Wanahabari wacharuka wataka vitendo siyo maneno yanayoleta matumaini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • Waziri Mkuu amevipongeza vyombo vya Habari kwa mchango mkubwa wa kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika shughuli na utekelezaji wa mipango ya Serikali pamoja na kampeni muhimu za kitaifa.
    Majaliwa ameyasema hayo leo Mei 3, 2024) wakati akizungumza na wanahabari na wadau wengine kwenye maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.

Комментарии •