MIMI MARS AFUNGUKA SABABU ZA KUONDOLEWA KWENYE TAMTHILIA YA JUA KALI NA LULU KUCHUKUA NAFASI YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 148

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 5 месяцев назад +22

    Mimi mars KISU bana nakapenda long time❤
    Ila hata lulu wangu NAMPENDA ❤

  • @ZionLema
    @ZionLema 5 месяцев назад +11

    I can't wait series itakayofuataa tukuone tena
    Mimi mars lov you Soo much❤

  • @MariamAron-u2d
    @MariamAron-u2d 5 месяцев назад +25

    Wewe unaehusisha jua kali na mada za kanumba usiongee ukajisahauu
    Msisababishe lulu aka kosa ujasili
    Sio powa bwana

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 5 месяцев назад +2

      Ni kipi ambacho hakipiti embu mwacheni awe na amani na kz zake

  • @bahatimngwale7902
    @bahatimngwale7902 5 месяцев назад +4

    Kiukwel sema tu ndyo hivyo matatizo kaumbiwa mwanadam,,,hakuna jinsi,ila tatzo la kubadilika kwa wahusika waliozoeleka mwanzo hupoteza uondo kwa sisi wafuatiliaj,na kwenye nafas ya muhusika kuna ving upungua,,,tumeona kwa bili haijakaa sawa saiz maria,,,ila tunashukuru jahaz linasonga,,,hili nalo litapita na tutazoea kama la Neyla wa unty zai🙏🙏🙏🙏

  • @EdwardMasalu-fx8dh
    @EdwardMasalu-fx8dh 5 месяцев назад +2

    Mm naona lulu yupo saw kabsa make ana play vzur kama Mimi mars

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 5 месяцев назад +4

    Pole sana jamn mtoto mzuri,MUNGU ni mwema siku zote atakuponya

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 5 месяцев назад +5

    Shes so beautiful ❤

  • @AshaOmary-t6v
    @AshaOmary-t6v 5 месяцев назад +5

    Iulu muigizaji mzuri sana lakini kwakufiti nafasi ya maria sidhan

    • @EsterAidanmadati
      @EsterAidanmadati 5 месяцев назад

      Sawa ni muigizaji mzuri lakini kwenye nafasi ya maria ni maria mwwnyewe nd alikuwa anIweza

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 5 месяцев назад +5

    Mimi mars ni mzuri sana❤❤❤

  • @neemaMichael-jh4vb
    @neemaMichael-jh4vb 5 месяцев назад +4

    😂😂😂 JamaniA cheniunonko jamni kilamtu nakipajichake haviwezikufanana hantasikumoja

  • @jemakapologwe9044
    @jemakapologwe9044 4 месяца назад

    pole kipenzi Mungu akufanyie uponyaji zaidi

  • @bestinamafipa608
    @bestinamafipa608 5 месяцев назад +3

    Pole jamani. Inawezekana . mkono uliumia pia eti eee!?!? Pole kweli.

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 5 месяцев назад +2

    Nawapenda wote wanajua sanaaa❤

  • @MukeshimanaAbiba
    @MukeshimanaAbiba 5 месяцев назад

    Pole sanaaa Maria wetu Ila kiukwel ulikuwa vizuri basi wakuweke sehemu nyingine hata mara moja moja

  • @WazaTimothy-kh9ip
    @WazaTimothy-kh9ip 5 месяцев назад +12

    Lulu hawezi kuigiza uhusika wa Mimi mars jmn

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 5 месяцев назад

    Pole Sana da Mimi mars Mungu akujalie afuen ya haraka😢twakupnda pia❤

  • @ChristinaYona-dm7sr
    @ChristinaYona-dm7sr 5 месяцев назад

    Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa 🙏🙏🙏

  • @AdelideNekesa-n9k
    @AdelideNekesa-n9k 5 месяцев назад

    Nakamiss huyu Mimi mars from kenya

  • @NEEMATHADEO
    @NEEMATHADEO 5 месяцев назад +5

    Mbona uyu dada anaigiza tuu vzr sana?

  • @ChristinaYona-dm7sr
    @ChristinaYona-dm7sr 5 месяцев назад

    Jamn pole Sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa🙏🙏🙏🙏🙏

  • @dorcusnsajigwa7499
    @dorcusnsajigwa7499 5 месяцев назад +7

    Jamn tuachen uongo bila maria Anna fule madevu akuna tena jua Kali tunaomba ulud kwanza wew Ile nafasi yako uliitendea kaz unasuka minyosho no kujilemba no nn sasa lulu anavaa mawig anapaka makap apana jamn

  • @wacundirangu1661
    @wacundirangu1661 5 месяцев назад

    Both are a great talent mmoja who ni sana mwigizaji mwingine mwimbaji kwa asilimia kubwa.

  • @ChristinaYona-dm7sr
    @ChristinaYona-dm7sr 5 месяцев назад

    Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hati❤😅mae utakua sawa 🙏🙏🙏

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 5 месяцев назад +8

    Hata amuige vipi lulu hawezi fanana na mimi mars ana haiba na tabasam la peke yake

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад +5

    Lulu ni muigizaji mzuri saaaana, tena saaaana , na ana uzoefu Mkubwa saaaana

    • @PaskalinaStephano
      @PaskalinaStephano 5 месяцев назад

      Nikweli kabisa watu Wana ropoka TU lulu nimuigizagi pia anajua anacho kifanya tumsapot nasiyo kuleta mambo yasiyo usika na kazi anayo fanya

  • @EMMANUELKIBONA-pu4yw
    @EMMANUELKIBONA-pu4yw 5 месяцев назад

    Nakupenda Xana dadaang❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊

  • @lusajokafuko3450
    @lusajokafuko3450 5 месяцев назад +5

    Lulu ni muigizaji mzuri na anafanya vizur katika nafas ya Maria....!!

  • @MwantumRashidi
    @MwantumRashidi 5 месяцев назад +3

    Nadhan mmemuelewa maria mwenyew alivosema mnaotunga maneno achen faten nn maria kasema

  • @agirlofthegirls2791
    @agirlofthegirls2791 5 месяцев назад +2

    wote wanaweza kucheza vizuri, meaning wanavaa uhusika vizuri

  • @happyfania9384
    @happyfania9384 5 месяцев назад +2

    Binadamu midomo mali yenu ila kumsema vibaya dad watu mumezidi tena sana acheni izoo siyo vizurii

  • @Da20nn05y
    @Da20nn05y 4 месяца назад

    Da Lulu unajua kuigiza vizuri Sana endelea hivyo hivyo.

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 4 месяца назад

    Pole sana

  • @Da20nn05y
    @Da20nn05y 4 месяца назад

    Nawapenda San wote but Mimi mars kuimba tu na kuigiza unujua.i can't wait to see you again❤❤❤❤

  • @irenecherotich4975
    @irenecherotich4975 5 месяцев назад

    Mimi mas was the best imissher❤

  • @ZenaisiIsmail-cy3hi
    @ZenaisiIsmail-cy3hi 5 месяцев назад

    Pole sana kipenzii

  • @ECAFEZA
    @ECAFEZA 5 месяцев назад

    Jamani wote wako vizuri Ata lulu ageaza Kisha Maria akakaa nafasi ya lulu Tena mungesema ooò jamani tuna mtaka lulu mturudishie lulu wetu wanadamu bwana

  • @francesmassawe
    @francesmassawe 5 месяцев назад

    Mim mars nakubali sana nakuombea upone awazi kufiti nafasi yako

  • @CatherineKweka
    @CatherineKweka 5 месяцев назад +2

    Poleee

  • @BahatiMeshack-jb4cu
    @BahatiMeshack-jb4cu 5 месяцев назад

    Hiyo nimipango ya mungu tu,kikk

  • @LevinaLetuc
    @LevinaLetuc 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 5 месяцев назад +1

    Mkono na mguu haupo sawa huyu msione kapendeza tu lkn hivyo vitu havifanyi kz vizuri. Ila kaka Fule kajua kumuobyesha dharau Lulu kwa kicheko alichomcheka kisa Pizza Maria ww alikuwa anakuheshim😂

  • @GodilivaSanya
    @GodilivaSanya 5 месяцев назад +3

    Bila maria na kaka freck hakuna jua kali

  • @leahmwenisongole-yp7id
    @leahmwenisongole-yp7id 5 месяцев назад +2

    Mimi nimezaa jamani siwezi mnyoshea lulu kidole kesho siijui

  • @clementineselemani6699
    @clementineselemani6699 5 месяцев назад +4

    Ndo lulu avae na nguo kama ile ile 😂😂

    • @elizabethdamas-zp9xl
      @elizabethdamas-zp9xl 5 месяцев назад +2

      ndo sare za kazi yake pale kwny ile ofisi

    • @clementineselemani6699
      @clementineselemani6699 5 месяцев назад +1

      Kwaiyo anatumika peke yake na iyo sare? maana ata nyumbn mimi Marc anakuwaga naiyo vaz

    • @nyamisanachiwanyi7823
      @nyamisanachiwanyi7823 5 месяцев назад +1

      Hpn wala si ile ya maria ilikuwa na zipu nyeusi hii ni nyeupe...kuweni na machoo

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 5 месяцев назад +1

    Sasa kuigiza na mziki ipi kazi unatumia nguvu kubwa?😂😂

  • @NanceMbaga
    @NanceMbaga 5 месяцев назад +2

    Nyie mnataka maria kwa vile mmemzoea ila kwenye uigizaji luku nimkali kuliko maria Kwanza maria mchanga lulu mkongwe kumbuken helo alfu mpka uongozi umefanya hayo umeona lulu afaa kuwen wa pole kama vipi msiangalie tuone kama mmechukia kweli

  • @clesensiamathew
    @clesensiamathew 5 месяцев назад +2

    Jua kali bila Mimi mars hamuna jua kali

  • @pamellaokito9104
    @pamellaokito9104 5 месяцев назад +4

    Yani mariya kwasasa ana kili nzuri🙄🙄🙄🙄amekuwa kichaa sasa 🙄🙄

    • @MirhaAmman
      @MirhaAmman 5 месяцев назад +1

      We ni mpuuzi 😮

  • @EuniceNyanje-j7h
    @EuniceNyanje-j7h 4 месяца назад

    Pole

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 5 месяцев назад

    Pole sana maria nakupenda

  • @jr.moviesseries3675
    @jr.moviesseries3675 5 месяцев назад +1

    Lamata hana subra anapenda kukurupuka

  • @agripinamallya7433
    @agripinamallya7433 5 месяцев назад

    Mars mm nakupenda wewe

  • @upendomoshi1928
    @upendomoshi1928 4 месяца назад

    Mimi mpaka Leo siangaliagi Tena jua Kali nilikua naangalia jua Kali sababu ya maria mlokole

  • @NyerereSamhenda
    @NyerereSamhenda 4 месяца назад

    😊

  • @JoycJacksoni
    @JoycJacksoni 5 месяцев назад +23

    Hapna. Lulu sio muuwaji ww unaexma lulu muuwaji ulikuwepe wakat Alivyo kuwa anamuuwa acha hizo ww hujuwi ulixmaro

    • @happyfania9384
      @happyfania9384 5 месяцев назад +5

      Kabisa yaani loho mbaya tuu

    • @olicej7837
      @olicej7837 5 месяцев назад +3

      Ni kweli watu wanakuwa na roho mbaya sjui kwanini

    • @khadijajumahamisi1721
      @khadijajumahamisi1721 5 месяцев назад +2

      😂😂😂muuaji amekuulia naini wako

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      ​@@happyfania9384loho ? 🤣🤣🤣🤣🤣 Loho 😂😂😂😂😂,sema roho😅😅😅😅😅😅😅

  • @chiriccmabobo8746
    @chiriccmabobo8746 5 месяцев назад

    😂😂😂😂sasa kuigiza na uemc na kutumbuiza jukwaani ipi inatumia nguvu

  • @AngelAntony-wo6pd
    @AngelAntony-wo6pd 3 месяца назад

    Hat mim na mpenda san malia

  • @jallenboy-w8w
    @jallenboy-w8w 2 месяца назад

    da nilitamani aenderee

  • @DxbYae
    @DxbYae 5 месяцев назад +2

    Tutakumiss mno Maria wetu

  • @eshterjulius3408
    @eshterjulius3408 5 месяцев назад +1

    Tumekuelewa

  • @CharlineNguru
    @CharlineNguru Месяц назад

    Muturudishie mariya wazamani tu

  • @RahmaIdris-wq3eo
    @RahmaIdris-wq3eo 5 месяцев назад

    Atutakusahau maria

  • @JacklineSweetbert
    @JacklineSweetbert 5 месяцев назад +1

    Mimi na jua Kali basi tena

  • @AnnaLaulian
    @AnnaLaulian 5 месяцев назад

    Mbona bado umevaa Pete ya jua kali

  • @JescaPeter-y7u
    @JescaPeter-y7u 5 месяцев назад

    kama ni lulu apo sawaa❤❤

  • @MariamOfficial-ve1yt
    @MariamOfficial-ve1yt 5 месяцев назад +1

    Kwanz nyie mnaongea2 nyie mnge pew hiyonafas mngewez jibu ni msingewezaaaa! bas punguzen midomo

  • @Tembo-t4y
    @Tembo-t4y 5 месяцев назад +2

    Kwahy Sasa lulu na Anita mkubwa nani

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 5 месяцев назад +1

      hahahah nalo neno

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      ​@@sharifamohd3857😅😅😅😅😅😅😅

  • @JastinNicas
    @JastinNicas 5 месяцев назад

    Rudi jua kari bn jua kali imepoaa mi nalia et mrs j

  • @LeilaGube-qn1rn
    @LeilaGube-qn1rn 5 месяцев назад

    Ila lulu kwa kuigia anakipaji kikubwa kuliko mimi mars oya ee tukumbuke kaole sanaa group ilituetea vipaji akiwemo lulu enziizo ana futa mafua kwa mkono 😂😂😂lulu ninomma sana kipaji kimelala pale

    • @fj8317
      @fj8317 5 месяцев назад

      Unaongelea zilipendwa poor you

  • @AIKABAHATI
    @AIKABAHATI 5 месяцев назад +1

    Jman na akili pia imeruka ama😢😢

  • @BekaBoss-jl9my
    @BekaBoss-jl9my 2 месяца назад

    😅😅😅😅😅

  • @YasintaAbely-ov2mb
    @YasintaAbely-ov2mb 5 месяцев назад

    Ukipona tu uludi Malia wetu

  • @jmondmsafi5558
    @jmondmsafi5558 5 месяцев назад

    Daktar atuachie maria wetu

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 5 месяцев назад

    What was said on social media about you,tainted the image of film industry.My advice to you,Just wake up.

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 5 месяцев назад +1

    Upone mpenzi wetu Urudi..huyo aliyepatikana Hatufai

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 5 месяцев назад +3

      Hakufai wewe wengine tunampenda lulu

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

      Endelea kumsubiri anaekufaa ss twasonga mbele

    • @EsterAidanmadati
      @EsterAidanmadati 5 месяцев назад +1

      Hafai kabisa

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb 5 месяцев назад +1

      Yani kumkataa lulu huo wote ni wivuu kwani sio binadamu kakosea Nini lulu khaaaaaaaaaa
      Acha aigize mimimarz akipona atarudi nafasi yake Kwa Sasa acha lulu afanye kazi.

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb 5 месяцев назад +1

      Pole dear tunakuombea upone na urudi kazini

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 5 месяцев назад +2

    Jamani mie wameniudhi sana kutuletea muuwaji wa kanumba..asije kutuulia madevu..lulu muuwaji wa kanumba wala hatufai jua kali na Ufupi wake

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 5 месяцев назад +4

      Una uhakika gani kua aliua?

    • @Fausta-di8qu
      @Fausta-di8qu 5 месяцев назад +5

      Acha kuropoka unahakika gana aliua

    • @dannymoses1882
      @dannymoses1882 5 месяцев назад +2

      Acha ushamba uo ulikuwepo anavyo ua

    • @aliceudoba3672
      @aliceudoba3672 5 месяцев назад +4

      Kuua mchezo mtafute amiel katekela utajua kama aliua au freemason walimchukua kupitia kifo

    • @vi3ayo1622
      @vi3ayo1622 5 месяцев назад +2

      Wewe uliesema lulu muuaji mkundu wako mara 1000000 wakati anaua ulikuwepo wewe nyokoo