MIMI MARS AFUNGUKA SABABU ZA KUONDOLEWA KWENYE TAMTHILIA YA JUA KALI NA LULU KUCHUKUA NAFASI YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2024

Комментарии • 144

  • @user-fm8cx2rl1p
    @user-fm8cx2rl1p Месяц назад +10

    I can't wait series itakayofuataa tukuone tena
    Mimi mars lov you Soo much❤

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +20

    Mimi mars KISU bana nakapenda long time❤
    Ila hata lulu wangu NAMPENDA ❤

  • @user-oj3zs9gu3h
    @user-oj3zs9gu3h Месяц назад +25

    Wewe unaehusisha jua kali na mada za kanumba usiongee ukajisahauu
    Msisababishe lulu aka kosa ujasili
    Sio powa bwana

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Месяц назад +2

      Ni kipi ambacho hakipiti embu mwacheni awe na amani na kz zake

  • @bahatimngwale7902
    @bahatimngwale7902 Месяц назад +4

    Kiukwel sema tu ndyo hivyo matatizo kaumbiwa mwanadam,,,hakuna jinsi,ila tatzo la kubadilika kwa wahusika waliozoeleka mwanzo hupoteza uondo kwa sisi wafuatiliaj,na kwenye nafas ya muhusika kuna ving upungua,,,tumeona kwa bili haijakaa sawa saiz maria,,,ila tunashukuru jahaz linasonga,,,hili nalo litapita na tutazoea kama la Neyla wa unty zai🙏🙏🙏🙏

  • @neemaMichael-jh4vb
    @neemaMichael-jh4vb Месяц назад +4

    😂😂😂 JamaniA cheniunonko jamni kilamtu nakipajichake haviwezikufanana hantasikumoja

  • @EdwardMasalu-fx8dh
    @EdwardMasalu-fx8dh Месяц назад +2

    Mm naona lulu yupo saw kabsa make ana play vzur kama Mimi mars

  • @user-iv7ey6sq6i
    @user-iv7ey6sq6i Месяц назад +5

    Iulu muigizaji mzuri sana lakini kwakufiti nafasi ya maria sidhan

    • @EsterAidanmadati
      @EsterAidanmadati Месяц назад

      Sawa ni muigizaji mzuri lakini kwenye nafasi ya maria ni maria mwwnyewe nd alikuwa anIweza

  • @jemakapologwe9044
    @jemakapologwe9044 22 дня назад

    pole kipenzi Mungu akufanyie uponyaji zaidi

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 Месяц назад +2

    Nawapenda wote wanajua sanaaa❤

  • @bestinamafipa608
    @bestinamafipa608 Месяц назад +3

    Pole jamani. Inawezekana . mkono uliumia pia eti eee!?!? Pole kweli.

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Месяц назад +4

    Pole sana jamn mtoto mzuri,MUNGU ni mwema siku zote atakuponya

  • @NEEMATHADEO
    @NEEMATHADEO Месяц назад +5

    Mbona uyu dada anaigiza tuu vzr sana?

  • @Da20nn05y
    @Da20nn05y 22 дня назад

    Nawapenda San wote but Mimi mars kuimba tu na kuigiza unujua.i can't wait to see you again❤❤❤❤

  • @MukeshimanaAbiba
    @MukeshimanaAbiba Месяц назад

    Pole sanaaa Maria wetu Ila kiukwel ulikuwa vizuri basi wakuweke sehemu nyingine hata mara moja moja

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Месяц назад +5

    Mimi mars ni mzuri sana❤❤❤

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +8

    Hata amuige vipi lulu hawezi fanana na mimi mars ana haiba na tabasam la peke yake

  • @wacundirangu1661
    @wacundirangu1661 Месяц назад

    Both are a great talent mmoja who ni sana mwigizaji mwingine mwimbaji kwa asilimia kubwa.

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 Месяц назад

    Pole sana

  • @LevinaLetuc
    @LevinaLetuc Месяц назад +2

    ❤❤❤

  • @user-ny4kh4qs4b
    @user-ny4kh4qs4b Месяц назад

    Nakamiss huyu Mimi mars from kenya

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Месяц назад

    Pole Sana da Mimi mars Mungu akujalie afuen ya haraka😢twakupnda pia❤

  • @CatherineKweka
    @CatherineKweka Месяц назад +2

    Poleee

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3l Месяц назад +3

    Nadhan mmemuelewa maria mwenyew alivosema mnaotunga maneno achen faten nn maria kasema

  • @ChristinaYona-dm7sr
    @ChristinaYona-dm7sr Месяц назад

    Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa 🙏🙏🙏

  • @happyfania9384
    @happyfania9384 Месяц назад +2

    Binadamu midomo mali yenu ila kumsema vibaya dad watu mumezidi tena sana acheni izoo siyo vizurii

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Месяц назад +5

    Shes so beautiful ❤

  • @user-xk2pi8nc8s
    @user-xk2pi8nc8s 9 дней назад

    Pole

  • @user-up7qx5vy1q
    @user-up7qx5vy1q 27 дней назад

    😊

  • @ChristinaYona-dm7sr
    @ChristinaYona-dm7sr Месяц назад

    Jamn pole Sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa🙏🙏🙏🙏🙏

  • @agirlofthegirls2791
    @agirlofthegirls2791 Месяц назад +2

    wote wanaweza kucheza vizuri, meaning wanavaa uhusika vizuri

  • @ZenaisiIsmail-cy3hi
    @ZenaisiIsmail-cy3hi Месяц назад

    Pole sana kipenzii

  • @EMMANUELKIBONA-pu4yw
    @EMMANUELKIBONA-pu4yw Месяц назад

    Nakupenda Xana dadaang❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊

  • @WazaTimothy-kh9ip
    @WazaTimothy-kh9ip Месяц назад +12

    Lulu hawezi kuigiza uhusika wa Mimi mars jmn

  • @ChristinaYona-dm7sr
    @ChristinaYona-dm7sr Месяц назад

    Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hati❤😅mae utakua sawa 🙏🙏🙏

  • @upendomoshi1928
    @upendomoshi1928 4 дня назад

    Mimi mpaka Leo siangaliagi Tena jua Kali nilikua naangalia jua Kali sababu ya maria mlokole

  • @lusajokafuko3450
    @lusajokafuko3450 Месяц назад +5

    Lulu ni muigizaji mzuri na anafanya vizur katika nafas ya Maria....!!

  • @Da20nn05y
    @Da20nn05y 22 дня назад

    Da Lulu unajua kuigiza vizuri Sana endelea hivyo hivyo.

  • @dorcusnsajigwa7499
    @dorcusnsajigwa7499 Месяц назад +7

    Jamn tuachen uongo bila maria Anna fule madevu akuna tena jua Kali tunaomba ulud kwanza wew Ile nafasi yako uliitendea kaz unasuka minyosho no kujilemba no nn sasa lulu anavaa mawig anapaka makap apana jamn

  • @MariamOfficial-ve1yt
    @MariamOfficial-ve1yt Месяц назад +1

    Kwanz nyie mnaongea2 nyie mnge pew hiyonafas mngewez jibu ni msingewezaaaa! bas punguzen midomo

  • @user-ye5jw3kj2j
    @user-ye5jw3kj2j Месяц назад

    Mim mars nakubali sana nakuombea upone awazi kufiti nafasi yako

  • @BahatiMeshack-jb4cu
    @BahatiMeshack-jb4cu Месяц назад

    Hiyo nimipango ya mungu tu,kikk

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Месяц назад +1

    Sasa kuigiza na mziki ipi kazi unatumia nguvu kubwa?😂😂

  • @ECAFEZA
    @ECAFEZA Месяц назад

    Jamani wote wako vizuri Ata lulu ageaza Kisha Maria akakaa nafasi ya lulu Tena mungesema ooò jamani tuna mtaka lulu mturudishie lulu wetu wanadamu bwana

  • @GodilivaSanya
    @GodilivaSanya Месяц назад +3

    Bila maria na kaka freck hakuna jua kali

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад +5

    Lulu ni muigizaji mzuri saaaana, tena saaaana , na ana uzoefu Mkubwa saaaana

    • @user-sf3hq3tl8j
      @user-sf3hq3tl8j Месяц назад

      Nikweli kabisa watu Wana ropoka TU lulu nimuigizagi pia anajua anacho kifanya tumsapot nasiyo kuleta mambo yasiyo usika na kazi anayo fanya

  • @clementineselemani6699
    @clementineselemani6699 Месяц назад +4

    Ndo lulu avae na nguo kama ile ile 😂😂

    • @elizabethdamas-zp9xl
      @elizabethdamas-zp9xl Месяц назад +2

      ndo sare za kazi yake pale kwny ile ofisi

    • @clementineselemani6699
      @clementineselemani6699 Месяц назад +1

      Kwaiyo anatumika peke yake na iyo sare? maana ata nyumbn mimi Marc anakuwaga naiyo vaz

    • @nyamisanachiwanyi7823
      @nyamisanachiwanyi7823 Месяц назад +1

      Hpn wala si ile ya maria ilikuwa na zipu nyeusi hii ni nyeupe...kuweni na machoo

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 Месяц назад

    Pole sana maria nakupenda

  • @pamellaokito9104
    @pamellaokito9104 Месяц назад +4

    Yani mariya kwasasa ana kili nzuri🙄🙄🙄🙄amekuwa kichaa sasa 🙄🙄

  • @irenecherotich4975
    @irenecherotich4975 Месяц назад

    Mimi mas was the best imissher❤

  • @jr.moviesseries3675
    @jr.moviesseries3675 Месяц назад +1

    Lamata hana subra anapenda kukurupuka

  • @leahmwenisongole-yp7id
    @leahmwenisongole-yp7id Месяц назад +2

    Mimi nimezaa jamani siwezi mnyoshea lulu kidole kesho siijui

  • @Official83640
    @Official83640 Месяц назад +1

    Mkono na mguu haupo sawa huyu msione kapendeza tu lkn hivyo vitu havifanyi kz vizuri. Ila kaka Fule kajua kumuobyesha dharau Lulu kwa kicheko alichomcheka kisa Pizza Maria ww alikuwa anakuheshim😂

  • @agripinamallya7433
    @agripinamallya7433 Месяц назад

    Mars mm nakupenda wewe

  • @Dasa_Media
    @Dasa_Media Месяц назад +1

    Sema tu UKWEL wamekufukuza😂

    • @lucyalto7320
      @lucyalto7320 Месяц назад +3

      Hawajamfukuza bhana lamata mwenyewe anamsupport maria sanaa TU sema kama doctor alivyoshauri coz kule kaka fule akichafukwa anaanza kumvuta au kumpiga maria we huoni itakuwa changamoto na huwa wanashoot mpaka usiku wakati mwingine hvyo atakosa muda wa kupumzika

  • @eshterjulius3408
    @eshterjulius3408 Месяц назад +1

    Tumekuelewa

  • @chiriccmabobo8746
    @chiriccmabobo8746 Месяц назад

    😂😂😂😂sasa kuigiza na uemc na kutumbuiza jukwaani ipi inatumia nguvu

  • @JacklineSweetbert
    @JacklineSweetbert Месяц назад +1

    Mimi na jua Kali basi tena

  • @user-wf9jg3cm5c
    @user-wf9jg3cm5c Месяц назад

    Mbona bado umevaa Pete ya jua kali

  • @user-me3so4pi4b
    @user-me3so4pi4b Месяц назад

    Rudi jua kari bn jua kali imepoaa mi nalia et mrs j

  • @RahmaIdris-wq3eo
    @RahmaIdris-wq3eo Месяц назад

    Atutakusahau maria

  • @user-uf8hq3ei6e
    @user-uf8hq3ei6e Месяц назад +2

    Kwahy Sasa lulu na Anita mkubwa nani

  • @user-md7sb2vf9q
    @user-md7sb2vf9q Месяц назад +2

    Jua kali bila Mimi mars hamuna jua kali

  • @YasintaAbely-ov2mb
    @YasintaAbely-ov2mb Месяц назад

    Ukipona tu uludi Malia wetu

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d Месяц назад +2

    Tutakumiss mno Maria wetu

  • @user-ky2ch5rl7i
    @user-ky2ch5rl7i Месяц назад +1

    Jman na akili pia imeruka ama😢😢

  • @LeilaGube-qn1rn
    @LeilaGube-qn1rn Месяц назад

    Ila lulu kwa kuigia anakipaji kikubwa kuliko mimi mars oya ee tukumbuke kaole sanaa group ilituetea vipaji akiwemo lulu enziizo ana futa mafua kwa mkono 😂😂😂lulu ninomma sana kipaji kimelala pale

    • @fj8317
      @fj8317 Месяц назад

      Unaongelea zilipendwa poor you

  • @user-kh2lg7qw1w
    @user-kh2lg7qw1w Месяц назад

    kama ni lulu apo sawaa❤❤

  • @user-kd6fl7lp4t
    @user-kd6fl7lp4t Месяц назад +2

    Nyie mnataka maria kwa vile mmemzoea ila kwenye uigizaji luku nimkali kuliko maria Kwanza maria mchanga lulu mkongwe kumbuken helo alfu mpka uongozi umefanya hayo umeona lulu afaa kuwen wa pole kama vipi msiangalie tuone kama mmechukia kweli

  • @JoycJacksoni
    @JoycJacksoni Месяц назад +22

    Hapna. Lulu sio muuwaji ww unaexma lulu muuwaji ulikuwepe wakat Alivyo kuwa anamuuwa acha hizo ww hujuwi ulixmaro

    • @happyfania9384
      @happyfania9384 Месяц назад +4

      Kabisa yaani loho mbaya tuu

    • @olicej7837
      @olicej7837 Месяц назад +2

      Ni kweli watu wanakuwa na roho mbaya sjui kwanini

    • @khadijajumahamisi1721
      @khadijajumahamisi1721 Месяц назад +1

      😂😂😂muuaji amekuulia naini wako

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@happyfania9384loho ? 🤣🤣🤣🤣🤣 Loho 😂😂😂😂😂,sema roho😅😅😅😅😅😅😅

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 Месяц назад

    What was said on social media about you,tainted the image of film industry.My advice to you,Just wake up.

  • @jmondmsafi5558
    @jmondmsafi5558 Месяц назад

    Daktar atuachie maria wetu

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Месяц назад +1

    Upone mpenzi wetu Urudi..huyo aliyepatikana Hatufai

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +3

      Hakufai wewe wengine tunampenda lulu

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Месяц назад

      Endelea kumsubiri anaekufaa ss twasonga mbele

    • @EsterAidanmadati
      @EsterAidanmadati Месяц назад +1

      Hafai kabisa

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb Месяц назад +1

      Yani kumkataa lulu huo wote ni wivuu kwani sio binadamu kakosea Nini lulu khaaaaaaaaaa
      Acha aigize mimimarz akipona atarudi nafasi yake Kwa Sasa acha lulu afanye kazi.

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb Месяц назад +1

      Pole dear tunakuombea upone na urudi kazini

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Месяц назад +2

    Jamani mie wameniudhi sana kutuletea muuwaji wa kanumba..asije kutuulia madevu..lulu muuwaji wa kanumba wala hatufai jua kali na Ufupi wake

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 Месяц назад +4

      Una uhakika gani kua aliua?

    • @Fausta-di8qu
      @Fausta-di8qu Месяц назад +5

      Acha kuropoka unahakika gana aliua

    • @dannymoses1882
      @dannymoses1882 Месяц назад +2

      Acha ushamba uo ulikuwepo anavyo ua

    • @aliceudoba3672
      @aliceudoba3672 Месяц назад +4

      Kuua mchezo mtafute amiel katekela utajua kama aliua au freemason walimchukua kupitia kifo

    • @vi3ayo1622
      @vi3ayo1622 Месяц назад +2

      Wewe uliesema lulu muuaji mkundu wako mara 1000000 wakati anaua ulikuwepo wewe nyokoo