Ntaanza kushabikia bongo nikiona taarifa za usajili zinakamilika....team inatangaza mchezaji kanunuliwa lakini haiweki bei wala mshahara wa mchezaji.. so stupid kwa TFF.
Mhh na wewe umechochora kweli kweli FEISAL anamkataba wa miaka sio mwaka mmoja jaribu tena kwanza huenda ukapatia vyema ila kwa Feisali umekosa aisee😂😂
AWESU ALLY AWESU
One love from malawi ❤
Mwamba anajua sanaaaaaaaaaa
Yusuph kagoma
Aweso aweso Ana uyanga yanga kama ni huyo tumeliwa
Kweli yule anaipenda yanga
ila mama yake simba mtupu😂alihojiwa mama yake,
Awesu Awesu code nyepesi 😂😂😂
Huyu jamaa ni kukandia simba tu, za yanga anatoa ushauri tu, simba sasa
Wa mwisho hapa sitak like zenu
😂😂😂😂
Uzipeleke wapi tafuta vyanzo vingine
Safi
Mwamba uipendi kweli simba
Ntaanza kushabikia bongo nikiona taarifa za usajili zinakamilika....team inatangaza mchezaji kanunuliwa lakini haiweki bei wala mshahara wa mchezaji.. so stupid kwa TFF.
Hapa Simba tuchunge wachezaji wetu wako akina mzee.......nihatari sana misimu mitatu ametutesa sana
We ni yanga ,Simba huipnd
Law Simba wanamtangaza wakati Ni Wa coastal union😂
Awesu huyo
Awesu😅😅
Wewe mwenyewe mnafiki
Hivi huyu mchambuzi uchwara kila siku Kazi yake Ni kuisemea ubaya Simba SC tu
Huu ushamba mkubwa ndio unaoirudisha ligi yetu nyuma
Code nyepesi Awesu Awesu
Huyu jamaa anaichukia simba
Mzoeee huyu. Hawezagi ficha mapenzi yake na Utopolo.
😂😂, anatoa taarifa tu siyo kuichukia
Ni kweli ulichosema hao wazee wametutesa, na baaday tukiwaacha ndo wanawachukua baada ya kuwaharib ,
Huyo kagoma Yusuf
Code nyepes sana hiyo Huyo Awesu Awesu kwenda simba
awesu awes
Uyo ni feisal kutua unyamani mbona msimbazi panaenda kuwaka
🔥🔥🔥🔥
Kumbe huelew haraka umeambiwa anamkataba wa mwaka mmoja feisal abamkataba wa miaka 2 maana fei alisinya miaka 3 ko bado miwili. Huyo ni Awesu Awesu
Haijawahi kuwa rahis kama unavyotaka
Mhh na wewe umechochora kweli kweli FEISAL anamkataba wa miaka sio mwaka mmoja jaribu tena kwanza huenda ukapatia vyema ila kwa Feisali umekosa aisee😂😂
Hugo ni gongo waziristan kabisahuyo
Yusuf kagoma
Awesu Awesu
Wewe inakuuma nini sasa
Mnafiki huyo
Fei toto ndobado mwaka mmoja
Fala ww bado miwili kasajiliwa mitatu Acha kujizima data
Drsh dg ana sepa
Tfff ni ya Simba ndo maana madudu haya hujasikia hata yakikemewa
Wakwanza leo
Nyokoo umechangia nini humu sifatu za kijinga
@@robertphilip385 nisamehe dada yangu nimekosa mm
Yusufu kagoma
Viongoz wenye mamlaka wawe Fair waache ushabiki
Wa pili mimiiii
Huna lolote umechangia nini humu sifa tu
Hapo studio naona woylte mashoga TU wanatafuta mabwabwa muikome Simba mbwa nyie
Acha uongo kumaliza mb za watu kwa uongo
Kwa nn wewe momo unapenda kuchambua kwa
Mafumbo? Kazi yenu ni kututanabaisha kinagaubzga. Hatupendi mafumbo yako. Unatuboa sana.
Sasa ufafanuliwe wakati jambo hata klabu husika hawajaweka wazi? Tafuta D 2 kwanza ili usipate shida wakati mwingine.
Fei toto hio
Mpanzu
Yusuf kagoma
Mpanzu
Yusuf kagoma