Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

HAWA HAPA WACHEZAJI WATATU HATARI ZAIDI KATIKA KIKOSI CHA SIMBA KWASASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • Simba imefanya usajili wa wachezaji wengi wa kigeni na kwa kulitambua hilo Simba Pro tumefanya tathmini ya wachezaji watatu hatari zaidi ambao Simba wamefanikiwa kuwasajili katika dirisha hili la usajili
    Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kujiunga

Комментарии • 46

  • @HamisiMakela
    @HamisiMakela Месяц назад +5

    Asante kwa usajiri bora mungu atupe nguvu na afya ya akili dhidi ya msimu mpya 2024/25

  • @JosephTimotheo-t4j
    @JosephTimotheo-t4j 25 дней назад +1

    Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel9064 Месяц назад +3

    Simba itengenezwe na viongozi kwa nguvu ya mungu

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Месяц назад +2

    Watateseka sana sisi atusajli Tim tunasajili mchezaji moo amesha Sema ad watubu

  • @DaudiMkama-k6f
    @DaudiMkama-k6f Месяц назад +2

    Mungu ainatiki Simba yetu na Mimi naomba mniunge kwenye group la Simba nguvu moja

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Месяц назад +12

    MUNGU atusaidie wanasimba yanga wasituroge tuwe na msimu mzuri

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright Месяц назад +3

    SIMBA FOR LIFE ❤

  • @user-ol8xg4ez3i
    @user-ol8xg4ez3i Месяц назад +2

    Maana kweli ynga wachawi mno,,tusiwasifu sna,,wakae wakijua wameajiriwa ,,tusiwasifu sna tusije aibika..mungu atusaidie.

  • @ShadrackSonga-v6f
    @ShadrackSonga-v6f Месяц назад +3

    🎉mungu tusaidie wanasimba tufikie malengo yetu kwny mpira

  • @allyrugaba
    @allyrugaba 17 дней назад +1

    Msimu huu ni wa simba

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 Месяц назад +2

    Damu ya YESU iwafunike Wachezaji na Bench lote la ufundi

  • @irfaanhasham1346
    @irfaanhasham1346 Месяц назад +3

    Simba tuliamini simba bila chama bila inonga bila manula siyo simba sasa wale waliamini hivyo walikosea tuombe uzima mtaiona simba mpya mpaka mtasahau kama tulikua na hao wasaliti simba nguvu moja

  • @user-vt4bx1xl7j
    @user-vt4bx1xl7j Месяц назад +2

    Mimi nahitaji kujiunga na gruop la simba

  • @zainabuShabani-x9c
    @zainabuShabani-x9c Месяц назад +1

    Mungu awe pamoja nanyi

  • @user-oi5zh5zh7j
    @user-oi5zh5zh7j Месяц назад +3

    Mwenyenzi Mungu akawalinde wachezaji wetyu na utimamu wao ukawe na mwendelezo bora

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el Месяц назад

    Safii bana niungeni kwenye group lá simbaa

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io Месяц назад

    Simba mpya tunaitumaini Dana mola tusaidie

  • @lucastungera4495
    @lucastungera4495 25 дней назад

    Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Месяц назад

    Dula nakuelewa kinyama wwe ni noma sana aisee

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 21 день назад

    Zouzou na mzize wasajiriwa kolo, ni kweli?

  • @thomasdesta939
    @thomasdesta939 Месяц назад +1

    Watu wa Mungu hawarogi wala hawarogwi hivyo tumuombe Mungu awe upande wetu

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa Месяц назад +2

    mutuletee azizik na fei toto basi goma inatembea

  • @IsakaMiseho
    @IsakaMiseho 21 день назад

    Niunge kwenye group ya simba

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys Месяц назад

    Haw wachezaj ni bor lakin yang wachaw san watashindw kwa jin la yes

  • @user-hu3kb4qi2t
    @user-hu3kb4qi2t Месяц назад

    Naitwa jonas zabron naomba na mm mniunge kwenye hilo grop la simba yetu

  • @user-uj1pj3wr6y
    @user-uj1pj3wr6y Месяц назад

    🎉 na wewe pia

  • @ErastoMapunda-rj1mj
    @ErastoMapunda-rj1mj Месяц назад +1

    Naomba nijiunge😅

  • @anyagenyekalangali-zt1xo
    @anyagenyekalangali-zt1xo Месяц назад

    Nilikuwa napita tu

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 Месяц назад

    safi sana

  • @AbuuLugala
    @AbuuLugala Месяц назад

    Mungu yup nas

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 Месяц назад

    Watuletee aziz

  • @EdigaKambimtoni
    @EdigaKambimtoni Месяц назад

    najuwa Kijiji bala kichaa bado siyo Kijiji namabo ambayo ayakuusu ya nin utafatilie fata yako awa jamaa wanaizugumziya Simba siyo timu nyengine

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io Месяц назад

    Naomba kujiunga na group

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa Месяц назад

    niue gulupu simba

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru1990 Месяц назад

    Wasiongee kusema Simba wamechukuwa wachesaji ambae wametoka kwenye timu ambae zimekuwa kwenye nafasi ya chini,mbona Simba amekuwa nafasi ya 3 lakin wamemchukuwa chama,

  • @browntv1119
    @browntv1119 Месяц назад

    hatari mliwaona wapi acha tuwaone

  • @vicengelime4580
    @vicengelime4580 Месяц назад

    Mziki mnene wenye kijan mjiandae

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji 28 дней назад

    Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba

  • @user-pi4dv3oh1u
    @user-pi4dv3oh1u Месяц назад

    Mm ni mnyama Nina kupongeza Kwa kutoa ufafanuzi

  • @hamisnagave-bl1sq
    @hamisnagave-bl1sq Месяц назад

    Group lenu la whatsapp mbona ukituma sms hamjibu

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l Месяц назад +1

    Niunge