HII NI BARABARA YA MBEYA-CHUNYA-MAKONGOROSI (KM 111)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 авг 2023
  • Maboresho ya barabara hii ni utekelezaji wa mpango wa serikali wa kugungua barabara, na kuanzia mwaka 2021/22 serikali ya awamu ya sita chini ya Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imekuwa ikitenga zaidi ya sh.bil 440 kila mwaka kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara za mijini na vijijini

Комментарии • 3

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 8 месяцев назад +1

    Hii Barabara haijahengwa awamu ya sita huu ni uongo!😢

  • @user-rx2kq8ce6y
    @user-rx2kq8ce6y Месяц назад

    Acheni unafiki magufuli na kikwete ndo walijenga Barbara hii ya makongorosi mbeya kiwango cha lami acheni uongo

  • @user-rx2kq8ce6y
    @user-rx2kq8ce6y Месяц назад

    Magufuli road no research no right to speak