MAVAZI YA MTU ALIYEOKOKA | With Mch. Abihud Misholi | SEMINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • KWA MSAADA WA MAOMBI | MASWALI
    NA USHAURI-0767 379737

Комментарии • 172

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs 4 месяца назад +12

    Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya

  • @EdinaWawa-mx3ed
    @EdinaWawa-mx3ed 5 месяцев назад +9

    Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊

  • @EZEKIAMGWILANGA-hj4hj
    @EZEKIAMGWILANGA-hj4hj 5 месяцев назад +21

    Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi

  • @roseyongolo302
    @roseyongolo302 5 месяцев назад +4

    Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,

  • @prophetdanielmwebrania
    @prophetdanielmwebrania 5 месяцев назад +4

    Nakufurahia mtumishi tupo wachache MBINGUNI LAZIMA UFANIKIWE Amen

  • @fatumaremy
    @fatumaremy 3 месяца назад +2

    Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu

  • @MosesMussa-lp6ck
    @MosesMussa-lp6ck 2 месяца назад +1

    MUNGU akubariki baba umegusa penyew ni kweri baba MUNGU akupe maisha marefu 🙏🙏🙏🙏

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 4 месяца назад +2

    Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 5 месяцев назад +4

    Injili isiyogoshiwa..ndio hii

  • @NathanielJeksta
    @NathanielJeksta 5 месяцев назад +3

    Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa

  • @Gaen-cz4kp
    @Gaen-cz4kp 5 месяцев назад +3

    Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga 5 месяцев назад +3

    Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!

  • @sophiakimani8611
    @sophiakimani8611 3 месяца назад

    The word that's being preached is very critical,,,and they are laughing.thats serious jocking with your eternity

  • @dativarichard1987
    @dativarichard1987 4 месяца назад +8

    Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya

  • @MariamBakari-q3s
    @MariamBakari-q3s 5 месяцев назад +2

    Waambie Baba yapo mavazi yampasayo mkristo kwani hata Dr tunamtambua kwa vazi lake mwanafu tunamtambua kwa mavazi na kahaba atajulikana kwa mavazi yake

  • @MariamMwikongi-go2dj
    @MariamMwikongi-go2dj 2 месяца назад

    Mwenyezi MUNGU akubariki mtumishi.

  • @hoseapatrick2435
    @hoseapatrick2435 3 месяца назад +3

    Mungu huangalia mtu
    -ndani mpaka nje.
    -Kanisani mpaka nyumbani.
    -ukumbini mpaka sirini.
    Basi, watu waambiwe nini ili waelewe?
    WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI.
    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @byaruremakabemba7509
    @byaruremakabemba7509 25 дней назад

    Mungu wangu akubariki saaaaaana kwakuhubiri mahubiri yasiku zamwisho tayarisha bibi arusi baba Asante asante🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 4 месяца назад +2

    Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake

  • @JacklineJackson-pu4bv
    @JacklineJackson-pu4bv 4 месяца назад +3

    Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji

  • @denisijosephati
    @denisijosephati Месяц назад

    ubarikiwe pastar abiud, xasa kweli nimeamini kuwa umeamua kufundixha ukweli iyo ndiyo kweli ya mungu.

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs Месяц назад

    Nampenda huyu mchungaji sana na sutawacha kumfuata isipokuwa aiwache njia ya Bwana. Mungu hakuuwa mnyama kwa kumvua ngozi ili amvike Adam na Hawa.

  • @hoseamasogi1946
    @hoseamasogi1946 4 месяца назад +1

    Hii ndiyo injili inayohitajika kwenye hiki kizazi Mungu akubariki

  • @RehemaNchimbi-ki2ed
    @RehemaNchimbi-ki2ed 5 месяцев назад +3

    Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli

  • @NdelimbijohnSwai-k5s
    @NdelimbijohnSwai-k5s 29 дней назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kazi kubwa ya injili ya matengezo Mungu akubariki sana sana babangu

  • @meshackmsemo1718
    @meshackmsemo1718 Месяц назад

    Endelea kulihubiri neno la Mungu pasipo kuchuja

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 2 месяца назад

    Mchungaji, hivi kupaka dawa nyeusi kichwani ni dhambi?

  • @paschaziaphilbert3352
    @paschaziaphilbert3352 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana,, Damu ya Yesu ikulinde daima🙏

  • @RebecaAdam-qj5uo
    @RebecaAdam-qj5uo 2 месяца назад

    Amina baba sema tupone maan siku hiz watu hawataki kweli mungu akubariki sana

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr 5 месяцев назад +2

    Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,

  • @edimondhatangimana6031
    @edimondhatangimana6031 5 месяцев назад +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.

  • @dennycassian4819
    @dennycassian4819 2 месяца назад

    Mungu akulinde na akubariki sana mtumishi

  • @AdinethMartin
    @AdinethMartin 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen

  • @SiliviaSalvatory
    @SiliviaSalvatory 22 дня назад

    Amina,neno wanalisikia ila awajaamua kubadirika

  • @YaeliJoseph
    @YaeliJoseph 7 дней назад

    Kweli kabisa Pastor ✍️💯

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu 5 месяцев назад +2

    nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.

  • @Bahati-nv8jw
    @Bahati-nv8jw 3 месяца назад

    Asnte kweli kwelikabisa semayote

  • @NjeriEunice-dc7nw
    @NjeriEunice-dc7nw 3 месяца назад

    Hamna kudoo hapo, uasherati tu

  • @uzimakwayesutv
    @uzimakwayesutv 5 месяцев назад +2

    Amen Baba Wasaidie

  • @GraceManase-e1l
    @GraceManase-e1l 3 месяца назад

    Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂

  • @UshindiGwivaha
    @UshindiGwivaha 2 месяца назад

    Upo sahihi kabisa tunapuuza sana

  • @MidaMalagabu
    @MidaMalagabu 2 месяца назад

    Mungu alibariki somo mzuri

  • @bonfacekenga1074
    @bonfacekenga1074 5 месяцев назад +2

    Amen

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 5 месяцев назад +2

    Amen

  • @meshackmsemo1718
    @meshackmsemo1718 Месяц назад

    Mungu azid kukutumia mtu wa Mungu

  • @boscomhenusi7844
    @boscomhenusi7844 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi

  • @brendaminageofficial9090
    @brendaminageofficial9090 3 месяца назад

    😂😂😂😂hapo kwa wimbo jamani🤣🤣

  • @BoazDaniel-g1s
    @BoazDaniel-g1s Месяц назад

    Amina hapo hapo mchungaji

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 4 месяца назад

    Jaman mahi I yaniishia kati kati

  • @AnnaMundia-d3o
    @AnnaMundia-d3o 3 месяца назад

    Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤

  • @Katsurukamumbere
    @Katsurukamumbere 6 дней назад

    Mungu akubariki mwalimu

  • @Goodluckkelebesha
    @Goodluckkelebesha 2 месяца назад

    SEMA baba tupone

  • @winniemugaliza6676
    @winniemugaliza6676 3 месяца назад

    Asante Sana mtumishi

  • @AloyceJames-e3g
    @AloyceJames-e3g Месяц назад

    Mwenye masikio na asikie

  • @Martin-yz6xk
    @Martin-yz6xk 3 месяца назад

    Kwa hakika mchungaji umekuza love wire.

  • @frolakiiza8829
    @frolakiiza8829 2 месяца назад

    Amina kubwa baba barikiwa

  • @PaulloKayange
    @PaulloKayange 3 месяца назад

    Walokole waokoke upya

  • @loberyjonas9481
    @loberyjonas9481 4 месяца назад

    Unavo nibariki natamani nikuone Kwa macho yangu Ili nipate kufurahia utukufu wa MUNGU

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael 3 месяца назад

    Barikiwa mtumishi

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene7975 3 месяца назад

    Ukweli mtumishi

  • @tigiranlulu5065
    @tigiranlulu5065 3 месяца назад

    Amina

  • @AmaniRamathani-ti7fh
    @AmaniRamathani-ti7fh 2 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @Pendombwile
    @Pendombwile 3 месяца назад

    Amina watumishi

  • @eddanguhula7185
    @eddanguhula7185 4 месяца назад

    Exactly

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 5 месяцев назад +3

    Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.

  • @EsthakwanguKayila
    @EsthakwanguKayila 2 месяца назад

    Mungu akubariki

  • @AlbinMsechu
    @AlbinMsechu 5 месяцев назад +2

    Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana

  • @AnnaTsii-b5k
    @AnnaTsii-b5k 4 месяца назад

    saf

  • @AnnaLadsilaus
    @AnnaLadsilaus 3 месяца назад

    Ameee

  • @sapispaha4430
    @sapispaha4430 3 месяца назад

    Nimebarikiwa

  • @BahatiKasembe-bw9hd
    @BahatiKasembe-bw9hd Месяц назад

    Kweli baba

  • @rahelmichael-br3cd
    @rahelmichael-br3cd 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana baba mch. Endelea kusema kweli ya MUNGU baba. BWANA YESU akutunze

  • @apostolicgrace5630
    @apostolicgrace5630 4 месяца назад

    Very true Man of God but kindly we don't have female Angels how can they dress in a miniskirt?

  • @BageniMtigandi
    @BageniMtigandi 7 дней назад

    Ubarikiwe baba

  • @LinetKamete
    @LinetKamete 3 месяца назад

    Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima

  • @SmilingBloomingFlower-dn1bh
    @SmilingBloomingFlower-dn1bh Месяц назад

    Kwel baba

  • @FloranceNabwile
    @FloranceNabwile 4 месяца назад

    Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe

  • @pascalmwalyenga3468
    @pascalmwalyenga3468 5 месяцев назад

    Kweli lazima ihubiriwe. Maana shetani amejipenyeza taratibu katika kanisa kupitia njia ya mavazi ya hovyo ili kuwapoteza watu wengi kwa spirit of lust.

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27 5 месяцев назад

    Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu.
    Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka

  • @FelixOchieng-ue6cn
    @FelixOchieng-ue6cn 4 месяца назад

    Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 3 месяца назад

    Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏

  • @Caren-j4v
    @Caren-j4v 4 месяца назад

    May God help me not to follow the trend but to follow Christ teaching 🙏🙏🙏

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 4 месяца назад

    Kweli kabisa Revaluation 6:11yaongelea vile mwanamke yuwapaswa kufalia

  • @MTEULEWAMUNGUTV
    @MTEULEWAMUNGUTV 3 месяца назад

    Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi

  • @Tunumwamafupa-vr4kq
    @Tunumwamafupa-vr4kq 3 месяца назад

    Amen ubarkiwe baba

  • @helenshehele1902
    @helenshehele1902 4 месяца назад

    May God bless you man of God...good information for all christians

  • @thestandardoflivingchurchi213
    @thestandardoflivingchurchi213 4 месяца назад

    Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.

  • @GodfreyMushi-kn3nb
    @GodfreyMushi-kn3nb 4 месяца назад

    Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU

  • @ClavianNdunguru
    @ClavianNdunguru 5 месяцев назад +1

    Asante baba nimekuelewa

  • @generalbeepoka15
    @generalbeepoka15 4 месяца назад

    Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi

  • @MaryMuna-xc6lw
    @MaryMuna-xc6lw 4 месяца назад

    Mchungaji huo ni ukweli
    Ukweli unaweka huru
    Nikweli kanisa halija jitenga na dunia

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 4 месяца назад

    Deut 22:5 mwanamke hapaswi kufalia trouser

  • @SynphorienZamukul
    @SynphorienZamukul 4 месяца назад

    apo apo mtchungaji

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 месяца назад

    Baba amen hata malaya wavae madera lakin imeandikwa wanawake wasitiri.miili.yao

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 3 месяца назад

    asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe

  • @sawanjema4889
    @sawanjema4889 5 месяцев назад

    Umeongea,ukweli mtupu,baadhi ya watu eti kuvaa suruari ni kwenda na wakati,eti kusema Habari za mavazi ni kuishiwa pointi,Bila kukemea ipo siku watakuja na vichupi kanisani,wengine wanasema mungu haangalii mavazi ,anaangalia roho eti,kama ni hivyo basi zijage roho tu kanisani,

  • @MarysianaPeter
    @MarysianaPeter 2 месяца назад

    Aminaaa

  • @wakulampekazadi2987
    @wakulampekazadi2987 3 месяца назад

    Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤

  • @FurahaNtuye
    @FurahaNtuye 4 месяца назад

    Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi

  • @VicentMjema
    @VicentMjema 3 месяца назад

    Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako