MUUMBA HAKUM BELITLE MTOTO WA KIKE BALI WOTE KUFAIDIANA Hayo maswali ni ya laana za anguko, mila potofu. Hao Australia wakae sambamba na MUNGU BABA AWATAKASE. Wanatumia mno Elimu ya Dunia. Hakuna aliyeweza kwa yaliyotokea Eden. Wengine wanakuwa na nguvu za miungu ndani Yao halafu wanadhani Hormones. By Heri Halisi of Tanzania
Mungu akubariki sana kwa elimu ya ndoa na tuhubirie kwa waume na wake tupate kupona mioyo na nafsi zetu.
mungu akuzidishie kibawa zaidhi hili tupate kuelewa mahadiko vizuri mtu wa mungu
Wacha Mungu akubariki sana mafunzo yako yamenizaidia sana 🙏
Ubarikiwe sana mchunganji,kweli unayoyaongeya ni kweli,wanaume wanatesa wa maman,kwaajili tu ya umamalaya
Barikiwa saaaaana mtumishi wa MUNGU. Una sema ukweli
Upendo wako kwetu ni mkuu sana 🎉🎉!!!
Amen 🙏 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
mtumishi ubarikiwe sana kwa mafundisho .mungu aendelee kukutumia wanandoa wote kula chuma hicho❤
The beauty of marriage is trustworthy nadhani pastor is right keep it up congratulations
Asante kwamafundisho ndowa nyingi zinami gogoro
Mungu akubariki mtumishi, mafundisho yako yana bariki
Mchungaji wewe mungu akurinde sana maana kuna mafundisho urisema yate ni kweli tupu ongera kwa kipaji mzuri sasaaaaaaaaaana
Thanks for preparing me God bless you Sana 🙏 na akujalie maisha marefu
ubarikiwe baba
Asante pasta kwa mafundisho maziri
Ubalikiwe sana mtumishi wa Mungu
Huyu passy anakuaga tu real walai , i had to subscribe to his channel coz i became addicted to his way of teaching and preaching
Amina Baba 🙏🏻🙏🏻
Ubarikiwe sanaaa mchungaji wetu kwa mafunzo mazuri juu ya jamihi Mungu akupe maarifa tele.
Mimi Niko American n afurahiya kila siku unapo si MN a ku fundisha mungu aendeleye kuongezeyamyaka ya maisha nakupe kila siku ufunuo mupya
a
Amina baba
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho
Love the idea that you are sharing ❤❤❤❤
Barikiwa sana mchungaji kwa mafundixho
Ubarikiwe sana na mafundisho yako mazuri
Ukweli pasta
Kweli pastor apo kwa kusemwa nimewai pitia 😢😢
Nasikiliza Kwa umakini pastor hapa kenya
Mungu akusaidiye sana baba mchungaji
Pastor mimi nikona sinda nataka unisaidie nitakupata aje nikwabie unisaidie namaombi sana 🙏
Amen mch mung akupe ujasiri
❤asante sana mchungaji ubarikiwe
Ubalikiwe paster
Amen ubarikiwe mushungaji nimebarikiwa kwa mafundisho amen amen😂😂😂
Barikiwa sana baba etu
Barikiwa sana pastor
Ubarikiwe sana
Amen 🙏 ❤❤❤
Amina
Wanaume wengi hawajali sanahabari ya mama kufurahia tendo la ndoa na hii inasababisha mama kutafuta furaha nje ya ndoa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏
😂😂pastor asante kwa kumbukumbu la ndoa
Amina baba yetu 🙏 mungu atulinde
Jamani kuna mzigo usio bebeka na ole wake anaye ubeba lazima roho itoke ; kwaiyo je mtu afe ao akimbie.
Hakika unatujenga Sana Wana ndoa
😂😂😂😂😂😂eeeeeeish pastor barikiwa sana 😂😂😂😂😂😂❤❤❤😊
🎉
Hehehehe 😂😂😂😂😂 daaaah maaajabu
MUUMBA HAKUM BELITLE MTOTO WA KIKE BALI WOTE KUFAIDIANA Hayo maswali ni ya laana za anguko, mila potofu. Hao Australia wakae sambamba na MUNGU BABA AWATAKASE. Wanatumia mno Elimu ya Dunia. Hakuna aliyeweza kwa yaliyotokea Eden. Wengine wanakuwa na nguvu za miungu ndani Yao halafu wanadhani Hormones. By Heri Halisi of Tanzania
Hakika unatujenga Sana Wana ndoa 10:38
Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho Mimi niko naswali Moja tu je mungu anaruhusu uzazi wa mpango ahuu majira
Majira
👏🏽👏🏽👏🏽❤❤🙏🏾
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Daniel mgogo
Nilikua na naswali baba pastor sasa ukipata mke ntofahuti nayule alikua kugwani mwako utafanya aje
Naona mm familia yangu inaporomoka kisa baba hajui majukumu yake
Mchungaji naomba namba Yako naomba kuongea na ww
Kwahakia ukuwa muzaada katiaka maisani Mwangi ni martin kutoka mpeketoni lamu kenyA🎉
13:19
😂😂😂😂😂😂😂Amen
Upendo wako kwetu ni mkuu sana 🎉🎉!!!