MBOWE ALIVYOTANGAZA RAIS SAMIA KUTOA MILL 150 KWENYE KANISA LA KKKT MACHAME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 94

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 8 месяцев назад +6

    Tatizo lenu kila Kona mmebeba Siasa. Hawa wanasiasa mwisho wa siku ni binadamu wa kawaida. Kanisani kuna mchanganyiko wa Itikadi. Nyie wakati mnaibeba Siasa kama chuki, wenzenu wanagonga glass. Sio kila wakati ni Siasa .😢

  • @nhguyrff7350
    @nhguyrff7350 8 месяцев назад +1

    Pongezi Sanaa pastor na viongozi wote wa serikali na waumini wote mlio jitoa katika mchango wa kusapoti kazi ya mungu

  • @user-wj7gu1nb4y
    @user-wj7gu1nb4y 8 месяцев назад +2

    Hii ndio Tz waliyotuachia wazee wetu bila kujali tofauti za vyama vyetu. Mbarikiwe nyote kwakuifanya kazi ya Mungu.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 8 месяцев назад +1

      Hata mimi nimefurahi sana ndugu yangu.. Watu wanajumuika pamoja inatia moyo sana..

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 8 месяцев назад +6

    Makanisa yashageuzwa uwanja wa wana siasa kujitafutia umaarufu.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 8 месяцев назад

      😅

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 8 месяцев назад

      Kwa iyo wanasiasa haifai kutoa misaada katika makanisa?

  • @V24hrs
    @V24hrs 8 месяцев назад +7

    Halafu mje mseme mnaibiwa kura wakati nyie wenyewe mnampigia mama debe kanisani.. unaona alivyotajwa tu mama samia ..kil a mtu kashangilia na kufurahi..

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 месяцев назад

      Kwahiyo akishangiliwa ndio hawezi kuiba kura,?

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 8 месяцев назад

      Umesahau kuwa mwisho wa siku sisi wote ni waTanzania na siasa sio vita ya kudumu

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 8 месяцев назад

      Mmmh, mpaka tunashangaa.

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 8 месяцев назад

      Ujinga mtupu. Mbowe umejihalibia mwenyewe, msije mkaanza kutulilia.

    • @user-qk4lx4hg7g
      @user-qk4lx4hg7g 8 месяцев назад

      Kajiharinia nini wajameni hapo ni mambo yakawaida tu mbona magufuli alijenga msikiti ndo Tanzania yeti nzuri haina shida watu ndo mnataka kuleta matatizo😂

  • @godfreygoyayi6576
    @godfreygoyayi6576 8 месяцев назад +2

    150 kwa kanisa ni anasa... tunahitaji kuona mambo katika uhalisia unalipa kanisa 150 wakati huna madarasa, huna vyoo mashuleni, huna madawa katika zahanati na hospitali zako. Ni mambo ya aibu mnoo. Pesa za kuipa simba na yanga zipo, pesa za kuchangia makanisa zipo ila pesa za madawati mashuleni hatuna na tunawaambia wazazi wasio jua watakula nini jioni wachangie. Tufikie mahala tuanze kuona aibu na tuwe na soni

    • @mdendamono3311
      @mdendamono3311 8 месяцев назад

      All the blessings our mother Samia

    • @athumanimhina1869
      @athumanimhina1869 8 месяцев назад +1

      God maisha lazima yaendelee usipende kulaumu tuu nyumba ya ibada pia nimuhimu

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 8 месяцев назад +2

    MALOFA ndiyo hawatamuelewa Mama Yetu.KIPENZI chetu😊😊😅

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 8 месяцев назад

      Kwenda zako uko Mungu anataka Moyosafi sio ataukiwa na kidogo

  • @Rodgers_01
    @Rodgers_01 8 месяцев назад +1

    Politics indeed,, mama kizimkazi tunashukuru thou.

  • @JacklineWisiko-pi4xp
    @JacklineWisiko-pi4xp 8 месяцев назад +2

    Jamani hizo hela si wapeleke uko hospital tumbi sijui mawapi uko wamama wajawazito wanakolia wanalaa wa3 watatu kitanda kimoja

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 8 месяцев назад +2

    Bi Mkubwa Ametisha , 150 Ml si mchezo

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 8 месяцев назад

    Mama Samia oyooooo Mungu skubariki uongoze milele

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc 8 месяцев назад

    MWEYEKITI MBOWE SAWA MANA KACHANGIA SASA NI LINI UTAMUIMBA ATUJENGEE BARABARA YA MTAA WA UFIPA NA MTAA WA TOGO @AU HANISHENI ZILE OFFICE ZENU ILI NASI SERIKALI ITUJENGEE BARA BARA

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 8 месяцев назад

    Uko vizuri mbowe kwa harambee kule ilala barabara za mitaa mbovu hazina lami kule ulongoni,pugu,kifuru, segerea, kivule viongozi wa jiji na mkoa wameshindwa kuiga mfano kama huu!Duu?Big up mbowe kwa kuboresha mazingira ya nyumbani yawe kitalii zaidi.

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 8 месяцев назад +2

    Mimi nimwenezi wenu sisemi wapi nilipo nisemeukweli mbowe inataka kufeli mwabukusi namuudude nawakili musomi dowanaopiganiahakii hizomiahamusini nikodi zetu ndiomaana namwelewa ga Sana lisu

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 8 месяцев назад

    Asante sana RAIS wetu❤❤

  • @martinjohn7854
    @martinjohn7854 8 месяцев назад

    Oh. Imependeza mno.
    Mama amechangia Kanisa.
    Anastahili kabisa kuendelea KUWA Rais wetu.

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 8 месяцев назад +1

      We akili huna usishawishike na visent kwani Mungu haangaliii pesa anaangalia Dhamila ya Moyo wa MTU

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 8 месяцев назад +2

    Mbowe ni mtafuta fedha mfanyabiashara wa siasa.

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 8 месяцев назад +3

    Kheri ya mwaka mpya. Ninapata shida sana katika jambo hili. Kwa ile lugha ya kikwetu, " I am walking a tight rope to choose between to accept or not accept richness in church!" Fedha. 1. Kuchangia ni jambo zuri kabisa na la kheri. Swali ni je unachangia wapi na katika hali gani? Kumbe viongozi wetu wa kisiasa ni matajiri. Alhamdullah. Na je wananchi wanaowaongoza wana hali gani kiuchumi? 2. Kanisa nalo lijitafakari katika maudhui haya, kupokea/kuratibu (organise) mchango hela nyingi katikati ya waumini wanaolala njaa kwa umasikini uliokithiri, kuna upako ndani yake? 3. Sasa, na hela hiyo inatolewa katika kile kinachoonekana ni kumtukuza Mungu! Tafakari na tusaidiane mawazo!

    • @Mwakamele
      @Mwakamele 8 месяцев назад

      Wewe ulikuwa unadhani viongozi wa kitaifa ni Masikini? Na ukaona kabisa Rais akitoa pesa anatoa kama unavyotoa wewe? Kama unaamini viongozi ni masikini, Pole

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 8 месяцев назад

      Yesu anasema masikini mlikuwamo nao siku zote..lakini Mimi hamani.. mnaweza kuwasaidia mkipenda

    • @sihabanassoro5094
      @sihabanassoro5094 8 месяцев назад

      Rais ana mikono mingi.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 8 месяцев назад

      We kama huna Kaa kimya ,hawakulazimishi kuchangia

    • @emmanuelnkuni7475
      @emmanuelnkuni7475 8 месяцев назад

      Nyumba ya MUNGU. Atukuzwe ktk Jina la YESU. AMINA.

  • @maheitumdintunya2928
    @maheitumdintunya2928 8 месяцев назад +2

    hayo ni mambo ya ukoloni maomboleo

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI 8 месяцев назад +1

    siasa isikufanye ukajichochea moto mwenyewe kusaidia mchango wa kujenga kanisa kujipalilia moto wa Jahanam

  • @walterlema5736
    @walterlema5736 8 месяцев назад +1

    Utanzania Kwanza

  • @camilluskassala8362
    @camilluskassala8362 8 месяцев назад

    Pia naye Amos sura yote ya 5 atawafafanulia

  • @saidkhamis9507
    @saidkhamis9507 8 месяцев назад +3

    Hii sijaielewa ni kwaajili gani?

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 8 месяцев назад

    Walimunhawana nyumba wanishi nyumba za makuyi. Jamani kiwenu na.huruma

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 8 месяцев назад

    Mbona Rais namuelewa sana. Tatizo ni baadhi ya waliohudhuria au niseme waalikwa... mfano najua mawaziri na wakuu wa wilaya na mikoa ni sehemu ya serkali lakini wabunge wa viti maalum wa Chadema wamealikwa pia na serkali au mwenyekiti wa CCM au mwenyekiti wa Chadema...!!?

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 8 месяцев назад +1

    Nchi yenu kuleni mema yenu hapa duniani tuu

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 8 месяцев назад

    Unaongeza sana

  • @camilluskassala8362
    @camilluskassala8362 8 месяцев назад

    Yakobo 5:1-6 ni jibu la maoni na majibu yote!

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 8 месяцев назад

    Hii imeendaaa.

  • @emelianashangala132
    @emelianashangala132 8 месяцев назад

    Mmj mbona magufuli aliwahi changia msokiti

  • @kingofthefamily
    @kingofthefamily 8 месяцев назад +1

    Ila naomba tuwapongeze waislam kwa Ustaraabu juu ya imani nyengine, naamin hii pesa ingekuwa imetolewa na rais kwenda kujenga msikiti, mitandaoni na mitaani tungeona nongwa lake, lakin hapa shwar hakuna kelele wala minong'ono. Hapo ndio tujue kuna dini zina upendo sio maneno bali upendo wa vitendo.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 8 месяцев назад

      Shame on you ,Wakristo hawanaga shobo hizo hata kidogo we utakuwa na tatizo lako binafsi ,katafute hela

    • @kaizamulinda633
      @kaizamulinda633 8 месяцев назад +1

      Mnatawala nchi zote mbili tumenyamaza sembuse vijihela hivi. Sisi ndo watulivu kwa taarifa yako

    • @gordiansoko9113
      @gordiansoko9113 8 месяцев назад

      Magufuli ndiye aliyemuomba mfalme wa Morocco kuwajengea Bakwata msikiti wa Kinondoni pia alitoa pesa taslimu Kama mchango wake wakati huo.Pia kule Dodoma Magufuli alichangisha mchango kanisani kusaidia kujenga msikiti pale Dodoma baada kutofurahishwa na hadhi ya msikiti ule.Wakati mwingine usisema jambo usilo lijua fanya utafiti.
      Je unakumbuka Rais Benjamini Mkapa aliwapa Bakwata chuo cha Tanesci Morogoro na sasa ndio kimekuwa chuo kikuu cha waislam.Acha kuwa nafikira mgando.

  • @WebyNgogo-nj3fx
    @WebyNgogo-nj3fx 8 месяцев назад

    Hongo Mheshimiwa mbw

    • @Mwakamele
      @Mwakamele 8 месяцев назад

      Na Milioni 5 aliyotoa Lissu ni nini?

  • @bahatishitindi
    @bahatishitindi 8 месяцев назад

    Amina

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 8 месяцев назад

    Mtusaidie na ssi vijana huku nje

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 месяцев назад +1

    Magufuli alipokuwa akisaidia vilema mlimubeza shenzi saana kengeza unatetea tumbo lako fyooooooo na hizo utakula na shooo wako na atakayegusa comment yangu msenge

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 8 месяцев назад

      Wewe Malaya umelewa bangi mpumbavu wewe

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 8 месяцев назад

      @@erickmsigala138 msenge umefilwa mkesha wote

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 8 месяцев назад +1

      Ww ndugu nikwambie kitu!! Neno lililo ovu lisitoke katika vinywa vyenu, maana yake, usimtukane mtu yeyote wala kutumia maneno mabaya, Biblia imekataa!! Soma Waefeso4:29. Tumia hekima ndugu yangu, Waefeso5:15. Ubarikiwe bana!! Yesu Kristo asifiwe sana.

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 8 месяцев назад

    mbowe wampe tu jimbo lake

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 8 месяцев назад

      HANA LOLOTE KAZOEA KUBEBWA HUYO HANA SERA HUYO MBOWE 0:04

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i 8 месяцев назад

    Du watasema amelamba asali

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 8 месяцев назад

    Lisu umetoa milion tano Sawa. Lisu ilikuwaje ukatoa milioni mbili kwa ndugu yenu PRFSS J? Oky kumbe huku ndo unajua kuna mtaji wawa piga Kura et

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 8 месяцев назад

    Kwanini Wachagga wanachangia KKKT NA KASKAZINI TU

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 8 месяцев назад

    Naona nae anajirekodi

  • @paull8659
    @paull8659 8 месяцев назад

    du wanakula na majambazi ccm😢😢😢. KKKT inapokea hela haram, kutoka kwa viongozi haram😢😢😢. Kule Hanang wananchi hawana nyumba, zimebomolewa na mafuriko. Kanisa la Kilutheri Tz limejisahau....😢😢😢.

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 8 месяцев назад

    Sijasikia jina lako mkuu

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 8 месяцев назад +2

    Jamani waislamu hapa inabidi tuamke Kwa Hawa viongozi wetu WA dini bakwata .kama mama kanisani anatoa Hela nyingi hivi je humo miskitini itakuwa anatoa kiasi Gani mbona hawaweki wazi Hawa viongozi wetu maana sijaona hta mskiti Moja ukiinuka au hospital kubwa zaidi ya ule WA msaada kutoka morroco

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 8 месяцев назад +1

      Hawezi kutoa kwa BK kwa sababu atakuwa anajuwa labda au inawezekana hazitokuwa katika mikoni sa.........

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 8 месяцев назад +1

      Mama anatuhudumia sawa haijalishi muislamu au mkristo wote ni wake ila swala la uwazi hapo nimekuelewa viongozi wetu waseme ukwelii

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 8 месяцев назад

      Watu hela wanapiga,Kipindi cha Magufuri alianzisha harambeee msikiti wa Dodoma Chamwino,hela hazikutanganzwa

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 8 месяцев назад +1

      Hahahahaha unateseka saana , Nchi haina dini hii kwahiyo Viongozi wako Huru kuchangia chochote sehem yeyote

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 8 месяцев назад +2

      Tatizo la bakwata wapigaji wengi... viingozi wameuza maeneo ya misikiti au kujimilikisha,baadaye wanatengeneza mafundisho ya uwongo eti mfumo Kristo... wafuasi wao wanaitikia bila tafakari..