Tatizo lenu kila Kona mmebeba Siasa. Hawa wanasiasa mwisho wa siku ni binadamu wa kawaida. Kanisani kuna mchanganyiko wa Itikadi. Nyie wakati mnaibeba Siasa kama chuki, wenzenu wanagonga glass. Sio kila wakati ni Siasa .😢
Halafu mje mseme mnaibiwa kura wakati nyie wenyewe mnampigia mama debe kanisani.. unaona alivyotajwa tu mama samia ..kil a mtu kashangilia na kufurahi..
Kajiharinia nini wajameni hapo ni mambo yakawaida tu mbona magufuli alijenga msikiti ndo Tanzania yeti nzuri haina shida watu ndo mnataka kuleta matatizo😂
150 kwa kanisa ni anasa... tunahitaji kuona mambo katika uhalisia unalipa kanisa 150 wakati huna madarasa, huna vyoo mashuleni, huna madawa katika zahanati na hospitali zako. Ni mambo ya aibu mnoo. Pesa za kuipa simba na yanga zipo, pesa za kuchangia makanisa zipo ila pesa za madawati mashuleni hatuna na tunawaambia wazazi wasio jua watakula nini jioni wachangie. Tufikie mahala tuanze kuona aibu na tuwe na soni
MWEYEKITI MBOWE SAWA MANA KACHANGIA SASA NI LINI UTAMUIMBA ATUJENGEE BARABARA YA MTAA WA UFIPA NA MTAA WA TOGO @AU HANISHENI ZILE OFFICE ZENU ILI NASI SERIKALI ITUJENGEE BARA BARA
Uko vizuri mbowe kwa harambee kule ilala barabara za mitaa mbovu hazina lami kule ulongoni,pugu,kifuru, segerea, kivule viongozi wa jiji na mkoa wameshindwa kuiga mfano kama huu!Duu?Big up mbowe kwa kuboresha mazingira ya nyumbani yawe kitalii zaidi.
Kheri ya mwaka mpya. Ninapata shida sana katika jambo hili. Kwa ile lugha ya kikwetu, " I am walking a tight rope to choose between to accept or not accept richness in church!" Fedha. 1. Kuchangia ni jambo zuri kabisa na la kheri. Swali ni je unachangia wapi na katika hali gani? Kumbe viongozi wetu wa kisiasa ni matajiri. Alhamdullah. Na je wananchi wanaowaongoza wana hali gani kiuchumi? 2. Kanisa nalo lijitafakari katika maudhui haya, kupokea/kuratibu (organise) mchango hela nyingi katikati ya waumini wanaolala njaa kwa umasikini uliokithiri, kuna upako ndani yake? 3. Sasa, na hela hiyo inatolewa katika kile kinachoonekana ni kumtukuza Mungu! Tafakari na tusaidiane mawazo!
Wewe ulikuwa unadhani viongozi wa kitaifa ni Masikini? Na ukaona kabisa Rais akitoa pesa anatoa kama unavyotoa wewe? Kama unaamini viongozi ni masikini, Pole
Mbona Rais namuelewa sana. Tatizo ni baadhi ya waliohudhuria au niseme waalikwa... mfano najua mawaziri na wakuu wa wilaya na mikoa ni sehemu ya serkali lakini wabunge wa viti maalum wa Chadema wamealikwa pia na serkali au mwenyekiti wa CCM au mwenyekiti wa Chadema...!!?
Ila naomba tuwapongeze waislam kwa Ustaraabu juu ya imani nyengine, naamin hii pesa ingekuwa imetolewa na rais kwenda kujenga msikiti, mitandaoni na mitaani tungeona nongwa lake, lakin hapa shwar hakuna kelele wala minong'ono. Hapo ndio tujue kuna dini zina upendo sio maneno bali upendo wa vitendo.
Magufuli ndiye aliyemuomba mfalme wa Morocco kuwajengea Bakwata msikiti wa Kinondoni pia alitoa pesa taslimu Kama mchango wake wakati huo.Pia kule Dodoma Magufuli alichangisha mchango kanisani kusaidia kujenga msikiti pale Dodoma baada kutofurahishwa na hadhi ya msikiti ule.Wakati mwingine usisema jambo usilo lijua fanya utafiti. Je unakumbuka Rais Benjamini Mkapa aliwapa Bakwata chuo cha Tanesci Morogoro na sasa ndio kimekuwa chuo kikuu cha waislam.Acha kuwa nafikira mgando.
Magufuli alipokuwa akisaidia vilema mlimubeza shenzi saana kengeza unatetea tumbo lako fyooooooo na hizo utakula na shooo wako na atakayegusa comment yangu msenge
Ww ndugu nikwambie kitu!! Neno lililo ovu lisitoke katika vinywa vyenu, maana yake, usimtukane mtu yeyote wala kutumia maneno mabaya, Biblia imekataa!! Soma Waefeso4:29. Tumia hekima ndugu yangu, Waefeso5:15. Ubarikiwe bana!! Yesu Kristo asifiwe sana.
du wanakula na majambazi ccm😢😢😢. KKKT inapokea hela haram, kutoka kwa viongozi haram😢😢😢. Kule Hanang wananchi hawana nyumba, zimebomolewa na mafuriko. Kanisa la Kilutheri Tz limejisahau....😢😢😢.
Jamani waislamu hapa inabidi tuamke Kwa Hawa viongozi wetu WA dini bakwata .kama mama kanisani anatoa Hela nyingi hivi je humo miskitini itakuwa anatoa kiasi Gani mbona hawaweki wazi Hawa viongozi wetu maana sijaona hta mskiti Moja ukiinuka au hospital kubwa zaidi ya ule WA msaada kutoka morroco
Tatizo la bakwata wapigaji wengi... viingozi wameuza maeneo ya misikiti au kujimilikisha,baadaye wanatengeneza mafundisho ya uwongo eti mfumo Kristo... wafuasi wao wanaitikia bila tafakari..
Tatizo lenu kila Kona mmebeba Siasa. Hawa wanasiasa mwisho wa siku ni binadamu wa kawaida. Kanisani kuna mchanganyiko wa Itikadi. Nyie wakati mnaibeba Siasa kama chuki, wenzenu wanagonga glass. Sio kila wakati ni Siasa .😢
Pongezi Sanaa pastor na viongozi wote wa serikali na waumini wote mlio jitoa katika mchango wa kusapoti kazi ya mungu
Hii ndio Tz waliyotuachia wazee wetu bila kujali tofauti za vyama vyetu. Mbarikiwe nyote kwakuifanya kazi ya Mungu.
Hata mimi nimefurahi sana ndugu yangu.. Watu wanajumuika pamoja inatia moyo sana..
Makanisa yashageuzwa uwanja wa wana siasa kujitafutia umaarufu.
😅
Kwa iyo wanasiasa haifai kutoa misaada katika makanisa?
Halafu mje mseme mnaibiwa kura wakati nyie wenyewe mnampigia mama debe kanisani.. unaona alivyotajwa tu mama samia ..kil a mtu kashangilia na kufurahi..
Kwahiyo akishangiliwa ndio hawezi kuiba kura,?
Umesahau kuwa mwisho wa siku sisi wote ni waTanzania na siasa sio vita ya kudumu
Mmmh, mpaka tunashangaa.
Ujinga mtupu. Mbowe umejihalibia mwenyewe, msije mkaanza kutulilia.
Kajiharinia nini wajameni hapo ni mambo yakawaida tu mbona magufuli alijenga msikiti ndo Tanzania yeti nzuri haina shida watu ndo mnataka kuleta matatizo😂
150 kwa kanisa ni anasa... tunahitaji kuona mambo katika uhalisia unalipa kanisa 150 wakati huna madarasa, huna vyoo mashuleni, huna madawa katika zahanati na hospitali zako. Ni mambo ya aibu mnoo. Pesa za kuipa simba na yanga zipo, pesa za kuchangia makanisa zipo ila pesa za madawati mashuleni hatuna na tunawaambia wazazi wasio jua watakula nini jioni wachangie. Tufikie mahala tuanze kuona aibu na tuwe na soni
All the blessings our mother Samia
God maisha lazima yaendelee usipende kulaumu tuu nyumba ya ibada pia nimuhimu
MALOFA ndiyo hawatamuelewa Mama Yetu.KIPENZI chetu😊😊😅
Kwenda zako uko Mungu anataka Moyosafi sio ataukiwa na kidogo
Politics indeed,, mama kizimkazi tunashukuru thou.
Jamani hizo hela si wapeleke uko hospital tumbi sijui mawapi uko wamama wajawazito wanakolia wanalaa wa3 watatu kitanda kimoja
Bi Mkubwa Ametisha , 150 Ml si mchezo
Mama Samia oyooooo Mungu skubariki uongoze milele
MWEYEKITI MBOWE SAWA MANA KACHANGIA SASA NI LINI UTAMUIMBA ATUJENGEE BARABARA YA MTAA WA UFIPA NA MTAA WA TOGO @AU HANISHENI ZILE OFFICE ZENU ILI NASI SERIKALI ITUJENGEE BARA BARA
Uko vizuri mbowe kwa harambee kule ilala barabara za mitaa mbovu hazina lami kule ulongoni,pugu,kifuru, segerea, kivule viongozi wa jiji na mkoa wameshindwa kuiga mfano kama huu!Duu?Big up mbowe kwa kuboresha mazingira ya nyumbani yawe kitalii zaidi.
Mimi nimwenezi wenu sisemi wapi nilipo nisemeukweli mbowe inataka kufeli mwabukusi namuudude nawakili musomi dowanaopiganiahakii hizomiahamusini nikodi zetu ndiomaana namwelewa ga Sana lisu
Asante sana RAIS wetu❤❤
Oh. Imependeza mno.
Mama amechangia Kanisa.
Anastahili kabisa kuendelea KUWA Rais wetu.
We akili huna usishawishike na visent kwani Mungu haangaliii pesa anaangalia Dhamila ya Moyo wa MTU
Mbowe ni mtafuta fedha mfanyabiashara wa siasa.
Kheri ya mwaka mpya. Ninapata shida sana katika jambo hili. Kwa ile lugha ya kikwetu, " I am walking a tight rope to choose between to accept or not accept richness in church!" Fedha. 1. Kuchangia ni jambo zuri kabisa na la kheri. Swali ni je unachangia wapi na katika hali gani? Kumbe viongozi wetu wa kisiasa ni matajiri. Alhamdullah. Na je wananchi wanaowaongoza wana hali gani kiuchumi? 2. Kanisa nalo lijitafakari katika maudhui haya, kupokea/kuratibu (organise) mchango hela nyingi katikati ya waumini wanaolala njaa kwa umasikini uliokithiri, kuna upako ndani yake? 3. Sasa, na hela hiyo inatolewa katika kile kinachoonekana ni kumtukuza Mungu! Tafakari na tusaidiane mawazo!
Wewe ulikuwa unadhani viongozi wa kitaifa ni Masikini? Na ukaona kabisa Rais akitoa pesa anatoa kama unavyotoa wewe? Kama unaamini viongozi ni masikini, Pole
Yesu anasema masikini mlikuwamo nao siku zote..lakini Mimi hamani.. mnaweza kuwasaidia mkipenda
Rais ana mikono mingi.
We kama huna Kaa kimya ,hawakulazimishi kuchangia
Nyumba ya MUNGU. Atukuzwe ktk Jina la YESU. AMINA.
hayo ni mambo ya ukoloni maomboleo
siasa isikufanye ukajichochea moto mwenyewe kusaidia mchango wa kujenga kanisa kujipalilia moto wa Jahanam
Utanzania Kwanza
Pia naye Amos sura yote ya 5 atawafafanulia
Hii sijaielewa ni kwaajili gani?
Kahongwa coku hizi kafunga domo
Walimunhawana nyumba wanishi nyumba za makuyi. Jamani kiwenu na.huruma
Mbona Rais namuelewa sana. Tatizo ni baadhi ya waliohudhuria au niseme waalikwa... mfano najua mawaziri na wakuu wa wilaya na mikoa ni sehemu ya serkali lakini wabunge wa viti maalum wa Chadema wamealikwa pia na serkali au mwenyekiti wa CCM au mwenyekiti wa Chadema...!!?
Nchi yenu kuleni mema yenu hapa duniani tuu
Unaongeza sana
Yakobo 5:1-6 ni jibu la maoni na majibu yote!
Hii imeendaaa.
Mmj mbona magufuli aliwahi changia msokiti
Ila naomba tuwapongeze waislam kwa Ustaraabu juu ya imani nyengine, naamin hii pesa ingekuwa imetolewa na rais kwenda kujenga msikiti, mitandaoni na mitaani tungeona nongwa lake, lakin hapa shwar hakuna kelele wala minong'ono. Hapo ndio tujue kuna dini zina upendo sio maneno bali upendo wa vitendo.
Shame on you ,Wakristo hawanaga shobo hizo hata kidogo we utakuwa na tatizo lako binafsi ,katafute hela
Mnatawala nchi zote mbili tumenyamaza sembuse vijihela hivi. Sisi ndo watulivu kwa taarifa yako
Magufuli ndiye aliyemuomba mfalme wa Morocco kuwajengea Bakwata msikiti wa Kinondoni pia alitoa pesa taslimu Kama mchango wake wakati huo.Pia kule Dodoma Magufuli alichangisha mchango kanisani kusaidia kujenga msikiti pale Dodoma baada kutofurahishwa na hadhi ya msikiti ule.Wakati mwingine usisema jambo usilo lijua fanya utafiti.
Je unakumbuka Rais Benjamini Mkapa aliwapa Bakwata chuo cha Tanesci Morogoro na sasa ndio kimekuwa chuo kikuu cha waislam.Acha kuwa nafikira mgando.
Hongo Mheshimiwa mbw
Na Milioni 5 aliyotoa Lissu ni nini?
Amina
Mtusaidie na ssi vijana huku nje
Nenda Kanisani kwenu acha kuzulula mtaani.
@@gibsonjosephat6352 😂😂
Magufuli alipokuwa akisaidia vilema mlimubeza shenzi saana kengeza unatetea tumbo lako fyooooooo na hizo utakula na shooo wako na atakayegusa comment yangu msenge
Wewe Malaya umelewa bangi mpumbavu wewe
@@erickmsigala138 msenge umefilwa mkesha wote
Ww ndugu nikwambie kitu!! Neno lililo ovu lisitoke katika vinywa vyenu, maana yake, usimtukane mtu yeyote wala kutumia maneno mabaya, Biblia imekataa!! Soma Waefeso4:29. Tumia hekima ndugu yangu, Waefeso5:15. Ubarikiwe bana!! Yesu Kristo asifiwe sana.
mbowe wampe tu jimbo lake
HANA LOLOTE KAZOEA KUBEBWA HUYO HANA SERA HUYO MBOWE 0:04
Du watasema amelamba asali
True
Lisu umetoa milion tano Sawa. Lisu ilikuwaje ukatoa milioni mbili kwa ndugu yenu PRFSS J? Oky kumbe huku ndo unajua kuna mtaji wawa piga Kura et
Usilinganishe ,unakosea
Kwanini Wachagga wanachangia KKKT NA KASKAZINI TU
Naona nae anajirekodi
du wanakula na majambazi ccm😢😢😢. KKKT inapokea hela haram, kutoka kwa viongozi haram😢😢😢. Kule Hanang wananchi hawana nyumba, zimebomolewa na mafuriko. Kanisa la Kilutheri Tz limejisahau....😢😢😢.
Sijasikia jina lako mkuu
Jamani waislamu hapa inabidi tuamke Kwa Hawa viongozi wetu WA dini bakwata .kama mama kanisani anatoa Hela nyingi hivi je humo miskitini itakuwa anatoa kiasi Gani mbona hawaweki wazi Hawa viongozi wetu maana sijaona hta mskiti Moja ukiinuka au hospital kubwa zaidi ya ule WA msaada kutoka morroco
Hawezi kutoa kwa BK kwa sababu atakuwa anajuwa labda au inawezekana hazitokuwa katika mikoni sa.........
Mama anatuhudumia sawa haijalishi muislamu au mkristo wote ni wake ila swala la uwazi hapo nimekuelewa viongozi wetu waseme ukwelii
Watu hela wanapiga,Kipindi cha Magufuri alianzisha harambeee msikiti wa Dodoma Chamwino,hela hazikutanganzwa
Hahahahaha unateseka saana , Nchi haina dini hii kwahiyo Viongozi wako Huru kuchangia chochote sehem yeyote
Tatizo la bakwata wapigaji wengi... viingozi wameuza maeneo ya misikiti au kujimilikisha,baadaye wanatengeneza mafundisho ya uwongo eti mfumo Kristo... wafuasi wao wanaitikia bila tafakari..