Kiukwel sema tu ndyo hivyo matatizo kaumbiwa mwanadam,,,hakuna jinsi,ila tatzo la kubadilika kwa wahusika waliozoeleka mwanzo hupoteza uondo kwa sisi wafuatiliaj,na kwenye nafas ya muhusika kuna ving upungua,,,tumeona kwa bili haijakaa sawa saiz maria,,,ila tunashukuru jahaz linasonga,,,hili nalo litapita na tutazoea kama la Neyla wa unty zai🙏🙏🙏🙏
Jamn tuachen uongo bila maria Anna fule madevu akuna tena jua Kali tunaomba ulud kwanza wew Ile nafasi yako uliitendea kaz unasuka minyosho no kujilemba no nn sasa lulu anavaa mawig anapaka makap apana jamn
Jamani wote wako vizuri Ata lulu ageaza Kisha Maria akakaa nafasi ya lulu Tena mungesema ooò jamani tuna mtaka lulu mturudishie lulu wetu wanadamu bwana
Mkono na mguu haupo sawa huyu msione kapendeza tu lkn hivyo vitu havifanyi kz vizuri. Ila kaka Fule kajua kumuobyesha dharau Lulu kwa kicheko alichomcheka kisa Pizza Maria ww alikuwa anakuheshim😂
Hawajamfukuza bhana lamata mwenyewe anamsupport maria sanaa TU sema kama doctor alivyoshauri coz kule kaka fule akichafukwa anaanza kumvuta au kumpiga maria we huoni itakuwa changamoto na huwa wanashoot mpaka usiku wakati mwingine hvyo atakosa muda wa kupumzika
Ila lulu kwa kuigia anakipaji kikubwa kuliko mimi mars oya ee tukumbuke kaole sanaa group ilituetea vipaji akiwemo lulu enziizo ana futa mafua kwa mkono 😂😂😂lulu ninomma sana kipaji kimelala pale
Nyie mnataka maria kwa vile mmemzoea ila kwenye uigizaji luku nimkali kuliko maria Kwanza maria mchanga lulu mkongwe kumbuken helo alfu mpka uongozi umefanya hayo umeona lulu afaa kuwen wa pole kama vipi msiangalie tuone kama mmechukia kweli
Yani kumkataa lulu huo wote ni wivuu kwani sio binadamu kakosea Nini lulu khaaaaaaaaaa Acha aigize mimimarz akipona atarudi nafasi yake Kwa Sasa acha lulu afanye kazi.
I can't wait series itakayofuataa tukuone tena
Mimi mars lov you Soo much❤
Mimi mars KISU bana nakapenda long time❤
Ila hata lulu wangu NAMPENDA ❤
Wewe unaehusisha jua kali na mada za kanumba usiongee ukajisahauu
Msisababishe lulu aka kosa ujasili
Sio powa bwana
Ni kipi ambacho hakipiti embu mwacheni awe na amani na kz zake
Kiukwel sema tu ndyo hivyo matatizo kaumbiwa mwanadam,,,hakuna jinsi,ila tatzo la kubadilika kwa wahusika waliozoeleka mwanzo hupoteza uondo kwa sisi wafuatiliaj,na kwenye nafas ya muhusika kuna ving upungua,,,tumeona kwa bili haijakaa sawa saiz maria,,,ila tunashukuru jahaz linasonga,,,hili nalo litapita na tutazoea kama la Neyla wa unty zai🙏🙏🙏🙏
😂😂😂 JamaniA cheniunonko jamni kilamtu nakipajichake haviwezikufanana hantasikumoja
Mm naona lulu yupo saw kabsa make ana play vzur kama Mimi mars
Iulu muigizaji mzuri sana lakini kwakufiti nafasi ya maria sidhan
Sawa ni muigizaji mzuri lakini kwenye nafasi ya maria ni maria mwwnyewe nd alikuwa anIweza
pole kipenzi Mungu akufanyie uponyaji zaidi
Nawapenda wote wanajua sanaaa❤
Pole jamani. Inawezekana . mkono uliumia pia eti eee!?!? Pole kweli.
Pole sana jamn mtoto mzuri,MUNGU ni mwema siku zote atakuponya
Mbona uyu dada anaigiza tuu vzr sana?
Yupo tu sawa. Wengine ni wivu tu
Nawapenda San wote but Mimi mars kuimba tu na kuigiza unujua.i can't wait to see you again❤❤❤❤
Pole sanaaa Maria wetu Ila kiukwel ulikuwa vizuri basi wakuweke sehemu nyingine hata mara moja moja
Mimi mars ni mzuri sana❤❤❤
Kwan Malia mmbaya?
Hata amuige vipi lulu hawezi fanana na mimi mars ana haiba na tabasam la peke yake
We ungewez au unaongea2
Both are a great talent mmoja who ni sana mwigizaji mwingine mwimbaji kwa asilimia kubwa.
Pole sana
❤❤❤
Nakamiss huyu Mimi mars from kenya
Pole Sana da Mimi mars Mungu akujalie afuen ya haraka😢twakupnda pia❤
Poleee
Nadhan mmemuelewa maria mwenyew alivosema mnaotunga maneno achen faten nn maria kasema
Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa 🙏🙏🙏
Binadamu midomo mali yenu ila kumsema vibaya dad watu mumezidi tena sana acheni izoo siyo vizurii
Shes so beautiful ❤
Pole
😊
Jamn pole Sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa🙏🙏🙏🙏🙏
wote wanaweza kucheza vizuri, meaning wanavaa uhusika vizuri
Pole sana kipenzii
Nakupenda Xana dadaang❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
Lulu hawezi kuigiza uhusika wa Mimi mars jmn
We unaweza
Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hati❤😅mae utakua sawa 🙏🙏🙏
Mimi mpaka Leo siangaliagi Tena jua Kali nilikua naangalia jua Kali sababu ya maria mlokole
Lulu ni muigizaji mzuri na anafanya vizur katika nafas ya Maria....!!
Da Lulu unajua kuigiza vizuri Sana endelea hivyo hivyo.
Jamn tuachen uongo bila maria Anna fule madevu akuna tena jua Kali tunaomba ulud kwanza wew Ile nafasi yako uliitendea kaz unasuka minyosho no kujilemba no nn sasa lulu anavaa mawig anapaka makap apana jamn
Kwanz nyie mnaongea2 nyie mnge pew hiyonafas mngewez jibu ni msingewezaaaa! bas punguzen midomo
Mim mars nakubali sana nakuombea upone awazi kufiti nafasi yako
Hiyo nimipango ya mungu tu,kikk
Sasa kuigiza na mziki ipi kazi unatumia nguvu kubwa?😂😂
Jamani wote wako vizuri Ata lulu ageaza Kisha Maria akakaa nafasi ya lulu Tena mungesema ooò jamani tuna mtaka lulu mturudishie lulu wetu wanadamu bwana
Bila maria na kaka freck hakuna jua kali
kwel
Lulu ni muigizaji mzuri saaaana, tena saaaana , na ana uzoefu Mkubwa saaaana
Nikweli kabisa watu Wana ropoka TU lulu nimuigizagi pia anajua anacho kifanya tumsapot nasiyo kuleta mambo yasiyo usika na kazi anayo fanya
Ndo lulu avae na nguo kama ile ile 😂😂
ndo sare za kazi yake pale kwny ile ofisi
Kwaiyo anatumika peke yake na iyo sare? maana ata nyumbn mimi Marc anakuwaga naiyo vaz
Hpn wala si ile ya maria ilikuwa na zipu nyeusi hii ni nyeupe...kuweni na machoo
Pole sana maria nakupenda
Yani mariya kwasasa ana kili nzuri🙄🙄🙄🙄amekuwa kichaa sasa 🙄🙄
We ni mpuuzi 😮
Mimi mas was the best imissher❤
Lamata hana subra anapenda kukurupuka
Mimi nimezaa jamani siwezi mnyoshea lulu kidole kesho siijui
Kabisa mambo yamepita watu Wana ibua
Mkono na mguu haupo sawa huyu msione kapendeza tu lkn hivyo vitu havifanyi kz vizuri. Ila kaka Fule kajua kumuobyesha dharau Lulu kwa kicheko alichomcheka kisa Pizza Maria ww alikuwa anakuheshim😂
Mars mm nakupenda wewe
Sema tu UKWEL wamekufukuza😂
Hawajamfukuza bhana lamata mwenyewe anamsupport maria sanaa TU sema kama doctor alivyoshauri coz kule kaka fule akichafukwa anaanza kumvuta au kumpiga maria we huoni itakuwa changamoto na huwa wanashoot mpaka usiku wakati mwingine hvyo atakosa muda wa kupumzika
Tumekuelewa
😂😂😂😂sasa kuigiza na uemc na kutumbuiza jukwaani ipi inatumia nguvu
Mimi na jua Kali basi tena
Mbona bado umevaa Pete ya jua kali
Rudi jua kari bn jua kali imepoaa mi nalia et mrs j
Atutakusahau maria
Kwahy Sasa lulu na Anita mkubwa nani
hahahah nalo neno
@@sharifamohd3857😅😅😅😅😅😅😅
Jua kali bila Mimi mars hamuna jua kali
Ukipona tu uludi Malia wetu
Tutakumiss mno Maria wetu
Jman na akili pia imeruka ama😢😢
😂
Daaah!!
Alisema kichwa kiliumia
Ila lulu kwa kuigia anakipaji kikubwa kuliko mimi mars oya ee tukumbuke kaole sanaa group ilituetea vipaji akiwemo lulu enziizo ana futa mafua kwa mkono 😂😂😂lulu ninomma sana kipaji kimelala pale
Unaongelea zilipendwa poor you
kama ni lulu apo sawaa❤❤
Nyie mnataka maria kwa vile mmemzoea ila kwenye uigizaji luku nimkali kuliko maria Kwanza maria mchanga lulu mkongwe kumbuken helo alfu mpka uongozi umefanya hayo umeona lulu afaa kuwen wa pole kama vipi msiangalie tuone kama mmechukia kweli
Hapna. Lulu sio muuwaji ww unaexma lulu muuwaji ulikuwepe wakat Alivyo kuwa anamuuwa acha hizo ww hujuwi ulixmaro
Kabisa yaani loho mbaya tuu
Ni kweli watu wanakuwa na roho mbaya sjui kwanini
😂😂😂muuaji amekuulia naini wako
@@happyfania9384loho ? 🤣🤣🤣🤣🤣 Loho 😂😂😂😂😂,sema roho😅😅😅😅😅😅😅
What was said on social media about you,tainted the image of film industry.My advice to you,Just wake up.
Daktar atuachie maria wetu
Upone mpenzi wetu Urudi..huyo aliyepatikana Hatufai
Hakufai wewe wengine tunampenda lulu
Endelea kumsubiri anaekufaa ss twasonga mbele
Hafai kabisa
Yani kumkataa lulu huo wote ni wivuu kwani sio binadamu kakosea Nini lulu khaaaaaaaaaa
Acha aigize mimimarz akipona atarudi nafasi yake Kwa Sasa acha lulu afanye kazi.
Pole dear tunakuombea upone na urudi kazini
Jamani mie wameniudhi sana kutuletea muuwaji wa kanumba..asije kutuulia madevu..lulu muuwaji wa kanumba wala hatufai jua kali na Ufupi wake
Una uhakika gani kua aliua?
Acha kuropoka unahakika gana aliua
Acha ushamba uo ulikuwepo anavyo ua
Kuua mchezo mtafute amiel katekela utajua kama aliua au freemason walimchukua kupitia kifo
Wewe uliesema lulu muuaji mkundu wako mara 1000000 wakati anaua ulikuwepo wewe nyokoo