ISARITO na MULKY wafunguka CHANZO PENZI LAO KUKOLEA JUA KALI NDIO CHANZO? UKWELI NI HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 дек 2023
  • East African number one RUclips channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 105

  • @charlesfranksaid3903
    @charlesfranksaid3903 Месяц назад +1

    nice answers from Isa

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 6 месяцев назад +8

    Mtangazi Yuko vzuri ❤❤❤

  • @mozeslyricstz720
    @mozeslyricstz720 6 месяцев назад +6

    Mtangazaji anajua .... 👍👍

  • @user-lp4ct1dk7x
    @user-lp4ct1dk7x 5 месяцев назад +2

    Hongeraaaa sana Luck ,nampenda sana Femi

  • @msengiester7260
    @msengiester7260 6 месяцев назад +2

    wat a chemistry❤

  • @user-pr6jq1st1q
    @user-pr6jq1st1q 6 месяцев назад +4

    Hongereni sana kwa hatua nzuri

  • @nurumohamed5830
    @nurumohamed5830 6 месяцев назад +5

    Nice couple Luka na Femi❤❤❤

  • @Hadijamaokola-jt6sw
    @Hadijamaokola-jt6sw 6 месяцев назад +3

    Nawapenda sana nyie watu Kwakweli ❤❤❤❤

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 6 месяцев назад +5

    Mtangazaji uk vizur kwa maxwal

  • @user-rv2tl4ud4h
    @user-rv2tl4ud4h 5 месяцев назад +1

    wawooo hongera sana mmependeza sana

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 6 месяцев назад +23

    Femi akipaka simple makeup anapendeza mno. Akizdisha kama hv anaonekana mtu mwingine. Mpaka mashavu hayana nyama

  • @user-wj8xu7vb4u
    @user-wj8xu7vb4u 6 месяцев назад +5

    Kumbe Luka unajua kuongea vzur tuuu why Kwa juakali unadeka dekaaaa 😂

  • @nacyfloflo9494
    @nacyfloflo9494 6 месяцев назад +3

    Nice couple ❤❤

  • @user-pr6jq1st1q
    @user-pr6jq1st1q 6 месяцев назад +3

    Hongereni sana sana femi singida unaiwakilisha vizuri tukipenda tunapenda kazi nzuri

  • @user-tr2zp5ws1d
    @user-tr2zp5ws1d 5 месяцев назад +1

    Nice❤❤❤❤❤

  • @MosesDarius-p7f
    @MosesDarius-p7f 13 дней назад +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ good

  • @SurprisedAstroStation-ye3lf
    @SurprisedAstroStation-ye3lf 5 месяцев назад +1

    Hongeren san mmependeza mno🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-pb4ym9vc7b
    @user-pb4ym9vc7b 6 месяцев назад +2

    Mtangaz yuko vzr

  • @khalidjafary1120
    @khalidjafary1120 6 месяцев назад +2

    Nimependa namna ya maswali ya muulizaji😂❤❤❤❤

  • @AsminYessau
    @AsminYessau 6 месяцев назад +2

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 6 месяцев назад +1

    nawapendasana lukanakupenda flm zako km Sanura umeupiga kaka

  • @teddyibrah8227
    @teddyibrah8227 5 месяцев назад +1

    Mtangazaj yuko vzr sanah

  • @IreneRashid
    @IreneRashid 2 месяца назад +1

    Mtangazaji poa sana

  • @user-tr2zp5ws1d
    @user-tr2zp5ws1d 5 месяцев назад +1

    Nawappendaaaa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @elibarikimwanyama7246
    @elibarikimwanyama7246 6 месяцев назад +8

    Majibu ya Luka ni unyama sana

    • @lucasmlingi6590
      @lucasmlingi6590 5 месяцев назад

      𝑳𝒖𝒄𝒂𝒔 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒋𝒖𝒂 𝒌𝒖𝒄𝒉𝒂𝒈𝒖𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒘𝒆𝒍

  • @fatumamohamed4545
    @fatumamohamed4545 5 месяцев назад

    Dah nakubali mmependezana sana

  • @LeylaAbuu-hv8up
    @LeylaAbuu-hv8up 5 месяцев назад

    Nice mko vizuli❤

  • @user-wo9ko4wp5h
    @user-wo9ko4wp5h 3 месяца назад +1

    Nampenda ruka na femi ❤

  • @AshuraAhmed
    @AshuraAhmed 6 месяцев назад +3

    Mtangazaji uko good❤❤

  • @emmanuelmarkmushi9344
    @emmanuelmarkmushi9344 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @AishaAbasi-ii9po
    @AishaAbasi-ii9po 6 месяцев назад +5

    Femi usipopaka makeup unakuwa bomba sana

  • @user-ye1ij5wu2s
    @user-ye1ij5wu2s 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @user-uv9iz6rx4g
    @user-uv9iz6rx4g 6 месяцев назад +2

    Luka na femi ni wapenzi ila isarito na mulky siyo wapenzi

  • @user-ru6bx6sx2p
    @user-ru6bx6sx2p 5 месяцев назад +1

    Dada kubal tu kuolewa bc na Lukac❤❤

  • @musondolirobert3922
    @musondolirobert3922 3 месяца назад +1

    Wanapendeza

  • @johnfrancknzojibwami2779
    @johnfrancknzojibwami2779 6 месяцев назад +2

    Mecap ya fhemi ilimfhany anamuonekano wa kuzehek😮

  • @zaitunimanjonjo1346
    @zaitunimanjonjo1346 6 месяцев назад +3

    Jaman hvo vpodoz mmmmhhh mnakuwa km wadudu

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 6 месяцев назад +4

    Zahara uko vizuri kwakutangaza

  • @user-lp3ho7le1j
    @user-lp3ho7le1j 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-cx6xt4pm8u
    @user-cx6xt4pm8u 6 месяцев назад +2

    Mtangazaji yupo vzr mno apewe maua yake

  • @charlesmgala9684
    @charlesmgala9684 6 месяцев назад +3

    Luka na Femi ni wapenzi ila siyo Isarito na murky

  • @rashidakimaro7407
    @rashidakimaro7407 6 месяцев назад +1

    Mwandishi upo vizur❤

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 6 месяцев назад +4

    Mulky wajina wa mwanangu

  • @peterchikwakara5614
    @peterchikwakara5614 6 месяцев назад +3

    Femi jaman paka simple make up maan hapo yaaaan hat sura yako haipo s laisi mtu kukutambua kirahisi

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 6 месяцев назад +1

    Mtangazaji apewe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 6 месяцев назад +1

    Couple nzuri jamani❤

  • @udakumtamu7224
    @udakumtamu7224 5 месяцев назад

    Ongelenii

  • @rosedagnocutegirl
    @rosedagnocutegirl 6 месяцев назад +1

    My boo Zahara ❤

  • @WestCoastWeaponsTz
    @WestCoastWeaponsTz 6 месяцев назад +1

    Kumbe wameachana na Juma mahadhi ( msondo ) kazaa nae mtoto. Du wanawake hawa kisa jamaa kaachwa yanga yupo geita gold.

  • @musondolirobert3922
    @musondolirobert3922 3 месяца назад +1

    Sasa mi izi siku zite najua luka na femy ni bibi na bwana

  • @user-yj9hc6pn1d
    @user-yj9hc6pn1d 6 месяцев назад

    Acha izooo

  • @shanilingenju3513
    @shanilingenju3513 6 месяцев назад +15

    Luka kavaa nguo za Maria za kazin😅

  • @IreenMnzava-tw5yz
    @IreenMnzava-tw5yz 6 месяцев назад +1

    😁😁 Luka kanifrahisha majibu yake

  • @MIDETV-ph1jh
    @MIDETV-ph1jh 5 месяцев назад +1

    Hakika mnatoshana

  • @user-se4tm2bw2b
    @user-se4tm2bw2b 6 месяцев назад +19

    Luka kumbe ww muongo kuna siku uliojiwa ulimkana femi Leo kwa vile uko nae ndo umesema ukweli haya sawa hongeleni

    • @leonardally2111
      @leonardally2111 6 месяцев назад +3

      Amesema Luka na femi ni wapenzi ukumbuke Luka na femi katika juakali wanacheza seen ambayo inaonyesha kwamba wao ni wapenzi.

    • @user-se4tm2bw2b
      @user-se4tm2bw2b 6 месяцев назад

      @@leonardally2111 haya sawa

    • @neykidoti102
      @neykidoti102 6 месяцев назад +3

      Yes, ndo wanacho maanisha but kiuhalisia kwa nje ya jua kali kila mtu ana maisha yake 🙏

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 6 месяцев назад

      Ndio wakaitwa wasanii eti😂😂😂mambo Yao kisanii sanii tuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @AtupokileEliass
      @AtupokileEliass 6 месяцев назад +1

      Msipende lawama guys tambuen time goes around, jibu la jana si lazima lifanane na la leo coz maisha yanabadilika ....Kuna watu leo ni maadui usishangae kesho ukikuta ni Wana ndoa ..hivyo msimuhukumu Luka kwa jibu la jana ikiwa leo ni siku nyingine.

  • @martinahmwinzi5244
    @martinahmwinzi5244 6 месяцев назад +8

    Femi ukiwa una make up uko mrembo zaidi❤

    • @user-nz5gj9lz1n
      @user-nz5gj9lz1n 6 месяцев назад

      Umeonaee apendezi akimakeup

    • @csato9415
      @csato9415 6 месяцев назад

      ​@@user-nz5gj9lz1n Akiwa una ua huna kutokana jibu lako...au mimi ndio sielewi!

  • @EvelynBukuru
    @EvelynBukuru 6 месяцев назад +1

    Make up inamutowa vibaya ka ma kazeheka 😅

  • @sadickmwasilembo3310
    @sadickmwasilembo3310 6 месяцев назад +2

    Luka na Femi ni wapenzi.

    • @neykidoti102
      @neykidoti102 6 месяцев назад

      Ndio kwenye JUA KALI but kila mtu ana mahusiano yake😊

  • @EsterMwalongo-yp8in
    @EsterMwalongo-yp8in 6 месяцев назад +3

    femi anapendeza bila mecap

  • @annertz9969
    @annertz9969 6 месяцев назад +1

    Make up umekuzeesha 😂

  • @erlindabernard9878
    @erlindabernard9878 6 месяцев назад

    Tanzania filamu festival 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @IrenMushi
    @IrenMushi 6 месяцев назад +1

    paka make up ya kutosha uprndendeze🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o 6 месяцев назад +1

    Acheni wivu femi kapendeza usoni

    • @zulfayusra8747
      @zulfayusra8747 6 месяцев назад

      Ata vazi nampenda huyu buree dada jaman

  • @edinamathews7717
    @edinamathews7717 6 месяцев назад +3

    Wanafik uyo femi sialisema kua anamtuwake

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 6 месяцев назад +1

      Ndo huyo sasa huyo mto kwani kuna ulazima lazma aseme kua niluka hamuachi nanyie

    • @neykidoti102
      @neykidoti102 6 месяцев назад +5

      Luka na Femi ni wapenzi yaan kikazi an kwenye JUA KALI but Isarito na Mulky ni watu tofauti coz kila mtu ana mahusiano yake ndo nilivo elewa mie😊

  • @user-be5ll3js5p
    @user-be5ll3js5p 5 месяцев назад +1