MBWADUKE: TOBAAH! YANGA KWA KASI HII DHIDI YA VIGOGO BUNDESLIGA HUKO CAF KAZI WANAYO/MAXI, ABUYA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
    KUMRADHI
    MAXI KAFUNGA MABAO 11 + ASSISTS 2
    Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza kwa kusema Maxi kafunga mabao 9. Usahihi ni kwamba Maxi kafunga mabao 11 na kutoa assists 2.
    By Mhariri - Mbwaduke Stats"Spoti Next Level"

Комментарии • 125

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 Месяц назад +88

    Tunaoamini kuwa mbwaduke ndiye mchambuzi nguli anayeongea kwa data kuliko wachambuzi wote Tanzania gonga like 👍 hapa. Yanga bingwa 2024/2025

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +27

    Kiukweli diarra aimbwi kiviile kama washambuliaji ila ndo nguzo yetu inayotusaidia snastaili ata kua captain wa timu anavyokua golin anakua anaanasisha na wenzake asingekua yeye tungekula ata kono la nyani kivyangu ndo man of the match 💚💛🔥🇹🇿

    • @HopeMmbando-wb8ci
      @HopeMmbando-wb8ci Месяц назад +1

      Uhakika kabisaaa ila yanga Kila mchezaji bhn n Bora na wanaelekezana haswaaaaa

    • @user-ln9tk3qr2r
      @user-ln9tk3qr2r Месяц назад

      P

    • @SaraIlomo
      @SaraIlomo Месяц назад

      ​@@user-ln9tk3qr2rkiukweli yanga inatupa Raha sana

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 Месяц назад +11

    duke abuya we like u too much for good game

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 Месяц назад +33

    Hii Yanga inayokuja mimi mwenyewe naiogopa.Ingawa watu wanaichukulia poa,lakini tutaonana CAF CL na NBC PL

  • @DavidMessi-h9c
    @DavidMessi-h9c Месяц назад +24

    Mm nimwana Simba watani hicho nikipimo tosho, hongeleni.

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m Месяц назад +12

    Mzee wa data mchambuzi wangu namba moja tanzania kwa sasa❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MajutoMaunda-de5cj
    @MajutoMaunda-de5cj Месяц назад +1

    Nakuelewa sana unatufundisha mazuri tusiyo yajua ❤❤❤❤❤❤

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Месяц назад +13

    Salamu ziwafikie kilabu bigwa

  • @dullahdullah2344
    @dullahdullah2344 Месяц назад +13

    Mzee wa data tupe takwim za max mpia nzengeli na za Azizi kii

  • @RashidiNjenga
    @RashidiNjenga Месяц назад +6

    Yanga ii iko moto sana msimu ujao

  • @ManenoJuma-xd3ii
    @ManenoJuma-xd3ii Месяц назад +1

    ❤❤❤Unajuwa Sana kaka

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o Месяц назад +4

    Huyu mwamba ndio mchambuzi halisi
    He is always positive

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o Месяц назад +4

    Mungu tunaomba uzidi kuisimamia hiiii timu,
    Iepushe na husda zoote

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Месяц назад +2

    Asanteeee kaka nyie makolooo mmeisikia hiyo, kazi mnayo hapo ni kuwapiga kipigo Cha mwana ukome kutuzoea😂😂😂😂😂😂

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Месяц назад +2

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 Месяц назад +9

    Huwa najiuliza kwanini wachambuzi wengine hawajifunzi kwako kazi yao kukosoa bila takwim

  • @user-nm8my6ff5o
    @user-nm8my6ff5o Месяц назад +1

    Yanga is the best club in Africa

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 Месяц назад +5

    Kazi nzuri

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Месяц назад +3

    Yanga is the Best Club in African Currently "

  • @renatusthomas7819
    @renatusthomas7819 Месяц назад +14

    Wakwanza naomba like 100

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Месяц назад +5

    Uchambuzi mzuri sana

  • @melckassey9365
    @melckassey9365 Месяц назад +4

    Hatar sana unajuwa mpaka basi

  • @stephennyamsacha2974
    @stephennyamsacha2974 Месяц назад

    Uko vizuri mkuu

  • @allyramadhani9221
    @allyramadhani9221 Месяц назад +5

    Hongera kaka

  • @EvansKalikwela-h6r
    @EvansKalikwela-h6r Месяц назад +11

    Hii yanga tutafurahi zaid tusubili

  • @mgayamwananchi
    @mgayamwananchi Месяц назад +5

    Mzee wa data umekosea apo Kwa Max Nzegeli kafunga goli kumi na Moja na sio 9.

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад +2

      Correct. Uko sahihi sana Kiongozi. Mzee wa Data ameteleza na ndiyo maana tumeomba radhi. Maxi kafunga mabao 11 na pia ana assists 2. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono.

  • @abdallahmuhibu
    @abdallahmuhibu Месяц назад +1

    Safi sana mchambuzi wangu

  • @ValentinePetro
    @ValentinePetro Месяц назад +3

    Hakiki sisi ni bingwa yanga noma

    • @EliwajaYunga
      @EliwajaYunga Месяц назад +1

      yanga ni noma simba mtasema msimu ujao

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Месяц назад +1

    Hakika we ni mchambuzi msomi❤❤❤❤

  • @Sulaymiyahya
    @Sulaymiyahya Месяц назад +1

    ❤safi

  • @AngelinaHassan-fe3jp
    @AngelinaHassan-fe3jp Месяц назад +1

    Uko vizur sana

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Месяц назад +1

    We iogope yanga Simba haiogopi Yanga
    Kucheza na timu ya Ausberg
    ya Ugerumani hat Simba ilicheza na Sevilla ya la Liga UEFA team

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 Месяц назад +2

      Najua kisirisiri unatuogopa hasa ukikumbuka zile mechi mbili tulizokupiga bao 7. Unacheza na Yanga nini 😂😂

  • @sadih5333
    @sadih5333 Месяц назад +5

    Chenga tumewala

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Месяц назад

    Acha kuwapa confidence, hawana pumzi na wamecheza na wachezaji ambao watatolewa kwa mkopo ispokua walikua wamepewa nafasi kuangaliwa semeni ukweli

  • @jonathanmindolo61
    @jonathanmindolo61 Месяц назад

    PAMOJA NA KWAMBA MIE NI WA UPANDE WA PILI, MNYONGE MNYONGENI LKN WANASTAHLI MAUA

  • @StanyJohn-m5v
    @StanyJohn-m5v Месяц назад +2

    Eebhn yang ipoh vizur

  • @user-mw8qv8wf5c
    @user-mw8qv8wf5c Месяц назад

    Mbwaduke Mimi namwerewa xana

  • @longinoSimon-dz2eb
    @longinoSimon-dz2eb Месяц назад

    Uko juuuu

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t Месяц назад

    Wataelewa 2 maana wapo wanaonyosha midomo bila kuitazama zamu yao

  • @NelsonMushi-wp8hx
    @NelsonMushi-wp8hx Месяц назад

  • @FredrickSutta
    @FredrickSutta Месяц назад

    Nyie watu wa Simba akili tope mwisho mtasema makombe yanga mabaya

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 Месяц назад

    Nakukubali mchambuzi

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 Месяц назад

    Msimu huu Yanga itakuwa tishio

  • @mercyfrancis3111
    @mercyfrancis3111 Месяц назад

    Kwa numbers huyu mchambuzihatari sana

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu7596 Месяц назад +2

    Max amemaliza na bao 11 na sio 9

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y Месяц назад

      Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y Месяц назад

      Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC

  • @user-ln9tk3qr2r
    @user-ln9tk3qr2r Месяц назад

    😊

  • @bishopmgambomwenyecheo4610
    @bishopmgambomwenyecheo4610 Месяц назад +1

    Hii yanga ya msimu huu kuna mtu atakula 10

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e Месяц назад

    Nilikuwepo live uwanjani...yes nakukubali kwa ufafanuzi...

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

      Acha uongo,,uwe mbadala useme ulikuwa nao jmn😂😂😂😂

  • @fahimkhalifa5904
    @fahimkhalifa5904 Месяц назад

    Timu ya Yanga ni bora sana lakini wachezaji wasijiamini sana wakaanza kucheza kistaa timu zote zimejiaanda na wanataka kuonyesha uwezo wao

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Месяц назад

    Hongera Mbwaduke kila mtu anavyoithamini kazi yake,kazi pia itamthamini

  • @sadickcheyo2324
    @sadickcheyo2324 Месяц назад

    NAMI nmemkubari hyu jamaa

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Месяц назад

    Kazi wanayo madunduka walipokwenda kujifunza kuogelea na si mpira😅😅

  • @user-ln9tk3qr2r
    @user-ln9tk3qr2r Месяц назад

    7:40😊 6:40

  • @EmanuelAman-qb9zx
    @EmanuelAman-qb9zx Месяц назад

    Mbwaduke hajawahi kuichambua yanga kwenye mechi yote yanga ikafungwa kama ipo nikumbusheni Hata Jana angesimama upande wa yanga tungeshainda nakuelewa sana kaka

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 Месяц назад

    🔥🔥💛💚

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl Месяц назад

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    JAmani mi nawapenda washabiki wa Simba wanaoongea mpira uwanjani,sio Comediany

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Месяц назад

    💛💚💛💚👍👍

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 Месяц назад

    Kila Siku Mi Nasema Huyu Ndio Mchambuzi Wale Wengine Ni Wacha Ng'ombe😂.

  • @rubanimponzi8259
    @rubanimponzi8259 Месяц назад +2

    Naona tarehe 8 kuna 8

    • @f.a6043
      @f.a6043 Месяц назад

      Yes kutakua na vyura 🐸 8👈🏽😂

    • @saumbakar7643
      @saumbakar7643 Месяц назад

      ​@@f.a6043magoma FC kazi mnayo dadeki

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 Месяц назад +3

    HATA KAMA HAWAKUWA VIZURI UWEZI KUIFANANISHA NA SIMBA

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el Месяц назад

    Simba nayo timu unasema huwezi fananisha na simba

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Hata mimi naigopa kabisaaa

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le Месяц назад

    Wajipange kufungwa Fungwa Funga Funga karudi likizo

  • @user-pg5to7xq5g
    @user-pg5to7xq5g Месяц назад +1

    uko vzuri kwapembuzi dada vuzi..

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Tinu ya damu changa😂😂😂

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla Месяц назад

    Broo game nimeangalia yote ila sifa nyingi unwapa yanga ni uongo unaanza kunidanganya

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t Месяц назад +1

      Huyu hanaga tabia za kusifia hovyo bali atakwambia ukweli ambao utakuweka huru na mapungufu ya tim pia utayajua

  • @johninnocent3270
    @johninnocent3270 Месяц назад

    Kwa Mimi mwenye e flat nimekuelewa sana

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf Месяц назад

    I Chambue na azam

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa Месяц назад

    Na azizi kii aligonga mwamba

  • @shabanimuya1878
    @shabanimuya1878 Месяц назад

    hata simba sasa tanzania ni timu b utaiona tarehe 8 utajua Aug ni timu b

  • @boniphacemwasambungu
    @boniphacemwasambungu Месяц назад

    Tunadeni nao

  • @Issanuru83o
    @Issanuru83o Месяц назад

    Simba wasilete timu

    • @f.a6043
      @f.a6043 Месяц назад

      Ushindi wa 🐸🐸🐢🐢 ni kufungwa 2-1

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr Месяц назад

    nakubal san

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Месяц назад

    Ww kolo chakavu,acha wivu

  • @abuuomari2377
    @abuuomari2377 Месяц назад

    Max msimu ulioisha alimaliza akiwa na goli kumi na moja sawa na saidoo ntibazonkiza

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y Месяц назад

      Ni kweli aisee. Mzee wa Data ameteleza kidogo na ndiyo maana wameomba radhi hapo juu.

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 Месяц назад

    mbwaduke nimekuvulia kofia unajua boli wewe

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m Месяц назад

    Kama usburg wangekuwa silius kama yanga ingekuaje?

  • @faroukwamba
    @faroukwamba Месяц назад

    🔥 📛 👨‍🚒 🚒 🧯

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Mi katiaka wachambuzi mi huwa nakuamini wewe tu Mchungaji wa data

  • @user-gn4lc5sk6p
    @user-gn4lc5sk6p Месяц назад

    Mimi sijaona mpira wa maana jana.Zaidi ya kukimbiza kimbiza tu.Na wale jamaa hawakuwa na pressure.Kama walijua wanacheza na mandondocha.

  • @SilmanOfficial-ss6oq
    @SilmanOfficial-ss6oq Месяц назад

    Je, Augsburg waliweka first 11 yao dhidi ya Utolopo iliyoweka first 11 yotee!? 😂😂

  • @mussahassan8751
    @mussahassan8751 Месяц назад

    Mzee wa data umeanza kuzingua hamna mpira walocheza yanga hapo walikuwa wanajikanyaga tu

  • @madmaxx1180
    @madmaxx1180 Месяц назад

    Ukweli ni kua Augusburg iliofanya vibaya bundesliga ilichezesha vikosi B na C,bado Tanzania tuko nyuma sana kwenye mpira

    • @Lubida
      @Lubida Месяц назад +1

      Kwa taarifa kikosi cha kipindi cha pili cha Augsburg ndicho kikosi cha kwanza kule Bundesliga yaani kikosi chao cha kwanza

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 Месяц назад +1

      Nitajie first eleven ya augusburg ambae unahs n kkos B

    • @Raphael51312
      @Raphael51312 Месяц назад +2

      Usiongee kw kukalili

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 Месяц назад +2

      Muda ni hakimu mzuri kitaeleweka tarehe 8 na kuendelea

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 Месяц назад +1

      Duuh unachuki na yanga ukiwa pade ipi

  • @user-nm8my6ff5o
    @user-nm8my6ff5o Месяц назад

    Yanga is the best club in Africa

  • @sadickcheyo2324
    @sadickcheyo2324 Месяц назад

    Kachambua vizuri

  • @dullahcelly2870
    @dullahcelly2870 Месяц назад