Hii leo ni yangu nmejifunza kitu kubwa sana leo cz naonewa sana kazini na pia cut salary kila wakati and im tithing so kumbe ni maandlizi sai sina shaka tena ... thank u pastor lwa hio mafundisho be blessed alot
Baba umekuwa baraka sana kwangu toka nilivyoanza kukusikia mwezi wa kumi na mbili najua ipo njia ninayoiendea Asante sana Baba ninakusikiliza kutoka south Africa
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa hicho kipawa cha uwalimu.nimepanua mipaka yangu kupitia neno la Mungu kupitia kwako.karibu kwenye na hudumia watu wa Mungu.
Amina Mtumishi wa MUNGU! Huwa napenda sana kusikikiza mafundisho yako na kuyarudia tena na tena na tena. Hakika wewe ni Mtumishi wa MUNGU na Neno lake limekuvaa kisawasawa. Be blessed man of GOD.🙏🙌💪
Am in tears coz am struggling to pay tithe,salary cut and struggling going for prayers yet niko na mzigo huo.Thanks pastor for the guidance.Glory to God for this msg.I will press on.
Dah miaka mitano iliyopita nilipoteza fulsa nilikuwa the best nurse in my dc mimi na semina mimi nakila fulsa hadi kupewa mizawadi niliitwa majina mazuri ila viligeuka ndani ya mda mchache hadi sasa nimateso shida taabu majina mabaya sana hadi dah ,leo nimepona Amina
Ubarikiwe sana poster Asante sana nmejifunza vitu vingi kupitia hili somo mungu akubarik na akuongezee mahali ulipo punguza kwa ajili yetu mungu akujalizie
Oooh Goodness prophet true prophecy Prophet Pastor George Mukabwa woow God bless you saaana zaidi na zaidi trueeeeeeeeeth❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤oye St Pölten Niederösterreich ❤❤❤❤Nakuoenda kwa kua True Massagen of The Lord God Mightier ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ AMEEEEEEEN ❤❤❤
Amen..nimebarikiwa. i know am not late God is making ways for me. Be blessed Pastor listening to the word of God through you..its really a blessing. EACH time i listening to your preaching i feel like God is sending to me a message. God bless you Pastor
mafunzo mazuri mtumishi wa Mungu ...nilipoamka asubuhi nilisoma kitabu cha yoeli 2: 25 na jambo la kushangaza umekisoma hapa leo ...naona Mungu ananisemesha kitu hapa ...na haya yote unasema nimeyapitia
Nikiwa morogoro nawafatilia vzr na kubarikiwa na ibada zenu hakika Mungu akuinue baba Mkabwa
Kama unawatch hii mafunzo ukiwa gulf ama away from your home ujue ni wewe Mungu ananena na wewe. Asante sana pastor George Mungu akubariki.
Amen🙏
amen amen
Amen
Pamoja daaaa amina kubwa sana
Amina
Hii leo ni yangu nmejifunza kitu kubwa sana leo cz naonewa sana kazini na pia cut salary kila wakati and im tithing so kumbe ni maandlizi sai sina shaka tena ... thank u pastor lwa hio mafundisho be blessed alot
Amen, powerful message, God bless you servant of God.
Baba umekuwa baraka sana kwangu toka nilivyoanza kukusikia mwezi wa kumi na mbili najua ipo njia ninayoiendea Asante sana Baba ninakusikiliza kutoka south Africa
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa hicho kipawa cha uwalimu.nimepanua mipaka yangu kupitia neno la Mungu kupitia kwako.karibu kwenye na hudumia watu wa Mungu.
Ubarikiwe sana mtumishi pastor George, umekuwa baraka kwangu kabisa. Nay God bless you abundantly 🎉🎉🎉🎉. Ongera Kwa kazi hiyi.
Amen and amen humble in Jesus mighty name, hallelujah hallelujah
Amina Mtumishi wa MUNGU! Huwa napenda sana kusikikiza mafundisho yako na kuyarudia tena na tena na tena. Hakika wewe ni Mtumishi wa MUNGU na Neno lake limekuvaa kisawasawa. Be blessed man of GOD.🙏🙌💪
Aminakuu barikiwa
Asante Mungu kwa neno nimejipata sasa ubarikiwe sana na Mungu
Am in tears coz am struggling to pay tithe,salary cut and struggling going for prayers yet niko na mzigo huo.Thanks pastor for the guidance.Glory to God for this msg.I will press on.
Napokea marejesho katka jina la Yesu
Msg on time.Was so confused bt God has given direction n hope
amen amen nabarikiwa
Ahsante kwa ujumbe mzuri wa neno la Mungu
Dah miaka mitano iliyopita nilipoteza fulsa nilikuwa the best nurse in my dc mimi na semina mimi nakila fulsa hadi kupewa mizawadi niliitwa majina mazuri ila viligeuka ndani ya mda mchache hadi sasa nimateso shida taabu majina mabaya sana hadi dah ,leo nimepona Amina
Pole sana Mungu akurudishie heshima yako
Unaweza ukaanza upya❤
Amen sana baba
Ameen 🙏 Barikiwa Sana Pastor kwa Somo zuri Sanaa 🙏🙏
You have blessed me and be blessed pastor for this massage
I thank God for His servant,nimetoka kwenye through him.God bless.
Amen 🙏 nabarikiwa na neno hili mchungaji be blessed
Am so much blessed with the man of Go:for really pastor George naweza kesha listening to you you're sermon praise and worship from Kenya tana river
Amina Amina mchungaji wa MUNGU nimebarkiwa sana sijui niseme nini kwa somo hili ila nashukuru MUNGU kwa neema ya kupata somo kupitia mitandao huu
Mungu nirejeshee miaka yangu kwa imani napokea..
Ubarikiwe sana poster Asante sana nmejifunza vitu vingi kupitia hili somo mungu akubarik na akuongezee mahali ulipo punguza kwa ajili yetu mungu akujalizie
nikiwa turkana nimebarikiwa na saidi kupitia neno la mungu Asante pastor kwa hiyo neno mungu akupe kibali duani kwa jina la yesu Amen
Amen mtumishi kwa neno la Mungu
Amen 🙏 barikiwa sana mtumishi
Amen 🙏 🙏🙏🙏🙏
Amina sanaaaa
Amina mtumishi unatufunza mungu akubariki
Asante mtumishi wa mungu
Oooh Goodness prophet true prophecy Prophet Pastor George Mukabwa woow God bless you saaana zaidi na zaidi trueeeeeeeeeth❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤oye St Pölten Niederösterreich ❤❤❤❤Nakuoenda kwa kua True Massagen of The Lord God Mightier ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ AMEEEEEEEN ❤❤❤
Muda wa Mungu ni sahihi sana
Amen n Amen in Jesus Christ Mighty Name 📛🙏....
Ameeeeen ameeen mafunzo yako hata yanipite lazima niyarudie barikiwa sana kuna mambo nimejifunza
God bless you pastor connecting from Saudi Arabia
Nirejesheeee majira yangu Mungu wangu wambinguni.
Amen, mungu akubarikii sana mtumishi
Powerful service indeed
Amen amen amen 🙏🙏
JRC.
Amen
1. Milango ifunguke
2. Kuachiliwa kwa Baraka zetu
3.Mungu aingilie kati
4.Shetani. aondoke ktk kile unachofikiri kimeshindikans
5.Kuvunja vizuizi na vikwazo
Pastor please tunaomba ibada hizo ziwe online.
MUNGU azidi kukupaka mafuta mtumishi hakika nabarikiwa mno na huduma Yako Baba MUNGU anayekutumia hakika anatujenga wengi Pastor ubarikiwe mno
Powerful message..
God bless you Pastor
Amen najiungamanisha na madhababu hi
Amen 🙏. Nikiwa Kenya
Hua nabarikiwa sana na mafundisho na nimejua dalili za muda wa mungu
Hallelujah mafundisho mazuri,mungu atujaliye neema ya kutambua muda na nyakati za mungu kwa maisha yetu
Amen amen 🙏🙏🙏
Amina ,uinuliwe Mungu wetu leo ,uinuliwe bwana wa mwabwana
Amen, Pastor ,Mungu akubariki sana.
Tunaomba maombi yayo ya midnight prayer iwe online pleasd
Thanks pastor
Harerunyaaaaaa 🙏🙏
Neno la Bwana ni chakula Cha uzima glory to God
AMINA 🙏🙏
Baba asate 🙏🙏
Nikiwa USA napenda kusema huyu mchungaji amenitoa mbali sana Namshukur Mungu kwa neno lake kupigia madhabahu Haya 🙌🏻🙌🏻🙌🏻 Nina ushuhuda
Amen..nimebarikiwa. i know am not late God is making ways for me. Be blessed Pastor listening to the word of God through you..its really a blessing. EACH time i listening to your preaching i feel like God is sending to me a message. God bless you Pastor
Amen!!!!
Echo ni mingi leo.We thank God for the word
Hallelujah 🔥🔥
Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hallelujah 🙏
Haleluya nipo kwa hayo majira ni kweli kabisa Mungu azidi kukuinua umeniongezea kitu kikubwa
Kwa wale tuko saudi 😢😢Mungu atujalie majira yetu ya usafirii ukifika turejee nyumbani salama ju wengi wamepotezea uhai wao in gulf country😢😢😢
Ameeen hakika Mungu awashindie.
Amen
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Amen ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Amen Ameeen ❤❤❤❤❤
Glory be to God🙌🙌🙌Asante mchungaji mungu akubariki hakika kupitia kwako najifunza bibilia
Kuwa makini kiroho
Mungu anatupenda
IN FACT. YOUR. MAN OF. GOD. SO. LET US. READ. AND HEAR. WHAT GOD. IS SAYING TO US. CONCERNS. HIS. WORD
mafunzo mazuri mtumishi wa Mungu ...nilipoamka asubuhi nilisoma kitabu cha yoeli 2: 25 na jambo la kushangaza umekisoma hapa leo ...naona Mungu ananisemesha kitu hapa ...na haya yote unasema nimeyapitia
Kutoka dar nafatilia bila kukosa
Amen amen amen 🙏
asant sana kwa mungu kwa hio mafundisho mungu akuinue zaidi
Amen
Amen Amen...
Amen Amen, 🙏🙏
Amina mtumishi wa Mungu Mungu akutunze
Amen
Asante mtumishi wa mungu kwa hili somo limenisaidia sana. Glory be to God 🙏
Amen
Amen