Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Waambie Baba yapo mavazi yampasayo mkristo kwani hata Dr tunamtambua kwa vazi lake mwanafu tunamtambua kwa mavazi na kahaba atajulikana kwa mavazi yake
Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
Kweli lazima ihubiriwe. Maana shetani amejipenyeza taratibu katika kanisa kupitia njia ya mavazi ya hovyo ili kuwapoteza watu wengi kwa spirit of lust.
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
Umeongea,ukweli mtupu,baadhi ya watu eti kuvaa suruari ni kwenda na wakati,eti kusema Habari za mavazi ni kuishiwa pointi,Bila kukemea ipo siku watakuja na vichupi kanisani,wengine wanasema mungu haangalii mavazi ,anaangalia roho eti,kama ni hivyo basi zijage roho tu kanisani,
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya
Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi
Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,
Nakufurahia mtumishi tupo wachache MBINGUNI LAZIMA UFANIKIWE Amen
Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
MUNGU akubariki baba umegusa penyew ni kweri baba MUNGU akupe maisha marefu 🙏🙏🙏🙏
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Injili isiyogoshiwa..ndio hii
Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa
Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.
Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!
The word that's being preached is very critical,,,and they are laughing.thats serious jocking with your eternity
Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya
Waambie Baba yapo mavazi yampasayo mkristo kwani hata Dr tunamtambua kwa vazi lake mwanafu tunamtambua kwa mavazi na kahaba atajulikana kwa mavazi yake
Mwenyezi MUNGU akubariki mtumishi.
Mungu huangalia mtu
-ndani mpaka nje.
-Kanisani mpaka nyumbani.
-ukumbini mpaka sirini.
Basi, watu waambiwe nini ili waelewe?
WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu wangu akubariki saaaaaana kwakuhubiri mahubiri yasiku zamwisho tayarisha bibi arusi baba Asante asante🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake
Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji
ubarikiwe pastar abiud, xasa kweli nimeamini kuwa umeamua kufundixha ukweli iyo ndiyo kweli ya mungu.
Nampenda huyu mchungaji sana na sutawacha kumfuata isipokuwa aiwache njia ya Bwana. Mungu hakuuwa mnyama kwa kumvua ngozi ili amvike Adam na Hawa.
Hii ndiyo injili inayohitajika kwenye hiki kizazi Mungu akubariki
Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kazi kubwa ya injili ya matengezo Mungu akubariki sana sana babangu
Endelea kulihubiri neno la Mungu pasipo kuchuja
Mchungaji, hivi kupaka dawa nyeusi kichwani ni dhambi?
Ubarikiwe sana,, Damu ya Yesu ikulinde daima🙏
Amina baba sema tupone maan siku hiz watu hawataki kweli mungu akubariki sana
Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,
Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.
Mungu akulinde na akubariki sana mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen
Amina,neno wanalisikia ila awajaamua kubadirika
Kweli kabisa Pastor ✍️💯
nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.
Asnte kweli kwelikabisa semayote
Hamna kudoo hapo, uasherati tu
Amen Baba Wasaidie
Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂
Upo sahihi kabisa tunapuuza sana
Mungu alibariki somo mzuri
Amen
Amen
Mungu azid kukutumia mtu wa Mungu
Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi
😂😂😂😂hapo kwa wimbo jamani🤣🤣
Amina hapo hapo mchungaji
Jaman mahi I yaniishia kati kati
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Mungu akubariki mwalimu
SEMA baba tupone
Asante Sana mtumishi
Mwenye masikio na asikie
Kwa hakika mchungaji umekuza love wire.
Umekuza live wire
Amina kubwa baba barikiwa
Walokole waokoke upya
Unavo nibariki natamani nikuone Kwa macho yangu Ili nipate kufurahia utukufu wa MUNGU
Barikiwa mtumishi
Ukweli mtumishi
Amina
Amen 🙏🙏🙏
Amina watumishi
Exactly
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Mungu akubariki
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
saf
Ameee
Nimebarikiwa
Kweli baba
Ubarikiwe sana baba mch. Endelea kusema kweli ya MUNGU baba. BWANA YESU akutunze
Very true Man of God but kindly we don't have female Angels how can they dress in a miniskirt?
Ubarikiwe baba
Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima
Kwel baba
Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe
Kweli lazima ihubiriwe. Maana shetani amejipenyeza taratibu katika kanisa kupitia njia ya mavazi ya hovyo ili kuwapoteza watu wengi kwa spirit of lust.
Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu.
Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka
Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
May God help me not to follow the trend but to follow Christ teaching 🙏🙏🙏
Kweli kabisa Revaluation 6:11yaongelea vile mwanamke yuwapaswa kufalia
Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi
Amen ubarkiwe baba
May God bless you man of God...good information for all christians
Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.
Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU
Asante baba nimekuelewa
Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi
Mchungaji huo ni ukweli
Ukweli unaweka huru
Nikweli kanisa halija jitenga na dunia
Deut 22:5 mwanamke hapaswi kufalia trouser
apo apo mtchungaji
Baba amen hata malaya wavae madera lakin imeandikwa wanawake wasitiri.miili.yao
asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe
Umeongea,ukweli mtupu,baadhi ya watu eti kuvaa suruari ni kwenda na wakati,eti kusema Habari za mavazi ni kuishiwa pointi,Bila kukemea ipo siku watakuja na vichupi kanisani,wengine wanasema mungu haangalii mavazi ,anaangalia roho eti,kama ni hivyo basi zijage roho tu kanisani,
Aminaaa
Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako