Tatizo hamuelewi mnaosema CCM itaiba kura kwa chama kipi hiyo sacoss ya Chadema .uchaguzi ninanamba brother . CCM wakivurugana ndiyo unaweza kuwaishinda .Chadema bado sana .matusi ndiyo Sera za Chadema afadhali Act wazalendo
Mnabomoa nyumba zetu kwa utaperi wa viongizi wenu ngazi za mitaa. Ona mkoa wa Pwani mnavotaperi ardhi wananchi baadae mnabomoa nyumba. Mkòa wa,pwani Rc aondokeweeeee tumemchoka huyo jambazi
Kuna haja gani kuandika matusi? Fahamu kuwa watumiaji wa mitandao ni mamilioni.Kistaarabu kama hupendezewi na kitu achana nacho. Hivi ndugu yangu kuna chama gani kingine chenye kuleta maendeleo ya nchi hii zaidi ya CCM.?
Hii nchi wananchi ndiyo tatizo mm binafsi huwa natamani kumpiga mtu makofi anapolalamika heti maisha magumu wakati maisha magumu yanasababishwa na hilo chama la mbogamboga
CCM ni upuuz tuu acheni upumbv wenu yaani watu wazima mnapiga kelele tuu
Matapeli kwenye ubora wao
Tatizo hamuelewi mnaosema CCM itaiba kura kwa chama kipi hiyo sacoss ya Chadema .uchaguzi ninanamba brother . CCM wakivurugana ndiyo unaweza kuwaishinda .Chadema bado sana .matusi ndiyo Sera za Chadema afadhali Act wazalendo
Wewe makala acha ujinga
Mnabomoa nyumba zetu kwa utaperi wa viongizi wenu ngazi za mitaa. Ona mkoa wa Pwani mnavotaperi ardhi wananchi baadae mnabomoa nyumba. Mkòa wa,pwani Rc aondokeweeeee tumemchoka huyo jambazi
Mumesomba watoto wa shule halafu mukawashindisha njaa
Kuna haja gani kuandika matusi? Fahamu kuwa watumiaji wa mitandao ni mamilioni.Kistaarabu kama hupendezewi na kitu achana nacho. Hivi ndugu yangu kuna chama gani kingine chenye kuleta maendeleo ya nchi hii zaidi ya CCM.?
Mmelogwa na nani?
Endelea kununua watu bado hawatoshi
Hii nchi wananchi ndiyo tatizo mm binafsi huwa natamani kumpiga mtu makofi anapolalamika heti maisha magumu wakati maisha magumu yanasababishwa na hilo chama la mbogamboga
Kafanye kazi kaka,uvivu ndilo tatizo lako,kazi hufanyi unasubiri huruma ya serikali.
Mbona wenzako wanaojituma wanayo maisha ya kawaida?
Utashinda au utaiba kama kawa
CCM USHINDI N LAZIMA SIO OMBI 😂😂 AU HAMTAKI 😂😂YANA UNATAKA CCM IACHIE MADALAKA WE HUOGOP😢😢😢
hahahahahaaaa