#zandaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 61

  • @saidibrahim5263
    @saidibrahim5263 2 месяца назад +3

    AWESU ALLY AWESU

  • @jafetymichael8949
    @jafetymichael8949 2 месяца назад +2

    One love from malawi ❤

  • @GalcoLtdMaingate
    @GalcoLtdMaingate 2 месяца назад +2

    Mwamba anajua sanaaaaaaaaaa

  • @simonpriva1180
    @simonpriva1180 2 месяца назад +1

    Yusuph kagoma

  • @abdalahhassan5759
    @abdalahhassan5759 3 месяца назад +9

    Aweso aweso Ana uyanga yanga kama ni huyo tumeliwa

    • @allytv1714
      @allytv1714 2 месяца назад

      Kweli yule anaipenda yanga

    • @storytime1204
      @storytime1204 2 месяца назад

      ila mama yake simba mtupu😂alihojiwa mama yake,

  • @cathbertkweka2396
    @cathbertkweka2396 3 месяца назад +4

    Awesu Awesu code nyepesi 😂😂😂

  • @christopherhaule4422
    @christopherhaule4422 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa ni kukandia simba tu, za yanga anatoa ushauri tu, simba sasa

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 3 месяца назад +13

    Wa mwisho hapa sitak like zenu

  • @User92.invisible
    @User92.invisible 2 месяца назад

    Safi

  • @AminaAlmasi
    @AminaAlmasi 3 месяца назад +5

    Mwamba uipendi kweli simba

  • @nelsonlyakurwa6422
    @nelsonlyakurwa6422 2 месяца назад +1

    Ntaanza kushabikia bongo nikiona taarifa za usajili zinakamilika....team inatangaza mchezaji kanunuliwa lakini haiweki bei wala mshahara wa mchezaji.. so stupid kwa TFF.

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 3 месяца назад +3

    Hapa Simba tuchunge wachezaji wetu wako akina mzee.......nihatari sana misimu mitatu ametutesa sana

  • @gibonykiyao9698
    @gibonykiyao9698 2 месяца назад +3

    We ni yanga ,Simba huipnd

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 3 месяца назад +2

    Law Simba wanamtangaza wakati Ni Wa coastal union😂

  • @farajamfaume7545
    @farajamfaume7545 3 месяца назад

    Awesu huyo

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 2 месяца назад

    Awesu😅😅

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 3 месяца назад +2

    Wewe mwenyewe mnafiki

  • @karimkinwary4668
    @karimkinwary4668 2 месяца назад +1

    Hivi huyu mchambuzi uchwara kila siku Kazi yake Ni kuisemea ubaya Simba SC tu
    Huu ushamba mkubwa ndio unaoirudisha ligi yetu nyuma

  • @classicgame833
    @classicgame833 3 месяца назад

    Code nyepesi Awesu Awesu

  • @NassirAbdala
    @NassirAbdala 2 месяца назад +2

    Huyu jamaa anaichukia simba

    • @mjanthony4864
      @mjanthony4864 2 месяца назад

      Mzoeee huyu. Hawezagi ficha mapenzi yake na Utopolo.

    • @johannmaloda6027
      @johannmaloda6027 2 месяца назад

      😂😂, anatoa taarifa tu siyo kuichukia

  • @ScolaNgamba
    @ScolaNgamba 2 месяца назад

    Ni kweli ulichosema hao wazee wametutesa, na baaday tukiwaacha ndo wanawachukua baada ya kuwaharib ,

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 месяца назад +2

    Huyo kagoma Yusuf

  • @Luchenja559
    @Luchenja559 3 месяца назад

    Code nyepes sana hiyo Huyo Awesu Awesu kwenda simba

  • @LaurentMkude
    @LaurentMkude 2 месяца назад

    awesu awes

  • @JacksonNissa
    @JacksonNissa 3 месяца назад +4

    Uyo ni feisal kutua unyamani mbona msimbazi panaenda kuwaka

    • @STELLAMARCELY
      @STELLAMARCELY 3 месяца назад

      🔥🔥🔥🔥

    • @hassanissa5293
      @hassanissa5293 3 месяца назад +1

      Kumbe huelew haraka umeambiwa anamkataba wa mwaka mmoja feisal abamkataba wa miaka 2 maana fei alisinya miaka 3 ko bado miwili. Huyo ni Awesu Awesu

    • @MichaelShija-iy8gn
      @MichaelShija-iy8gn 3 месяца назад

      Haijawahi kuwa rahis kama unavyotaka

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 2 месяца назад +1

      Mhh na wewe umechochora kweli kweli FEISAL anamkataba wa miaka sio mwaka mmoja jaribu tena kwanza huenda ukapatia vyema ila kwa Feisali umekosa aisee😂😂

  • @JosephMhagama-qs4je
    @JosephMhagama-qs4je 3 месяца назад +1

    Hugo ni gongo waziristan kabisahuyo

  • @mussakwihiga1016
    @mussakwihiga1016 2 месяца назад

    Yusuf kagoma

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 3 месяца назад

    Awesu Awesu

  • @JosephMhagama-qs4je
    @JosephMhagama-qs4je 3 месяца назад

    Wewe inakuuma nini sasa

  • @JosephMhagama-qs4je
    @JosephMhagama-qs4je 3 месяца назад

    Mnafiki huyo

  • @SadamSarita-t7z
    @SadamSarita-t7z 2 месяца назад +2

    Fei toto ndobado mwaka mmoja

    • @jumaseif2452
      @jumaseif2452 2 месяца назад

      Fala ww bado miwili kasajiliwa mitatu Acha kujizima data

    • @SadamSarita-t7z
      @SadamSarita-t7z 2 месяца назад

      Drsh dg ana sepa

  • @lugeyatabu
    @lugeyatabu 3 месяца назад +1

    Tfff ni ya Simba ndo maana madudu haya hujasikia hata yakikemewa

  • @amonajosephat9712
    @amonajosephat9712 3 месяца назад +2

    Wakwanza leo

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 3 месяца назад

      Nyokoo umechangia nini humu sifatu za kijinga

    • @amonajosephat9712
      @amonajosephat9712 3 месяца назад

      @@robertphilip385 nisamehe dada yangu nimekosa mm

  • @maximillianmgedzi3358
    @maximillianmgedzi3358 3 месяца назад +1

    Yusufu kagoma

  • @PiliSaid-fn1pg
    @PiliSaid-fn1pg 3 месяца назад

    Viongoz wenye mamlaka wawe Fair waache ushabiki

  • @muadhally
    @muadhally 3 месяца назад +1

    Wa pili mimiiii

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 3 месяца назад

      Huna lolote umechangia nini humu sifa tu

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 месяца назад

    Hapo studio naona woylte mashoga TU wanatafuta mabwabwa muikome Simba mbwa nyie

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 3 месяца назад

    Acha uongo kumaliza mb za watu kwa uongo

  • @YahayaAbdallah-f4n
    @YahayaAbdallah-f4n 2 месяца назад

    Kwa nn wewe momo unapenda kuchambua kwa
    Mafumbo? Kazi yenu ni kututanabaisha kinagaubzga. Hatupendi mafumbo yako. Unatuboa sana.

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 2 месяца назад

      Sasa ufafanuliwe wakati jambo hata klabu husika hawajaweka wazi? Tafuta D 2 kwanza ili usipate shida wakati mwingine.

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 3 месяца назад +1

    Fei toto hio

  • @callykeron
    @callykeron 2 месяца назад

    Mpanzu

  • @mussakwihiga1016
    @mussakwihiga1016 2 месяца назад

    Yusuf kagoma

  • @DaxydizzyChristopher
    @DaxydizzyChristopher 3 месяца назад

    Mpanzu

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 2 месяца назад

    Yusuf kagoma