HII NI BARABARA YA MBEYA-CHUNYA-MAKONGOROSI (KM 111)
HTML-код
- Опубликовано: 24 авг 2023
- Maboresho ya barabara hii ni utekelezaji wa mpango wa serikali wa kugungua barabara, na kuanzia mwaka 2021/22 serikali ya awamu ya sita chini ya Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imekuwa ikitenga zaidi ya sh.bil 440 kila mwaka kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara za mijini na vijijini
Hii Barabara haijahengwa awamu ya sita huu ni uongo!😢
Acheni unafiki magufuli na kikwete ndo walijenga Barbara hii ya makongorosi mbeya kiwango cha lami acheni uongo
Magufuli road no research no right to speak