EXCLUSIVE na SUGU afunguka sekeseke la uchaguzi ataja mikakati yake akichaguliwa
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- Mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema hatua inayofuata ni kusaka kura baada ya kamati kuu iliyoketi kati ya Mei 11 hadi 14 kupitisha jina lake.
Sugu ambaye ni mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini ameeleza hayo katika mahojiano yake na Mwananchi Digital yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Sugu atakabiliana na Mchungaji Peter Msigwa anayetetea kiti chake katika uchaguzi wa Kanda ya Nyasa utakaofanyika Mei 29,2024.
“Uchaguzi huu wapigakura wake sio wale wa umma, bali wapo ndani ya chama. Katika kanda yetu wapigakura hawazidi 120, nimeshaanda njia za kuwafikia kama sehemu ya kuanza rasmi kampeni,” amesema Sugu.
Imeandaliwa na Elizabeth Joachim, Bakari Kiango
Hongera ukifanikiwa au usipofanikiwa mbakie wamoja
Wazo zuri sana Mwesiga, hakika umekomaa kifikra.
🌷
Hufai hata tone, sugu
Tafadhali sugu mwachie msigwa. Wewe ni maarifu lakini ka nafasi hii mwachie mwenzie 2:32
Mmh, msigwa abebe,
Raise mno kuwanunua
Kuhongwa mnoo sugu
Fundi mitambo check sauti, haisikiki vizuri especially ya anayehoji.
Nina kukubalisa saña kaka, ili kwa sasa tuangalie ni nani anae ngusa mioyo ya wana mbeya atakaye simama na kuwapigania na kuwatetea katika changa moto wa lizo nazo.
Wanaomsema vibaya mh.sugu wametumwa na msg aliewakataa wamasai hadharani kua siyo wazawa, kumchafua mh.Sugu lakini SUGU bila wewe sisi tutafukuzwa uanachama 😂 Fanya Kila mbinu usinde chama kiwe salaama kuliko akipita msg twafa😢😢😢
Lakini pia waambie hata kufukuza watu sio powa ukipita wewe tunaimani hiyo tabia itakufa ya kunyanyasa wanachama Kama kufukuza madiwani bila sababu za msingi. Wananyasa tunaimani na SUGU
Tunakutegema sugu. Kuliko unayo fikiri
Kumbe na uko kunamadudu tena
SUGU ndiye kiongozi ambaye wananyasa tunamuhitaji msigwa tumempima Kwa MIAKA saba tumeona hawezi kuongoza nyasa ila analeta tu migogoro Bora amuachie sugu aje aweke usawa na kurekebisha Kila alipoharibu msigwa.
Kila la heri nakutakia.