Highlights | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | NBCPL - 30/12/2022
HTML-код
- Опубликовано: 29 дек 2022
- Tazama mambo yalivyokuwa wakati Simba SC, ikishusha mkong'oto wa mabao 7-1 kwa Tanzania Prisons.
Wafungaji ni Saidi Ntibazonkiza mabao matatu
John Bocco mabao matatu
Jeremiah Juma bao moja Спорт
Kama unaamini sakho, tulipoteza mashine gonga likes hapa
⚽football ipo simba ...kwingineko madudu raha ipo simba kwingineko shida wachezaji wazuri wapo simba....kama unakubali like zote kwangu
Duuh kwa moto huu wa saido wanasimba tutawakera san
Groly to GOD
@@japhetshija4741 p
P
Akuna anaepinga
Kama umefurahia usajr wa saido gonga like 😊😊
Nipeni likes Zangu maana mm leo hii ndio wa kwanza kuview na hata kucomment😁😁😁
Kwakuwa na wewe umecheza au
Tulikutuma kwan🤣🤣
@@victaboy7273 11q111q11q1111
Q111
👍👍👍
How do you feel 🤣🤣🤣🤣
Presha Nan kayasikia hayo maneno 🤣🤣🤣
Nipeni like zangu wanasimba wenzangu ngufu moja 💪💪💪
Burundi juuu sana saido anatuakilisha vema sana🇧🇮
Sakho anatembeza boll balaa👏💪🦁🦁🦁Mungu Ahsante🙏
Jaman ivi kuna anaetizama hii sa 6 usiku saiv?😄😄 haikati utamu
Ndo naangalia hilights hapa
tupo
Mi narudia rudia Kila mara
Nipo
Tupo
Nimerudia kuingalia hii mechi mara 5, lakini bado sijachoka. Nasikia raha sana!!
Sakho kafanya kazi kubwa san kweny hii game japo kuwa hakushinda
Sakho was on fire
Sakho ni mchezaji bora 2022/ ukimtoa mwamba wa lusaka C💪🦁
Saido Anafunga goal mbele ya mabeki =6
Saido ni mchezaji Hatari sana
Kweli simba usajili wa saido hajakosea utopolo watamukumbuka sana ntibazokiza
@@paschalmahenge Naoma nafasi ya kibu, Okra Kama no ndogo sana ndani ya simba.
likee zenu wana simba blood🦁⛔⛔⛔⛔⛔⛔
Sako kwangu Leo n man of match
Simba sports club big team Africa 🦁💪🌍
Simba wakikumbuka utamaduni wao wa pasi fupi fupi kwenye eneo la goli la wapinzani na wakaacha kutafuta umaarufu binafsi na choyo.. wakapeana pasi .. wana uwezo wa kuifunga timu ye yote mabao mengi! Excellent job! Nguvu MOja Simba! From now on thats how you play!
na iki ndo kiwango bora cha simba toka msimu uanze,pasi mpaka golini,sakho kaacha uchoyo,wachezaji wasimba wameacha ubinafsi wa pasi,na wachezaji wa simba wameacha uroho wa kufunga
Yana vipenzi vyangu kwer mmumetufurahisha uku burundi tumeinjoi kwer nawapenda wana simba 🇧🇮 tunawapenda
Mimi Yanga dam kbs ila kwa hili halina ubishi Saidoo na Bigirimana bora Saidoo viongozi wetu wanadai mtovu wa nidham dunia hii bhana
Kuna siku sakho ata kuja kuuwa kipa kama una amini hvyo like na hitaji za kutosha sio kwa ile short la kugongesha mwamba kiasi kile
Wanasimbaaa.. 🎅🎅😃😃 hata tulingi 🤸🤸🤸. #Simbanguvumoja
huyu kwangu ndo refa bora tanzania,wampe mechi ya simba na yanga
Kweri.
Mzamiru ameimprove sana kiwango chake .. Sakho alikuwa na game nzuri sana Leo .. prisons wameingia kwenye mfumo vzr..
Sakho ameupiga mwingiiiii
Sanaa aseeee lkn ....dogo yuko vzr ,,,apangiwe watu tu wakucheza nao
Ukiskia pira biriani nd iloooo sasa🙌
Wallah haiishi hamu kuitizama hii
Saido ntibazonkiza the king of tanzania
Sakho on fire
Wastebasket like nyingi za kufunga mwaka basi kwa emoj 🤍🦁❤️
Sakho kakiwasha sana
Azam TV mnazidi kunoga ktk upigaji picha hongereni Sana
Nguvuuu mojaaa naangalia hvisasa ni saa Tisha na dakika kumi na mbili3:12 Nani anaenjoy na mimi
Tuko pa1
Tupo pamoja 3:25
Mimi hapa🦁
This is simba kuna anae kereka na magoli ya mnyama hhhhh
Nice game simba they deserve to win play of the day simba goalkeeper
Nawapenda san simba❤
Hii timu tunaipenda sana.. thank you boys #NguvuMoja
Kwa Hali hii nimeamini maneno ya Yanga kua SAIDO Hana nizamu.
Kabisa
Sijaelewa 😂😂
Nizamu ya hatrick😂😂😂
stress kidogo tu nakuja kuangali hii na horoya 😂
Unamalizia na ya utopolo 😂😂😂😂
😢kabisaaaaaaa
Ila simba kuna muda uwa nawasamehe makosa yenu yotee hatar sana
Hii ndio simba tunayoitaka ila tunaitaji muendelezo so moj tushinde moja tunadroo inazoofisha ushindi wa kugombania ubingwa
Nimefurah jamn, simbaaaaaaaaa
13:10 that footwork from pape you don't do that if you're not a baller..
Naipenda Sana club yangu Simba sport club
Kiukweli sako akiwa kwenye ubora wake amewapita mbali sna ma winger kwenye soka letu
Dah! Kutoka Kenya Simba timu langu siku zote. Pongezi.
Kwanza saido ameingia kwenye rekod zadunia kupga goli3 ndan yadakika9+1
Ao wanao toa Ela waendelee tu ila cku timu ikija kupigwa goli 10 ndio watajua gundi inausika vp kwenye kubandika baharage
Simba ni shidaaaaaa
Hili pira burudani Pira biriani la kumaliza 2022❤️❤️🔥🔥tumeenjoy
Timu ya kwanza kuwa na hat trick mbili kwa mechi
Simba hii Kuna watu watateseka
Jifunze quran kwa hukmu, kuongea kiarabu gusa maandishi ya bluu
youtube.com/@muhammadkipangatv2674
Mgunda nakumiss ❤❤
Mabeki wamemuangusha Melinda mlango Kafanya Kazi yake vizuri Sana.
Saido ntibazonkiza simba baba Lao tanzania
Aise simba imetsha xnaaaaaa J mn ❤❤❤❤❤❤❤❤🏃
Ila nampenda sakho jmn❤❤❤❤
Mna onaje kiwango cha ntiba
Pamoja kaka lakini huyo Ally anajitahidi hayupo vibaya chakusema huyo kocha aende akasome kwanza akiwa vizuri aje tena maana naona kama ana mzaha na simba❤❤
Super
simba ❣️❣️❣️❣️❣️
Unyama ni mwingi
Huyu mgunda ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Sasa mbona saido anataka kuwa zaidi ya Chama!😁
😂😂😂ii siku nilienjoy sana
Hongeren wanasimba kwakutupa raha
Nimekuja baada ya kumic sakhooo
Sakho wewe ni mfalme wa soka. Endelea kutokuwa na ubinafsi kama hivi, utafika mbali.
Beki wa prison wanafatana kama mbuni wanajirundika sehem moja kibao ila kipa kajitahidi kwa uwezo wake beki mbovu sana prisons
Usimfananishe Bocco na mayele bhna😀
MAYELE CHA MTOTO 2.
🦁💪
Walijitahidi sana kushikilia bomba First half #prisons
P.O.Sakho very so hard. Simba sc is ur better choice
Yeah that sounds perfect
Genius chama 17
Huu ndo mpira walikuwa wanacheza yanga katikati ya msimu lkn hawana tena
Chukua kamazote prizons walichopata iwezawad ya mwaka 2023 wakawaambie waendako
Afu kocha analeta utani kwenye ukweli unamwachije Ally salimu nje unamweka kipa anae ogopa mashti kwenye mechi za muhimu ( huyo Ayubu ana mechi zake so hizi)
Ila sakho alikua na umhim wake
Ndo Maisha ya mpira
Hivi kuna mchambuzi alisema dilunga bora kuliko sakho
Ukisikia kupigwa kama ngoma ndio hii😅😅
Simba ya 🔥🔥
Mchezaji km Sakho kumpata ni kazi
Sakho anakuja kuitwa timu yao ya taifa
Nimeimis team yangu 😢
Ni nasikitiko kwa kwwl kwaiyo mil 30 izooo???!
Simbaa
Honestly huyu kipa wa prison ni nomaaaa
Balaaaaaq
Simba baba lao ❤❤❤❤❤
Ni chama tu ndio inaruhusiwa kuvalishwa kitambaa cha unahodha na refa,
Simba yetu
mpenja hiyo ni hatriki yapili kwa bocco
Roho inawauma mauto hayawani
This is simbaaa
Hii video aonyeshwe Robertinho tunataka Simba hii
Manshaalah
Simba ya moto
Tanzanian football so lively
Love it mnyama
Mbn yanga walimuacha saido tulicheza blander but its ok ndio mpira
Mm kila day nafurahia kuangalia hii video
Ile ya 5 huwa huangalii??😅😅😅😅
Amazing 😊
Ma Defender wahovyo kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣