🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #mbowe #lema

Комментарии • 15

  • @YangaNews
    @YangaNews 3 месяца назад +1

    CCM ni upuuz tuu acheni upumbv wenu yaani watu wazima mnapiga kelele tuu

  • @BraytonMwakitalima
    @BraytonMwakitalima 2 месяца назад

    Matapeli kwenye ubora wao

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 3 месяца назад

    Tatizo hamuelewi mnaosema CCM itaiba kura kwa chama kipi hiyo sacoss ya Chadema .uchaguzi ninanamba brother . CCM wakivurugana ndiyo unaweza kuwaishinda .Chadema bado sana .matusi ndiyo Sera za Chadema afadhali Act wazalendo

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 2 месяца назад

    Wewe makala acha ujinga

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 3 месяца назад

    Mnabomoa nyumba zetu kwa utaperi wa viongizi wenu ngazi za mitaa. Ona mkoa wa Pwani mnavotaperi ardhi wananchi baadae mnabomoa nyumba. Mkòa wa,pwani Rc aondokeweeeee tumemchoka huyo jambazi

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 3 месяца назад

    Mumesomba watoto wa shule halafu mukawashindisha njaa

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 3 месяца назад

    Kuna haja gani kuandika matusi? Fahamu kuwa watumiaji wa mitandao ni mamilioni.Kistaarabu kama hupendezewi na kitu achana nacho. Hivi ndugu yangu kuna chama gani kingine chenye kuleta maendeleo ya nchi hii zaidi ya CCM.?

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 3 месяца назад

    Mmelogwa na nani?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 месяца назад

    Endelea kununua watu bado hawatoshi

  • @PoulFred
    @PoulFred 3 месяца назад

    Hii nchi wananchi ndiyo tatizo mm binafsi huwa natamani kumpiga mtu makofi anapolalamika heti maisha magumu wakati maisha magumu yanasababishwa na hilo chama la mbogamboga

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 месяца назад

      Kafanye kazi kaka,uvivu ndilo tatizo lako,kazi hufanyi unasubiri huruma ya serikali.
      Mbona wenzako wanaojituma wanayo maisha ya kawaida?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 месяца назад

    Utashinda au utaiba kama kawa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    CCM USHINDI N LAZIMA SIO OMBI 😂😂 AU HAMTAKI 😂😂YANA UNATAKA CCM IACHIE MADALAKA WE HUOGOP😢😢😢

  • @wiliamhenry3298
    @wiliamhenry3298 3 месяца назад

    hahahahahaaaa