandishi ya bluu
    youtube.com/@muhammadkipangatv2674

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 9 месяцев назад +2

    Mgunda nakumiss ❤❤

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад +2

    Mabeki wamemuangusha Melinda mlango Kafanya Kazi yake vizuri Sana.

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 Год назад +4

    Saido ntibazonkiza simba baba Lao tanzania

  • @samialove-hc4su
    @samialove-hc4su 9 месяцев назад +2

    Aise simba imetsha xnaaaaaa J mn ❤❤❤❤❤❤❤❤🏃

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 8 месяцев назад +1

    Ila nampenda sakho jmn❤❤❤❤

  • @chengeson
    @chengeson Год назад +5

    Mna onaje kiwango cha ntiba

  • @user-kh2dk9zi7v
    @user-kh2dk9zi7v 10 месяцев назад +1

    Pamoja kaka lakini huyo Ally anajitahidi hayupo vibaya chakusema huyo kocha aende akasome kwanza akiwa vizuri aje tena maana naona kama ana mzaha na simba❤❤

  • @jumamnyampanda6133
    @jumamnyampanda6133 Год назад +4

    Super

  • @noahkajinga7599
    @noahkajinga7599 10 месяцев назад +2

    Huyu mgunda ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 Год назад +5

    Sasa mbona saido anataka kuwa zaidi ya Chama!😁

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz 6 месяцев назад +3

    😂😂😂ii siku nilienjoy sana

  • @supernovamc777
    @supernovamc777 Год назад +1

    Hongeren wanasimba kwakutupa raha

  • @shanmlawa
    @shanmlawa 10 месяцев назад +5

    Nimekuja baada ya kumic sakhooo

  • @michaelkitinga9594
    @michaelkitinga9594 Год назад +6

    Sakho wewe ni mfalme wa soka. Endelea kutokuwa na ubinafsi kama hivi, utafika mbali.

  • @Nominated207
    @Nominated207 Год назад +2

    Beki wa prison wanafatana kama mbuni wanajirundika sehem moja kibao ila kipa kajitahidi kwa uwezo wake beki mbovu sana prisons

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Год назад +4

    Usimfananishe Bocco na mayele bhna😀

  • @ringostar8265
    @ringostar8265 Год назад +4

    🦁💪

  • @Mrjdigitaltv
    @Mrjdigitaltv Год назад +2

    Walijitahidi sana kushikilia bomba First half #prisons

  • @aboubacarykhedra5836
    @aboubacarykhedra5836 Год назад +2

    P.O.Sakho very so hard. Simba sc is ur better choice

  • @MakutanoTV
    @MakutanoTV Год назад +2

    Genius chama 17

  • @jeniphanzeran8231
    @jeniphanzeran8231 Год назад +2

    Huu ndo mpira walikuwa wanacheza yanga katikati ya msimu lkn hawana tena

  • @aishermangombe
    @aishermangombe Год назад +2

    Chukua kamazote prizons walichopata iwezawad ya mwaka 2023 wakawaambie waendako

  • @gidionmtende8252
    @gidionmtende8252 10 месяцев назад +2

    Afu kocha analeta utani kwenye ukweli unamwachije Ally salimu nje unamweka kipa anae ogopa mashti kwenye mechi za muhimu ( huyo Ayubu ana mechi zake so hizi)

  • @adiliamoni3681
    @adiliamoni3681 9 месяцев назад +5

    Ila sakho alikua na umhim wake

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno6239 Год назад +3

    Hivi kuna mchambuzi alisema dilunga bora kuliko sakho

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 Год назад +2

    Ukisikia kupigwa kama ngoma ndio hii😅😅

  • @nyokaroadtv5828
    @nyokaroadtv5828 Год назад +1

    Simba ya 🔥🔥

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 2 месяца назад +2

    Mchezaji km Sakho kumpata ni kazi

  • @jeniphanzeran8231
    @jeniphanzeran8231 Год назад +4

    Sakho anakuja kuitwa timu yao ya taifa

  • @seraphineally9739
    @seraphineally9739 2 месяца назад +1

    Nimeimis team yangu 😢

  • @estherpatrick2304
    @estherpatrick2304 Год назад +2

    Ni nasikitiko kwa kwwl kwaiyo mil 30 izooo???!

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz 2 месяца назад +1

    Simbaa

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад +1

    Honestly huyu kipa wa prison ni nomaaaa

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Год назад +1

    Simba baba lao ❤❤❤❤❤

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Год назад +2

    Ni chama tu ndio inaruhusiwa kuvalishwa kitambaa cha unahodha na refa,

  • @faudhiamalllata290
    @faudhiamalllata290 Год назад +3

    Simba yetu

  • @jihadishabani4158
    @jihadishabani4158 Год назад +4

    mpenja hiyo ni hatriki yapili kwa bocco

  • @hanipherathuman9472
    @hanipherathuman9472 Год назад +2

    This is simbaaa

  • @bone102
    @bone102 Год назад +2

    Hii video aonyeshwe Robertinho tunataka Simba hii

  • @edsonbonifas122
    @edsonbonifas122 Год назад +2

    Manshaalah

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 11 месяцев назад +1

    Simba ya moto

  • @jisedu2000
    @jisedu2000 Год назад +2

    Tanzanian football so lively

  • @hulkahassan9274
    @hulkahassan9274 Год назад +1

    Love it mnyama

  • @Ryangiggs744
    @Ryangiggs744 Год назад +1

    Mbn yanga walimuacha saido tulicheza blander but its ok ndio mpira

  • @Boytzlukaslodupo
    @Boytzlukaslodupo 4 месяца назад +2

    Mm kila day nafurahia kuangalia hii video

    • @jamessanga6768
      @jamessanga6768 15 дней назад

      Ile ya 5 huwa huangalii??😅😅😅😅

  • @Efootballpes-24
    @Efootballpes-24 10 месяцев назад

    Amazing 😊

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Год назад +2

    Ma Defender wahovyo kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣