CHECHE ZA ABUYA BAADA YA KUKIWASHA | KOCHA AUGSBURG APIGIA SALUTE YANGA | GAMONDI APIGILIA MSUMARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #Augsbueg #PreSeason #SouthAfrica

Комментарии • 438

  • @RodgersMutuku-bi6lw
    @RodgersMutuku-bi6lw 2 месяца назад +86

    Huyu abuya aliifuga Everton in kenya against kariobangi sharks ❤we do love yanga in 🇰🇪 wapi likes za yanga

  • @John-sz9je
    @John-sz9je 2 месяца назад +238

    Mambo ya injiniaa mme yaonaaaaaaaaa hebu kama unaikubali timu yetu gonga like hapaaaa. Yangaaaaaaa rahaaaaa

  • @TwahaAliMtumbi
    @TwahaAliMtumbi 2 месяца назад +77

    Nzengeli na Abuya walikuwa watu kweli hawana baya. Bless kwao

    • @RamseykingGenius
      @RamseykingGenius 2 месяца назад

      😂😂🤩✊🏿✊🏿👉🏿💪🏿💪🏿

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад +37

    Hongereni nyote wachezaji kocha na uongozi mmetuburudisha sana MUNGU awe nanyi na mzidi kufanikiwa katka kila hatu🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤

  • @deusdeditkullwah5586
    @deusdeditkullwah5586 2 месяца назад +31

    Sina ninachowsdai yanga wamecheza mpira tuliouhitaji Hongera timu hongera uongozi hongera kocha

  • @OmarySalimu-rj2yr
    @OmarySalimu-rj2yr 2 месяца назад +290

    Viva Yanga like za Max Nzengeli zije nyingi😂😂

    • @wanahawaShaban
      @wanahawaShaban 2 месяца назад +6

      Huyu mwamba Leo kanifurahisha sanaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад +4

      Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉

    • @OmarySalimu-rj2yr
      @OmarySalimu-rj2yr 2 месяца назад +1

      @@amaniomar1755 respect Max✊

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 2 месяца назад +69

    Duke abuya na Aziz andambwile wakijenga chemistry yao itakuwa pacha Moja hatar sana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 месяца назад +2

      Waongeze ubora na umakini ... Maana pacha ya Dr na muda boy ni superb .... Ila abuya na andambwile ni watu Sana

  • @bakarimohammed9851
    @bakarimohammed9851 2 месяца назад +51

    Tunawapongeza sana sana team mzima mechi ya kwanza kucheza na team kubwa, is not easy guys 💐💐💪💪💪

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 2 месяца назад +66

    tumeridhika na kiwango cha Yanga yetu mwalimu atafanya malekebisho atakapoona alekebishe lakni hongera🎉🎉🎉

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 2 месяца назад +38

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 2 месяца назад +61

    Hongera sana Yanga Africa mmepiga Soka bora sana

  • @saumbakar7643
    @saumbakar7643 2 месяца назад +26

    Timu yangu inaubora hatari mnooo💚💚💛💛 mungu azidi kuwatia nguvu furahaa iendelee msimu ujao kwanzia tarehe 8 roho zikawa hai🙏🙏🙏💚💛💚🤲🤲🤲🤲

  • @MajutoIbrahim
    @MajutoIbrahim 2 месяца назад +49

    Leo nimeelewa kwann yanga Africa hakika tumewakirsha vzur Africa💚💚💚💚💚💚

  • @simonprosperity9573
    @simonprosperity9573 2 месяца назад +11

    Binafsi sina cha kuwadai my best team Yanga Africans u played well ❤

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад +18

    Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko. Msiinamishe vichwa mumepambana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ElizabethMwaisunga
    @ElizabethMwaisunga 2 месяца назад +16

    Mungu uwalinde wachezaji wetu wawe salama tuzidi kufanya vzr👏👏👏🤲🤲

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +19

    Hongera abuya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 2 месяца назад +8

    Mungu ni mwema na matokeo haya ni upendo wake kwetu. Tunamshkuru saana. Amina.

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf 2 месяца назад +16

    Japo kuwa Ila wanahume mmekipiga mungu azibariki kazi zenu daima mbele nyuma mwiko

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +17

    Hongera dicson jobe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @erastokitime8835
    @erastokitime8835 2 месяца назад +15

    Job anajua sana kuongea na midia 👍👍👍👍

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад +16

    Duuh allah atujalie uzima mashabiki na wachezaji wetu walai tumefungwa ila nimefurahi kinoma get well soon boka unakitu msimu huu tutafurahi sana

  • @misambo7539
    @misambo7539 2 месяца назад +125

    Wakuu kiukweli kabisa kutoka moyoni tuna timu nzuri sana Hivi mmemuona Dube? Hivi mmemuona Baleke? Mmemuona Nzengeli nyie nyie. Gongeni like kuwapa support wachezaji wetu.

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 2 месяца назад

      Sijamueka pakome wala aucho😂😂 sa itakuaje !?

    • @misambo7539
      @misambo7539 2 месяца назад

      @@gabapentin8070 ni balaa tupu blaza

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 месяца назад +9

    Mashaallah Alhamndulilah kwakiwango Kizuri kwenye Timu yetu namuomba M/Mungu atuzidishie zaidi Inshaallah

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 2 месяца назад +8

    YANGA OYEEEEEEEE RAHA KAMA ZOTE.KIKUBWA DUA TU. TUMEINJOY. FROM💯💯💯🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 OMAN. DUA KWA WACHEZAJI WETU NA VIONGOZI KWA UJUMLA👏👏👏👏👏

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 месяца назад +21

    Pila Gamondi linaendelea vizuri 💚💛

  • @kiondosaimon6149
    @kiondosaimon6149 2 месяца назад +28

    Huyooo Abuyaa ukimuangaliaa kwa mbalii kama Maino hv wa England. Safii sanaaa timu boraaa Yanga 💯💯

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +20

    Daima mbele nyuma mwiko is 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 2 месяца назад +33

    Thus my best team, i love you yanga, umwaaaaaaa

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 2 месяца назад +28

    "young Africans played well in the second HALF they could equalize(Yanga walicheza vizuri ktk kipindi cha pili wangeweza kusawazisha),, maneno ya KOCHA wa timu ya ligi kuu UJERUMANI

  • @mselawataifa
    @mselawataifa 2 месяца назад +10

    Azizi andambwile the game changer duke abuya,max, baleke, dube, kocha anakazi.

  • @akaniwa04tv35
    @akaniwa04tv35 2 месяца назад +27

    Yanga Mungu awainue mko vizri Sana

  • @deniswilliam4486
    @deniswilliam4486 2 месяца назад +36

    Tuna team wananchi

  • @eduardogodian6861
    @eduardogodian6861 2 месяца назад +11

    Great Performance on Game 1 of Pre season,, Bright future ahead

  • @SamirAmandus
    @SamirAmandus 2 месяца назад +101

    Team tunayo na tunatamba nayo asiee

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 месяца назад +5

      EWAAAAAAA💛💚💛💚🙌🙌

    • @saumbakar7643
      @saumbakar7643 2 месяца назад +4

      Umeonaeee💚💚💛💛

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +13

    Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @neemaadam9256
    @neemaadam9256 2 месяца назад +7

    Sii haba, something is better than none, YANGA Hoyeeeee 👏🏽💛💚💛💚

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +13

    Hongera dicson jobe

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 месяца назад +14

    ❤❤❤❤yanga hii jaman tutafika mbali sana inshallah

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 2 месяца назад +19

    daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 2 месяца назад +2

    💛💛💛💛💚💚💚💚🙏🙏🙏.......Hatunaga baya,......tunafurahi saaaana.......Mungu atatusimamia.

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 2 месяца назад +46

    Great job, mjeremani kaomba mpira uishe tu maana pumzi ya moto iliwashukia

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 2 месяца назад +6

      Dk za mwisho ndio ilikuwa hatari ndio wangeanza hivyo hingekuwa hatari zaidi

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 2 месяца назад

      @radhiamussa1629 yes lkn kimbinu hapo Gamond Kuna code kazificha tarehe 8 siyo mbali😀😀😀😀😀yeye anasema I told my team to enjoy football ndo maana wala hakuonekana kuelekeza chochote

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 месяца назад

      Kuna mchezaji wao wajerumani alikwenda kumwuliza mbona muda hauishi, akamwonyeshea stop ⏱

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 2 месяца назад +63

    Gonga like za habuya hapa🙌💚💛💛🇿🇦🇹🇿

  • @AlmachNestory
    @AlmachNestory 2 месяца назад +36

    Tuna timu nzuri, kesho yetu wana familia wa Yanga Sc ni bora zaidi kuliko leo, Yanga Sc chini ya master Gamondi iko mikono salama kabisa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.

  • @gracemusa31
    @gracemusa31 2 месяца назад +34

    Hii ndio yanga timu ya wananchi💚💚💛💛

  • @hashimurashidi6573
    @hashimurashidi6573 2 месяца назад +3

    Asante yanga asante wachezaji kwakujituma kiukweli mmeonyesha kitu ASANTE VIONGOZIWETU KWKUIFANYA YANGA IWEKUBWA AFRICA.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 месяца назад +16

    Kazi Iendelee akhui mazoezi mazuri tunawaombea kila la kheri wananchi

  • @ShiitaMisambo
    @ShiitaMisambo 2 месяца назад +257

    Wananchi asiwadanganye mtu hii Yanga inabeba kila kitu msimu ujao kwenye NBC na Africa lazima tucheze fainali au nusu fainali. Gonga like kama unakubali.

    • @akimAkimuWA-m3t
      @akimAkimuWA-m3t 2 месяца назад +5

      Wazungu hamuwawez

    • @akimAkimuWA-m3t
      @akimAkimuWA-m3t 2 месяца назад +2

      Simba ndiohuainawaweza wazungu siosisi yanga

    • @akimAkimuWA-m3t
      @akimAkimuWA-m3t 2 месяца назад +2

      Simba ndiohuainawaweza wazungu siosisi yanga

    • @FIDELISMfugale
      @FIDELISMfugale 2 месяца назад +1

      INAbeba MPAKA mimbaa

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 месяца назад +2

      ​@@akimAkimuWA-m3tUbuntu kajifunze kusoma

  • @alenichungu2666
    @alenichungu2666 2 месяца назад +25

    Team tunayo

  • @fatumamlula4484
    @fatumamlula4484 2 месяца назад +1

    Hakika vijana wameonyesha kiwango kizuri mungu ibariki yanga ❤❤

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 2 месяца назад +1

    Hongereni sana wachezaji wetu u really did the best 🎉🎉🎉

  • @MijikendaArts
    @MijikendaArts 2 месяца назад +1

    Duke pambana mwanakwetu team 🇰🇪🇰🇪tuko pamoja na wewe.....all the best brother.....like zenu tunaotoka Kenya

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +6

    Hongera diara 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EvaristMsita
    @EvaristMsita 2 месяца назад +37

    Job,,,,,kidogo tu wamuuuwe sio kwa moto ule 😂😂😂but hongera My TeAm

    • @emmanuelodiembo
      @emmanuelodiembo 2 месяца назад +6

      Dah kumbe tuliiona weng but alikipiga nying kipind cha pili😂😂

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 2 месяца назад +5

      Inawezekana kutotulia na pressure alikuwa nayo kipindi Cha kwanza

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад +3

      Exactly kipindi cha pili alitulia akaubonda mwingi

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 2 месяца назад +3

      Alitembelea tumbo chezea mijerumani ww😂😂😂😂😂 Yote kwa yote hongera timu yangu.

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 2 месяца назад +19

    Daa Raha sana

  • @TwahaAliMtumbi
    @TwahaAliMtumbi 2 месяца назад +16

    Young mmenifurahisha mno. Abuya Nzengeli hamna. Baya.. Mtumbi kutoka Berlin Ujerumani

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 месяца назад +1

    Duke abuyu na max mpia nzengeli Hawa ni watu wa kazi mafundi kweli kweli 🎉🎉🎉

  • @bkmshiko1816
    @bkmshiko1816 2 месяца назад +9

    😢😢😢Kocha Gamondi anambinu nzuri na pia inaonyesha kaumia aseeh hasa nafasi ya dube aliyo kosa aseeh mana amesema ingekuwa sale endapo Dube angefunga lakini yote sawa

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 2 месяца назад +9

    Wanainchiiiiiii,Team la Eng,,,achana na mganga magoma ,,,,mpiga lamli

  • @charlesmwaipasi2884
    @charlesmwaipasi2884 2 месяца назад +19

    Yanga tupo moto sana

  • @athmanhassan
    @athmanhassan 2 месяца назад +1

    mimi kipa wetu ananifurahisha hongera sana tim yetu pmj naviongozi kwa ujumla

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 месяца назад +7

    Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @a-lex..
    @a-lex.. 2 месяца назад +15

    Alwatan 🔥🔥🔥

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 2 месяца назад +13

    Great team nice performance

  • @MawazoWilliam-g9l
    @MawazoWilliam-g9l 2 месяца назад +17

    Natokea mkoa wa songwe nimeburudika sana niliimis sana timu yangu nimefurahi.

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 2 месяца назад

    Kikweli Mungu atutunzie nyie akazidi kuwaunganisha muwe na combination nzuri nzuri zaidi yani na boka akapone haraka kwa uweza wake Muumba asikae sana in Jesus name🙏yanga yetu tunajivunia hakika 💪💛💚💛💚🙌🥂👌🔥🔥🥰

  • @lamama.
    @lamama. 2 месяца назад

    sema Job ni wise sanaa kama huwa unamuelewa jiunge nami hapa

  • @perpetuanashon1677
    @perpetuanashon1677 2 месяца назад +1

    Endeleeni kupamba mungu awatangulie katika michezo ijayo ya mashindano mbalimbali 🙏🙏💛💚💪💪🔥🔥

  • @JohnMahenge-u3o
    @JohnMahenge-u3o 2 месяца назад +3

    Naipenda yanga yangu

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 2 месяца назад +9

    Hongera sana

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt 2 месяца назад +1

    Aiseeeh kama una wivu jinyonge Yanga Bingwa

  • @sospeterkashusha7031
    @sospeterkashusha7031 2 месяца назад +31

    Weka like nyingi kwa max maxzingeli

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 2 месяца назад +3

    Yanga jamani hadi raha ❤

  • @SadikiSalumu
    @SadikiSalumu 2 месяца назад +11

    Wa kwanza naombeni like zangu😂😂😂

  • @ModekaiBetina
    @ModekaiBetina 2 месяца назад +1

    Hongera sana Abdulaziz, unamiminika na yeyote tu.

  • @GodfreyKarino
    @GodfreyKarino 2 месяца назад +11

    Maxi ajengewe sanamu kabisa

  • @JamesSambaLengedi
    @JamesSambaLengedi 2 месяца назад

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪🏆🏆🏆🏆🏆

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 2 месяца назад +2

    Nahoza kagaragizwa kwa ajili yetu big up

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 2 месяца назад +2

    Mungu azidi kuwabariki yanga

  • @chemstry409
    @chemstry409 2 месяца назад

    Abdullaziz hongera sana kaka.....

  • @AsifuSule
    @AsifuSule 2 месяца назад +2

    Hiii mechi nimeipenda kwa kweli nimelizka na kiwango cha Yangaa najua kitazidisha juhud mara dufu

  • @rajabumshangama10
    @rajabumshangama10 2 месяца назад +81

    Gonga like kama umepata burdani

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 2 месяца назад +10

    Ninawasiwasi namadu duka yarehe 8 je wareta timu &&___yanga noma

  • @RubenIbrahim-st6dh
    @RubenIbrahim-st6dh 2 месяца назад +292

    Kama umemkubali abuya like zitiririke apa🎉🎉🎉 utulivu mkubwa

    • @yahyanganisyo2150
      @yahyanganisyo2150 2 месяца назад +5

      🎉🎉❤❤😂😂❤❤❤😊😊

    • @akimAkimuWA-m3t
      @akimAkimuWA-m3t 2 месяца назад

      Mbonamnafungwafungwa? Inamaana waliwaalika iliwawafunge

    • @IsakwisaSophen
      @IsakwisaSophen 2 месяца назад +1

      Uyu n fundi mzee

    • @BushiriAlly-d7f
      @BushiriAlly-d7f 2 месяца назад +2

      Abuya n wa nchi gani mazeee

    • @majidabdul-wg8ww
      @majidabdul-wg8ww 2 месяца назад

      @@BushiriAlly-d7f kijana wetu huyo kutokea Kenya...starboy

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 2 месяца назад

    Yanga raha sana tuna jivunia san timu yetu ya uyu mwaka inshallah tuta fika mbali msimu huu

  • @EsterNestory-u2s
    @EsterNestory-u2s 2 месяца назад +2

    He is dangerous man the future of midfield of dar young Africans,,,, congrats man good answers great maturity

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 2 месяца назад

    Honger6 sn Wananchi🎉🎉🎉

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 2 месяца назад

    Daima mbele nyuma mwiko Asante mungu

  • @MohdSaid-ff8lx
    @MohdSaid-ff8lx 2 месяца назад +8

    Kwa jiran na nbc mwaka huu kazi ipo

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 2 месяца назад +20

    Timu Bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿🇹🇿

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 2 месяца назад

    Yanga ni 🔥 🔥 🎉🎉❤❤❤

  • @neemamtenga2687
    @neemamtenga2687 2 месяца назад

    Great work team yetu. MUNGU awatunze❤

  • @haifamiraji6483
    @haifamiraji6483 2 месяца назад

    Jamani mmecheza vizuri sana wenye visokoro kwinyo watakufa siku c zao yanga bingwa daima.

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 месяца назад +11

    Wanainchi tuna timu wapinzani wajipange💛💚💛💚💛💚💛

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 2 месяца назад +7

    Ongera alwatan

  • @SaidatySalehe
    @SaidatySalehe 2 месяца назад +8

    Mechi nzur sana

  • @zawadichoma7515
    @zawadichoma7515 2 месяца назад +18

    Huyu abuya ni hatari

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 2 месяца назад

    Wananchiiiii let's Gooooo Pamoja 💥🔥💯💫💚💛🌟

  • @TomasJohn-v7e
    @TomasJohn-v7e 2 месяца назад

    nashukur sana kwausanjl huu watateseka sana

  • @drom_inthehouz
    @drom_inthehouz 2 месяца назад +12

    Augsburg wanabahati Pacome hakuwepo, angewavuruga madefenders